25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa.

Σχετικά έγγραφα
Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo

Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani

Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) :

Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana.

Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM

Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo



i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM

Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni

Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( )

Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir

Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu

MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014

IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU

Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja

IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA

05- Fadhila Za Umrah Na Hajj

AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein

MATESO YA DHURIA YA MTUME

Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~

KILIMO CHA ZAO LA VANILLA

SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO

Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania

Mafundisho Ya Madhehebu

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake.

ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ

Estimation of grain boundary segregation enthalpy and its role in stable nanocrystalline alloy design

ΓΗ ΚΑΙ ΣΥΜΠΑΝ. Εικόνα 1. Φωτογραφία του γαλαξία μας (από αρχείο της NASA)

bab.la Φράσεις: Ταξίδι Τρώγοντας έξω ελληνικά-ελληνικά

Αναπληρωτής Καθηγητής Τμήμα Συντήρησης Αρχαιοτήτων και Έργων Τέχνης Πανεπιστήμιο Δυτικής Αττικής - ΣΑΕΤ

HONDA. Έτος κατασκευής

f(w) f(z) = C f(z) = z z + h z h = h h h 0,h C f(z + h) f(z)

Αλληλεπίδραση ακτίνων-χ με την ύλη

Qiraat Imam Asim Riwayat Hafs: Kajian Terhadap Dua Toriq

ΙΑΦΑ Φ ΝΕΙ Ε ΕΣ Ε ΧΗΜΕ Μ Ι Ε ΑΣ ΓΥΜΝ Μ ΑΣΙΟΥ H

Νόµοςπεριοδικότητας του Moseley:Η χηµική συµπεριφορά (οι ιδιότητες) των στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού.

The Composition of the Qur'an and the Book. Book Two : The Miracle of the Qur an (Third Part: pp )

Στρωματογραφία-Ιστορική γεωλογία. Κρυπτοζωικός Μεγααιώνας Δρ. Ηλιόπουλος Γεώργιος Σχολή Θετικών Επιστημών Τμήμα Γεωλογίας

Yusif Idrīs Σπίτι από σάρκα

Για να εμφανιστούν σωστά οι χαρακτήρες της Γραμμικής Β, πρέπει να κάνετε download και install τα fonts της Linear B που υπάρχουν στο τμήμα Downloads.

Το άτομο του Υδρογόνου

Funkcijske vrste. Matematika 2. Gregor Dolinar. Fakulteta za elektrotehniko Univerza v Ljubljani. 2. april Gregor Dolinar Matematika 2

K r i t i k i P u b l i s h i n g - d r a f t

ΝΟΜΟΣ ΤΗΣ ΠΕΡΙΟ ΙΚΟΤΗΤΑΣ : Οι ιδιότητες των χηµικών στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού.

Electronic Supplementary Information

Meren virsi Eino Leino

,+ 2 1ntr0du~a0 TABLE OF CONTENTS. a * 4. LT\,? .fi T? PAGE. n - q;.;.+e Afos ao carbono. Conepxakiue. CTpa~uqa ~Zgina Ukuras a

... 5 A.. RS-232C ( ) RS-232C ( ) RS-232C-LK & RS-232C-MK RS-232C-JK & RS-232C-KK

Parts Manual. Trio Mobile Surgery Platform. Model 1033

SUPPLEMENTAL INFORMATION. Fully Automated Total Metals and Chromium Speciation Single Platform Introduction System for ICP-MS

Ax = b. 7x = 21. x = 21 7 = 3.

Ι ΙΟΤΗΤΕΣ ΤΩΝ ΑΤΟΜΩΝ. Παππάς Χρήστος Επίκουρος Καθηγητής

ΠΕΡΙΟΔΙΚΟΣ ΠΙΝΑΚΑΣ ΣΤΟΙΧΕΙΩΝ

Q π (/) ^ ^ ^ Η φ. <f) c>o. ^ ο. ö ê ω Q. Ο. o 'c. _o _) o U 03. ,,, ω ^ ^ -g'^ ο 0) f ο. Ε. ιη ο Φ. ο 0) κ. ο 03.,Ο. g 2< οο"" ο φ.


ΠΑΡΑΡΤΗΜΑ V. Πρότυπα δυναμικά αναγωγής ( ) ΠΡΟΤΥΠΑ ΔΥΝΑΜΙΚΑ ΑΝΑΓΩΓΗΣ ΣΤΟΥΣ 25 o C. Ημιαντιδράσεις αναγωγής , V. Antimony. Bromine. Arsenic.

Μεταφορά Πρότυπο διασποράς. Ευκίνητη φάση. Περιβάλλον κινητοποίησης στοιχείων. Περιβάλλον απόθεσης στοιχείων

Χθμικόσ Δεςμόσ (Ομοιοπολικόσ-Ιοντικόσ Δεςμόσ) Οριςμοί, αναπαράςταςη κατά Lewis, ηλεκτραρνητικότητα, εξαιρζςεισ του κανόνα τησ οκτάδασ, ενζργεια δεςμοφ

PHÉP TÍNH VI PHÂN HÀM MỘT BIẾN

Japanese Fuzzy String Matching in Cooking Recipes

,, #,#, %&'(($#(#)&*"& 3,,#!4!4! +&'(#,-$#,./$012 5 # # %, )

ΠΕΡΙΟΔΙΚΟ ΣΥΣΤΗΜΑ ΤΩΝ ΣΤΟΙΧΕΙΩΝ (1) Ηλία Σκαλτσά ΠΕ ο Γυμνάσιο Αγ. Παρασκευής

!"##$%&'()*(+&%, ( -#($,"./)(&0(+&%,12*324.(25($2$/&4('*&%$/$(( /(6&#(7"&#8(9")*,2(:/;2( ( (

..,..,.. ! " # $ % #! & %

ΕΤΗΣΙΑ ΑΝΑΦΟΡΑ ΠΡΟΣ ΤΗΝ ΕΠΙΤΡΟΠΗ ΔΙΑΧΕΙΡΙΣΗΣ ΥΓΡΟΤΟΠΟΥ. Σύνοψη συμπληρωματικών δράσεων διαχείρισης των νερών στην Πρέσπα για το έτος 2014

Odvod. Matematika 1. Gregor Dolinar. Fakulteta za elektrotehniko Univerza v Ljubljani. 5. december Gregor Dolinar Matematika 1

ΣΧΟΛΗ ΤΕΧΝΟΛΟΓΙΚΩΝ ΕΦΑΡΜΟΓΩΝ ΤΜΗΜΑ ΟΧΗΜΑΤΩΝ ΠΤΥΧΙΑΚΗ ΕΡΓΑΣΙΑ ΔΙΑΒΡΩΣΗ ΚΑΙ ΠΡΟΣΤΑΣΙΑ ΤΩΝ ΥΛΙΚΩΝ Η ΠΕΡΙΠΤΩΣΗ ΤΩΝ ΧΑΛΥΒΩΝ ΣΤΑ ΑΥΤΟΚΙΝΗΤΑ.

ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΑΙΓΑΙΟΥ ΣΧΟΛΗ ΕΠΙΣΤΗΜΩΝ ΤΗΣ ΙΟΙΚΗΣΗΣ ΠΡΟΓΡΑΜΜΑ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΩΝ ΣΠΟΥ ΩΝ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΟ ΙΠΛΩΜΑ ΙΟΙΚΗΣΗΣ ΕΠΙΧΕΙΡΗΣΕΩΝ ΜΕ. Ι..Ε.

Kotne in krožne funkcije

Έλεγχος θρέψης σε κλειστά υδροπονικά συστήματα

Κεφάλαιο 1. Έννοιες και παράγοντες αντιδράσεων

Τμήμα Γεωτεχνολογίας & Περιβάλλοντος

'( )*(((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((((( +

ΠΡΙΤΣΙΝΑΔΟΡΟΣ ΛΑΔΙΟΥ ΑΕΡΟΣ ΓΙΑ ΠΡΙΤΣΙΝΙΑ M4/M12 ΟΔΗΓΙΕΣ ΧΡΗΣΗΣ - ΑΝΤΑΛΛΑΚΤΙΚΑ

Παρασκευή 1 Νοεμβρίου 2013 Ασκηση 1. Λύση. Παρατήρηση. Ασκηση 2. Λύση.

Βασικά σωματίδια της ύλης

ΟΜΟΣΠΟΝΔΙΑ ΕΚΠΑΙΔΕΥΤΙΚΩΝ ΦΡΟΝΤΙΣΤΩΝ ΕΛΛΑΔΟΣ (Ο.Ε.Φ.Ε.) ΕΠΑΝΑΛΗΠΤΙΚΑ ΘΕΜΑΤΑ ΕΠΑΝΑΛΗΠΤΙΚΑ ΘΕΜΑΤΑ 2018 Β ΦΑΣΗ

ΓΕΩΧΗΜΕΙΑ Δ ΕΞΑΜΗΝΟ ΕΙΣΑΓΩΓΗ- ΠΕΡΙΕΧΟΜΕΝΑ ΜΑΘΗΜΑΤΟΣ. Χριστίνα Στουραϊτη

Parts Manual. Wide Transport Stretcher Model 738

P P Ó P. r r t r r r s 1. r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s. Pr s t P r s rr. r t r s s s é 3 ñ

Appendix B Table of Radionuclides Γ Container 1 Posting Level cm per (mci) mci

Αριστοτέλειο Πανεπιστήμιο Θεσσαλονίκης Σχολή Θετικών Επιστημών Τμήμα Φυσικής Τομέας Θεωρητικής Φυσικής

Ανακύκλωση θρεπτικών διαλυμάτων σε κλειστά υδροπονικά συστήματα

!"#!$% &' ( )*+*,% $ &$ -.&01#(2$#3 4-$ #35667

ΜΕΡΟΣ Α' (Διάρκεια εξέτασης: 15 min)

τροχιακά Η στιβάδα καθορίζεται από τον κύριο κβαντικό αριθµό (n) Η υποστιβάδα καθορίζεται από τους δύο πρώτους κβαντικούς αριθµούς (n, l)

Κβαντική θεωρία και ηλεκτρονιακή δομή των ατόμων

ΟΞΕΙΔΟΑΝΑΓΩΓΙΚΕΣ ΑΝΤΙΔΡΑΣΕΙΣ

Κεφάλαιο 8. Ηλεκτρονικές Διατάξεις και Περιοδικό Σύστημα

HR SLO RUS GR SK CZ H PL P E I N FI DK S NL F GB D LV LT EST AL BG TR RO UA SRB. 4000/5 eco Art /5 eco Art /5 eco inox Art.

ΕΦΗΜΕΡΙΣ ΤΗΣ ΚΥΒΕΡΝΗΣΕΩΣ

ECOELASTIKA ΑΕ ΕΚΕΤΑ/ΙΔΕΠ

GARDENA FIN I E. ErgoCut 48 Art ErgoCut 58 Art GR RUS SLO AL EST

TRÌNH TỰ TÍNH TOÁN THIẾT KẾ BỘ TRUYỀN BÁNH RĂNG TRỤ (THẲNG, NGHIÊNG)

ΧΗΜΕΙΑ Α ΛΥΚΕΙΟΥ ΚΕΦΑΛΑΙΟ 4

Š ˆ ˆ ˆ Š ˆ ˆ Œ.. μ É Ó

Αντιδράςεισ Οξείδωςθσ-Αναγωγισ. Fe(s) + CuSO 4 (aq) Fe(s) + Cu 2+ (aq) FeSO 4 (aq) + Cu(s) Fe 2+ (aq) + Cu(s)

Zaporedja. Matematika 1. Gregor Dolinar. Fakulteta za elektrotehniko Univerza v Ljubljani. 22. oktober Gregor Dolinar Matematika 1

Transcript:

25-Faharasa Neno Maana Yake Aaridhw as-sukuwn Ibaadah sukuwn pana ya kusimami neno. ibada Ahkaamut-Tajwiyd Alfaadhw Hukumu za Tawjiyd Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw Arjah Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa. Ar-Rawm Maana ya asil ni ombi. Katika Tajwiyd ni kuifanya vokali au irabu kuwa dhaifu hadi kwamba ipotee sauti yake, au kutumia sehemu ya vokali au irabu. Hivyo ni kutamka kwa haraka vokali au irabu katika neno la mwisho analosimamia msomaji huku ikisikika. As-Sakt Kipumziko bila ya kushusha pumzi Azaaimu sujuwd Sijda zilizoazimiwa au zilizoruhusiwa; Sijda zilizosisistizwa katika kusoma Qur-aan Basmalah BismiLLaah - kwa Jina la Allaah Dhikri, dhikru-allaah Kumdhukuru Allaah kwa kila aina; kukumbuka Utukufu Wake, neema Zake, ihsani Yake kwa kutaja jina Lake; kumsabbih, kumpwekesha, kumshukuru, kumsifu, kumtukuza, kuomba maghfirah, kusoma Quraan, kumswalia Mtume اللهعليه وسلم (صلى (, na kwa Dhwamiyr kuzingatia na kuyataamali Majina Yake Matukufu. Kiwakilishi nomino

Dhwammah Vokali au irabu ya u Dhwammatayn, Vokali mbili za u Faqiyh Mwanachuoni aliyebobea katika somo la fiqhi. Fardh ayn Wajib wa kila Muislamu kutekeleza jambo fulani la sheria ya Kiislamu. Fardhi kifaayah Wapatikane baadhi ya watu kutenda jambo fulani la sheria ya Kiislamu hivyo huwa imetosheleza katika jamii ya Kiislamu. Fat-haa Vokali au irabu ya a Fathatayni Vokali au irabu mbili za a Ghunnah Hamzatul-Qatw Hamzatul-Waswl Harakah/Harakaat Herufi za hawaaiyyah Sauti inayotoka puani ya mvuto wa harakah mbili Hamzah ya kukata Hamzah ya kuunga Kipimo cha mvuto wa madd kukadiria urefu wa sauti (kwa hesabu ya sekunde) Herufi za hewa Herufi za Hijaaiyyah Hukmu Herufi za alfabeti Hukumu, kanuni I raab Irabu au vokali; fat-hah, kasrah, dhwammah, sukuwn, na tanwiyn Idghaam Ikhtilaas Kuunganisha au mlishizo wa herufi kwa herufi nyingine. Maana ya asili ni kunyakua vokali au irabu kwa haraka hata ibakie vokali au irabu kidogo. Katika riwaaya ya Hafs an Aaswim ikhtilaas

inatekelezwa katika neno moja tu nalo ni katika Suwrat Yuwsuf (12:11) $ Ζ0Βù's? Imaam Maimaam Imamu- kiongozi wa Dini kama vile katika kusalisha. Maimamu ujumla wa imamu Ish-maam Isti aadhah Jannah Jarr Jawwada Kasraa Kasratayni Lafdhw Al-Jalaalah Maana yake ya asili ni kuchanganya. Katika Tajwiyd ni kuchanganya herufi au vokali. Na katika riwaayah ya Hafsw an Aaswim maana pekee ni kuufanya mdomo uchanganye kutamka vokali au irabu ya dhwammah (u) pamoja na sukuwn. Kuomba kinga kutokana na shaytwaan kwa kusema Awdhu BiLLahahi minash- Shaytwaanir-rajiym Pepo Vokali au irabu ya i Ni kufanya jambo vizuri. Katika Tajwiyd ni kuisoma Qur-aan ipasavyo kwa hukmu za Tajwiyd. Anaposema mtu Jawwadal-Quraan maana yake ameisoma Qur-aan kwa uzuri kabisa kama ipasavyo kwa hukmu za Tajwiyd. Vokali au irabu ya i Vokali au irabu mbili za i (سبحانه وتعالى) Allaah الله Kutamka jina la

Lahn Lahnul-Jaliy Lahnul-Khafiy Madd Maddiyah Maana ya asili ni kutamaka kimakosa. Katika Tajwiyd ni kukosa kuisoma Qur-aan kwa hukmu za Tajwiyd ambako kunapelekea kufanya makosa ya dhahiri au ya kufichika. Makosa ya dhahiri (Makubwa) Makosa ya kufichika (Madogo) Mvuto wa herufi Za madd Maddul-Aswlliy Maddul-Far iy Maddut-Twabiy iy Madd ya asili, asilia Madd ya matawi Madda ya asili, asilia. Maf- uwl / Maf- uwlun-bih Katika nahw ya lugha ya Kiarabu inayomaanisha: kitu au mtu aliyetendewa kitendo. Makhaarij Al-Huruwf/ Makhraj Matokeo ya herufi Sehemu moja ya kutokea herufi Makruwh Mandhwumah Inachukiza Maana ya asili; mfumo, njia, utaratibu fulani. Maana ya ki-shariy ah ni shairi au qaswiydah linaloundwa kufanya mukhtasari wa funzo la somo fulani. Mujtahid Mtu anayefanya jihaad katika mambo ya Dini, kama kutafuta elimu, kufundisha, kufanya da awah n.k Munaasib Mushaddad Iliyo na shaddah Mutabaa id Mutajaanis Zinazowekana/zinazokuwa mbali Zinazoshabihiana

Mutakhasw-swiswuwn Watu walioshughulika zaidi na jambo fulani; mfano waliobobea katika somo la Tajwiyd. Mutamaathil Mutaqaarib Mutawaatir Zinazaofanana sare Zinazokaribiana Mapokezi yaliyopokewa na watu wengi (vipindi mbali mbali vya miaka) kutoka kwa watu wengi mfano wao, na inakuwa si rahisi kwao wao kupokea riwaayah za uongo. Nabrah kugongeka Kugongeka kwa herufi. Kupanda sauti ya herufi inapotamkwa. Naswb Vokali au irabu ya a Nuskhah kopi Nutqw tamko Qaadhwi Kadhi Qaariu/Qurraa-ah/ Maqurraa-ah Qamariyyah Qiblah Msomaji/Wasomaji/Wasomaji Herufi zinazojulikana kuwa ni herufi za mwezi; ni zile ambazo hazikuingiwa na shaddah baada ya alif na llaam na hivyo kuifanya laam itamkwe. Kibla Qiraa-ah, qiraat Quraysh Kisomo Kabila la Waarabu waliokuwa Makkah kabla ya Uislamu na baada yake. Raawiy Mpokezi wa Hadiyth au kauli Raf- u Vokali au irabu ya u

Rakhaawatihaa Udhaifu au ulaini wake Riwaayah Upokezi Riyaa-a Riya kujionyesha katika ibada au jambo la kheri linalomshirikisha Allaah وتعالى) (سبحانه kama ni shirki ndogo. Sajdatu-Tilaawah Salafus-Swaalih Sajda ya kisomo Waja wema waliotangulia Shamsiyyah Shariy ah Herufi zinazojulikana kwa ni herufi za jua; ni zile ambazo zenye kuingiwa na shaddah baada ya alif na laam na hivyo kuifanya laam isitamkwe. Sheria, hukmu ya Dini ya Kiislamu. Shaytwaan shetani Sijjdah sajdah, sujuwd sijda Sunnah muakkadah Sunnah iliyosisitizwa Swifaat Al-Huruwf Sifa za herufi Swiffah Sifa Taabi Taabi iyn. Aliyefuata waliofuata. Kizazi cha tatu baada ya karne ya Mtume الله عليه وسلم) (صلى. Ali Tafkhiym Takkbiyrah Kutamka kwa kuifanya herufi nzito kwa kujaza mdomo Kumtukuza Allaah وتعالى) (سبحانه kwa kusema Allaahu Akbar

Talaqqiy Tarqiyq Tartiyl Tilaawah Twahaarah Twariyq Ash- Shaatwibiyyah Kusoma Qaariu mbele ya mwanafunzi uso kwa uso kisha mwanafunzi anamfuatiliza qiraa-ah chake. Kutamka kwa kuifanya herufi iwe hafifu bila ya mdomo. Kusoma Qur-aan kwa utaratibu upasao. Usomaji (Qur-aan) Tohara kuwa katika hali ya kukuruhusu kutekeleza amali kadhaa za ibaadah. Pia ni kufanya udhu, ghuslu. Twariyq ni njia. Ash-Shaatwibiyyah ni jina la Imaam Ash- Shaatwibiyy. Shaatwibiyyah ni jina la shairi liloandikwa na Imaam Ash-Shaatwibiyy kuhusu viraa saba, likajulikana kwa umaarufu Qaswiydah Ash- Shaatwibiyyah fil-qiraatis-sab-. Twariyq (njia) hii ya Ash-Shaatwibiyyah ndio njia maarufu ambayo aghlabu ya Waislamu wanaisoma Qur-aan. Twariyq Twayyibatin- Nashr Ummah Hukmu alizoziandika Imaam ibn Al-Jazariyy kuhusu Viraa kumi katika kitabu chake: An- Nashr fil Qiraatil- ashr. Shairi aloandika kuwepesisha kujfunza njia hizo linaitwa Twayyibatun-Nashr fil-qiraat al- ashr Na njia hizo zinaitwa Twariyq Atw-Twayyibah. Umati/umma