Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja

Σχετικά έγγραφα
Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu

Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani

Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni

Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) :

Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( )

Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir

Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana.

Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo

AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein

i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM


05- Fadhila Za Umrah Na Hajj

IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA


Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~

Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM

MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014

MATESO YA DHURIA YA MTUME

Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo

IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU

25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa.

Critique of Humanism

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

Mafundisho Ya Madhehebu

Rulings on Fasting during Hajj

( ). : : :.. : :. : : : : """ " " "... : "" ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ u

SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO

KILIMO CHA ZAO LA VANILLA

Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania



Z L L L N b d g 5 * " # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / / + 3 / / / / + * 4 / / 1 " 5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3 " #

ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ

Dapatkan Skema di

( ) א : ( ) : - " : - : ( ). " " : " :..".." " : ( ).. :. : : : ( ) (/ ) () - -.( / ).() ( ) ( ).( / ) ( ).( - ) ( )

() ( ) - - ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( )

ﺷﺮ ﻢﻠﺴﻟﻤ ﻦﺼﺣ ﺔﻨﺴﻟ ﺎﺘﻜﻟ ﻛﺎ ﻦﻣ א! א א ﻢﻠﺴﻟﻤ ﻦﺼ ﺣ ﻒﻟﺆﻣ ﻪﻴﻠﻋ ﻖﻠﻋ ﻪﺤﺤﺻ

Q π (/) ^ ^ ^ Η φ. <f) c>o. ^ ο. ö ê ω Q. Ο. o 'c. _o _) o U 03. ,,, ω ^ ^ -g'^ ο 0) f ο. Ε. ιη ο Φ. ο 0) κ. ο 03.,Ο. g 2< οο"" ο φ.


<<< ššš. ÎÎÎ Îh hh ( ) ZZZ. ööö

: :

: :

P P Ó P. r r t r r r s 1. r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s. Pr s t P r s rr. r t r s s s é 3 ñ

rs r r â t át r st tíst Ó P ã t r r r â

ΣΥΝΕΧΕΙΑ ΣΥΝΑΡΤΗΣΗΣ - Θ. BOLZANO - Θ. ΕΝΔΙΑΜΕΣΩΝ ΤΙΜΩΝ. , ώστε η συνάρτηση. æ η γραφική της παράσταση να διέρχεται από το σημείο Mç

The extent of Islamic Education basic stage Textbooks to ensure the developmental listening skills for the activities of Holly Quran

MENTAL TROPES IN THE HOLY QUR`AN NAZEER HUSSEIN EMRITTE. submitted in accordance with the requirements for the degree of

Alterazioni del sistema cardiovascolare nel volo spaziale

(#θèù ρr& 4 n< ρr& $ ÏΨ xî

U

: :

التجديد فى المقاصد. Î ÎÎ Îû ÏÏÏ ÇÇÇ ŸŸŸ. 4 Νä ää Ï ÏÏ ÏΒ $ Β ÉÉÉ. ííí HHH &&&

Å/ ÅÃ... YD/ kod

Ÿωuρ $pκš r' tƒ. < ø Ρ. ÏiΒ

ΑΠΑΝΤΗΣΕΙΣ ΑΛΓΕΒΡΑΣ Α ΛΥΚΕΙΟΥ

ΑΣΚΗΣΕΙΣ ΣΤΟΥΣ ΜΙΓΑΔΙΚΟΥΣ

ss rt çã r s t Pr r Pós r çã ê t çã st t t ê s 1 t s r s r s r s r q s t r r t çã r str ê t çã r t r r r t r s

حفظ النفس بين الدين والفلسفة

Ó³ Ÿ , º 5(147).. 777Ä786. Œ ˆŠ ˆ ˆ Š ƒ Š ˆŒ. ˆ.. Š Öαμ,. ˆ. ÕÉÕ ±μ,.. ²Ö. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê

Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake.

Radio détection des rayons cosmiques d ultra-haute énergie : mise en oeuvre et analyse des données d un réseau de stations autonomes.

Ανώτερα Μαθηματικά ΙI

ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ ˆ ˆ. Ô² ±É µ µ É µ, µ²ó ÊÖ µ ÊÕ µí Ê Ê ± ɵ Ö. ³Ò ² Ê ±

ˆŒ œ ƒ ƒ ˆ ˆŸ ˆ Š ˆ 137 Cs Š ˆ Œ.

ITU-R M MHz ITU-R M ( ) (epfd) (ARNS) (RNSS) ( /(DME) MHz (ARNS) MHz ITU-R M.

ðñüübi pbïüb a óïèím ójé

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Επιλογής επόμενα. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών

D F g ヾ j gj k E k j i g g ヾg g j i kg ヾ j jk g ヾ j g kg k jji g gj G k g k i g H g gh gj g g k j j IJ K L M g N li g ヾ i g IJ L O M BC

Ó³ Ÿ , º 1(130).. 7Ä ±μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê

! "# " #!$ &'( )'&* $ ##!$2 $ $$ 829 #-#-$&2 %( $8&2(9 #."/-0"$23#(&&#

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Τα πάντα σύνολα; Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών

HONDA. Έτος κατασκευής

Solutions - Chapter 4

P Ò±,. Ï ± ˆ ˆŒˆ Š ƒ ˆŸ. Œ ƒ Œ ˆˆ γ-š Œˆ ƒ ƒˆ 23 ŒÔ. ² μ Ê ². Í μ ²Ó Ò Í É Ö ÒÌ ² μ, É μí±, μ²óï

Ηυλοποίησ ητηςπαραπάνωκατηγορίαςβρίσ κεταισ τοναλγόριθμο º¾ºΗγραμμή

f a o gy s m a l nalg d co h n to h e y o m ia lalg e br coh the oogy lagebr

P Î,.. Š ²³Ò±μ, Œ.. Œ ϱ,.. ʳ ˆ ˆ ˆ ˆŸ ˆŠ Š Š ˆ Ÿ -200

Ó³ Ÿ , º 3(180).. 313Ä320

ΛΥΣΕΙΣ. f(x) = g(x)+c. Α2. ί. Ποια είναι η γεωμετρική ερμηνεία του Θεωρήματος Μέσης Τιμής του διαφορικού λογισμού;; (Να κάνετε πρόχειρο σχήμα).

ACTA MATHEMATICAE APPLICATAE SINICA Nov., ( µ ) ( (

+ z, όπου I x, I y, I z είναι οι ροπές αδράνειας

UDC. An Integral Equation Problem With Shift of Several Complex Variables 厦门大学博硕士论文摘要库

Š Šˆ ATLAS: ˆ ˆŸ ˆ Šˆ, Œ ˆ Œ ˆ.. ƒê ±μ,. ƒ ² Ï ², ƒ.. Š ± ²,. Œ. Ò,.. ŒÖ²±μ ±,.. Ï Ìμ μ,.. Ê ±μ Î,.. ±μ,. Œ. μ

Φ3: ΟΡΙΟ ΣΥΝΑΡΤΗΣΗΣ ΕΠΙΜΕΛΕΙΑ: ΓΙΑΝΝΗΣ ΧΡΑΣ

ΟΡΙΑ ΣΥΝΕΧΕΙΑ ΒΑΣΙΚΕΣ ΑΣΚΗΣΕΙΣ. 2 f (x) =, να βρεθεί ο k Î R, ώστε να. . β) Να βρείτε το. , αν για κάθε x Î U(, á) όρια lim fx ( ) και lim gx ( ).

! ҽԗज़ϧљ!!ΐμΐԃ த ໒ ำ!! ǵ թ໒!! ΒǵЬ ठ໒!! Οǵ ٣!! Ѥǵ ᇡ٣!! ϖǵᖏਔ!! Ϥǵණ!!!!! 1 ~ 1 ~

P ² ± μ. œ Š ƒ Š Ÿƒ ˆŸ Œ œ Œ ƒˆ. μ²μ μ Œ Ê μ μ ±μ Ë Í μ É Í ±μ ³μ²μ (RUSGRAV-13), Œμ ±, Õ Ó 2008.

Š ˆ ˆ ˆ Š ˆ ˆ Œ.. μ É Ó

P μ,. Œμ α 1,. ²μ ± 1,.. ϱ Î, Ÿ. Ê Í± 2 Œˆ ˆ Œ Š Ÿ Š Ÿ ˆ ˆŒ ˆˆ. ² μ Ê ² μ Ò É Ì ± Ô± ³ É

Λύσεις των θεμάτων προσομοίωσης -2- Σχολικό Έτος

P ƒ. μ μ², Œ.. ˆ μ,.. μ ± Î Š Ÿ ˆ Œ ˆŸ ˆ Ÿ Š ˆ. ² μ Ê ² μ Ò É Ì ± Ô± ³ É.

Dapatkan Skema di

2?nom. Bacc. 2 nom. acc. S <u. >nom. 7acc. acc >nom < <

W א א א א א א.

Œ.. ² μ,.. Œ ²μ, ƒ.. μ ±μ,. Ô Ô ², Œ.. ƒê Éμ, Œ.. Œ ² μ *

(! )! " (S.S)-. + #, $ % &' ( )* $! / :;:<9::=>>? 4 5 : 6 A B C 7 1 )* ( F D>EE / G:99

ÈÖÓ Ö ÑÑ Ò ÑÓÖ Û ÈÖÓÔØÙÕ ÛÒ ËÔÓÙ ÛÒ ÌÑ Ñ ØÓ Å Ñ Ø ÛÒ È Ò Ô Ø Ñ Ó È ØÖÛÒ Å Ñ Û Ø Ò Ô Ø Ñ ØÛÒ ÍÔÓÐÓ ØôÒ

ŒˆŠ Š ˆ Š ˆ ˆ ˆ œ ƒ ƒˆƒ Š ƒ.. ˆÏÌ μ,.. ²

P ƒ Ê Î 1, 2,.. ƒê μ 1, 3,. ÉÓ±μ 2, O.M.ˆ μ 1,.. Œ É μë μ 1,.. μ μ 1,. ƒ. Ê±μ ± 1,.. ³ 1,.. ±Ê Éμ 1. ˆ ˆ ˆ ˆ Š ˆ Si- ˆ SiC- Š Š ˆ

ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ Ä ƒ ² ± Ñ Ò É ÉÊÉ Ô É Î ± Ì Ö ÒÌ ² μ Å μ Ò Í μ ²Ó μ ± ³ ʱ ²μ Ê, Œ ±

Transcript:

Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja, )) : ( ),, (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa iyd ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Mwanamme asitazame uchi wa mwanamme, wala mwanamke asitazame uchi wa mwanamke, wala mwanamme asilale na mwanamme mwenzie katika nguo moja, wala mwanamke asilale na mwanamke mwenzie katika nguo moja)). 1 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Makatazo ya kutazamana uchi japokuwa ni kwa jinsi moja, seuze ikiwa ni baina ya mwanamme na mwanamke [An-Nuwr 24: 30, 31]. Kwani hayo huenda yakapelekea katika maasi ya uliwati na usagaji. 2. Uislamu umehimiza kujisitiri na kusitiriana, na umefunga milango yote itakayopelekea kwenye zinaa [Al-Israa 17: 32]. Na Allaah ( ) Amewaahidi Pepo wanaojisitiri sehemu zao za siri: ç ö xî öνåκ ΞÎ*sù öνåκß] yϑ ƒr& ôms3n=tβ $tβ ρr& öνîγå_ uρø r& # n?tã ωî) tβθýàï ym öνîγå_ρã à Ï9 öνèδ t Ï%!$#uρ š ÏΒθè=tΒ ((Na wale ambao tupu zao wanazilinda)) ((Isipokuwa kwa wake zao au kwa [wanawake] ambao mikono yao ya kuume imewamiliki. Basi hao ndio wasiolaumiwa)). 2 3. Haramisho la kutazama uchi wa mwanamume kutoka kitovuni hadi magotini. 4. Haramisho la kutazama uchi wa mwanamke. Na ambaye si mahram wake, ni mwili wote isipokuwa uso na viganja. [An-Nuwr 24: 31]. 1 Muslim. 2 Al-Muuminuwn (23: 5-6).

5. Zinaa huweza kuwa ni ya uhakika kujamiiana kwa haramu, au kutazama uchi wa mtu na machafu, au kwa kusikiliza yanayohusiana nayo [Hadiyth: Kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Allaah Ameandika kila sehemu ya zinaa ambayo humuingiza mtu katika shauku. Hakutokuwa na kuikwepa. Zinaa ya macho ni kutazama, ya masikio ni kusikiliza, ulimi ni kunena maneno, mkono ni kuunyoosha, mguu ni hatua zake, na moyo hupata matamanio, na tupu husadikisha [hutenda] au hukadhibisha [huacha])). 3 6. Makatazo kwa wanawake kuvaa nguo zinazodhihirisha sehemu nyingi za mwili katika shughuli za furaha kama harusini n.k. kwa kisingizio kuwa wako na wanawake wenziwao. Wanavuka mipaka na hali mwanamke wa Kiislamu anatakiwa avae mavazi ya kumfunika vizuri abakie katika sitara na heshima na si kama mavazi ya wanawake makafiri. Itambulike kuwa sitara ya mwanamke katika mavazi mbele ya wanawake wenzao ni sawasawa na inavyopasa wanapokuwa mbele ya mahaarim zao kwamba wasionyeshe isipokuwa uso, nywele, shingo, mikono na miguu (kuanzia kifundoni na nyayo na si juu yake). [Rejea Hadiyth namba 114]. 7. Kitu chochote kinachompelekea mtu katika maasiya, kimekatazwa na Uislamu. 3 Al-Bukhaariy na Muslim.

4 4 Hadiyth Ya 112 Ikhtilaatw - Kuchanganyika Na Wasio Maharimu (( )) : (( )) : ( ) : Imepokelewa kutoka kwa Uqbah bin Aamir ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Tahadharini na kuingia kwa wanawake!)) Mtu mmoja katika Answaariy akauliza: Ee Mtume wa Allaah! Nieleze akiwa ni shemeji? Akamwambia: ((Shemeji ni mauti)). 4 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Al-Hamw ni jamaa wa karibu wa mume kama kaka yake, mtoto wa kaka yake, mtoto wa ami yake n.k. 2. Makatazo ya ikhtilaatw (kuchanganyika) baina ya wanaume na wanawake wasio mahram zao kama Alivyokataza Allaah ( ) kuhusu wake wa Mtume ( ). ÎγÎ/θè=è%uρ öνä3î/θè=à)ï9 ã yγôûr& öνà6ï9 sœ 5>$pgÉo Ï!#u uρ ÏΒ èδθè=t ó sù $Yè tftβ èδθßϑçgø9r'y #sœî)uρ ((Na mnapowauliza [wakeze] waulizeni nyuma ya pazia. Kufanya haya kutasafisha nyoyo zenu na nyoyo zao)). 5 3. Makatazo ya jamaa za mume kuwa faragha na mke, kwani hilo ni jepesi kuchanganyika nao, kwa vile wako karibu na kutokea fitna ni wepesi kabisa. [Hadiyth: Kutoka kwa 'Umar ( ) kutoka kwa Mtume ( ) ((Hachanganyiki mwanamume na mwanamke ila shaytwaan huwa ni watatu wao)). 6 4. Uislamu umetahadharisha kila aina ya shari na kukaribia zinaa na umehimiza amani baina ya jamii. [Al-Israa 17: 32]. 5. Kufananishwa Al-Hamw na mauti ni dalili jinsi uwezekano mwepesi wa kutokea fitna, kwani aghlabu shemeji huwa na huruma. 4 Al-Bukhaariy na Muslim. 5 Al-Ahzaab (33: 53). 6 At-Tirmidhiy.

6. Tatizo kubwa lipo katika jamii kuchanganyika na mashemeji, na ndio maana fitna nyingi hutokea katika jamii. 7. Ni kawaida kwa watu kutochukua tahadhari kwa maingiliano kama hayo na madhara yake ni makubwa katika jamii.

4 ( Hadiyth Ya 113 Wamelaaniwa Wanaume Wanaojifananisha Na Wanawake Na Wanawake Wanaojifananisha Na Wanaume : ( ) :.. Imepokelewa kutoka kwa Ibn Abbaas ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) amewalaani wanaume wanaojifananisha na wanawake na wanawake wanaojifananisha na wanaume. Na katika riwaya nyingine imesema: Mtume wa Allaah ( ) amewalaani wanaume wanaojishabihisha na wanawake, na wanawake wanaojishabihisha na wanaume. 7 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Haramisho la wanaume na wanawake kujifananisha sawa kwa mavazi, sauti, mwendo, mapambo n.k. kwani hivyo ni upotofu wa shaytwaan aliyeahidi kuwapotoa. Na Allaah ( ) Amewatahadharisha kwa makazi ya moto: öνßγ Ρt ãβuψuρ öνßγ Ψt ÏiΨtΒ_{uρ öνßγ Ψ =ÅÊ_{uρ $ZÊρã ø Β $Y7ŠÅÁtΡ x8ïš$t6ïã ô ÏΒ βx σªBV{ š^$s%uρ ÏiΒ $wšï9uρ z süø ±9$# É Ï Ftƒ tβuρ # ρá äî ωî) ß süø ±9$# ãνèδß Ïètƒ $tβuρ ª!$# çµuζyè 9 «!$# šyù=yz χç Éi tóãšn=sù öνåκ Ξz ß Uψuρ ÉΟ yè ΡF{$# šχ#sœ#u à6ïngu;ã n=sù öνíκ ÏiΨyϑãƒuρ öνèδß Ïètƒ $YΨ Î6 Β $ZΡ#t ó äz t Å yz ô s)sù «!$# Âχρߊ $TÁŠÏtxΧ $pκ ]tã tβρß Ågs Ÿωuρ ÞΟ Ψyγy_ óοßγ1uρù'tβ y7í s9'ρé& ((Allaah Amemlaani. Na [shaytwaan] akasema: Kwa hakika nitachukua [nitashika] katika waja Wako sehemu maalumu)) ((Na hakika nitawapoteza, na nitawatumainisha, na nitawaamrisha. Basi watakata masikio ya wanyama [wawafanye kuwa hao ni wanyama watukufu], na nitawaamrisha watabadili maumbile ya Allaah. Na atakayemfanya shaytwaan kuwa ni walii [rafiki mwandani] badala ya Allaah, basi kwa yakini amekhasirika khasara iliyo bayana)) 7 Al-Bukhaariy.

((Anawaahidi na anawatumainisha. Na shaytwaan hawaahidi isipokuwa udanganyifu)) ((Hao makaazi yao ni Jahannam, na wala hawatopata makimbilio ya kutoka humo)). 8 2. Inapotajwa laana katika Aayah au Hadiyth, basi ni uthibitisho kuwa jambo lililotajwa ni miongoni mwa madhambi makubwa, kwani laana ni kuwekwa mbali na Rahma ya Allaah ( ). 3. Wanaojifananisha na wengine, ni ukosefu wa adabu mbele ya Allaah ( ) kama kwamba kumkosoa kuwa umbo Alowaumba nalo la fitwrah, limekosewa au halifai kwao, na hali Amemuumba binaadamu kwa kumtofautisha kiwiliwili, sura, rangi n.k. kwa Hikmah Yake [Al- Muuminuwn 23: 12-14, At-Tiyn 95: 4, Ar-Ruwm 30: 22]. 4. Allaah ( ) Ameweka shari ah za kumtosheleza binaadamu zenye maslahi naye zitakazozuia ufisadi katika jamii, na pia mwendo mzuri kabisa wa kuigiza wa Mtume ( ). [Al-Ahzaab 33: 21, Al-Maaidah 5: 48]. 5. Ufisadi umeenea katika jamii; wanaume kuiga mavazi na mapambo ya kike, kama kuweka nywele ndefu, kuvaa herini, kuvaa nguo za kubana n.k. Na wanawake kuvaa masuruwali ya kubana, kukata nywele fupi n.k. yote ambayo yanamtoa mtu kutoka katika fitwrah (umbile la asili aloumbwa nalo). 8 An-Nisaa (5: 118-121).

( ( Hadiyth Ya 114 Wanawake Wanaovaa Nguo Lakini Wako Uchi Wenye Vichwa Vya Manundu Hawatoingia Peponi Wala Kuisikia Harufu Yake : )) : : ( ), ((,, Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Aina mbili za watu wa motoni sijawaonapo [hawapo katika zama zangu]: Watu walio na mijeledi mfano wa mikia ya ng ombe wanawapiga watu kwa mijeledi hiyo [kwa dhulma], na wanawake waliovaa nguo na ilhali wako uchi, wakitembea kwa maringo huku wakiyanyonga mabega yao na wakiwafunza wengineo kutenda kama hivyo, vichwa vyao ni kama nundu za ngamia-bukhti wanaodemadema. Hawatoingia Peponi wala hawataisikia harufu yake, na kwa hakika harufu yake husikika umbali kadha wa kadhaa)). 9 Ngamia bukhti ni aina ya ngamia wenye shingo ndefu. Mafunzo Na Hidaaya: 1. Haramisho la kuwapiga watu kwa dhulma na tisho kwamba hawatoingia Peponi bali wala kuisikia harufu yake. 2. Haramisho kwa wanawake kutokuvaa vazi la Hijaab Aliloamrisha Allaah ( ) lenye sitara na heshima. $tβ ωî) ßγtFt ƒî š Ï ö7ムŸωuρ ßγy_ρã èù z ôàx øts uρ ÏδÌ Áö/r& ô ÏΒ z ôòàòøótƒ ÏM uζïβ σßϑù=ïj9 è%uρ ρr& ÎγÏFs9θãèç7Ï9 ωî) ßγtFt ƒî š Ï ö7ムŸωuρ ÍκÍ5θãŠã_ 4 n?tã ÏδÌ ßϑèƒ 2 t ø Î ôøu ø9uρ $yγ ΨÏΒ t yγsß û Í_t/ ρr& ÎγÏΡ uθ zî) ρr& ÎγÏGs9θãèç/ Ï!$oΨö/r& ρr& ÎγÍ!$oΨö/r& ρr& ÎγÏGs9θãèç/ Ï!$t/#u ρr& ÎγÍ!$t/#u Ïπt/ö M}$# Í<'ρé& Î ö xî š ÏèÎ7 F9$# Íρr& ßγãΖ yϑ ƒr& ôms3n=tβ $tβ ρr& ÎγÍ!$ ÎΣ ρr& ÎγÏ? uθyzr& û Í_t/ ρr& ÎγÏΡ uθ zî) 9 Muslim.

4 zνn= èã Ï9 ÎγÎ=ã_ö r'î/ t ø Î ôøo Ÿωuρ ( Ï!$ ÏiΨ9$# ÏN u öθtã 4 n?tã (#ρã yγôàtƒ óοs9 š Ï%!$# È ø ÏeÜ9$# Íρr& ÉΑ%ỳ Ìh 9$# z ÏΒ ÎγÏFt ƒî ÏΒ t Ï øƒä $tβ ((Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe mapambo [ya viungo vyao na uzuri] wao isipokuwa vinavyodhihirika. Na waangushe shungi zao mpaka vifuani mwao. Na wasionyeshe mapambo yao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba wa waume zao, au watoto wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyohusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajulikane mapambo wanayoyaficha)). 10 Na Kauli Yake Allaah ( ): [Al-Ahzaab 33: 59]. 3. Hadiyth imetoa pia onyo kali la mwenye kuasi kutokuingia Peponi na kutoisikia harufu yake. 4. Wanawake wengi hawatambui vazi khasa la Hijaab. Hujifunika kichwa na huku uso umejaa mapambo, na nguo za mikono mifupi, za kubana zinazodhirisha maumbile ya mwili wote na nyinginezo hata kuonekana mwili wake ndani, na zilizojazwa mapambo ya rangi na ming aro. Mwanamke anapaswa ajifunze sharti la vazi la Hijaab kwamba; (i) Avae Jilbaab lisitiri kiwiliwili chote cha mwanamke, (pamoja na khilafu iliyopo kati ya wanachuoni kuhusu suala la uwajibu wa kuufunika uso na kutoufunika); (ii) Jilbaab la mwanamke lisiwe na mapambo; (iii) Kitambaa cha Jilbaab kinatakiwa kiwe kizito (kisioneshe vazi la ndani); (iv) Jilbaab linatakiwa liwe pana (lisibane); (v) Jilbaab halitakiwi kutiwa manukato; (vi) Jilbaab halitakiwi lifanane na mavazi ya kiume; (vii) Jilbaab halitakiwi lifanane na mavazi ya makafiri; (viii) Jilbaab halitakiwi liwe ni katika mavazi ya fakhari. 5. Mwili wa mwanamke ni thamani ambayo inapasa kuhifadhiwa na kufichwa ili isipotee thamani yake. Mfano wake ni kama lulu katika kombe ambayo imehifadhika humo. 6. Mwanamke ambaye havai vazi la Hijaab, anayejipamba na kudhihirisha mapambo yake mbele ya wasiokuwa mahram wake, 10 An-Nuwr (24: 31).

anakusanya madhambi mengi kwa kuwatamanisha wanaume wenye nyoyo za matamanio. [Al-Ahzaab 33: 32-33]. 7. Wenye majukumu juu ya wanawake; mume, baba, kaka n.k. wanapaswa kuwahimiza na kuhakikisha kuwa wanawake wao wanavaa vazi la Hijaab, kwani wasipofanya hivyo watakuja kuulizwa kuhusu jukumu na amana yao waliyopewa kuichunga. [Rejea Hadiyth namba 27]. 8. Wanawake wasiovaa Hijaab wanadhania kwamba wako katika maendeleo na kuwadharau wanaovaa Hijaab, na ilhali ni kinyume chake, kwamba wanaovaa vazi la Hijaab wana hadhi zaidi kuliko wasiovaa mbele ya watu na zaidi mbele ya Allaah ( ). Je, yupi aliyekuwa na heshima zaidi? Anayevaa Hijaab au wale wanaotumiliwa kwa picha za tupu zao katika biashara zao? 9. Makatazo kwa wanawake wanaovaa nguo za wazi mno maharusini kwa kisingizio kuwa wako mbele ya wanawake wenziwao. Hivyo, wanafikia kuvaa nguo za kudhihirisha sehemu za mwili na hali mipaka yake ni kuonyesha sehemu ambazo huwa wazi wanapokuwa wakifanya kazi za nyumba majumbani mwao kama uso, nywele, shingo, mikono na miguu. Hivyo ni kwa sababu sehemu hizo pia ndio sehemu zinazovaliwa mapambo ya wanawake kama herini, vidani, bangili, vikufu vya miguu. [Rejea Hadiyth namba 111].

4 Hadiyth Ya 115 Makatazo Ya Kunyoa Baadhi Ya Nywele Na Kuacha Baadhi (( ( ) )) : Imepokelewa kutoka kwa Ibn Umar ( ) kwamba Mtume ( ) alimuona mvulana zimenyolewa baadhi ya nywele kichwani mwake na nyingine zimeachwa. Akawakataza, na akasema: ((Mnyoweni zote au ziacheni zote)). 11 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Katazo la kunyoa baadhi ya nywele na kuacha baadhi, ambao Kiislamu inaitwa Qaza, hivyo ni kujibadilisha umbile na pia kuiga makafiri wanaonyoa kila aina za staili ya nywele. 2. Uislamu umetoa kila aina ya mafunzo hata ya kumweka Muislamu katika mandhari nzuri kabisa ya fitwrah (maumbile ya asili) na heshima. Kujibadilisha maumbile hayo ya asili ni katika hila za shaytwaan aliyeahidi kuwapotoa watu: χç Éi tóãšn=sù öνåκ Ξz ß Uψuρ ÉΟ yè ΡF{$# šχ#sœ#u à6ïngu;ã n=sù öνßγ Ρt ãβuψuρ öνßγ Ψt ÏiΨtΒ_{uρ öνßγ Ψ =ÅÊ_{uρ «!$# šyù=yz ((Na hakika nitawapoteza, na nitawatumainisha, na nitawaamrisha. Basi watakata masikio ya wanyama [wawafanye kuwa hao ni wanyama watukufu], na nitawaamrisha watabadili maumbile ya Allaah)) 12 [Rejea Hadiyth namba 113]. 3. Baadhi ya wazazi wanawaachia watoto wao kunyoa nywele staili za makafiri panki na kuona kuwa ni maendeleo na fakhari kuiga makafiri na hali ni kumpotosha mtoto. 11 Abu Daawuwd kwa isnaad Swahiyh alaa shartw (kwa mujibu wa masharti ya) Al- Bukhaariy na Muslim. 12 An-Nisaa (4: 119).

4. Ruhusa ya ima kunyoa nywele zote au kuziacha zote, ila tu zisiachwe ndefu hadi kushabihiana na wanawake. Na pia zikiwa ndefu basi zisibakishwe matimtimu, bali zinatakiwa zitizamwe kwa kuchanwa na kupakwa mafuta.

Hadiyth Ya 116 Wamelaaniwa Wanaopiga Chale (Tattoo), Wanaochonga Nyusi Na Meno " : : ( ), )) : ((,, Abdullaah bin Mas uwd (Radhiya Allaahu anhu) alisema: Allaah Anawalaani wanaopiga chale na wanaotaka kupigwa chale, na wanaochonga nyusi na wanaochonga meno wakaacha mwanya kwa sababu ya uzuri, wanaobadilisha maumbile Aliyoyaumba Allaah. Mwanamke mmoja akamlaumu juu ya jambo hilo (la kulaani). Akasema ( Abdullaah): Kwa nini nisimlaani aliyelaaniwa na Mtume wa Allaah ( ) na ilhali iko ndani ya Kitabu cha Allaah? Allaah Aliyetukuka Anasema: ((Na anachowapa Mtume basi kipokeeni, na anachowakataza, basi jiepusheni nacho 13 )). 14 Na katika riwaaya nyingine imetajwa: Mtume ( ) amemlaani mwenye kuunga na mwenye kuungwa (nywele) 15 Kupiga chale ni kuikwangua ngozi itoke damu, kisha apake wanja au kitu kingine kisha inakuwa rangi ya kijani (tattoo). Mafunzo Na Hidaaya: 1. Haramisho la kujibadilisha chochote katika umbo la mtu ikiwa ni kuzidisha au kupunguza, kwa ajili ya kujipamba isipokuwa ikiwa kuna dharura ya matibabu. 2. Haramisho kwa wanawake kunyoa nyusi na kwamba wanaotoa na wanaotolewa watapata laana ya Allaah ( ). 3. Haramisho la kuunga nywele na kuvaa mabaruka (wigi), kwani ni kubadilisha maumbile ya Allaah ( ). 13 Al-Hashr (59: 7). 14 Al-Bukhaariy na Muslim. 15 Al-Bukhaariy.

3 4. Kupiga chale, kuchonga nyusi na meno, yote hayo ni miongoni mwa madhambi makubwa, kwa vile yametajiwa laana ya Allaah ( ) ambayo ni kuwekwa mbali na Rahma Yake. 5. Makatazo hayo ni katika mila za makafiri ambazo haipasi Muislamu kuwaiga, kwani wao wanadhamiria mno Waislamu kuwaiga mila zao na wanapenda mno kuona Muislamu ameacha Dini yake: öνåκtj =ÏΒ yìî6 Ks? 4 Lym 3 t Á Ψ9$# Ÿωuρ ߊθåκu ø9$# y7ψtã 4 yìö s? s9uρ ((Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao)). 16 6. Kujibadilisha umbo ni hila za shaytwaan anayemtia mtu matamanio ya nafsi. [An-Nisaa 4: 117-121]. 16 Al-Baqarah (2: 120).

4 Hadiyth Ya 117 Kusema Analolijua Mtu Au Kukiri Kutokuwa Na Ujuzi Wa Jambo Na Kujikalifisha Nalo,, : : ( ). : (( )) : Imepokelewa kutoka kwa Masruwq ( ) amesema: Tulikwenda kwa Abdullaah bin Mas uwd (siku moja) akatuambia: Enyi watu! Anayejua kitu aseme, na asiyejua aseme: Allaah Anajua. Hakika miongoni mwa elimu ni kusema katika usilolijua: Allaah Anajua. Allaah Alimwambia Mtume Wake ( ): ((Sema: [kuwaambia watu wako]: Siwaombi ujira juu ya haya [ninayokulinganieni] wala mimi si katika wanaojikalifisha 17 )). 18 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Makatazo ya kujikalifisha katika mas-alah ya elimu ya Dini. 2. Kutokusema jambo la Dini bila ya kuwa na elimu sahihi yenye dalili wala kutoa Fatwa isipokuwa kwa mwenye elimu ya kutosha. [Yuwsuf 12: 108]. 3. Allaah ( ) Ameonya kujiamulia mtu hukmu bila ya dalili, kwani hivyo ni kumzulia Yeye uongo: «!$# n?tã (#ρç tiø tgïj9 Π#t ym #x yδuρ n=ym #x yδ z>é s3ø9$# ãνà6çgoψå ø9r& ß#ÅÁs? $yϑï9 (#θä9θà)s? Ÿωuρ tβθßsî=ø ムŸω z>é s3ø9$# «!$# n?tã tβρç tiø tƒ t Ï%!$# βî) z>é s3ø9$# ((Wala msiseme kwa sababu ya uongo usemao ndimi zenu; Hii ni halaal, na hii ni haraam, msije mkamzulia uongo Allaah. Hakika wamzuliao uongo Allaah hawatofaulu)). 19 17 Swaad (38: 86). 18 Al-Bukhaariy. 19 An-Nahl (16: 116).

4. Elimu ya Mwanachuoni ( Aalim) haipunguki kwa kutokujua jambo na kulikiri. 5. Funzo kutoka kwa Mtume ( ) na himizo la kufuata kigezo chake. 6. Inapokuwa halijui jambo analoulizwa mtu la elimu ni vyema aseme: Allaah Anajua: na anapolijua aseme: Na Allaah Anajua zaidi. 7. Kukiri kutokujua jambo la elimu ni dalili ya unyenyekevu wa mtu na kinyume chake ni kujionyesha sifa ya upeo wa elimu asiyokuwa nayo hakika mtu, kwani kila mmoja ana upeo wa kiasi fulani tu cha elimu. [Yuwsuf 12: 76].

4 3 Hadiyth Namba 118 Kutokuomboleza Kwa Kupiga Mashavu, Kupasua Mifuko Na Kuomba Maombi Ya Kijahilia )) : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Abdullaah bin Mas uwd ( ) amesema: Mtume ( ) amesema: ((Si miongoni mwetu anayejipiga mashavu, akapasua mifuko na akaomba maombi ya kijahilia)). 20 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Makatazo ya kujipiga mashavu, kupasua mifuko au nguo, kuomboleza n.k. 2. Muislamu anapaswa aridhike na majaaliwa ya Mola wake Anapomkidhia msiba, na si kuchukiwa, kwani huenda ikampeleka kukufuru. Aamini Qadhwaa [Majaaliwa] na Qadar [Makadirio] Ya Allaah ( ) Yameshaandikwa katika Lawhum-Mahfuudhw [Ubao Uliohifadhiwa mbingu ya saba]. Anasema Allaah ( ): βî)!$yδr&u ö9 Ρ βr& È ö6s% ÏiΒ 5= tgå2 Îû ωî) öνä3å à Ρr& þ Îû Ÿωuρ ÇÚö F{$# Îû 7πt6ŠÅÁ Β ÏΒ z>$ ¹r&!$tΒ Ÿω ª!$#uρ öνà69s?#u!$yϑî/ (#θãmt ø s? Ÿωuρ öνä3s?$sù $tβ 4 n?tã (#öθy ù's? ŸξøŠs3Ïj9 Å o «!$# n?tã š Ï9 sœ A θã sù 5Α$tFøƒèΧ ä. =Ïtä ((Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwishaandikwa katika Kitabu [cha Allaah] kabla Hatujauumba. Kwa yakini hilo ni sahali kwa Allaah)). ((Ili msihuzunike sana juu ya kitu kilichokupoteeni [na kinachokupoteeni] wala msifurahi sana kwa Alichokupeni [na Anachokupeni]. Na Allaah Hampendi kila ajivunaye, ajifakharishae)). 21 20 Al-Bukhaariy na Muslim. 21 Al-Hadiyd (57: 22-23).

3. Kuomboleza kwa sauti na kujipiga au kuchana nguo kunamuadhibisha maiti kaburini [Hadiyth: ((Maiti anaadhibika kaburini mwake kwa anayoombolezewa)). 22 4. Anayeomboleza ataadhibiwa Siku ya Qiyaamah [Hadiyth: ((Mwombolezi asipotubia kabla ya kufa kwake, Siku ya Qiyaamah atavalishwa kanzu ya lami na deraya ya upele)). 23 5. Kuomboleza kwengine ni kunyoa kichwa kwa ajili ya msiba. Hii imekatazwa katika Hadiyth aliyopokea Abu Burdah ( ) iliyosimuliwa na Al-Bukhaariy na Muslim. 6. Muislamu afuate mafunzo ya Sunnah katika msiba. Kulia kunaruhusiwa bila ya kutoa sauti na kuomboleza. 22 Al-Bukhaariy na Muslim. 23 Muslim.

( Hadiyth Ya 119 Anayemwendea Mtazamaji Ramli Akamsadiki Hatokubaliwa Swalaah Siku Arubaini ( ) (( )) : Imepokelewa kutoka kwa Swafiyyah bint Abi Ubayd kutoka kwa baadhi ya wakeze Mtume ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Mwenye kumwendea mtazamiaji [mpiga ramli] akamwuliza jambo na akamsadiki, hatokubaliwa Swalaah yake siku arubaini)). 24 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Haramisho la kuwaendea watabiri na makuhani na kusadiki wayasemayo na kwamba Swalaah haitokubaliwa siku arubaini. 2. Kuna hatari kubwa ya kumsikiliza mtabiri au kuhani na kumwamini, kwani kutamkosesha Muislamu thawabu za amali njema kama Swalaah, kwani hiyo ni aina ya shirki kwa vile anaingilia elimu ya ghayb ya Allaah ( ) na hivyo hukutoka mtu nje ya Uislamu [Hadiyth: ((Mwenye kumuingia mwenye hedhi, au mwanamke kwa nyuma, au kumwendea mchawi na kumuamini kwa anayosema, basi amekufuru aliyoteremshiwa Muhammad)). 25 3. Umuhimu wa kujifunza mas-alah ya hatari kama haya ambayo humtoa mtu katika Uislamu. Ni kwa kuwa, masuala haya ni dhambi Asizozisamehe Allaah ( ). [An-Nisaa 4: 48, 116], na kwamba anayemshirikisha Allaah ( ) ataharamishwa na Pepo, bali pia makazi yake yatakuwa ni ya motoni! ô ÏΒ š ÏϑÎ= à=ï9 $tβuρ â $ Ψ9$# çµ1uρù'tβuρ sπ Ψyfø9$# ϵø n=tã ª!$# tπ ym ô s)sù «!$Î/ õ8î ô³ç tβ çµ ΡÎ) 9 $ ÁΡr& 24 Muslim. 25 Abu Daawuwd, At-Tirmidhiy, Ibn Maajah na isnaad yake ni Swahiyh.

((Kwani anayemshirikisha Allaah, hakika Allaah Atamharamishia Pepo, na makazi yake yatakuwa ni motoni. Na madhalimu hawatokuwa na wasaidizi [kuwasaidia Siku ya Qiyaamah])). 26 Pia [Rejea Hadiyth namba 108, 136]. 4. Wayasemayo watabiri yanayotokea kweli ni kwa kuwa wamepatiwa habari kutoka kwa majini wanaotega sikio, kisha kuyahamisha kwa wengine. [Al-Jinn 72: 6-10]. 5. Ieleweke kuwa mbali na kutokubaliwa Swalaah siku arubaini, Muislamu aliyefanya kosa hilo ni lazima aswali. Kutoswali kwake ni dhambi nyingine kubwa. 26 Al-Maaidah (5: 72).

Hadiyth Ya 120 Malaika Hawaingii Nyumba Yenye Mbwa Au Picha Za Viumbe (( )) : ( ) Imepokelewa kutoka kwa Abu Twalhah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Malaika hawaingii nyumba ambayo yumo mbwa au picha [za viumbe vyenye roho])). 27 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Muislamu atahadhari kufuga mbwa bila ya sababu ya kufuga na kuweka picha, kwani kufanya hivyo anajikosesha kheri na baraka katika nyumba yake kwa kuwa Malaika hawatoingia. 2. Waislamu watahadhari kuzuia Malaika kutokuingia majumbani mwao kwa kuweka picha zenye viumbe, [Hadiyth: Imepokelewa kutoka kwa 'Aaishah ( الله عنھا (رضي amesema: "Nilifungua pazia la chumba cha hazina ambalo lilikuwa na picha (katika maelezo mengine: ambalo (صلى الله عليه وآله وسلم ( Mtume lilikuwa lina picha za farasi wenye mbawa). alipoliona, alilichanilia mbali na uso wake ukabadilika kuwa mwekundu kisha akasema: ((Ee 'Aaishah, watu watakaopewa adhabu kali kabisa mbele ya Allaah siku ya Qiyaamah ni wale wanaoigiza maumbile ya Allaah)). [katika usemi mwingine] ((Hakika wanaochora picha hizi wataadhibiwa na wataambiwa: Tieni uhai vile mlivyoviumba!)). Mtume الله عليه وآله وسلم) (صلى akaendelea kusema: ((Hakika Malaika hawaingii nyumba ambayo ina picha)). Aaishah akasema: Tukalikata pazia na tukalitumia kufanyia mto au mito miwili. Nimemuona akiegemea mto mmojawapo uliokuwa na picha. 3. Malaika waliokusudiwa ni Malaika wa Rahma, kwani Malaika wengine kama wanaoandika matendo ya binaadamu hao hakuna budi waweko kwa ajili ya kazi yao. Nao ni Malaika waliopewa sifa ya: raqiyb mchungaji, shahidi na: atiyd asiyekukosa kuweko, yu tayari kuandika, kama Anavyosema Allaah ( ): 27 Al-Bukhaariy na Muslim.

Ï ƒí uθø9$# È ö7ym ô ÏΒ Ïµø s9î) Ü>t ø%r& ß øtwυuρ ( çµý ø tρ ϵÎ/ â Èθó uθè? $tβ ÞΟn= ètρuρ z ΣM}$# $uζø)n=yz ô s)s9uρ ë= Ï%u ϵ ƒy s9 ωî) @Αöθs% ÏΒ àáï ù=tƒ $ Β Ó Ïès% ÉΑ$uΚÏe±9$# Ç tãuρ È Ïϑu ø9$# Ç tã Èβ$u Ée)n=tGßϑø9$# +n=tgtƒ øœî) Ó ŠÏGtã ((Na bila shaka Tumemuumba binaadamu Nasi Tunajua yanayopita katika nafsi yake. Nasi Tukaribu naye zaidi kuliko mshipa wa shingo [yake])) ((Wanapopokea wapokeaji wawili; [Malaika] anayekaa kuliani na [anayekaa] kushotoni)) ((Hatamki kauli yoyote isipokuwa karibu naye yuko raqiyb [mchungaji], atiyd [yu tayari kuandika])). 28 4. Picha zilokusudiwa ni za viumbe wa aina yoyote. Pia chochote kilichochongwa na kutiwa roho kama vinyago vya watu, wanyama n.k. 5. Mbwa ni najisi, na kumfuga katika nyumba huwa ni kujikalifisha Muislamu na twahara yake na mas-alah ya usafi kwa ujumla kama harufu mbaya n.k. 6. Ni makosa katika jamii kwa wanaotundika picha zao ukumbini mwao wakiwa hawakuvaa mavazi ya Hijaab. Mahali hapo huingia watu wasio mahaarim wa wanawake wa nyumba hiyo. 7. Shari ah imekuja kuziba njia zote za kumpeleka mtu katika shirki ambayo ni dhambi kubwa. Hivyo, shari ah ikakataza kutundikwa picha nyumbani. 8. Shari ah imekuja kuondosha uzito na ugumu wa aina yoyote ile. Na kuweka mbwa ni njia moja inayompatia uzito mfugaji kwa kuiweka nyumba na yeye mwenyewe katika hali ya usafi na utwahara. 28 Qaaf (50: 16-18).