IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA

Μέγεθος: px
Εμφάνιση ξεκινά από τη σελίδα:

Download "IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA"

Transcript

1 IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA اإلمام المهدي عليه السالم أمل الشعوب Kimeandikwa na: Sheikh Hasan Musa as-saffar Kimetarjumiwa na: Abdul-Karim Juma Nkusui Kimehaririwa na: Alhaji Hemedi Lubumba Kimepitiwa na Mubarak Ali Tila 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 1 11/28/2014 2:04:11 PM

2 ترجمة اإلمام المهدي عليه السالم أمل الشعوب تأ ليف الشيخ حسن بن موسى الصفار من اللغة العربية الى اللغة السواحلية 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 2 11/28/2014 2:04:11 PM

3 Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: Kimeandikwa na: Sheikh Hasan Musa as-saffar Kimetarjumiwa na: Abdul-Karim Juma Nkusui Kimehaririwa na: Alhaji Hemedi Lubumba Kimepitiwa na: Mubarak Ali Tila Kimepangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation Toleo la kwanza: Machi, 2015 Nakala: 2000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P , Dar es Salaam, Tanzania Simu: / Barua Pepe: alitrah@yahoo.com Tovuti: Katika mtandao: 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 3 11/28/2014 2:04:11 PM

4 Yaliyomo Neno la Mchapishaji... 1 Tumaini la wananchi... 4 Kurasa za historia ya zamani... 6 Nukuu za historia ya leo... 9 Hali ilivyo sasa Na vipi kuhusu mustakabali wa uanadamu Tutawezaje kujinasua Uislamu ni ujumbe wa matumaini? Mustakabali wa uanadamu katika Qur an Na kwa namna gani matumaini yatatimia? Mazingatio ya umma Mifano ya Hadithi Dondoo kutoka kwa kiongozi anayesubiriwa Na matumaini yakachomoza Ahlulbait upinzani wenye uvumilivu Imamu Hasan al-askariy: Kiongozi mwenye hekima Bishara ya alfajiri Na nuru ikachomoza Umri wake hivi sasa ni miaka 1143 (yaani 1180) Hadi lini? Katika kusubiria iv 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 4 11/28/2014 2:04:11 PM

5 NENO LA MCHAPISHAJI Kitabu ulichonacho mikononi mwako kimetarjumiwa kutoka kitabu cha Kiarabu kwa jina la, al-imamu l-mahdi Alaysi s-salaam Amalu sh-shu uub, kilichoandikwa na Sheikh Hasan Musa as- Saffar. Sisi tumekiita, Imam Mahdi (a.s.) ni Tumaini la Mataifa. Mojawapo kati ya kanuni za imani (itikadi) ambazo Qur ani Tukufu hudai na kuthibitisha ni kanuni ya imani katika Imam Mahdi (a.s.) na sifa zake. Qur ani Tukufu inasema: Hatukupuuza Kitabuni kitu chochote (6:38). Katika aya nyingine, Kitabu cha Allah kinasema: na tumekuteremshia Kitabu hiki kubainisha kila kitu (16:89). Ili kuelezea msimamo wa Qur ani kuhusiana na imani ya Umahdia (mahdawiyyah), hadithi nyingi zimesherehesha aya hizi kupitia minyororo ya wasimulizi wa Shia na halikadhalika wa Sunni. Hadithi hizi husema kwa uwazi kwamba aya hizi huelezea kuhusu Imam Mahdi (a.s.). Kitabu ambacho kimekusanya kwa ubora aya za Qur ani ambazo huzungumzia kuhusu Imam Mahdi (a.s.) katika mwanga wa hadithi na riwaya za Kisunni kinaitwa, al-mahdi Fi l-qur an kilichoandikwa na mwanachuoni mwenye kuheshimiwa, Sayyid Sadiq Shirazi katika mwaka wa Qur ani ina vipengele mbalimbali vya kudhihiri tena, Ughaibu na pia sifa za Mtukufu Mahdi (a.s). Vyote hivi vikiwa vinakubaliwa na wote, wanavyuoni wa Kishia na halikadhalika wanavyuoni wa Kisunni ambao ni wenye mamlaka zaidi na wa kuaminika. Aya za Qur ani kuhusu kujitokeza tena na mapinduzi ya Imam Mahdi (a.s.) - imani ya kawaida kwa Ahli Sunna pia - hutaja sifa nne na malengo ya utawala wa ulimwengu wa Imam Mahdi (a.s.): 1 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 1 11/28/2014 2:04:11 PM

6 Kusimamisha utawala ya ulimwengu mzima. Madaraka kamili kwa dini ya Uislamu. Mazingira ya usalama kamili na amani. Uangamizaji wa ushirikina (shirk). Imam Mahdi ambaye katika utamaduni wa Kiswahili hujulikana pia kwa jina la Muhudi atajidhihirisha tena kutoka Ughaibu na kusimama wakati wa kipindi cha mwisho na utaujaza ulimwengu kwa uadilifu na usawa kama ambavyo utakuwa umejaa dhulma na ukandamizaji. (Kifayatu l-athar, uk. 12). Atasafisha uso wa ardhi kutokana na aina zote za dhulma na udikteta na kuitakasa kutokana na aina zote za maovu. Hii ni moja kati ya kazi kubwa zinazofanywa na Taasisi ya Al- Itrah katika kuwahudumia kielimu wasomaji wake wazungumzaji wa Kiswahili. Na kwa maana hiyohiyo, imeona ikichapishe kitabu hiki chenye hazina kubwa kwa lugha ya Kiswahili kwa lengo lake lilelile la kuwahudumia Waislamu, hususan wanaozungumza Kiswahili. Hivyo, ni matumaini yetu kwamba wasomaji wetu watanufaika vya kutosha kutokana na kitabu hiki, kwani tumekiona ni chenye manufaa sana hususan wakati huu wa maendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote ambapo uwongo, ngano za kale na upotoshaji wa historia ni vitu ambavyo havina nafasi tena katika akili za watu. Tunamshukuru mwandishi wa kitabu hiki, Sheikh Hasan Musa as-saffar kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa ajili ya Umma huu wa Waislamu, Allah Azza wa Jallah amlipe kila kheri na amuingize Peponi kwa salama na amani insha Allah. Halikadhalika tunamshukuru Ustadh Abdul-Karim Juma Nkusui kwa kukitarjumi kwa Kiswahili kitabu hiki, insha Allah na yeye Allah Mwenye 2 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 2 11/28/2014 2:04:11 PM

7 kujazi amlipe kila kheri hapa duniani na Akhera pia, bila kuwasahau na wale wote waliochangia kwa namna mmoja au nyingine mpaka kufanikisha kuchapishwa kwa kitabu hiki. Allah awalipe wote malipo mema hapa duniani na kesho Akhera pia. Mchapishaji Al-itrah Foundation. 3 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 3 11/28/2014 2:04:11 PM

8 بسم اهلل الرحمن الرحيم TUMAINI LA MATAIFA Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu. ر ض و ن ر يد أ ن ن م ن ع ل ى ال ذ ين اس ت ض ع ف وا ف ي ال و ن ج ع ل ه م أ ئ م ة و ن ج ع ل ه م ال و ار ث ين Na tunataka kuwafadhilisha wale ambao wamedhoofishwa katika ardhi na kuwafanya viongozi na kuwafanya warithi. (Suratul- Qaswasi: 5) Hakika ni kwa Mwenyezi Mungu machungu ya huyu mwanadamu, ni mateso mangapi ameyapata katika historia kupitia vita, ukandamizaji, matatizo na magumu? Mwanadamu huyu ambaye Mwenyezi Mungu amemuumba ili awe khalifa wake katika ardhi yake. ( Zπx Î=yz ÇÚö F{$# Îû Ïã%ỳ ÎoΤÎ) Ïπs3Í n=yϑù=ï9 š /u tα$s% øœî)uρ Na aliposema Mola wako kuwaambia Malaika hakika mimi nitajaalia khalifa katika ardhi (Suratul- Baqarah: 30). Yeye ndiye ambaye amewafanya kuwa makhalifa katika ardhi. 1 1 Suratul- An am: _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 4 11/28/2014 2:04:11 PM

9 ( ( 4 ( 3 IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA Mwanadamu ambaye Mwenyezi Mungu amempa uongozi katika ulimwengu huu, na akamdhalilishia mifumo yote kwa ajili ya maslahi yake na furaha yake. ÏμÎ/ ylt zr'sù [!$tβ Ï!$yϑ 9$# š ÏΒ tαt Ρr&uρ uúö F{$#uρ ÏN uθ yϑ 9$# t,n=y{ Ï%!$# ª!$# ÍνÌ øβr'î/ Ì óst7ø9$# Îû y Ì ôftgï9 š ù=à ø9$# ãνä3s9 t y uρ öνä3 9 $]%ø Í ÏN t yϑ V9$# z ÏΒ ãνä3s9 t y uρ È t7í!#yš t yϑs)ø9$#uρ } ôϑ ±9$# ãνä3s9 t y uρ t yγ ΡF{$# ãνä3s9 t y uρ Ÿω «!$# Myϑ èïρ (#ρ ãès? βî)uρ çνθßϑçgø9r'y $tβ Èe à2 ÏiΒ Νä39s?#u uρ u $pκ ]9$#uρ Ÿ ø 9$# Ö $ Ÿ2 Πθè=sàs9 z ΣM}$# χî)!$yδθýáøtéb Mwenyezi Mungu ndiye ambaye ameziumba mbingu na ardhi na akateremsha maji kutoka mbinguni. Na kwayo akatoa matunda kuwa riziki kwa ajili yenu. Na akafanya yawatumikie majahazi yanayopita baharini kwa amri Yake, na akaifanya mito iwatumikie. Na akalifanya liwatumikie Jua na Mwezi daima. Na akaufanya usiku na mchana uwatumikie. Na akawapa kila mlichomuomba. Na mkihisabu neema za Mwenyezi Mungu hamuwezi kuzidhibiti. Hakika mtu ni dhalimu mkubwa mwingi wa kukufuru. (Sura Ibrahim: 32 34). Mwanadamu ambaye Mwenyezi Mungu amemnyanyua daraja za juu za utukufu na ukarimu. ÏM t7íhš Ü9$# š ÏiΒ Νßγ oψø%y u uρ Ì óst7ø9$#uρ Îh y9ø9$# Îû öνßγ oψù=uηxquρ tπyš#u û Í_t/ $oψøβ x. ô s)s9uρ * WξŠÅÒø s? $oψø)n=yz ô ϑïiβ 9 ÏVŸ2 4 n?tã óοßγ uζù= Òsùuρ Hakika tumewatukuza wanaadamu na tumewabeba nchi kavu na baharini na tumewaruzuku vitu vizuri na tumewafadhilisha kwa 5 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 5 11/28/2014 2:04:12 PM

10 fadhila kubwa kuliko wengi miongoni mwa tuliowaumba. (Suratul- Israi: 70). Mwanadamu huyu mtukufu mbele ya Mwenyezi Mungu, ni kiasi gani ameteseka kwa machungu na balaa katika historia yake ndefu? Kama ambavyo ameteseka kutokana na ukandamizaji, unyanyasaji, mfarakano, ubaguzi, kasumba za kibaguzi, matatizo ya kimakundi, dhulma na uovu? Na hakika sisi kama tutafungua kurasa zote za historia ya mwanadamu huyu tangu siku nyayo zake zilipokanyaga ardhini hadi leo hii, hatutakuta katika historia hiyo ndefu hata ukurasa mmoja unaotulingania kwenye matumaini, kwamba mwanadamu huyu kuna siku aliyopata raha na furaha. Kurasa za historia ya binadamu zote zimejaa kila aina ya machungu, zimeandikwa kwa herufi za uovu ambazo zimeandikwa kwa kalamu ya dhulma, ukandamizaji na upotovu, isipokuwa baadhi ya mistari michache ambayo herufi zake zinatofautiana kwa raha na furaha ambazo zimeletwa na ujumbe wa mbinguni katika muda mchache katika vipindi mbalimbali ambavyo si chochote katika historia ya machungu. Kurasa za historia ya zamani: Tunaposoma kurasa za historia ya zamani zinatuonyesha faslu zake kwa mandhari ya machungu, mabaya na uovu, katika moja ya kurasa za historia ya zamani tunakuta mandhari yafuatayo: Kundi kubwa la watu limechoka kwa maisha ya utumwa na ukandamizaji na limeanza kuangalia upya imani yao na itikadi yao kuhusu ulimwengu na maisha, na limefika katika imani sahihi, nayo ni kuamini kuwepo kwa Mwenyezi Mungu na kuukana utawala ambao umeitangaza nafsi yake kuwa ni Mungu huku mtawala mwenye kutawala wakati huo akiwakandamiza watu kama atakavyo. 6 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 6 11/28/2014 2:04:12 PM

11 Basi ni nini ilikuwa hatima ya kundi hili la binadamu? Utawala uliuchimbia ubinadamu handaki kubwa na kuwakusanyia humo kuni nyingi na ukawasha moto na ukawaswaga watu wa kundi hilo la waumini katika udhalili wa handaki lenye kuwaka moto ili miili yao iungue na iwe majivu katika moto! Hawakuwa na dhambi yoyote isipokuwa ni kwa kuwa kundi hili linaamini itikadi ya pekee nayo ni kumwamini Mwenyezi Mungu! Ni mandhari ya machungu kiasi gani na mabaya haya, ambapo nafsi za watu wema wasio na hatia zinadondoka katika moto wenye kuwaka, na watu waovu wanaangalia kwa furaha na kwa kuburudika! Hata mbingu ilikasirika kwa maovu haya mabaya na ikayaandika katika Qur ani yake tukufu kwa namna iliyojaa mshangao na kustaajabu. Anasema Mwenyezi Mungu (swt): Ÿ ÏFè% 7Šθåκô tβuρ 7 Ïδ$x uρ ÏŠθãöθpRùQ$# ÏΘöθu ø9$#uρ Ælρç ã9ø9$# ÏN#sŒ Ï!$uΚ 9$#uρ öνèδuρ Šθã è% $pκö n=tæ ö/ãφ øœî) ÏŠθè%uθø9$# ÏN#sŒ Í $ Ζ9$# ÏŠρß {W{$# Ü= ptõ¾r& «!$Î/ (#θãζïβ σムβr& HωÎ) öνåκ ]ÏΒ (#θßϑs)tρ $tβuρ Šθåκà t ÏΖÏΒ σßϑø9$î/ tβθè=yèø tƒ $tβ 4 n?tã Ï Ïϑptø:$# Í ƒí yèø9$# Naapa kwa mbingu yenye Buruji! Na kwa siku iliyoahidiwa! Na kwa shahidi na chenye kushuhudiliwa! Wemelaaniwa watu wa mahandaki. Yenye moto wenye kuni nyingi. Walipokuwa wamekaa hapo. Na wao ni mashahidi wa yale waliyoyafanya waumini. Na hapana lililowachukiza kwao ila ni kwamba walimwamini Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu Mwenye kusifiwa. (Suratul- Buruji: 1-8). Na tunasoma katika kurasa nyingine katika historia ya zamani: Kwamba mfalme muovu anayeitwa Firaun aliota ndoto katika 7 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 7 11/28/2014 2:04:12 PM

12 usiku mmoja, ndoto hiyo ikamkera na hivyo akawauliza makuhani na wachawi juu ya tafsri ya ndoto ile yenye kuudhi ambayo imemnyima mfalme usingizi na raha. Wakamfasiria ndoto ile kwa ujio wa kijana kutoka katika kundi dhaifu la wananchi (Bani Israil), na kwamba ujio wa kijana huyo ndio hitimisho la ufalme na ubabe wake. Je, mnajua muovu alilifanya nini hilo kundi lenye kudhoofishwa kwa ajili ya kulinda kubakia kwa ufalme wake na kuendelea kwa utawala wake? Alidhamiria kuuwa watoto wote wa kiume wa Ban Israil, akawauwa hali ya kuwa wenye kusubiri kisha akakusanya wanawake wajawazito na akawaweka chini ya ulinzi na akatoa amri kali inayosema kwamba kila mwanamke anayejifungua mtoto wa kiume basi haijuzu kupewa haki ya kuishi zaidi ya sekunde ambayo inatosha kumchinja na kutekeleza amri ya mfalme muovu, watoto wasio na hatia wakauliwa kwa ajili ya kuhifadhi utawala na taji la Firaun mfalme muovu! Na hivi ndivyo yanavyotokea mandhari ya dhulma, machungu na adhabu ambayo aliishi nayo mwanadamu ndani ya historia kila tunapopekua katika kurasa zake na kugeuza karatasi zake, katika moja ya karatasi tunasoma mateso na machungu yafutayo: Utawala wa Ban Ummayya ulimtawalisha al-hajaj bin Yusufu kuwa mtawala wa Iraki kwa muda wa miaka ishirini, na alipokufa mwaka wa 95 Hijiria mwanahistoria al-masuudiy katika kitabu chake Murujudhahabi anasema kwamba: Walihesabiwa aliowauwa hali ya kuwa wanavumilia ukiachilia mbali wale aliowauwa katika kambi yake na vita vyake, wakakutwa ni laki na ishirini elfu (120,000), na katika jela yake wakakutwa wanaume elfu hamsini na wanawake elfu thelathini miongoni mwao elfu kumi na sita wako uchi bila ya nguo. 8 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 8 11/28/2014 2:04:12 PM

13 Na alikuwa anawaweka wanaume na wanawake katika sehemu moja ndani ya gereza, na jela haikuwa na paa linalowasitiri watu na jua wakati wa kiangazi wala mvua na baridi wakati wa masika!! Siku moja alipanda kipando chake kwenda kuswali swala ya Ijumaa akasikia kelele akasema: Ni kelele ya nini hii? Akaambiwa: Ni wafungwa wanapiga kelele wakilalamikia hali waliyonayo miongoni mwa adhabu. Akageukia upande wao na akasema: Nyamazeni kimyaa wala msinisemeshe. 2 Nukuu ya historia ya leo: Haya ni katika kurasa za historia ya zamani, vipi kuhusu nukuu ya historia ya sasa hivi? Je, inatusimulia habari zinazotufurahisha kwa mwanadamu kuvuka kipindi cha mateso na machungu? Au kwa uchache je, inatubashiria kupungua kwa kiwango cha adhabu na joto la uovu? Au vipi? Hakika historia inatusimulia kwa masikitiko makubwa juu ya mateso ya mwanadamu katika mwanzo wa historia ya kileo! Yamerundikana mawingu ya uovu na yamezidi makali na uchungu na yamefululiza juu yake mapanga ya adhabu. Zama hizi zimeshuhudia maendeleo makubwa na mabadiliko yenye kuonekana katika zana za maangamizi na mbinu za kuadhibu na silaha mbaya. Na muhanga wa kwanza wa maendeleo hayo alikuwa ni huyu mwanadamu mwenye kutahiniwa. Nawaletea baadhi ya maandiko ya historia ya uovu wa historia ya kileo ambao umeishi nao ubinadamu wenye kuadhibiwa: Ilianza vita kuu ya kwanza ya dunia na ikamalizika kwa mauaji mabaya baada ya idadi ya watu waliouliwa humo kufikia milioni 2 Murujudhahab cha al- Masuudiy. 9 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 9 11/28/2014 2:04:12 PM

14 22, ama waliojeruhiwa hawana idadi. Na baada ya miaka michache uliwaka moto wa vita kuu ya pili ya dunia ambayo iliteketeza zaidi ya watu milioni sabini. Ama kuhusu madhara ya maangamizi hayo bado mwanadamu angali anateseka kutokana na vita hivyo hadi sasa hivi, na hata baada ya kupita zaidi ya miaka 30 serikali inayohusika na mji wa Heroshima wa Japan ilitoa ripoti ya sensa isemayo: Hakika watu 19,000 bado wangali wanasajiliwa kwamba wao ni wenye kudhurika kutokana na bomu ambalo lilirushwa juu ya mji katika mwezi kama huu, mwaka wa Na sababu ya hilo inarejea kwenye mvua nyeusi ambayo ilinyesha katika mji huo baada ya muda wa dakika 45 tu tangu kurushwa kwa bomu hilo, nayo ni mvua iliyosheheni mionzi ya nyuklia, isipokuwa hawa hawahesabiwi rasmi kati ya waliodhurika kwa sababu wao walikuwa wanaishi pembezoni mwa Heroshima wakati wa kurushwa bomu hilo. Na maradhi ambayo wanaugua watu hawa tangu miaka 29 ni udhoofu wa mwili kwa ujumla, kuhisi kizunguzungu na kutapika mara kwa mara. 3 Na idadi ya walioteketezwa na Uingereza kwa ajili ya kuitawala China imefikia zaidi ya watu 20,000,000, na Ufaransa ilikuwa inaitawala nchi ya Algeria kinyume na matakwa ya wananchi wake ambao walipambana na ukoloni kwa ushupavu, na Ufaransa haikukubali wito wa uhuru kutoka kwa wananchi wa Algeria, isipokuwa baada ya kuuliwa miongoni mwa wananchi hao wenye kukandamizwa watu wanaokaribia milioni mbili kwa sura mbaya na ya kinyama. Na ndani ya vita vya Algeria watawala wa Ufaransa walimtaka kiongozi wa jeshi kuugeuza msikiti mzuri kabisa wa Algeria kuwa kanisa, basi uchaguzi wao ukaangukia msikiti wa al-aurliy al Qasharah na ndipo kundi la mafundi wa silaha la kifaransa likausogelea msikiti 3 Al-Hawaadithi, Toleo la 926, Uk _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 10 11/28/2014 2:04:12 PM

15 na ulikuwa ni wakati wa Swala ya Maghribi, na msikiti ulikuwa umejaa watu wenye kuswali ambao idadi yao inakadiriwa kuwa ni watu 1400, wakaingia kwao na wakaanza kuwauwa miongoni mwao hadi usiku wa manane ambapo waliwauwa wote. 4 Na ilitokea vita kali kati ya Vietnam ya Kaskazini na ya Kusini na ikaendelea kwa muda wa miaka mitatu kisha matokeo yake yalikuwa ni machungu ambayo aliyabeba mwanadamu kutokana na vita ya kikoloni na matokeo yake yakawa ni kama ifuatavyo: Zaidi ya watu 3,200,000 waliuliwa baina ya raia na askari, na watu 7,453,000 baina ya raia na askari walijeruhiwa, na watu 400,000 baina ya raia na askari walipatwa na ulemavu. Kama ambavyo ndege za Kiamerika kuanzia mwaka 1961 hadi mwaka 1972 zilitupa tani 6,720,000 za mabomu katika ardhi ya Vietnam. Na ndege moja ya Kiamerika ilimwaga lita 71,000,000 za madawa ya kikemia ya sumu juu ya ardhi ya Kusini mwa Vietnam ambayo ni sawa na ukubwa wa Ireland ya Kaskazini. 5 Hali ilivyo sasa: Na vipi kuhusu mwanadamu wa leo? Hakika hali ni mbaya na ni ya maangamizi, ni wananchi wangapi wanaishi katika ukoloni, uhamishoni na kunyimwa haki zao mbele ya macho na masikio ya ulimwengu? Huyu ni mwananchi wa Palestina mwenye kukandamizwa na dola kubwa zimeafikiana juu ya kupokonya ardhi yake na kumfukuza katika nchi yake na kuhalalisha nguvu ya Kizayuni iendelee kupora sehemu yake, ili wajenge dola yao wanayoiota na kuitarajia katika Palestina tukufu. 4 Naimal- Islaam cha Sayyid Haadiy al- Mudarisiy, Uk An-Nahar _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 11 11/28/2014 2:04:12 PM

16 Na hivi ndivyo Mayahudi wageni wanavyoiteka Palestina na kuigeuza ghala ya silaha wakati ambapo wananchi wa Palestina wanaishi uhamishoni mbali na ardhi yao pamoja na mwananchi huyu kung ang ania na kuendelea na mapambano yake kwa ajili ya Kuirejesha ardhi yake iliyopokonywa. Tangu mwaka 1948 hadi sasa bado mwananchi huyu anatoa muhanga na mashahidi na sadaka ndani ya Palestina na nje, pamoja na kwamba matakwa ya ukoloni bado yangali yanalazimisha juu yake maisha ya ukimbizi na adhabu, hakika ni kosa la zama ambalo halisameheki. Lakini kadhia ya Palestina sio kosa pekee ambalo linashuhudia uovu wa mwanadamu wa zama hii na mateso yake, kuna makosa mengine yasiyopungua kiwango cha uovu, huyu hapa ni mwananchi wa Eritrea bado angali anateseka na na ukoloni na ukandamizaji wa Ethiopia dhalimu (hii ilikuwa ni kabla ya uhuru wake) na ambaye anajua sana fani ya kuchinja na mauaji ya makundi kwa wakazi wasio na hatia. Na mji wa Harikik uliopo umbali wa kilometa 12 Kusini mwa bandari ya Maswirai umeshuhudia mauaji mabaya tarehe 10 April 1975 humo wamefariki watu 500 wengi wao ni wazee na wanawake na watoto! Ambapo jeshi la Ethiopia lilishambulia mji alfajiri na kuanza kuuwa makundi ya watu kisha likaacha maiti kwa muda wa wiki nzima bila ya kuzikwa pamoja kwa kuweka doria ya jeshi dhalimu. 6 Na Rhodesia Kusini mwa Afrika bado serikali ya ubaguzi inapora haki za binadamu huko (hii ilikuwa ni kabla ya uhuru wa Afrika Kusini) na kupokonya utu wake. Haya na Mwenyezi Mungu anajua idadi ya waliofungwa na mateka katika jela za nchi hii. Magazeti ya Marekani yanasema: Hakika jela zimejaa Watrilai ambao idadi yao inafikia watu 7 35,000. Na kabla ya siku chache 6 Siyasatu al- Kuwaitiyah la 25 /4/ Al-Qabas al-kuwaitiyah 24 /8/ _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 12 11/28/2014 2:04:12 PM

17 moja ya dola ambayo idadi ya wakazi wake haizidi 7,000,000 ilisherehekea katika moja ya sikukuu zake na ikataja kwamba imetoa msamaha kwa kuwaacha huru wafungwa 700,000 katika mnasaba huo. Je unadhani jela za nchi hiyo ndogo zinawafungwa wangapi? Kisha je, unajua hali wanayoishi wafungwa na mahabusu, hakika ni hali mbaya ngumu yenye machungu mno katika jela nyingi za ulimwengu. Pamoja na kupatikana maendeleo ya kielimu na kiviwanda yamepatikana pia maendeleo na mabadiliko mabaya katika mbinu za kumwadhibu mwanadamu na kukandamiza utu wake na kukata mishipa yake. Kutoka kwenye kuchapa fimbo hadi kutoka damu na kuzimia kwenda kwenye kuadhibu kwa kuning inizwa. Kutoka kwenye kufungwa kama vile mbuzi kwa mikono yake na miguu yake kisha kumiminiwa fimbo na bakora hadi kuchanika mwili mzima na kububujika damu kwenda kwenye kulazimishwa kunywa maji ya chumvi na maji machafu na majitaka! Kutoka kwenye mateso ya kukaa kwa nguvu juu ya chupa ya Coka cola ambapo inaingia katika tupu yake ya nyuma na kuchana sehemu zake kwenda kwenye kuadhibiwa kwa shoti ya umeme katika sehemu nyeti za mwili wa mwanadamu mwenye kuadhibiwa na zinafungwa sehemu zake za siri kwa nguvu na kuzijeruhi. 8 Kutoka kwenye aina dhaifu za adhabu hadi kwenye aina na mbinu nyingine mbaya za kijahanamu ambazo anateswa kwazo mwanadamu wa kileo katika jela za ulimwengu. 8 Rejea kitabu: al-uqubatu fiyl-islaami cha Ayatullahi Sayid Swaadiq Shiraziy _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 13 11/28/2014 2:04:12 PM

18 NA VIPI KUHUSU MUSTAKABALI WA UANADAMU? Kati ya mazuri mno yanayoburudisha nafsi ni kutarajia mustakabali mwema kwa uanadamu, na kuweka matumaini yetu juu ya kesho yenye kuchanua, kesho ambayo humo mwanadamu atachomozewa na kuangaziwa na jua la raha, amani na usalama. Isipokuwa ni kwamba habari za ushindani mkali juu ya uzalishaji wa silaha za maangamizi zenye kuhilikisha na habari za majaribio ya nyuklia yenye kutisha na urushaji wa mabomu ya nyuklia, Hydrojen na Naitrojen ya kisasa, habari hizi zinatingisha mwanga wa matarajio na matumaini yanayopandwa katika nafsi kuhusu mustakabali mwema na mzuri, na zinaporomosha kila chembe ya matumaini inayochomoza katika anga la dhamiri, na kumaliza chembe yoyote ya furaha inayomea katika ufukwe wa fikra. Ni matumaini yapi yanayokubaliwa na nafsi na kufurahiwa na dhamira ya mwanadamu katika kivuli cha habari za hofu ambazo tutanukuu baadhi yake hapa: Binadamu leo anamiliki mabomu ya nyuklia na haidrojen ambayo yanatosha kuteketeza ardhi yote mara kumi na mbili na nusu. 9 Na muungano wa Soviet mwaka 1974 ulikuwa unamiliki makombora 1520 yenye uwezo wa kuvuka toka bara moja kwenda bara jingine, na makombora 270 ya nyuklia maalum kwa ajili ya nyambizi, na makombora 700 ya masafa ya kati na makombora 200 ya masafa mafupi. Ama Amerika ilikuwa na makombora 1054 yenye uwezo wa kuvuka toka bara moja kwenda bara jingine, na makombora 544 maalum kwa ajili ya 9 Muhimatul-Anbiyai Fiy Asri al-fadhai cha Sayid Haadiy al-mudarsiy, Uk _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 14 11/28/2014 2:04:12 PM

19 nyambizi na makombora 1000 ya masafa ya kati na makombora 1000 ya masafa mafupi. 10 Na sijui haya maandalizi ya silaha za maangamizi ni kwa ajili ya nani, na dhidi ya nani makombora haya yataelekezwa, Je, si kwa ajili ya moyo wa maisha ya huyu mwanadamu mwenye kuadhibiwa na kwenye furaha yake na uwepo wake? Na chuo cha utafiti cha London kinasema katika utafiti kilichousambaza mwaka 1972: Hakika hazina ya nyuklia iliyohifadhiwa katika uso wa ardhi inafikia tani 15 za mada ya (T.N.T) kwa kila mtu mmoja, wakati ambapo hazina ya chakula haizidi nusu tani kwa kila mtu mmoja! Ripoti inaongeza kwamba: Ukubwa wa bajeti ya kijeshi katika ulimwengu ni sawa na pato la nchi za ulimwengu wa tatu na kwamba dola mbalimbali zinatoa baina ya asilimia 30 na 60 katika bajeti yake katika silaha. 11 Na baya zaidi na la kushangaza kuliko hayo yote ni huu uvumbuzi mpya: (Bomu la Naitrojen) na ambalo halilengi majengo marefu, viwanda na zana kwa ubaya wowote ule, lakini linateketeza wanadamu na vilivyo hai na kuwapokonya uhai kwa sekunde chache tu. Je, mmeona kiwango cha adhabu ya mwanadamu na mateso yake katika ulimwengu huu! Uwepo wake kwa hakika sio muhimu wala hauna thamani lakini cha muhimu zaidi ni usalama wa majengo marefu na viwanda! Na kuna silaha ya sumu ya kutisha ya kemikali ya baiolojia inayotengenezwa kutokana na sumu jina lake ni Ghlostridium Botulinus, ambayo inatia sumu kwenye chakula na ni yenye kuuwa, kiasi cha aunzi 8 yaani gramu 225 takriban zinatosha kuuwa wakazi wote wa Ulimwengu Ar Rusi al- Qadimuuna, Uk Al- Hawaadithi al- Lebnaniya 9/5/ Al- Asilahatu al- Kimiawiyatu wal-jurtuhummiya, Uk _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 15 11/28/2014 2:04:12 PM

20 Ama mada ya (L.S.D) inatosha kuweka kilogram moja katika tenki la maji ili kuteketeza wakazi wa mji mzima kwa kuathiri miili pamoja na akili. Na Dr. Jaroud Tylor wa Uingereza anasema: Jenerali wa Kimarekani aliusia kutumiwa (L.S.D) katika vita kwa sababu inaathiri katika azma na matakwa ya upinzani wakati anapofanya uadui, kwa madai yaani Jenerali wa Kimarekanikwamba silaha hii ni kwa ajili ya binadamu! Haisababishi umwagaji damu!!!. Na baadhi ya rejea zinasema: Hakika Marekani inamiliki hazina ya gesi ya mishipa yenye kuuwa inayotosha kuuwa wakazi wote ulimwenguni. Hata kama idadi yao ni nyingi zaidi kuliko ilivyo hivi sasa mara thelathini. Na kwamba Urusi inamiliki uwezo unaozidi ulimwengu wa kimagharibi mara saba au nane katika nyanja za silaha za kikemia na sumu. 13 Naapa kwa Mwenyezi Mungu katika hali hii ya ubaya na habari zenye kutia uchungu namna gani inawezekana kumea matumaini na matarajio na kubakia katika nafsi raha na faraja? Tutawezaje kujinasua? Pamoja na angalizo lenye umuhimu mkubwa nalo ni: Hakika matumaini na matarajio hayawezi kupatikana katika pengo la dhana na fikra kama hayajaungwa mkono na visababishi vitakavyoiwezesha dhana fikra kuwa ni kitu kilichopo na kinachokubalika katika akili ya mwanadamu. Je, kuna dhana iliyokamilifu ya kutimiza ndoto njema ya binadamu ya kujenga maisha ya amani, utulivu na salama? Je inapatikana fikra kamilifu ambayo mwanadamu anaweza kuiamini kwamba utekelezaji wake utamtimizia aliyonyimwa na 13 Rejea iliyotangulia _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 16 11/28/2014 2:04:12 PM

21 miaka ya historia na zama zake miongoni mwa wema, utukufu na furaha? Na kwa maneno mengine: Nini mkakati wa mustakabali unaotarajiwa ambao mwanadamu anaweza kuweka juu yake matumaini ya kujinasua na kuokoka? Katika kipindi kilichopita mtazamo wa mwanadamu ulikuwa unaelekea upande wa taasisi za kimataifa ambazo zimejijenga katika wito wa kutetea mambo ya kibinadamu na kunyanyua nembo za haki za binadamu na amani ya mwanadamu na uhuru wake: Kama vile Umoja wa mataifa baraza la usalama la kimataifa au kundi lisilofungamana na upande wowote au jumuiya ya haki za binadamu ambayo ilivutia macho ya watu wenye kuteseka na wenye kukandamizwa kwa muda mrefu. Lakini je taasisi hizi zimeweza kuondoa machungu, vita, ukoloni na matatizo katika maisha ya binadamu? Je, kumebakia kwa mwanadamu kitu chocte katika matumaini au amefikia njiapanda na kukata tamaa? Inatosha kusema: Hakika mwanadamu amekuwa na uhakika na ametosheka kwamba taasisi hizi hazitofaulu katika kuleta furaha, amani na utulivu kwa wananchi wa ulimwengu. Na dhana yake imeshakatika na amepoteza matumaini yake kabisa humo. Hivyo nini mkakati unaotarajiwa wa kurekebisha ulimwengu na kumuokoa mwanadamu? Vinginevyo je, imeandikwa juu ya mwanadamu kuishi maisha ya machungu kuanzia siku ya kwanza aliyokanyaga ardhi ya sayari hii hadi atakapoondoka, kitakaposimama Kiyama? Je, mwanadamu hatoneemeka kwa muda wa furaha na raha katika mgongo wa dunia hii? 17 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 17 11/28/2014 2:04:12 PM

22 Uislamu ni ujumbe wa matumaini? Hakika sisi tunatoa changamoto kwa mwanadamu yeyote wa kileo atangaze matarajio yake na matumaini yake katika mustakabali wa ubinadamu kwa kutukinaisha kwa mkakati unaowezekana na fikra inayotarajiwa ya kurekebisha ulimwengu na mabadiliko ya jumla. Chanzo pekee cha kupata tumaini na matarajio ni Uislamu tu, na ambao unatia mkazo katika maandiko yake na mafunzo yake dharura ya kuchomoza alfajiri ya furaha katika historia ya ubinadamu na unasisitiza juu ya hatima ya kunusurika ya kuenea hali ya uadilifu, amani na utulivu, na kutokomea hali ya vita ya dhulma na uovu na uchungu ambao unajitokeza katika maisha ya mwanadamu katika historia. Na ni Uislamu pekee ndio unaobeba kwa mwanadamu ujumbe wa matumaini na fikra ya matarajio ya kumuokoa mwanadamu kutokana na hofu ya kukata tamaa yenye kuuwa inayoungwa mkono na mkakati wa urekebishaji wa jumla na kuleta dhana ya mabadiliko kamilifu. Mustakabali wa uanadamu katika Qur an: Sehemu kubwa ya aya nyingi za Qur an tukufu zinatia mkazo ukweli huu, na kubashiri kwamba ni lazima wakati mzuri utatawala ulimwengu na wanadamu wataneemeka kwa amani, raha, utulivu, uhuru na mahitaji yote ya maisha mema. Qur an tukufu inasema: y ÏŠ$t6Ïã $yγèoì tƒ uúö F{$# χr& Ì ø.ïe%!$# Ï èt/. ÏΒ Í θç/ 9$# Îû $oψö;tfÿ2 ô s)s9uρ šχθßsî= Á9$# 18 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 18 11/28/2014 2:04:13 PM

23 Natumeshaandika katika Zaburi baada ya utajo kwamba ardhi watairithi waja wangu wema. (Suratul- Anbiyai: 105). Uislamu si kingine isipokuwa ni mwendelezo wa ujumbe wa mbinguni uliotangulia na ambao wote unambashiria mwanadamu mustakabali mwema, hivyo ni lazima utawala wa ardhi na uongozi wa ulimwengu utakuwa ni wa kundi la waumini wema, na utawala utakapokuwa mikononi mwa kundi la waumini wema basi hiyo ndio fursa njema na wakati wa furaha. Na anasema (swt): ß yγô F{$# ãπθà)tƒ tπöθtƒuρ $u Ρ 9$# Íο4θuŠptø:$# Îû (#θãζtβ#u š Ï%!$#uρ $oψn=ß â ç ÝÇΖoΨs9 $ ΡÎ) Hakika tunawanusuru Mitume wetu na wale waliamini katika uhai wa duniani na siku watasimama mashahidi. (Sura al-ghafir: 51). Mitume ndio walinganiaji wa wema, uadilifu na uhuru, na wafuasi wao ambao wameweka nafsi zao nadhiri kwa ajili ya kutumikia malengo hayo matukufu. Hawa Mitume na wafuasi wa mitume ni kiasi gani wameteseka kwa adha na machungu na kukandamizwa! Hakika mateso ya Mitume na wafuasi wao ni makubwa zaidi kuliko mateso ya watu wengine, kwa sababu Mitume na wafuasi wao walikuwa wanaongoza kambi ya mapambano na jihadi kwa ajili ya furaha ya binadamu na utukufu wake, na kwa sababu hiyo mikuki ya dhulma na uovu ilielekezwa katika vifua vyao vitukufu, jambo lililoyafanya maisha ya Manabaii na wafuasi wao kuwa ni sehemu ya machungu na adhabu katika njia ya Mwenyezi Mungu. Lakini Mwenyezi Mungu mtukufu amewaahidi Mitume wote na waumini kuwapa fursa katika maisha ili wavune matunda ya jihadi yao na juhudi zao na ili waonje utamu wa nusra haraka hapa duniani kwa kuongezea na thawabu za Mwenyezi Mungu baadaye huko Akhera _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 19 11/28/2014 2:04:13 PM

24 Na anasema (swt): Ï&Íj#à2 Ç ƒïe$!$# n?tã çνt Îγôàã Ï9 Èd,ysø9$# È ÏŠuρ 3 y ßγø9$Î/ ã&s!θß u Ÿ y ö r& ü Ï%!$# uθèδ šχθä.î ô³ßϑø9$# oνì Ÿ2 öθs9uρ Yeye ndiye aliyemtuma Mtume Wake kwa uongofu na dini ya haki ili ipate kushinda dini zote, ijapokwa washirikina wamechukia. (Surat Tawbah: 33). Aya hii imejirudia mara tatu katika Qur an tukufu ili kutia mkazo ahadi ya Mwenyezi Mungu ya dini ya Kiislamu kutawala katika sehemu zote na kudhihiri kikamilifu na kutekelezwa baada ya kushindwa misingi yote na dini zingine zote. Na anasena (swt): Zπ ϑí r& öνßγn=yèøgwυuρ ÇÚö F{$# Îû (#θà ÏèôÒçGó $# š Ï%!$# n?tã ßϑ Ρ βr& ß ƒì çρuρ š ÏOÍ uθø9$# ãνßγn=yèôftρuρ Na tunataka kuwafadhili waliodhoofishwa katika ardhi na kuwafanya wawe ni viongozi na kuwafanya ni warithi. (Suratul- Qaswas: 5). Makundi yaliyokandamizwa na yaliyodhoofishwa yaliyonyimwa haki zao katika ardhi na ambayo kati ya muonekano wake ni Maimamu wa haki wa nyumba ya Muhammad (saww). Mwenyezi Mungu atawafadhilisha na atawapa fursa ili wawe ni Maimam wa ulimwengu na viongozi wake kivitendo na warithi uchumi na utajiri wa ulimwengu katika kivuli cha dola adilifu na ya imani _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 20 11/28/2014 2:04:13 PM

25 Hakika aya ziko wazi na zote zinatia mkazo wa mwishowe haki kushinda na kuchukua hatamu za ulimwengu hadi kwenye ufukwe wa amani na imani. Na hakuna shaka kwamba ahadi hii haijatimia katika wakati uliopita katika historia ya mwanadamu na hivi sasa pia haijatimia katika uhalisia wa mwanadamu, hivyo hakuna mbele yetu isipokuwa ima kushuku ukweli wa ahadi hizi- tujilinda kwa Mwenyezi Mungu - au kuamini kwamba zitatimia katika siku za mustakabali. Na ikiwa haiwezekani kushuku katika usahihi wa ahadi hizi na ukweli wake kwa sababu Mwenyezi Mungu ameahidi hatokhalifu ahadi yake 14 na hakika Mwenyezi Mungu havunji miadi, 15 hivyo basi ni lazima sisi kuwa na matumaini kwamba ahadi hizi zitakuwa kweli na uhalisia katika mustakabali hata kama muda utarefuka. Na kwa namna gani matumaini yatatimia? Lakini ni kwa namna gani tumaini hilo kubwa litatimia ambalo wanadamu wamelisubiria kwa muda mrefu na hususan kila wanapochapwa na viboko vya dhulma na kuchomwa na mikuki ya ujeuri na uovu? Lini ahadi itatimia? Na ni nini mkakati wa mwanadamu unaotarajiwa wa kurekebisha na kubadilisha? Na itakuwa chini ya nani? Haya maswali muhimu yanashughulisha akili ya mwanadamu tangu zamani, na kwa umuhimu wa maswali haya na unyeti wake katika maisha ya mwanadamu kwa kuambatana kwake na hatima ya mwanadamu kwa ujumla, suna tukufu imeshughulikia kupitia Hadithi za mtukufu Mtume Muhammad (saww) kwa kuweka majibu ya ufafanuzi kamili kutoka kwa Ahlulbait (as) kwa kujibu 14 Suratu Rum: Suratu Aal Imran: _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 21 11/28/2014 2:04:13 PM

26 maswali yote muhimu. Hadi hadithi zilizopokelewa juu ya kadhia hii zimefikia zaidi ya hadithi Na ni nadra kupatikana katika kadhia ya Kiislamu mfano wa idadi hii kubwa ya hadithi. Hadithi hizo zinasemaje? Hakika zinatia mkazo sana ahadi hiyo ya Qur an tukufu ya kujengwa jamii adilifu ya kiimani na maendeleo katika maisha haya na kuundwa dola ya haki ya kiulimwengu katika sehemu zote za ulimwengu. Na mkakati wa kurekebisha na wa mageuzi ni sharia ya Kiislamu tukufu, na wakati wake ni mwisho wa maisha haya na kabla ya kusimama Kiyama. Ama kiongozi wa mapinduzi haya ya kiulimwengu na kiongozi wa kazi ya uokozi na mageuzi makubwa ni mtu kutoka katika kizazi cha Mtume wa Uislamu Muhammad (saww) hakuna kitenganishi baina yake na baina ya Mtukufu Mtume isipokuwa baba kumi na wawili. Hivyo ni Imam Muhammad MAHDI bin Imam Hasan al- Askariy bin Imam Ali al-hadi bin Imam Muhammad al-jawad bin Imam Ali Ridhaa bin Imam Musa al-kadhim bin Imam Ja far as- Sadiq bin Imam Muhammad al-baqir bin Imam Ali as Sajad bin Imam Husain bin Ali as-shahidi bin Imam Ali bin Abi Talib Amirul- Muuminina (as) _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 22 11/28/2014 2:04:13 PM

27 MAZINGATIO YA UMMA Kutokana na umuhimu wa jambo hili na ukubwa wake, vizazi vya umma kati ya maulamaa na wapokezi wa hadithi tangu mtukufu Mtume alipofungua pazia la ufafanuzi wake hadi hivi sasa wameendea kulitambua na kulizingatia jambo hili kwa umuhimu wa kipekee. Makumi ya Masahaba wa Mtukufu Mtume Muhammad (saww) wamenukuu waliyoyasikia kutoka kwa Nabii kiongozi kuhusu kutokea kwa Imam al-mahadi na kuokoka ulimwengu chini ya mikono yake. Na mamia ya Tabiina wamepokea hadithi hizo kutoka kwa Masahaba watukufu na wakazinukuu kwa vizazi vya baada yao. Na Maimamu wote wa hadithi na wenye kujali na kuhifadhi sunna tukufu wamezipokea hadithi hizo na wamezithibitisha katika vitabu vyao. Na kundi kubwa kati ya Maulamaa wa umma wameandika utafiti maalum na vitabu vikubwa katika kuhakiki kadhia hii na kuithibitisha na kutaja ufafanuzi wake, yote hayo yanaonyesha umuhimu wa kadhia hii, na kuziba njia ya jaribio lolote linalotaka kupinga kadhia hii ya Kiislamu, lisije likaupokonya uanadamu tumaini lake tukufu na kulizungushia nguo nyeusi ya kukata tamaa yenye kuangamiza. Hadi Ustadhi Abu al-aalaa al-maududiy ameandika katika kitabu chake al Bayinaati: Hakika - riwaya za kuja kwa al-mahdi- zinabeba ukweli wa kimsingi nao ni nguvu ya ushirikiano uliyopo, nayo ni kwamba Nabii (saww) ametoa habari kwamba atadhihiri katika zama za mwisho kiongozi mtekelezaji wa suna ambaye ataijaza ardhi uadilifu na kufuta katika uso wake sababu za dhulma na uadui, na kutangaza humo neno la Uislamu na kuenea furaha kwa viumbe vya Mwenyezi Mungu Al- Bayaanati, Uk _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 23 11/28/2014 2:04:13 PM

28 Akasema tena: Na tumeshataja katika mlango huu aina mbili za hadithi: Hadithi zilizomtaja al-mahadiy kwa uwazi na Hadithi zilizotoa habari ya kudhihiri khalifa mwadilifu bila ya kusema ni MAHDI. Na ilipokuwa katika hadithi hizi za aina ya pili kuna kushabihiana na hadithi za kwanza katika maudhui yake, basi wabobezi wa hadithi wamesema kwamba makusudio ya khalifa mwadilifu humo ni MAHDI. 17 Na anasema Sheikh Abdul- Aziz bin Baaz (naye alikuwa ni mwanachuoni mkubwa na Mufti wa nchi ya Saudia Arabia wakati wake): Hakika jambo la MAHDI ni jambo linalojulikana na hadithi humo ni nyingi bali ni mutawatir zenye kupeana nguvu, nayo ni haki inayoonyesha kwamba huyu mtu aliyeahidiwa ni jambo thabiti na kutokea kwake ni kweli. 18 Na kati ya utafiti wa mwisho muhimu katika kadhia hii ni utafiti mzuri wa mwanachuoni wa kisalafi wa kileo Sheikh Abdul-Muhsin al-ibaad mkufunzi katika chuo kikuu cha Kiislam cha Madinatu al-munawarah, utafiti huo umekuja chini ya kichwa cha habari: itikadi ya masuni na hadithi zilizopokewa kuhusu MAHDI, ni muhadhara aliouwasilisha katika chuo kikuu kisha ukasambazwa katika jarida la al-jamiatul- Islamiya mwaka wa 1389 Hijiria, toleo la tatu kuanzia ukurasa wa 126 hadi 164. Na Sheikh al-abaad katika utafiti wake mzuri amesema ukweli ufuatao: Majina ya Masahaba ambao wamepokea kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) hadithi za MAHDI: Jumla ya majina niliyoyafikia, ya Masahaba ambao wamepokea hadithi za MAHDI kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) ni 26 nao ni: 17 Rejea iliyotangulia, Uk Jarida la al- Jamiati al- Islamiyah la Madina al- Munawarah, toleo la tatu, Uk _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 24 11/28/2014 2:04:13 PM

29 1. Uthman bin Affan 2. Ali bin Abi Talib 3. Twalha bin Ubaidullah 4. Abdurahman bin Auf 5. Husein bin Ali 6. Ummu Salama 7. Ummu Habiba 8. Abdillahi bin Abbas 9. Abdillahi bin Masuud 10. Abdillahi bin Umar 11. Abdillahi bin Amru 12. Abu Said al-khudriy 13. Jabir bin Abdillahi 14. Abu Huraira 15. Anasi bin Maliki 16. Ammar bin Yasir 17. Auf bin Maliki 18. Thawban, Huria wa Mtume (saww) 19. Quratu bin Iliyaas 20. Ali al-hilaliy 21. Hudhayfah bin al-yaman 22. Abdillahi bin al-harith bin Hamza 25 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 25 11/28/2014 2:04:13 PM

30 23. Imran bin Hasin 24. Auf bin Maliki 25. Abu Tufail 26. Jabir bin as-swadafiy. Majina ya Maimamu wa hadithi ambao wamepokea hadithi na athari zilizopokewa juu ya MAHDI katika vitabu vyao ni: Hadithi za MAHDI wamezipokea jamaa wengi kati ya Maimamu wa hadithi katika Sihahi zao, Sunan, Muujam, Sanad na vinginevyo, na wabobezi ambao nimesoma vitabu vyao au kuona katika vitabu vyao wakitaja na kuziandika hadithi za Mahdi imefikia idadi yao watu 38. Kuna baadhi ya watu ambao wametunga vitabu kuhusu jambo la MAHDI: Hakika maulamaa na maimamu wa hadithi wametilia umuhimu na kujali suala hili kwa kukusanya hadithi zilizopokelewa kutoka kwa Nabii (saww) na kwa kutunga vitabu vyenye kubeba hadithi na kuzisherehesha, na kwa kweli wamelipa suala hili mazingatio makubwa kiasi cha kutabahari zaidi katika uandishi wake na ufafanuzi wake kiasi cha baadhi yao kuziandika katika vitabu vya kawaida kama ilivyo katika Sunan na Musnad na vinginevyo, na kati yao wameweza kuziandika peke yake bila kuzichanga na maudhui nyingine, yote hayo yamepatikana kwao - Mwenyezi Mungu awarehemu na awalipe kheri - kwa kulinda dini hii na kufanya yanayopasa katika kutoa nasaha kwa Waislamu, na kati ya walioandika vitabu mahususi ni..: (Akataja kumi kati ya maulaama wakubwa ambao wametunga vitabu maalumu juu ya MAHDI) _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 26 11/28/2014 2:04:13 PM

31 Ama kuhusu baadhi ya wale ambao wamesimulia tawatur ya Hadithi za MAHDI na kunukuu maneno yao juu ya hadithi hizo: (Aliwaorodhesha maulamaa sita kati ya maulamaa wakubwa wa hadithi ambao wamethibitisha tawatur ya hadithi za MAHDI kutoka kwa Nabii Muhammad (saww).) Mifano ya hadithi: Kutoka miongoni mwa hadithi mutawatir zilizo mashuhuri tunachukua hadithi ifuatayo: 1. Amesema (saww): Hazitomalizika siku hadi Mwenyezi Mungu atakapomtuma mtu kutoka katika Ahlulbait wangu jina lake linafanana na jina langu ataijaza dunia uadilifu na usawa kama ilivyojazwa dhulma na ujeuri. 2. Kutoka kwake (saww): Hata kama haukubaki katika umri wa dunia isipokuwa siku moja basi Mwenyezi Mungu angetuma humo mtu kutoka katika kizazi changu ambaye ataijaza uadilifu kama ilivyojazwa ujeuri. 3. Amesema (saww): Nawabashireni MAHDI, atatumwa katika umma wangu wakati watu watakapokuwa wameshakhitalifiana na kuna matetemeko ndipo yeye ataijaza ardhi usawa na uadilifu kama ilivyojazwa ujeuri na dhulma, watamridhia wakazi wa mbinguni na ardhini. 4. Amesema (saww): atatokea katika zama za mwisho mtu kutoka katika kizazi changu jina lake ni kama jina langu, jina lake la ubaba ni kama jina langu la ubaba, ataijaza ardhi uadilifu kama ilivyojazwa ujeuri, na huyo ni MAHDI. 5. Kutoka kwake (saww): Hata kama dunia haitabakiwa isipokuwa na siku moja lazima Mwenyezi Mungu ataire _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 27 11/28/2014 2:04:13 PM

32 fusha siku hiyo hadi atawale mtu kutoka katika Ahlulbait wangu, itatokea mitihani katika utawala wake na Mwenyezi Mungu atadhihirisha Uislamu na Mwenyezi Mungu havunji ahadi yake naye ni Mwepesi wa kuhisabu Al- Imam al-mahdiy cha Ali Muhammad Ali Dakhili _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 28 11/28/2014 2:04:13 PM

33 DONDOO KUTOKA KWA KIONGOZI ANAYESUBIRIWA Na matumaini yakachomoza: Kitu kikubwa kinachowaogopesha waovu na kuwahuzunisha watawala wakandamizaji ni uwepo wa fikra ya mpambanaji dhidi ya utawala wao na udikteta wao, wao wanataka kuwakandamiza watu na kutawala maisha yao na kuchezea utajiri wao na wanataka kwa watu wakubali hayo kwa furaha na sururi! Na kwamba wasiruhusu katika nafsi zao hata kufikiria upinzani katika utawala wa watawala. Kwani sio tu wanatawala miili yao bali na akili zao, fikra zao na hisia zao pia. Na utawala dhalimu unapohisi kuwepo kwa fikra pinzani iliyopo katika akili ya mtu au kundi basi hawana nafasi ila kuutokomeza ardhini baada ya kupitia hatua ngumu za kuadabishwa juu ya uasi wao wa kifikra dhidi ya utawala ambao unaona nafsi yake imeshawamiliki wao, hivyo upinzani hauna haki ya kuishi. Ahlulbait ni upinzani wenye uvumilivu: Na Ahlulbait (as) wao ni kizazi kitukufu cha Mtume (saww) na ambao Mwenyezi Mungu amewaahidi uongozi wa umma na kubeba jukumu na kulinda usafi wake na utwahara wake usiweze kuchafuliwa, kuharibiwa na kupotoshwa, hivyo ni lazima watengeneze ngome ya upinzani kwa uwepo wao tu na kwa kutekeleza jukumu lao la uelekezi, kuelimisha na kuhami ujumbe, wao ni kigingi kinachoogopwa na watawala waovu miongoni mwa Bani Ummayya na Bani Abbasi ambao walikandamiza umma bila haki wala uwezo, na wao ni kik _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 29 11/28/2014 2:04:13 PM

34 wazo kigumu katika njia ya kupoteza watu na ni wenye kuwahadharisha watu na vielelezo vya ukandamizaji na utawala danganyifu. Hivyo ni lazima wao wawe na fungu kubwa zaidi la adhabu kutoka kwa utawala na ukandamizaji wake. Na Ahlulbait na wafuasi wao wema wamevumilia kila aina ya mbinu za adhabu na njia za ukandamizaji ambazo utawala ulikuwa unazitumia dhidi yao. Na wameweza kwa uvumilivu wao na siasa yao nzuri yenye hekima na mbinu zao za kiujumbe zilizo sahihi kuvuka kwa ujumbe wao nyakati hizo ngumu na kushinda mazingira hayo magumu na kupenya vikwazo vyote ambavyo utawala uliviweka ili kutenganisha jamhuri ya umma na asili ya dini yao tukufu na viongozi wao halisi na wa kweli. Na baada ya zaidi ya karne mbili za mizozo mikali ambapo utawala ulitumia kila uwezekano na uwepo wake dhidi ya fikra ya haki na maimamu waongofu. Baada ya hayo na pamoja na yote hayo ngome ya haki iliendelea na kupanua duara lake la upinzani katika safu za jamhuri ya umma na wananchi wake Waislamu, na uaminifu wa watu ukazidi na mafungamano yao yakawa na nguvu juu ya uongozi wa ujumbe miongoni mwa Ahlulbait (as). Na katikati ya karne ya tatu wafuasi wa Ahlul-bait walikuwa wameenea sehemu zote za nchi za Kiislamu na viunga vyake, walikuwa na dola kubwa nchini Morocco na waliweza kukata masafa muhimu katika dola za Kiislamu katika utawala wa Bani Abbasi waovu. Na katika Twabristan walikuwa na mapinduzi yenye nguvu yaliyopata ushindi dhidi ya jeshi la utawala, na kutangaza kujitenga na utawala wa Ban Abbasi na kuunda dola ya Alawiya yenye kuwapinga Ban Abbasi. Na huko Kufah kulikuwa na mapambano ya kimapinduzi, Hijazi kulikuwa na majaribio ya uasi na Yemen kulikuwa na kundi pinzani, yote hayo ni kutokana na athari ya fikra ya kiujumbe ya kimapinduzi ambayo wanaitangaza Ahlulbait katika safu za umma wa Kiislamu _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 30 11/28/2014 2:04:13 PM

35 Imamu Hasan al-askariy: Kiongozi mwenye hekima: Imamu alikuwa ni kiongozi wa kundi la umma katika zama hiyo na ndio Imamu wa kumi na moja kati ya Maimam wa Ahlul-bait (as), Imam Hasan bin Ali al-askariy aliwekwa kizuizini katika makao makuu ya jeshi la ukhalifa wa Bani Abbasi wakati huo huko Samarra, Iraq. Lakini pamoja na kibano cha utawala na uangalizi wake makini ambao ulikuwa unamfuatilia Imam hata katika nyakati za kufungwa kwake jela na kifungo chake, pamoja na hayo yote alikuwa anafanya kazi yake katika kuelekeza umma na kuelimisha jamhuri kwa uelewa na uongozi wa kundi lake lenye imani. Haki za kisharia miongoni mwa Khumsi na Zaka zilikuwa zinafika kwa Imam al- Askariy kwa njia nzuri ya siri kupitia kwa mmoja wa mawakala wake wakweli: Uthman bin Said al-amariy ambaye alikuwa ni kati ya maulamaa wakuu, lakini Imam alimtaka afanye biashara ya samli ili kwa hilo atengeneze pazia la dhahiri kwa ajili ya kazi yake muhimu ya kufikisha mali kwa Imam kwa usiri wa kutosha, na kwa kuzingatiwa kwake ni mfanyabiashara wa samli alikuwa anajaza baadhi ya viriba vya samli mali iliyopo kwake miongoni mwa haki za kisharia kisha anazipeleka kwenye nyumba ya Imam al-askariy huku nje vikiwa vimepakwa samli, ili wasiwe na shaka majasusi wa utawala. 20 Kama ambavyo Imamu al-askariy alimpa kazi mmoja wa wafuasi wake naye ni Muhammad bin Masuudi al-ayaashiy kufanya kazi ya kukusanya turathi ya elimu ya Maimamu wa Ahlulbait (as) baada ya kutawanywa na mazingira ya kubanwa na ukandamizaji, Ayaashiy akatoa mali nyingi ya baba yake kwa ajili ya hilo hadi nyumba yake ikawa kama msikiti wanakusanyika makumi miongoni mwa wenye kuandika, wenye kupokea, wenye kusoma na wenye kusherehesha. Kutokana na harakati hiyo kubwa vikapatikana zaidi 20 Al- Ghaibatu as-sughrah cha Sayid Muhammad Swadir, Uk _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 31 11/28/2014 2:04:13 PM

36 ya vitabu mia mbili ambavyo vinakusanya hadithi za Ahlul bait na mafunzo yao katika nyanja mbalimbali. 21 Hivyo harakati zilikuwa kubwa katika safu za jamhuri ya Waislamu pamoja na kwamba kitu kilichohuzunisha kundi lenye imani na uelewa, ni mustakabali wa harakati hizi na hatima ya harakati zenye uelewa sahihi wa kidini baada ya Imamu Hasan al- Askariy, na ambaye ilikuwa ni lazima utawala upokonye maisha yake kama ulivyopokonya maisha ya baba zake kabla yake, ni nani atakuwa kiongozi baada ya hapo? Na nani atakuwa Imamu ambaye atabeba jukumu la ujumbe na kushika uongozi wa kundi la umma? Na maswali mengi muhimu yakajitokeza katika akili za waumini na ambayo yanajitokeza yenyewe katika akili zao, na ni haraka ilioje wakakumbuka hadithi zilizotia mkazo na mutawatir kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu Muhammad (saww) na ambazo zinasema dhahiri shahiri kwamba Mwenyezi Mungu mtukufu ameandaa kwa umma huu maimamu kumi na mbili ambao wataziweka nafsi zao nadhiri kwa ajili ya kuhami sharia na kueneza ujumbe mtukufu wa Uislamu. Katika Sahihi Bukhari juzuu ya nne ukurasa wa 175, Chapa ya Misri ya mwaka 1355 Hijiria, kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) kwamba amesema: Watakuwepo viongozi kumi na mbili wote wanatokana na Makuraishi. Na hadithi mfano wake inapatikana pia katika Sahihi Muslim na Tirmidhiy na vitabu vyote vya hadithi. 22 Na miongoni mwa Maimamu hawa kumi na mbili, maimamu kumi wameishi na umma na hivi sasa ni zama ya Imamu wa kumi 21 Siratul- Aimatu Wataasiu shiatu Liliulumil Islamiya. 22 Amekusanya al- Allammah As Swaafiy katika kitabu chake kizuri: Muntakhabul- Athar hadithi zaidi ya mia tatu zinazoonyesha kwamba Maimamu baada ya Mtume (saww) ni kumi na mbili, kutoka katika vitabu sahihi mbalimbali vya hadithi. Majamiu na Masanid _14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 32 11/28/2014 2:04:13 PM

37 na moja, je, unadhani ni nani Imamu wa kumi na mbili ambaye amechaguliwa na mbingu ili awe wasii wa mwisho wa Muhmmad na kiongozi wa mwisho wa umma wa Kiislamu? Hakika Imamu al- Askariy hajabahatika kupata mtoto hadi hivi sasa? Na serikali ina tahadhari kubwa na ina wasiwasi kuhusu Imamu wa kumi na mbili ambaye amebashiriwa na hadithi, na zimeahidi kuwa kwake ndiko kutakuwa na mwendelezo wa kuondoa dhulma na kung oa mizizi ya uovu na kusimamisha utawala wa amani na imani. Bishara ya alfajiri: Ukawadia mwaka wa 255 Hijiria ili kutoa majibu ya kina kwa maswali yote haya. Imamu al-askariy alioa binti mtukufu na ambaye anatokana na familia ya Qaisar Shamuun. Mwenyezi Mungu alitaka binti huyu (ambaye kuna rundo la riwaya kuhusu wasifu wa utukufu wake, maarifa yake na imani yake) awe ndio mama wa wasii wake wa mwisho na mwokozi wa waja wake na mwenye kudhihirisha dini yake Imamu al-hujjah wa kumi na mbili. Alipata ujauzito wa Imamu anayesubiriwa katika utawala wa al- Muutaz al- Abbasiy na ambaye alikuwa na ubabe sana kwa Imam al- Askariy na anayejali sana kumwangamiza Imamu kabla ya kumzaa kiongozi mwokozi, lakini wapi ataweza hayo maadamu Mwenyezi mungu anakataa isipokuwa kutimiza nuru yake hata kama makafiri watachukia, ujauzito ukafichikana, haikudhihiri kwake athari katika tumbo la mama yake ambaye alikuwa anafuatiliwa na serikali kama wanawake wengine wa Imam al-askariy. Na karibia na kuzaliwa anga la siasa ya dola likagubikwa na mawingu ya msimu ambayo yanafunika anga la utawala kila 33 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 33 11/28/2014 2:04:13 PM

38 yanapochemka matamanio ya utawala na uongozi kutoka kwa mmoja wa watu wa familia ya Ban Abbasi yenye kutawala, akala njama na viongozi wa jeshi ya kumwangusha Khalifa anayetawala ili achukue nafasi yake. Na haya ndio yaliyotokea tarehe 27 Rajabu mwaka 255 Hijiria ambapo Muhammad al-muhtadiy al Abbasiy alikula njama ya kumwangusha ami yake al-muutazi bin al-mutawakil al-abbasiy na kwa kushajiishwa na viongozi wa jeshi la al-atraak na akamngo a mtoto wa ami yake al-muutazi na akapewa kiapo cha ukhalifa al- Muhtadiy, na ilikuwa ni kawaida tukio hili kuacha athari zake za kisiasa na kumfanya khalifa mpya awe ni mwenye kushughulika na utatuzi wake kwa muda, jambo ambalo lilitoa amani na utulivu kiasi katika nyumba ya Imamu al-askariy (as) wakati wa kutimia uzao wa Imamu anayesubiriwa, na hakika ulitimia uzao kwa namna ya utulivu sana katika usiku wa nusu Shabani na baada ya siku kumi na nane tangu al- Muhtadiy kunyakua utawala. Na nuru ikachomoza: Na uzao ulikuwa na kisa kizuri tunapenda kukinukuu kwa wasomaji: Anasimulia Hakimah binti wa Imamu Muhammad al-jawad, dada wa Imamu Ali al-hadiy, shangazi wa Imamu Hasan al-askariy (as) kuhusu mnasaba huo mzuri anasema: Alimtumia ujumbe Abu Muhammad Hasan bin Ali al-askariy (as) akasema: Ewe shangazi jaalia kufutari kwako iwe kwetu usiku huu wa leo, hakika ni usiku wa nusu ya Shabani. Hakika Mwenyezi Mungu mtukufu atamdhihirisha al-hujjah katika usiku huu naye ndio Hoja yake katika ardhi yake. Akasema: Nikamwambia: Na mama yake ni nani? 34 43_14_IMAM MAHDI _28_Nov_2014.indd 34 11/28/2014 2:04:13 PM

MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014

MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014 MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014 UMEANDIKWA NA JIMMY LUHENDE Kimetolewa na Shirika la Kuimarisha Demokrasia na Tawala za Vijiji S.L.P 1631, Mwanza

Διαβάστε περισσότερα

Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo

Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo MSTAHIWA SHEIKH AHMAD BIN HAMAD AL KHALILI MUFTI MKUU WA OMAN Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo [Kauli za Maulama wa Madhehebu Nne] Imefasiriwa kwa Kiswahili na: Munir Sulaiman Aziz Al Masrouri

Διαβάστε περισσότερα

AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein

AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein AHLUL ~ KISAA Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein Kimetungwa na: Ahmad Badawy bin Muhammad Al-Husseiny Kimehaririwa na: Sheikh

Διαβάστε περισσότερα

ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Ukoo/Jamaa Hatua ya 2: Mwalimu: Tusome silabi hii pamoja. Mwalimu na Wanafunzi: /m/ /a/- ma Hatua ya 3: Mwalimu: Ni zamu yenu sasa.

Διαβάστε περισσότερα

Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM

Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM ii Kiswahili TE(C2).indd ii 5/30/14 8:14 PM iii Kiswahili TE(C2).indd iii 5/30/14 8:14 PM iv Kiswahili TE(C2).indd iv 5/30/14 8:14 PM v Kiswahili TE(C2).indd v 5/30/14

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) :

Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) : Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) : : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Adiyy bin Haatim ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Ogopeni moto japo kwa nusu tende, na usipopata

Διαβάστε περισσότερα

i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM

i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM ii Kiswahili (TE) Class 1.indd ii 5/30/14 8:07 PM iii Kiswahili (TE) Class 1.indd iii 5/30/14 8:07 PM iv Kiswahili (TE) Class 1.indd iv 5/30/14 8:07 PM v

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani

Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani 4 4 Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani )) :( ) : ( ),,, )) ((. (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume wa

Διαβάστε περισσότερα

ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Nyumbani Wanafunzi: (Tumia hatua ya 3 kufunza: makaa, kaka, matatu, ama, mti, taa). l ll Ufahamu wa herufi: Majina na sauti za herufi

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( )

Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( ) Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali )) : :,,.((, ( ) :, Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume wa Allaah (

Διαβάστε περισσότερα

MATESO YA DHURIA YA MTUME

MATESO YA DHURIA YA MTUME MATESO YA DHURIA YA MTUME Mwandishi: Ayatullah Murtadha Mutahhari Mtarjumi: Salman Shou Kimehaririwa na: Al-Haj Ramadhani S. K. Shemahimbo Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: 978-9987

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu

Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu ( 4 Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu : ( ).!, )) : : (( Imepokelewa kutoka kwa Abdullaah bin Mas uwd ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) alilala kwenye jamvi la mtende

Διαβάστε περισσότερα

Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana.

Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana. Al-Waqf At-Taamm - Kisimamo Kilichokamilika ال وق ف الت ام 1. Kusimama katika neno la Qur-aan ambako kauli imekamilika maana yake, na wala hayana uhusiano wowote ule na yanayofuatia; uhusiano huo uwe wa

Διαβάστε περισσότερα

Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~

Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~ Maswali ya Maisha ~ Ukurasa 2 ~ Yaliyomo 1. Yesu ni nani? Ukurasa 5 2. Kwa nini Yesu alikufa msalabani? Ukurasa 12 3. Nitakuwaje na hakika juu ya Imani yangu? Ukurasa 18 4. Kwa nini nisome Biblia? Niisomeje?

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni

Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni 4 Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni )) :( ) : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume ( ) amesema: ((Hakika Allaah Hatazami viwiliwili vyenu wala

Διαβάστε περισσότερα

Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir

Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir Subira Njema Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir 1 ijk Utangulizi: Sifa zote njema Anastahiki Allaah وتعالى) (سبحانه Mola wa walimwengu صلى ( Muhammad wote, Rahma na amani zimshukie

Διαβάστε περισσότερα

IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU

IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU TUME YA UTUMISHI WA UMMA IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU WAJIBU MKUU WA MWALIMU Wajibu mkuu wa mwalimu ambao ndio Nguzo Tano za kazi ya ualimu ni:-.kwa MTOTO 2.KWA JUMUIYA 3.KWA KAZI YAKE 4.KWA TAIFA.KWA

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja

Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja, )) : ( ),, (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa iyd ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Mwanamme asitazame uchi

Διαβάστε περισσότερα

Mafundisho Ya Madhehebu

Mafundisho Ya Madhehebu Mafundisho Ya Madhehebu na Rod Rutherford Mtafsiri John Makanyaga www.kanisalakristo.com 1 Mafundisho ya Madhehebu Somo la Kwanza- Kanisa la Agano Jipya. Utangulizi 1. Kuna makundi ya kidini 2054 katika

Διαβάστε περισσότερα

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Mwongozo wa Taifa wa Sekta ya Afya Kuhusu Huduma na Kinga Dhidi ya Ukatili wa Kijinsia JUNI 2013 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA

Διαβάστε περισσότερα

Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo

Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo ii- الا د غا م Al-idghaam Kuingiza, kuchanganya. Idghaam ni kuingiza kitu kwenye kitu. Katika hukmu za Tajwiyd ni kuingiza herufi saakin kwenye herufi yenye i raab na kuzipelekea herufi mbili hizi kuwa

Διαβάστε περισσότερα

SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO

SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO Kifungu Jina 1. Jina fupi na matumizi 2. Tafsiri SEHEMU YA II KUUNDWA

Διαβάστε περισσότερα

Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania

Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania Jina la Mradi: Eneo Ulipo Mradi: Mmiliki wa Mradi: Mhusika: Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania Wamiliki ni wengi (Halmashauri

Διαβάστε περισσότερα

KILIMO CHA ZAO LA VANILLA

KILIMO CHA ZAO LA VANILLA KILIMO CHA ZAO LA VANILLA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA IDARA YA MAENDELEO YA MAZAO Sehemu ya Uendelezaji wa Mazao KILIMO CHA ZAO LA VANILLA Kimetolewa na Jamhuri

Διαβάστε περισσότερα

25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa.

25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa. 25-Faharasa Neno Maana Yake Aaridhw as-sukuwn Ibaadah sukuwn pana ya kusimami neno. ibada Ahkaamut-Tajwiyd Alfaadhw Hukumu za Tawjiyd Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw Arjah Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa

Διαβάστε περισσότερα

05- Fadhila Za Umrah Na Hajj

05- Fadhila Za Umrah Na Hajj èèää ÆÆÆ Æd dd ÉÉÉ øø FF Ï ÉÉÉ ÎÎ ÅÅ øø FF... ŸŸŸ Ïi ii ššš '' éé ÈÈÈ ÝÝ èè àà ŸŸŸ nn 333 BBB øø ŸŸŸ èè Ï 555 ppøø rr öö þþþ ÎÎ «««óó ãã àà õõ ÉÉ ªªª xx øø ççç èè nn ÍÍ!! øø 999 öö oo ÖÖÖ ô rr ppøø rr

Διαβάστε περισσότερα

ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ

ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΜΟΝΑΧΟΥ ΑΜΑΣΚΗΝΟΥ ΓΡΗΓΟΡΙΑΤΟΥ ΜΩΥΣΕΩΣ KALENGA ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΜΕ ΣΤΟΙΧΕΙΑ ΓΡΑΜΜΑΤΙΚΗΣ ΤΗΣ ΓΛΩΣΣΑΣ ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΟΡΘΟ ΟΞΟΝ ΙΕΡΑΠΟΣΤΟΛΙΚΟΝ ΚΛΙΜΑΚΙΟΝ ΙΕΡΑΣ ΜΗΤΡΟΠΟΛΕΩΣ ΚΕΝΤΡΩΑΣ ΑΦΡΙΚΗΣ ΚΟΛΟΥΕΖΙ ΚΟΓΚΟ 1999

Διαβάστε περισσότερα

( ). : : :.. : :. : : : : """ " " "... : "" ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ u

( ). : : :.. : :. : : : :    ... :  ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ u ( ). :. drtarig٩٩@yahoo.com :. :.. - ٧ ( ). : : :.. : :. : : : : """ " " "... : "" ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ ušø ç/ ª!$# tar'sù

Διαβάστε περισσότερα

Critique of Humanism

Critique of Humanism 1437 2015, 3,27, 1437 2015,307 275, 3,27, * 1436 4 11 ; 1436 03 06 :, : :,, : :, ;,,,,,,, : Critique of Humanism Ahmad Ibn-Mohammed Allaheeb * King Saud University (Received 28/12/2014; accepted for publication

Διαβάστε περισσότερα

! " # $ % & $ % & $ & # " ' $ ( $ ) * ) * +, -. / # $ $ ( $ " $ $ $ % $ $ ' ƒ " " ' %. " 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 : ; ; < = : ; > : 0? @ 8? 4 A 1 4 B 3 C 8? D C B? E F 4 5 8 3 G @ H I@ A 1 4 D G 8 5 1 @ J C

Διαβάστε περισσότερα

Z L L L N b d g 5 * " # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / / + 3 / / / / + * 4 / / 1 " 5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3 " #

Z L L L N b d g 5 *  # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / / + 3 / / / / + * 4 / / 1  5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3  # Z L L L N b d g 5 * " # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / 0 1 2 / + 3 / / 1 2 3 / / + * 4 / / 1 " 5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3 " # $ % $ ' $ % ) * % @ + * 1 A B C D E D F 9 O O D H

Διαβάστε περισσότερα

ر ک ش ل ن س ح ن د م ح م ب ن ی ز ن. ل و ئ س م ه د ن س ی و ن ( ی ر ک ش ل &

ر ک ش ل ن س ح ن د م ح م ب ن ی ز ن. ل و ئ س م ه د ن س ی و ن ( ی ر ک ش ل & ن- س ح ی ژ ر ن ا ل ا ق ت ن ا ر د ر ا و ی د ي ر ي گ ت ه ج و د ی ش ر و خ ش ب ا ت ه ی و ا ز و ت ه ج ه ط ب ا ر ل ی ل ح ت ) ر ال ر ه ش ي د ر و م ه ع ل ا ط م ( ي ر ي س م ر گ ي ا ه ر ه ش ر د ن ا م ت خ ا س ل خ

Διαβάστε περισσότερα

) * +, -. + / - 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 6 : ; < 8 = 8 9 >? @ A 4 5 6 7 8 9 6 ; = B? @ : C B B D 9 E : F 9 C 6 < G 8 B A F A > < C 6 < B H 8 9 I 8 9 E ) * +, -. + / J - 0 1 2 3 J K 3 L M N L O / 1 L 3 O 2,

Διαβάστε περισσότερα

ی ا ک ل ا ه م ی ل ح ر

ی ا ک ل ا ه م ی ل ح ر ل- ال ج ه) ن و م ن م د ر م ت ک ر ا ش م د ر ک و ر ا ب ر ه ش ه د و س ر ف ا ه ت ف ا ب ز ا س و ن ) س و ل ا چ ر ه ش 6 ه ل ح م : د ر و م 1 ل م آ م ظ ع ل ال ج ر و ن د ح ا و م ال س ا د ا ز آ ه ا گ ش ن ا د ر ه

Διαβάστε περισσότερα

ی ن ل ض ا ف ب ی ر غ ن ق و ش ه ی ض ر م ی ) ل و ئ س م ه د ن س ی و ن ( ا ی ن ل ض ا ف ب ی ر غ 1-

ی ن ل ض ا ف ب ی ر غ ن ق و ش ه ی ض ر م ی ) ل و ئ س م ه د ن س ی و ن ( ا ی ن ل ض ا ف ب ی ر غ 1- ر د ی ا ه ل ی ب ق ی م و ق ب ص ع ت ای ه ی ر ی گ ت ه ج و ی ل ح م ت ا ح ی ج ر ت ر ی ث أ ت ل ی ل ح ت و ن ی ی ب ت زابل) ن ا ت س ر ه ش ب آ ت ش پ ش خ ب و ی ز ک ر م ش خ ب : ی د ر و م ه ع ل ا ط م ( ن ا ر ا ی ه

Διαβάστε περισσότερα

ة من ي لأ م و ة بي ال ع ج 2 1

ة من ي لأ م و ة بي ال ع ج 2 1 ج ا م ع ة ن ا ي ف ا أل م ن ي ة ل ل ع ل و م ا ل ع ر ب ي ة = = =m ^ á _ Â ª ^ = I = } _ s ÿ ^ = ^ È ƒ = I = ø _ ^ = I = fl _ Â ª ^ = I = Ó É _ Î ÿ ^ = = =KÉ ^ Ñ ƒ d = _ s Î = Ñ π ` = f = π à ÿ ^ Ñ g ƒ =

Διαβάστε περισσότερα

=fi Í à ÿ ^ = È ã à ÿ ^ = á _ n a f = 2 k ÿ ^ = È v 2 ح حم م د ف ه د ع ب د ا ل ع ز ي ز ا ل ف ر ي ح, ه ف ه ر س ة م ك ت ب ة ا مل ل ك ف ه د ا ل و

=fi Í à ÿ ^ = È ã à ÿ ^ = á _ n a f = 2 k ÿ ^ = È v 2 ح حم م د ف ه د ع ب د ا ل ع ز ي ز ا ل ف ر ي ح, ه ف ه ر س ة م ك ت ب ة ا مل ل ك ف ه د ا ل و ت ص ح ي ح ا ل م ف ا ه ي م fi Í à ÿ ^ = È ã à ÿ ^ = á _ n c f = 2 k ÿ ^ = È v ك ت ب ه ع ض و ه ي ئ ة ا ل ت د ر ي س ب ا مل ع ه د ا ل ع ا يل ل ل ق ض ا ء ط ب ع و ق ف فا هلل ع ن ا ل ش ي خ ع ب د ا هلل ا جل د

Διαβάστε περισσότερα

ATLAS green. AfWA /AAE

ATLAS green. AfWA /AAE مج م و ع ة ا لم ن ت ج ا ت K S A ا إل ص د ا ر ا ل د و ل ي ٠ ١ مج م و ع ة ا لم ن ت ج ا ت ٠ ٣ ج و ھ ر ة( ع د ت خ ص ص ة م TENVIRONMENTALLY FRIENDLY PRODUC ح د د ة م ا ل ھ و ي ة و ا ال ب ت ك ا ر و ا ل ط م و

Διαβάστε περισσότερα

Οι 5 πυλώνες της πίστης: Μέρος 2 Πίστη στους αγγέλους

Οι 5 πυλώνες της πίστης: Μέρος 2 Πίστη στους αγγέλους Οι 5 πυλώνες της πίστης: Μέρος 2 Πίστη στους αγγέλους أركان اإلميان - الركن الثاين : اإلميان ابملالئكة Άχμαντ Μ. Ελντίν Διπλωματούχος Ισλαμικής Θεολογίας www.islamforgreeks.org - Τζαμί «Σάλαφ ους Σαάλιχ»

Διαβάστε περισσότερα

ت خ ی م آ ر ص ا ن ع ز ا ن ا گ د ن ن ک د ی د ز ا ب ی د ن م ت ی ا ض ر ی س ر ر ب د

ت خ ی م آ ر ص ا ن ع ز ا ن ا گ د ن ن ک د ی د ز ا ب ی د ن م ت ی ا ض ر ی س ر ر ب د ه ت خ م آ ر ص ا ع ز ا ا گ د ک د د ز ا ب د م ت ا ض ر س ر ر ب د ال م ج ر ب ر گ ش د ر گ ب ا ر ا ز ا ب خالر امر ا ر ا ا ر ه ت ا ر ه ت ه ا گ ش ا د ت ر د م ه د ک ش ا د ا گ ر ز ا ب ت ر د م ه و ر گ ر ا د ا ت س

Διαβάστε περισσότερα

و ر ک ش ر د را ن ندز ما ن تا ا س ی یا را

و ر ک ش ر د را ن ندز ما ن تا ا س ی یا را ی ش ه و ژ پ ی- م ل ع ه م ا ن ل ص ف ) ی ا ه ق ط ن م ی ز ی ر ه م ا ن ر ب ( ا ی ف ا ر غ ج 6931 زمستان 1 ه ر ا م ش م ت ش ه ل ا س 7 3 2-9 4 2 : ص ص ی د ن ب ه ن ه پ و ی ن ا ه ج د ی ش ر و خ ش ب ا ت ن ا ز ی م

Διαβάστε περισσότερα

Benar sekali Allah memberi informasi dalam Quran dan lebih-lebih melalui lisan RasulNya Muhammad SAW tentang siksa dan nikmat kubur.

Benar sekali Allah memberi informasi dalam Quran dan lebih-lebih melalui lisan RasulNya Muhammad SAW tentang siksa dan nikmat kubur. ( ijk Assalamu 'Alaikum Wr.Wb. Pak Dasrul, Benar sekali Allah memberi informasi dalam Quran dan lebih-lebih melalui lisan RasulNya Muhammad SAW tentang siksa dan nikmat kubur. Kepada Fir'un di dalam kuburnya

Διαβάστε περισσότερα

Rulings on Fasting during Hajj

Rulings on Fasting during Hajj 1436 2015, 1,27, 1436 2015,78 43, 1,27, * 1435 04 10 ; 1435 03 08 ;,, :,,,,,,,,,,,,,, : Rulings on Fasting during Hajj Mohammad Abduh Hassir Awwaf Hummady* Jazan University (Received 09/01/2014; accepted

Διαβάστε περισσότερα

Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake.

Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake. ### ôô ÍÍÍ 444 nn ííí nn ß ôô ppøø ÈÈÈ èè knganiha: Hamzal-Wawl Hamza a هم ز ة ال و ص ل Ni hamzah inaoamkwa kaika neno na haiamkwi howeka) wakai wa knganiha na neno la nma ake. Inaiwa Wawl kwa abab inapelekea

Διαβάστε περισσότερα

BINOMIAL & BLCK - SHOLDES

BINOMIAL & BLCK - SHOLDES إ س ت ر ا ت ي ج ي ا ت و ز ا ر ة ا ل ت ع ل ي م ا ل ع ا ل ي و ا ل ب ح ث ا ل ع ل م ي ج ا م ع ة ا ل د ك ت و ر م و ال ي ا ل ط ا ه ر س ع ي د ة - ك ل ي ة ا ل ع ل و م ا ال ق ت ص ا د ي ة ا ل ت س ي ي ر و ا ل ع ل

Διαβάστε περισσότερα

ن ا ر ا ن چ 1 ا ی ر و ا د ی ل ع د م ح م ر ی ا ف و ی د ه م ی

ن ا ر ا ن چ 1 ا ی ر و ا د ی ل ع د م ح م ر ی ا ف و ی د ه م ی ه) ع ل ا ط م ی ش ه و ژ ی-پ م ل ع ه م ا ن ل ص ف ) ی ا ه ق ط ن م ی ز ی ر ه م ا ن ر ب ( ا ی ف ا ر غ ج 1396 بهار 2 ه ر ا م ش م ت ف ه ل ا س 111 132- ص: ص ي ر گ ش د ر گ ي ت م ا ق ا ز ك ا ر م د ا ج ي ا ی ا ر

Διαβάστε περισσότερα

ا ت س ا ر د ر ا ب غ و د ر گ ه د ی د پ ع و ق و د ن و ر ی ی ا ض ف ل ی ل ح ت ی ه ا ب ل و ت ب ن

ا ت س ا ر د ر ا ب غ و د ر گ ه د ی د پ ع و ق و د ن و ر ی ی ا ض ف ل ی ل ح ت ی ه ا ب ل و ت ب ن ه) د ن س ی و ن ی ش ه و ژ پ ی- م ل ع ه م ا ن ل ص ف ) ی ا ه ق ط ن م ی ز ی ر ه م ا ن ر ب ( ا ی ف ا ر غ ج 7 9 3 1 ن ا ت س ب ا ت 3 ه ر ا م ش م ت ش ه ل ا س 7 9-9 0 1 : ص ص ن ا ت س ا ر د ر ا ب غ و د ر گ ه د ی

Διαβάστε περισσότερα

2

2 م ط ا ل ع ه) ف ص ل ن ا م ه ر ه ب ر ی و م د ر ت آ م و ز ش د ا ن ش گ ا ه آ ز ا د ا س ال م و ا ح د گ ر م س ا ر س ا ل ه ف ت م ش م ا ر ه ب ه ا ر 9 3 ص ص -8 3 7 ح س ن ع ل ب ر ر س ر ا ب ط ه م ا ن ر ه ب ر ت ح

Διαβάστε περισσότερα

Bacaan Doa dan Dzikir serta Taubat pilihan

Bacaan Doa dan Dzikir serta Taubat pilihan ijk Bacaan Doa dan Dzikir serta Taubat pilihan Dibawah ini adalah Dzikir Nabawiyah yang dibaca / diajarkan oleh Rasulullah SAW untuk ummatnya dan Nabi Muhammad SAW menganjurkan untuk diamalkan semua ummatnya.

Διαβάστε περισσότερα

ج ن: روحا خل ل ب وج یم ع س ن

ج ن: روحا خل ل ب وج یم ع س ن ک ت ک ج ک ک ره ب ب وس ت ج ن: روحا خل ل ب وج یم ع س ن فهرست ر و و وش 20 21 22 23 24 رت ر د داری! ر ر ر آ ل 25 26 27 28 28 29 ای ع 30 ا ارد ط دی ن وش 34 36 37 38 39 ذوب ن ر گ آ گ ۀ آب اران ع م و د ل 40 41

Διαβάστε περισσότερα

S Ô Ñ ª ^ ھ ھ ھ ھ ا حل م د هلل ا ل ذ ي أ ك ر م ا ل ب رش ي ة ة ب م ب ع ث ا ل ر مح ة ا مل ه د ا ة و ا ل ن ع م ة املسداة خرية خ ل ق ا هلل ا ل ن ب ي ا مل ص ط ف ى و ا ل ر س و ل ا مل ج ت ب ى ن ب ي ن ا و إ م

Διαβάστε περισσότερα

الركن الخامس من اركان االيمان اإليمان باليوم

الركن الخامس من اركان االيمان اإليمان باليوم Οι 6 πυλώνες της πίστης: Μέρος 5 Πίστη στην Ημέρα της Κρίσης الركن الخامس من اركان االيمان اإليمان باليوم اآلخر Άχμαντ Μ.Ελντίν Διπλωματούχος Ισλαμικής Θεολογίας www.islamforgreeks.org Τζαμί «Σάλαφ ους

Διαβάστε περισσότερα

د ا ر م د و م ح م ر ی ا ر ی ح ب د ی م ح ن ن ا م ر ه ق ا ر ا س د

د ا ر م د و م ح م ر ی ا ر ی ح ب د ی م ح ن ن ا م ر ه ق ا ر ا س د ه) ع ل ا ط م ی ی ا ت س و ر ی ا ه ه ا گ ت ن و ک س ی د ب ل ا ک ی ه ع س و ت ر ب م و د ی ا ه ه ن ا خ ش ق ن ) ک ن و ی ا ت س و ر م ر ی م س ن ا ت س ر ه ش : ی د ر و م 1 ی د ا ر م د و م ح م ر و ن م ا ی پ ه ا گ

Διαβάστε περισσότερα

() ( ) - - ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( )

() ( ) - - ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) () () ( ) - - ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) () - - - - " ( ) " - - ( ) () ( ) ( ) ( ) ) ( ) ( ) ( ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ) () ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ( ) ( ) ) ( ) ) ( ( ) ( ) ( ) ( ( ) ( ) (

Διαβάστε περισσότερα

Οι 6 πυλώνες της πίστης: Μέρος 6 Πίστη Θειο διάταγμα (Κάνταρ Πεπρωμένο) اإليمان بالقدر. Άχμαντ Μ.Ελντίν

Οι 6 πυλώνες της πίστης: Μέρος 6 Πίστη Θειο διάταγμα (Κάνταρ Πεπρωμένο) اإليمان بالقدر. Άχμαντ Μ.Ελντίν Οι 6 πυλώνες της πίστης: Μέρος 6 Πίστη Θειο διάταγμα (Κάνταρ Πεπρωμένο) الركن السادس من أركان اإليمان بالقدر اإليمان: Άχμαντ Μ.Ελντίν Διπλωματούχος Ισλαμικής Θεολογίας www.islamforgreeks.org Τζαμί «Σάλαφ

Διαβάστε περισσότερα

. ) Hankins,K:Power,2009(

. ) Hankins,K:Power,2009( ن و ی س ن د ه) م ط ا ل ع ه) ف ص ل ن ا م ه ع ل م ی- پ ژ و ه ش ی ج غ ر ا ف ی ا ( ب ر ن ا م ه ر ی ز ی م ن ط ق ه ا ی ) س ا ل ه ش ت م ش م ا ر ه 4 پاییز 1397 ص ص : 23-40 و ا ک ا و ی ز ی س ت پ ذ ی ر ی د ر ف ض

Διαβάστε περισσότερα

ر ی د م ی د ه م ن ر ی د م ن ا س ح ا ن

ر ی د م ی د ه م ن ر ی د م ن ا س ح ا ن ز ا س م ه ی ر ا م ع م ی ح ا ر ط و ی م ی ل ق ا ش ی ا س آ ی ا ه ص خ ا ش ی س ر ر ب ن ا ج ن ز ر ه ش م ی ل ق ا ا ب ی ر ی د م ی د ه م ن ا ر ی ا ن ا ر ه ت ر ت ش ا ک ل ا م ی ت ع ن ص ه ا گ ش ن ا د ی ر ه ش ی ز ی

Διαβάστε περισσότερα

ی ن ا م ز ا س ی ر ت ر ا ت ی و ه ر ی ظ ن ( ن ا ر ظ ن ب ح ا ص و

ی ن ا م ز ا س ی ر ت ر ا ت ی و ه ر ی ظ ن ( ن ا ر ظ ن ب ح ا ص و ف ص ل ن ا م ه ر ه ب ر ی و م د ي ر ي ت آ م و ز ش ي د ا ن ش گ ا ه آ ز ا د ا س ال م ي و ا ح د گ ر م س ا ر س ا ل ه ش ت م ش م ا ر ه 3 پاییز 3931 ص ص -9 9 7 9 ر ا ب ط ه ب ی ن ر ا ه ب ر د ه ا ی م د ی ر ی ت ت

Διαβάστε περισσότερα

2 - Robbins 3 - Al Arkoubi 4 - fry

2 - Robbins 3 - Al Arkoubi 4 - fry ف ص ل ن ا م ه ر ه ب ر ی و م د ي ر ي ت آ م و ز ش ي د ا ن ش گ ا ه آ ز ا د ا س ال م ي و ا ح د گ ر م س ا ر س ا ل ه ش ت م ش م ا ر ه 3 پاییز 3931 ص ص -6 4 1 1 1 2 ح م ی د ب ر ر س ی ر ا ب ط ه ب ی ن ر ه ب ر ی

Διαβάστε περισσότερα

ص ا د ق ف ص ل ن ا م ه ر ه ب ر ی و م د ي ر ي ت آ م و ز ش ي د ا ن ش گ ا ه آ ز ا د ا س ال م ي و ا ح د گ ر م س ا ر س ا ل ه ش ت م. ش م ا ر ه 1 ب ه ا ر 3 9 3 1 ص ص -2 8 5 9 م ق ا ی س ه م ی ز ا ن ک ا ر ب س ت

Διαβάστε περισσότερα

Penyebab Rusaknya Amal

Penyebab Rusaknya Amal 3 ÉΟŠÏm 9$# Ç uη q 9$# «! $# ÉΟó Î0 Penyebab Rusaknya Amal الحمد الله رب العالمين والصلاة والسلام على سيد المرسلين وخاتم النبيين سيدنا محمد النبي الا مي وعلى ا له وصحبه أجمعين.والتابعين لهم با حسان إلى

Διαβάστε περισσότερα

Website:http://journals.iau-garmsar.ac.ir

Website:http://journals.iau-garmsar.ac.ir ه ب د ن و ا د خ م ا ن ه د ن ش خ ب ن ا ب ر ه م ف ص ل ن ا م ه ع ل م ی - پ ژ و ه ش ی ر ه ب ر ی و م د ير ي ت آ م و ز ش ي د ا ن ش گ ا ه آ ز ا د ا س ال م ي و ا ح د گ ر م س ا ر ب ه ا س ت ن ا د م ص و ب ا ت ک

Διαβάστε περισσότερα

پژ م ی عل ام ه ص لن ف

پژ م ی عل ام ه ص لن ف ی ش ه و ژ پ ی- م ل ع ه م ا ن ل ص ف ی ن ا س ن ا ی ا ی ف ا ر غ ج ر د و ن ی ا ه ش ر گ ن 5931 تابستان م و س ه ر ا م ش م ت ش ه ل ا س ی ر ا س ر ه ش ی ی ا ض ف ی د ب ل ا ک ه ع س و ت ل ی ل ح ت و ی س ر ر ب د ا ژ

Διαβάστε περισσότερα

ه ش ر ا د ی ا پ ت ال ح م د ر ک ی و ر ر ب د ی ک ا ت ا ب ی ر ه ش ت ال ح م ی ر ا د ی ا پ ش ج ن س )

ه ش ر ا د ی ا پ ت ال ح م د ر ک ی و ر ر ب د ی ک ا ت ا ب ی ر ه ش ت ال ح م ی ر ا د ی ا پ ش ج ن س ) ه) د ن س ی و ن د) ر و م ی ش ه و ژ پ ی- م ل ع ه م ا ن ل ص ف ) ی ا ه ق ط ن م ی ز ی ر ه م ا ن ر ب ( ا ی ف ا ر غ ج تابستان ه ر ا م ش م ت ف ه ل ا س - : ص ص ری ه ش ر ا د ی ا پ ت ال ح م د ر ک ی و ر ر ب د ی ک

Διαβάστε περισσότερα

م ح ق ق س ا خ ت ه () ک ا ر ش ن ا س- ف ص ل ن ا م ه ر ه ب ر ی و م د ي ر ي ت آ م و ز ش ي د ا ن ش گ ا ه آ ز ا د ا س ال م ي و ا ح د گ ر م س ا ر س ا ل ه ش ت م. ش م ا ر ه 1 ب ه ا ر 3 9 3 1 ص ص -8 6 1 1 3 4 1

Διαβάστε περισσότερα

ر ا د م ن ا ر ی د م ب ا خ ت ن ا د ن ی آ ر ف و د ا د ع ت س ا ت ی ر ی د م ه ط ب ا ر ی س ر ر ب ز ر ب ل ا ن ا ت س ا ن ا ش و ه ز ی ت 2

ر ا د م ن ا ر ی د م ب ا خ ت ن ا د ن ی آ ر ف و د ا د ع ت س ا ت ی ر ی د م ه ط ب ا ر ی س ر ر ب ز ر ب ل ا ن ا ت س ا ن ا ش و ه ز ی ت 2 ي ش ز و م آ ت ي ر ي د م و ی ر ب ه ر ه م ا ن ل ص ف ر ا س م ر گ د ح ا و ي م ال س ا د ا ز آ ه ا گ ش ن ا د 3931 پاییز 3 ه ر ا م ش م ت ش ه ل ا س 9-29 ص ص 1 ی م ی ر ک ر و پ د ا و ج ا ر ا س س ر ا د م ن ا ر ی

Διαβάστε περισσότερα

ک ک ش و ک ن ا ی ن ا م ح ر ی د ه م ن

ک ک ش و ک ن ا ی ن ا م ح ر ی د ه م ن ی ش ه و ژ پ ی- م ل ع ه م ا ن ل ص ف ی ن ا س ن ا ی ا ی ف ا ر غ ج ر د و ن ی ا ه ش ر گ ن 1395 زمستان ل و ا ه ر ا م ش م ه ن ل ا س ع ی ا ن ص ر ب د ی ک أ ت ا ب ی ی ا ت س و ر ی ن ی ر ف آ ر ا ک ه ع س و ت ی و ر

Διαβάστε περισσότερα

ت ي ق ال خ خ ر م ي ن ي ت ي ص خ ش خ ر م ي ن ي ش و ه خ ر م ي ن : ی د ی ل ک ی ا ه ه ژ ا و ن. managers skills (Tehran Sama University)

ت ي ق ال خ خ ر م ي ن ي ت ي ص خ ش خ ر م ي ن ي ش و ه خ ر م ي ن : ی د ی ل ک ی ا ه ه ژ ا و ن. managers skills (Tehran Sama University) Journal of Industrial/Organization Psychology Vol. 3/Issue13/Winter 2012 PP: 59-70 ی ن ا م ز ا س / ی ت ع ن ص ی س ا ن ش ن ا و ر ه م ا ن ل ص ف 1 9 3 1 ن ا ت س م ز م ه د ز ی س ه ر ا م ش. م و س ل ا س 9 5-0

Διαβάστε περισσότερα

ر گ ش د ر گ ت ع ن ص ة ع س و ت ر ب ن آ ش ق ن و ی ی ا ت س و ر ش ز ر ا ا ب ت ف ا ب ی ز ا س ه ب )

ر گ ش د ر گ ت ع ن ص ة ع س و ت ر ب ن آ ش ق ن و ی ی ا ت س و ر ش ز ر ا ا ب ت ف ا ب ی ز ا س ه ب ) ی ش ه و ژ یپ م ل ع ه م ا ن ل ص ف ) ی ا ه ق ط ن م ی ز ی ر ه م ا ن ر ب ( ا ی ف ا ر غ ج 1396 بهار 2 ه ر ا م ش م ت ف ه ل ا س 191 209 ص: ص ی ر گ ش د ر گ ت ع ن ص ة ع س و ت ر ب ن آ ش ق ن و ی ی ا ت س و ر ش ز ر

Διαβάστε περισσότερα

ي ش ز و م آ ت ي ر ي د م و ی ر ب ه ر ه م ا ن ل ص ف ر ا س م ر گ د ح ا و ي م ال س ا د ا ز آ ه ا گ ش ن ا د 3931 پاییز 3 ه ر ا م ش م ت ش ه ل ا س 1 5-2 6 ص ص ن ا س ا ن ش ر ا ک ه ا گ د ی د ز ا ي ل غ ش ت ي ا ض

Διαβάστε περισσότερα

AR_2001_CoverARABIC=MAC.qxd :46 Uhr Seite 2 PhotoDisc :έϯμϟ έϊμϣ ΔϟΎϛϮϟ ˬϲϠϨϴϛ. : Ω έύδθϟ ϰϡϋ ΔΜϟΎΜϟ ΓέϮμϟ

AR_2001_CoverARABIC=MAC.qxd :46 Uhr Seite 2 PhotoDisc :έϯμϟ έϊμϣ ΔϟΎϛϮϟ ˬϲϠϨϴϛ. : Ω έύδθϟ ϰϡϋ ΔΜϟΎΜϟ ΓέϮμϟ PhotoDisc :. : "." / /. GC(46)/2 ا ول ا ء ا ر ا و ا آ (٢٠٠١ ا ول/د آ ن ٣١ ) آ ر ا د ا و آ ت د ار ا ه ا ا ا آ ر ر أ ا أذر ن آ ا ر ا ا ر ا ر ا ا ة ا ردن آ ا ر ا و أر ا ر ا آ أ ن ا ر ا ا ر أ ا ر آ ر ا رغ

Διαβάστε περισσότερα

Relationship between Job Stress, Organizational Commitment and Mental Health

Relationship between Job Stress, Organizational Commitment and Mental Health Journal of Industrial/Organization Psychology Vol. 3/Issue12/Autumn 2012 PP: 9-19 ف ص ل ن ا م ه ر و ا ن ش ن ا ص ن ع ت / ا ز م ا ن ا ل و م. ش م ا ر ه د و ا ز د ه م پاز 1931 ص ص : -19 9 ب ر ر ر ا ب ط ه ب

Διαβάστε περισσότερα

ا و ن ع ه ب ن آ ز ا ه ک ت س ا ی ی ا ه ی ن و گ ر گ د ه ب ط و ب ر م ر ص ا ح م ی م ل ع ث ح ا ب م ی ا ه ه ی ا م ن و ر د ز ا ی ک ی ی

ا و ن ع ه ب ن آ ز ا ه ک ت س ا ی ی ا ه ی ن و گ ر گ د ه ب ط و ب ر م ر ص ا ح م ی م ل ع ث ح ا ب م ی ا ه ه ی ا م ن و ر د ز ا ی ک ی ی ه) ع ل ا ط م 5 9 ن ا ت س م ز / چهارم شماره / دهم سال شناختی جامعه پژوهشهای Journal of Sociological Researches, 2016 (Winter), Vol.10, No.4 ن د ب مدیریت و ن د ش نی ا ه ج بین ه ط ب ا ر تی خ ا ن ش ه ع م ا

Διαβάστε περισσότερα

ر ه ش ت ی ر ی د م ه ب ن ا د ن و ر ه ش د ا م ت ع ا ن ا ز ی م ی ب ا ی ز ر ا )

ر ه ش ت ی ر ی د م ه ب ن ا د ن و ر ه ش د ا م ت ع ا ن ا ز ی م ی ب ا ی ز ر ا ) ه) ن و م ن ی ش ه و ژ پ ی- م ل ع ه م ا ن ل ص ف ی ن ا س ن ا ی ا ی ف ا ر غ ج ر د و ن ی ا ه ش ر گ ن 1396 بهار م و د ه ر ا م ش م ه ن ل ا س ی ر ه ش ت ی ر ی د م ه ب ن ا د ن و ر ه ش د ا م ت ع ا ن ا ز ی م ی ب ا

Διαβάστε περισσότερα

Website:http://journals.iau-garmsar.ac.ir

Website:http://journals.iau-garmsar.ac.ir ه ب د ن و ا د خ م ا ن ه د ن ش خ ب ن ا ب ر ه م ف ص ل ن ا م ه ع ل م - پ ژ و ه ش ر ه ب ر و م د ير ي ت آ م و ز ش ي د ا ن ش گ ا ه آ ز ا د ا س ال م ي و ا ح د گ ر م س ا ر ب ه ا س ت ن ا د م ص و ب ا ت ک م س و

Διαβάστε περισσότερα

1. Dwyer et al., 2. Beugre et al.,

1. Dwyer et al., 2. Beugre et al., ك) ب س ن ا م ز ا س گ ن ه ر ف زش و م آ ت در م و ر ب ه ر ه م ا ن ل ص ف ر ا س م ر گ د ح ا و م ال س ا د ا ز آ ه ا گ ش ن ا د 6 9 3 1 ن ا ت س م ز 4 ه ر ا م ش م ه د ز ا ل ا س 3 7-8 9 : ص ص ت ا ر ا د ا ر د ن ا

Διαβάστε περισσότερα

ش ز و م آ ت در م و ر ب ه ر ه م ا ن ل ص ف ر ا س م ر گ د ح ا و م ال س ا د ا ز آ ه ا گ ش ن ا د 6931 پاز 3 ه ر ا م ش م ه د ز ا ل ا س 7 1-3 4 1 : ص ص ن ا م ل ع م نن ن ا م ز ا س د د د ن و ر ه ش ر ا ت ف ر ج ن

Διαβάστε περισσότερα

م ش د ی ج م ن گ ر ب ه م ط ا ف ن ) ل و ئ س م ه د ن س ی و ن ( ی گ ر ز ب

م ش د ی ج م ن گ ر ب ه م ط ا ف ن ) ل و ئ س م ه د ن س ی و ن ( ی گ ر ز ب ش) خ ب ر 4 ف ن ر ا د ی ا پ ه ع س و ت د ر ک ی و ر ا ب ی ر ه ش ل ق ن لو م ح ی ط ی ح م ت س ی ز ت ا ر ث ا ی ب ا ی ز ر ا ) ر ی ال م ر ه ش ی ز ک ر م س م ش د ی ج م ن ا ر ی ا ر ی ال م ر ی ال م د ح ا و ی م ال س

Διαβάστε περισσότερα

ا ر ب د. ر ا د د و ج و ط ا ب ت ر ا ی گ د ن ز ر س ن ا ز ی م و ی د ب ل ا ک و ش

ا ر ب د. ر ا د د و ج و ط ا ب ت ر ا ی گ د ن ز ر س ن ا ز ی م و ی د ب ل ا ک و ش ه) د ن س و ن ش ه و ژ پ - م ل ع ه م ا ن ل ص ف ) ا ه ق ط ن م ز ر ه م ا ن ر ب ( ا ف ا ر غ ج 6931 تابستان 3 ه ر ا م ش م ت ف ه ل ا س 9 6 2-24 8 : ص ص ت ال ح م و ص ا ص ت خ ا ا ه ه ل ح م ر د ر ه ش گ د ن ز ر س

Διαβάστε περισσότερα

P P Ó P. r r t r r r s 1. r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s. Pr s t P r s rr. r t r s s s é 3 ñ

P P Ó P. r r t r r r s 1. r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s. Pr s t P r s rr. r t r s s s é 3 ñ P P Ó P r r t r r r s 1 r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s Pr s t P r s rr r t r s s s é 3 ñ í sé 3 ñ 3 é1 r P P Ó P str r r r t é t r r r s 1 t r P r s rr 1 1 s t r r ó s r s st rr t s r t s rr s r q s

Διαβάστε περισσότερα

Website:http://journals.iau-garmsar.ac.ir

Website:http://journals.iau-garmsar.ac.ir ه ب د ن و ا د خ م ا ن ه د ن ش خ ب ن ا ب ر ه م ف ص ل ن ا م ه ع ل م ی - پ ژ و ه ش ی ر ه ب ر ی و م د ير ي ت آ م و ز ش ي د ا ن ش گ ا ه آ ز ا د ا س ال م ي و ا ح د گ ر م س ا ر ب ه ا س ت ن ا د م ص و ب ا ت ک

Διαβάστε περισσότερα

Το παρόν κεφάλαιο περιλαμβάνει τις εξής υποενότητες:

Το παρόν κεφάλαιο περιλαμβάνει τις εξής υποενότητες: Το παρόν κεφάλαιο περιλαμβάνει τις εξής υποενότητες: Ι) ΤΑ ΑΡΑΒΙΚΑ ΓΡΑΜΜΑΤΑ.. 3 ΙΙ) ΤΑ ΦΩΝΗΕΝΤΑ ΚΑΙ ΟΙ ΚΙΝΗΣΕΙΣ.. 7 ΙΙΙ) ΟΙ ΚΙΝΗΣΕΙΣ ΚΑΙ ΤΟ «ΣΟΥΚŌŪΝ» ΜΕ ΤΑ ΑΡΑΒΙΚΑ ΓΡΑΜΜΑΤΑ.. 10 IV) ΔΗΜΙΟΥΡΓΙΑ ΜΙΑΣ ΛΕΞΗΣ..

Διαβάστε περισσότερα

الركن الثالث من أركان اإليمان: اإليمان بالكتب

الركن الثالث من أركان اإليمان: اإليمان بالكتب Οι 6 πυλώνες της πίστης: Μέρος 3 Πίστη στα βιβλία του Αλλάχ الركن الثالث من أركان اإليمان: اإليمان بالكتب Άχμαντ Μ.Ελντίν Διπλωματούχος Ισλαμικής Θεολογίας www.islamforgreeks.org Τζαμί «Σάλαφ ους Σαάλιχ»

Διαβάστε περισσότερα

Ÿωuρ $pκš r' tƒ. < ø Ρ. ÏiΒ

Ÿωuρ $pκš r' tƒ. < ø Ρ. ÏiΒ 1 3 4 4 : tβθßϑî=ó Β ΝçFΡr&uρ ωî) è θèÿsc Ÿωuρ ϵÏ?$s)è?,ym!$# (#θà)?$# (#θãψtβ#u t Ï%!$# $pκš r' tƒ :- - #Z ÏWx. Zω%ỳ Í $uκåκ ]ÏΒ ]t/uρ $yγy_ ρy $pκ ]ÏΒ t,n=yzuρ ;οy Ïn uρ < ø Ρ ÏiΒ /ä3s)n=s{ Ï%!$# ãνä3

Διαβάστε περισσότερα

ش ز و م آ ت ی ر ی د م د ش ر ا س ا ن ش ر ا ک. 4

ش ز و م آ ت ی ر ی د م د ش ر ا س ا ن ش ر ا ک. 4 ي ش ز و م آ ت ي ر ي د م و ی ر ب ه ر ه م ا ن ل ص ف ر ا س م ر گ د ح ا و ي م ال س ا د ا ز آ ه ا گ ش ن ا د 3931 تابستان 2 ه ر ا م ش. م ت ش ه ل ا س 9 4-5 6 ص ص ه ل خ ا د م م د ع و ی ل د ا ب ت ن ی ر ف آ ل و

Διαβάστε περισσότερα

د ی ن ا م ز ا س ی د ن و ر ه ش ر ا ت ف ر و ی ر ا ک ی گ د ن ز ت ی ف ی ک ل م ا و ع ن ا ی م و

د ی ن ا م ز ا س ی د ن و ر ه ش ر ا ت ف ر و ی ر ا ک ی گ د ن ز ت ی ف ی ک ل م ا و ع ن ا ی م و Journal of Industrial/Organization Psychology Vol. 3/Issue10/Spring 2012 PP: 25-37 ن ا م ز ا س / ت ع ن ص س ا ن ش ن ا و ر ه م ا ن ل ص ف 1 9 3 1 ر ا ه ب م ه د ه ر ا م ش. م و س ل ا س 5 2-7 3 : ص ص ن ب ر د

Διαβάστε περισσότερα

Q π (/) ^ ^ ^ Η φ. <f) c>o. ^ ο. ö ê ω Q. Ο. o 'c. _o _) o U 03. ,,, ω ^ ^ -g'^ ο 0) f ο. Ε. ιη ο Φ. ο 0) κ. ο 03.,Ο. g 2< οο"" ο φ.

Q π (/) ^ ^ ^ Η φ. <f) c>o. ^ ο. ö ê ω Q. Ο. o 'c. _o _) o U 03. ,,, ω ^ ^ -g'^ ο 0) f ο. Ε. ιη ο Φ. ο 0) κ. ο 03.,Ο. g 2< οο ο φ. II 4»» «i p û»7'' s V -Ζ G -7 y 1 X s? ' (/) Ζ L. - =! i- Ζ ) Η f) " i L. Û - 1 1 Ι û ( - " - ' t - ' t/î " ι-8. Ι -. : wî ' j 1 Τ J en " il-' - - ö ê., t= ' -; '9 ',,, ) Τ '.,/,. - ϊζ L - (- - s.1 ai

Διαβάστε περισσότερα

ل ی ل خ د و و ا د ه ا ر ج ا ه م ز ا ن ه ب 3 د ن ک م ی ل س ی ف ر ش ا د ی ش ر ف : ه د ی ک چ.

ل ی ل خ د و و ا د ه ا ر ج ا ه م ز ا ن ه ب 3 د ن ک م ی ل س ی ف ر ش ا د ی ش ر ف : ه د ی ک چ. شی ز و م آ ت دیری م و ی ر ب ه ر ه م ا ن ل ص ف ر ا س م ر گ د ح ا و می ال س ا د ا ز آ ه ا گ ش ن ا د 5931 پاییز 3 ه ر ا م ش م ه د ل ا س 5 1 1-12 3 ص ص ی ل ی ل خ د و و ا د ه ب ی ل غ ش ت ی ا ض ر ی ر گ ی ج ن

Διαβάστε περισσότερα

1223/2 LATIH TUBI PENDIDIKAN ISLAM 2005 SET 3. 1 (a) Tulis semula petikan ayat al-quran berikut dan letakkan tanda baris dengan sempurna.

1223/2 LATIH TUBI PENDIDIKAN ISLAM 2005 SET 3. 1 (a) Tulis semula petikan ayat al-quran berikut dan letakkan tanda baris dengan sempurna. 1 a) Tulis semula petikan ayat al-quran berikut dan letakkan tanda baris dengan sempurna. ëèƒì ym óοšgïψtã $tβ ϵø n=tã î ƒí tã öνà6å à Ρr& ô ÏiΒ Ñ^θß u öνà2u!%ỳ ô s)s9 ÒΟŠÏm Ô ρâ u š ÏΖÏΒ σßϑø9$î/ Νà6ø

Διαβάστε περισσότερα

نگرشهاي دانشيار چكيده سطح آبه يا گرفت. نتايج

نگرشهاي دانشيار چكيده سطح آبه يا گرفت. نتايج فصلنامه علمي-پژوهشي نو در جغرافياي انساني نگرشهاي 395 سال هشتم شماره چهارم پاييز روش (AHP) و مدل مكانيابي صنايع كارخانهاي با منطق فازي در شهرستان سبزوار كيخسروي قاسم بهشتي تهران اايران دكتري اقليم شناسي

Διαβάστε περισσότερα

1223/2 LATIH TUBI PENDIDIKAN ISLAM 2005 SET 2. 1 (a) Tulis semula petikan ayat al-quran berikut dan letakkan tanda baris dengan sempurna. ...

1223/2 LATIH TUBI PENDIDIKAN ISLAM 2005 SET 2. 1 (a) Tulis semula petikan ayat al-quran berikut dan letakkan tanda baris dengan sempurna. ... 4 3 ( 1223/2 LATIH TUBI PENDIDIKAN ISLAM 2005 1 (a) Tulis semula petikan ayat al-quran berikut dan letakkan tanda baris dengan sempurna. ß ÏΒ σßϑø9$# ãνn= 9$# â ρ à)ø9$# à7î=yϑø9$# uθèδ ωî) tµ9î) Iω Ï%!$#

Διαβάστε περισσότερα

يئادتبلاا لوألاا فص لل لوألاا يص اردلا لص فلا بل طلا ب تك ةعجارملاو فيلأ تل ب م ق نيص ص ختملا نم قيرف ــه 1435 ـــ 1434 ةعبط م2014 ـــ

يئادتبلاا لوألاا فص لل لوألاا يص اردلا لص فلا بل طلا ب تك ةعجارملاو فيلأ تل ب م ق نيص ص ختملا نم قيرف ــه 1435 ـــ 1434 ةعبط م2014 ـــ للüصف االأول االبتدائي الفüصل الدراSسي ا كتاب الطالب أالول قام بالتÉأليف والمراجعة فريق من المتخüصüصين طبعة 1434 1435 ه 2013 2014 م ح وزارة الرتبية والتعليم 1430 ه فهرسة مكتبة امللك فهد الوطنية أثناء النشر

Διαβάστε περισσότερα

: :

: : -. - : - : translation@dawateislami.net : overseas@dawateislami.net : www.dawateislami.net : :.. :. ٦ " " :. ٧ :. :." ". : ٨ . : ß ômr& ô tβuρ :.[ / : ] $[sî= ¹ Ÿ Ïϑtãuρ «!$# n

Διαβάστε περισσότερα

ا ه د ا ف ت س ا ا ب ی ت ع ن ص ک ر ه ش ی ر ب ر ا ک ر ا ر ق ت س ا ر و ظ ن م ه ب ن ی م ز ر س ن ا و ت ی ب ا ی ز ر ا )

ا ه د ا ف ت س ا ا ب ی ت ع ن ص ک ر ه ش ی ر ب ر ا ک ر ا ر ق ت س ا ر و ظ ن م ه ب ن ی م ز ر س ن ا و ت ی ب ا ی ز ر ا ) ه) د ن س ی و ن ز) ا ه) ع ل ا ط م ی ش ه و ژ پ ی- م ل ع ه م ا ن ل ص ف ) ی ا ه ق ط ن م ی ز ی ر ه م ا ن ر ب ( ا ی ف ا ر غ ج 7 9 3 1 ن ا ت س ب ا ت 3 ه ر ا م ش م ت ش ه ل ا س 3 0 3-5 1 3 : ص ص ز ا ه د ا ف ت س

Διαβάστε περισσότερα

خ شی ای ار ک ی اب زیرا ) را ن ت ه ر ش

خ شی ای ار ک ی اب زیرا ) را ن ت ه ر ش د- س ه) ع ل ا ط م ر ه ش گ د ن ز ت ف ک ا ه ص خ ا ش ا ر ا ک ب ا ز ر ا ) ن ا ر ه ت ر ه ش ح ا و ن : د ر و م ر د م د ه م ن ا ر ا ن ا ر ه ت ر ت ش ا ک ل ا م ت ع ن ص ه ا گ ش ن ا د ر ه ش ز ر ه م ا ن ر ب ر ا ش ن

Διαβάστε περισσότερα

א א ١٠ ÉΑöθ sø9$î/ çµs9 #ρã yγøgrb Ÿωuρ Äc É< Ψ9$# ÏNöθ ¹ s öθsù öνä3s? uθô¹r& #þθãè sùös? Ÿω #θãζtβ# u t Ï%!$# $ pκš r' tƒ tβρâßêô±s? Ÿω óοçfρr&uρ öνä3è= yϑôãr& xýt7øtrb βr& CÙ èt7ï9öνà6åò è t/ Ìôγyfx..

Διαβάστε περισσότερα

Mohammad Kafi Zare Dr.Kambiz Kamkary Dr.Farideh Ganjoe Dr.Shohreh Shokrzadeh Shahram Gholami

Mohammad Kafi Zare Dr.Kambiz Kamkary Dr.Farideh Ganjoe Dr.Shohreh Shokrzadeh Shahram Gholami Journal of Industrial/Organization Psychology Vol. 4/Issue16/Autumn 2013 PP: 33-50 ی ن ا م ز ا س / ی ت ع ن ص ی س ا ن ش ن ا و ر ه م ا ن ل ص ف 2 9 3 1 ز ی ی ا پ م ه د ز ن ا ش ه ر ا م ش. م ر ا ه چ ل ا س 3

Διαβάστε περισσότερα

Keywords: TRIZ, Creative Thinking, Scientific Thinking, Problem Solving, Innovation

Keywords: TRIZ, Creative Thinking, Scientific Thinking, Problem Solving, Innovation Journal of Industrial/Organization Psychology Vol. 4/Issue15/Summer 2013 PP: 87-100 ف ص ل ن ا م ه ر و ا ن ش ن ا س ص ن ع ت / س ا ز م ا ن س ا ل چ ه ا ر م. ش م ا ر ه پ ا ن ز د ه م تابستان 2931 ص ص : 1-0 0

Διαβάστε περισσότερα

د ن د و ب ط س و ت م. ن ا ی گ ن ه ر ف ه ا گ ش ن ا د ن ا ن ک ر ا ک ی ن ا م ز ا س گ ن ه ر ف : ا ه ه ژ ا و د ی ل ک

د ن د و ب ط س و ت م. ن ا ی گ ن ه ر ف ه ا گ ش ن ا د ن ا ن ک ر ا ک ی ن ا م ز ا س گ ن ه ر ف : ا ه ه ژ ا و د ی ل ک شی و م آ ت دیری م و ی ر ب ه ر ه م ا ن ل ص ف ر ا س م ر گ د ح ا و می ال س ا د ا آ ه ا گ ش ن ا د 7 9 3 1 ن ا ت س ب ا ت 2 ه ر ا م ش م ه د ا و د ل ا س 3 7 1-16 8 ص ص ن ا ر د ن ا م ن ا ت س ا ن ا ی گ ن ه ر ف

Διαβάστε περισσότερα