AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein

Μέγεθος: px
Εμφάνιση ξεκινά από τη σελίδα:

Download "AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein"

Transcript

1 AHLUL ~ KISAA Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein Kimetungwa na: Ahmad Badawy bin Muhammad Al-Husseiny Kimehaririwa na: Sheikh Harun Pingili Yamefuatia Mashairi ya MWENYE MANSABU Yaitwayo "KISHAMIA" Kimetolewa na Kuchapishwa na: BILAL MUSLIM MISSION OF TANZANIA P.0. BOX DAR ES SALAAM - TANZANIA. 1

2 Haki ya kunakili imehifadhiwa na: Bilal Muslim Mission of Tanzania ISBN Toleo la kwanza (Lilitolewa na Islamic research Organisation- Mombasa, Kenya) 1964 Toleo la Pili 1989: Nakala 5,000 Toleo la Tatu 1998: Nakala 5,000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Bilal Muslim Mission of Tanzania P.O. BOX 20033, DAR ES SALAAM TANZANIA 2

3 YALIYOMO 1. Dibaji Utangulizi Maana ya Ahlul - Kisaa Kuolewa kwake Kifo Chake Imamu Ali Nasaba Yake Kuzaliwa Kusilimu Kwake Utukufu Wake Ushujaa Wake Kisa cha Anas bin Malik Elimu ya Imamu Ali Sifa Zake Yeye na Ukhalifa Utawala Wake (Hitilafu Yake) Vita vya Jamal (Ngamia) Vita vya Siffin Uamuzi (Tahkim) Kuuawa kwa Imamu Ali Familia Yake Misemo Yake Imamu Hasan Ukarimu Wake Utukufu Wake Utawala Wake (Khilafa Yake) Hassan Kuacha Ukhalifa Muawiya Kumrithisha Mwanawe Yazid Utawala Kifo cha Imamu Hassan Misemo Yake Imamu Hussein Hussein na Ukhalifa Kifo cha Muslim bin Akil na Haani bin Arwah Hussein Aihama Makkah Karbala Ashura Hotuba ya Mwisho ya Hussein Wakati wa vita Kifo cha Imamu Hussein Safari ya Syria Watoto wa Imamu Hussein Misemo Yake Maana ya Masharifu

4 DIBAJI Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu. Kila sifa njema na shukrani ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa Ulimwengu. Rehema na amani zimshukie Mtume Muhammad, Jamaa (Aali) zake, na Sahaba zake. Marhum Sheikh Abdullah Saleh Farsy amefanya kazi kubwa juu ya Uislamu kwa kutunga MAISHA YA NABII MUHAMMAD (s.a.w.w.) - Sallallahu Alaihi wa Aalihi wa sallam). Ni muhimu sana kwa kila Mwislamu kukijua kitabu hiki, kwa sababu kimekusanya tarehe na sifa za Mtume Muhammad (s.a.w.w.). Kadhalika, Marhum Sheikh Muhammad Kasim Mazrui amefuatisha vitabu juu ya Makhalifa wanne, baada ya Mtume (s.a.w.w.), navyo ni: 1) Maisha ya Abubakar Asiddik, 2) Maisha ya Umar Al-Faruk, 3) Maisha ya Uthman Ibn Affan, 4) Maisha ya Ali Ibn Abi Talib. Vitabu hivi vinne ni muhimu sana na nafuu kubwa kwa Waislamu wa Afrika Mashariki, kwa sababu vinaeleza kwa Kiswahili tarehe ya Uislamu baada ya Mtume Muhammad (s.a.w.w.). Ninawahimiza sana Waislamu, wakubwa na watoto, wavisome vitabu hivyo vitano. Mungu awalipe malipo mazuri Marhum Sheikh Abdullah Saleh Farsy na Marhum Sheikh Muahammad Kasim Mazrui, na vizazi vyao, Ninamwomba duniani na Akhera - Amen. Mimi nimeona vizuri nifuatishe vitabu hivyo kwa kutunga kitabu juu ya tarehe ya AHLUL-BAYT (Watu wa Nyumbani mwa Mtume (s.a.w.w.) na nikakipa jina la AHLUL-KISAA (Watu wa Kishamia). Sikutaja tarehe ya watoto wote wa Mtume, wala tarehe ya Wake zake, (Radhiallahu Anhum Ajmaeen-R.A.A.) lakini nimetaja tarehe za wale tu walioingizwa na Mtume Muhammad (s.a.w.w.) mwenye KISAA, nao ni Fatima, Ali, Hassan na Hussein (Alaihimus Salaam - A.S). Makusudio yangu ni kutaka radhi za Mwenyezi Mungu, ambaye alimwambia Mtume wake awaambie Waislamu:... Sema (ewe Rasuli Wetu Muhammad); Kwa haya (huku kukubalighishieni Ujumbe wa Allah) sikuombeni ujira wowote, ila mapenzi (yenu) kwa jamaa (zangu)..."(ash-shuura, 42:23) Namwomba kila atakayeona makosa katika kitabu hiki, asahihishe na anipe habari, kwani asiyekosa ni Mwenyezi Mungu tu. 4

5 UTANGUIIZI Natoa shukrani zangu kwa kila aliyekisadia kitabu hiki. Mara ya kwanza kilichapishwa na ISLAMIC RESEARCH ORGANISATION, MOMBASA (KENYA), mwenye mwaka Sasa, BILAL MUSLIM MISSION OF TANZANIA imekubali kukichapisha na kukieneza, ili watu waendelee kupata faida. Nimeruhusu kufanya mabadilisho ya baadhi ya maneno ili wasomaji waweze kufahamu kwa urahisi. Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuni wezesha kukimaliza kitabu hiki. Kadhalika nawashukuru walionisaidia kukipiga chapa kitabu hiki, na malipo yao yako kwa Mwenyezi Mungu. Namwomba kila asomae kitabu hiki, ajaribu kukitangaza na kuwatia hima wenziwe kukisoma, kwani kusoma kwenu ndiko kutakapotupa hima sisi kutoa vitabu vingine vya dini. AHMAD BADAWY BIN MUHAMMAD AL-HUSSEINY, S.L.P 81895, MOMBASA (KENYA) 23rd August, 1988(1Oth Muharram, 1409) 5

6 MAANA YA AHLUL KISAA Neno "KISAA" lina maana ya nguo ya kujitanda au kujifunika; Kiswahili ni kishamia, ) آساء ( mharuma. shali au ) آساء ( Utukufu Kutamka "KISAA", kwa fataha ya kafu. Maana yake ni ubora na Kwa maana zote mbili hizo, neno hili ni sawa kwani hao ni watu wa kishamia, tena wenye mifano bora na yenye utukufu. Lakini makusudio yake mwenye mada hii ni watu wa kishamia. Hadithi ya Kisaa (Watu wa Kishamia) ni mashuhuri sana, na imepokewa na masahaba wengi na maimamu wa hadithi. Mmoja katika maimamu ni Imamu Muslim, mwenye kitabu chake cha hadithi, kiitwacho SAHIHI MUSLIM, yeye amesema: "Mtume (s.a.w.w.) aliwakaribisha (Imamu) Ali, Fatimah, Hassan na Hussein mwenye Kishamia. kisha akaisoma aya hii: #Z ÎγôÜs? ö/ä.t ÎdγsÜãƒuρÏMø t7ø9$# Ÿ δr& } ô_íh 9$# ãνà6ζtã =Ïδõ ã Ï9ª!$# ß ƒì ãƒ$yϑ ΡÎ).4 Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu, Enyi watu wa nyumbani, na kukutakaseni kabisa (Sura 33:33) Vile vile Imamu Ahmad ameipokea hadithi hii kwa Sahaba Abu Said Al-Khudri kuwa iliteremka aya hii kwa ajili ya Watukufu hawa wane, na Mwenyewe Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni wa tano. Kwa hivyo, mshairi amesema:- "Kwanza ni Mtume, Ali na Al-Hasani. Kisha Huseini, mama yao ndiye wa mwishoni, Mkiwa na haja. kuu mno tawasalini. Kwa watano hao, hujibiwa dua kwa hima Kadhalika mwenye hadithi nyingine, Mtume (s.a.w.w.) baada ya kuisoma aya hii tuliyoitaja, aliongeza kusema: "Ewe Mola! Hawa ndio Ahlul Bait wangu khasa, waondolee uchafu na uwatakase kabisa-kabisa, umnusuru mwenye kuwanusuru hawa, na mpige vita mwenye kuwapiga vita hawa". Na hadithi nyingine tena mwenye Sahihi Muslim ambayo aliyeipokea ni Ummu Salamah, mke wa Mtume (s.a.w.w.) baada ya kuwakusanya Ali, Fatimah, Hassan na Husein", akasema: "ewe Mola, hawa ndio "Ahlu- Bait" wangu, waondolee uchafu". Nikasema: Je na mimi ni pamoja nao ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Mtume (s.a.w.w.) akanijibu: "kaa hapo hapo wewe ukatika kheri". Kwa hadithi hii ya Imamu Muslim iliyopokewa kutoka kwa mke wa Mtume (s.a.w.w.) na ya pili ni ile tuliyoitaja mwanzo iliyoeleza sababu ya kushuka Aya hii: yatuonyesha wazi kuwa "Ahlul-Kisaa" ndio "Ahlul - Bait", nao ni hao niliowataja, watu 6

7 wanne pamoja na Mwenyewe Mtume (s.a.w.w.)ni wa tano, na ingawa aya ya "Ahlul - Bait" imeambatanishwa na aya (WAQARNA FI BUYUTI KUNNA...) kama aya moja kwa maandishi lakini kipande cha mwisho kisemacho (INA MAA YURIIDU-LLAHU LI YUDH'HIBA...) Kwa mujibu wa riwaya zinazoeleza sababu ya kuteremka kwake zaeleza kipande cha hii aya: (INA MAA YURIDULLAHU...) kiliteremka kwa watu waliofunikwa Kishamia tu, Kisha Mtume (s.a.w.w.) aliwakusudia watu hawa na akawaombea Mungu, kama hadithi ya Ummu Salamah, mkewe Mtume (s.a.w.w.): ionyeshavyo, na nyingine ya Ummu Salamah, mkewe Mtume (s.a.w.w.): ionyeshavyo, na nyiginezo kadha wa kadha. Nayatilia nguvu maneno haya kwa kisa cha Wanaswara (Wakristo) wa Najran. Ujumbe wa Wakristo uliokwenda kumhoji Mtume (s.a.w.w.) kwa habari ya Nabiy Issa kuwa si mja wa Mungu ni mtoto wa Mungu, hapo Mwenyezi Mungu akamteremshia Mtume (s.a.w.w.) Aya hii:- $tρu!$ ÎΣuρ ö/ä.u!$oψö/r&uρ $tρu!$oψö/r& äíô tρ (#öθs9$yès? ö à)sù ÉΟù=Ïèø9$# z ÏΒ x8u!%ỳ $tβ Ï èt/. ÏΒ Ïµ Ïù y7 _!%tn ô yϑsù š Î/É x6ø9$# n?tã«!$# MuΖ è 9 yèôfuζsùö ÍκtJö6tΡ ΟèOöΝä3 à Ρr&uρ$oΨ à Ρr&uρöΝä.u!$ ÎΣuρ "Mwenye kujadiliana (kushindana) nawe katika hilo (la Nabii Issa) baada ya kukujia elimu (ujuzi kuwa Issa ni mja wa Mungu. Si mtoto wake), basi sema: Njooni!tu waite watoto wetu na watoto wenu, na wake zetu na wake zenu, na nafsi zetu na nafsi zenu (watu wetu na wenu); kisha tuombe kwa unyenyekevu na kuiweka "laana" (mateso) ya Mwenyezi Mungu juu ya waongo". (Suura 3:61) Hapo tena Mtume (s.a.w.w.) akatoka yeye na wajukuu zake ("ndio maana ya watoto wetu") yaani Hassan na Husayn, akatoka binti yake Bibi Fatimah (ndiyo maana ya "wake zetu"), akamchukua pamoja na hao Imamu Ali (ndiyo maana ya "nafsi zetu") akatoka Mtume (s.a.w.w.) pamoja na watu wanne hao tu, akaenda nao mpaka mbele ya hao Wakristo, akawaambia "Mimi ninaomba Dua na ninyi itikieni (Amin), lakini wapi, ukweli ukisonga uwongo hujitenga; Nani anathubutu kupambana na watu hawa kwa kuapizana! Wakaogopa, Walikatazwa na mkubwa wao, Aliwaambia: "Hawajaapizana kaumu yoyote na Mtume ila kuangamia (hupotea wakafikiwa na mabalaa). Hapo tena wakafanya sulhu kwa kutoa jiziya (kodi) kuwapa Waislamu. Hadithi hii imepokewa na Imamu wa hadithi, bwana Abu Nuaim. Tumeona kuwa Aya ya Qur'an imetaja "wake" na Mtume (s.a.w.w.) hakutoka na mke yeyote miongoni mwa wake zake wala mwanamke yeyote ila alitoka na Bibi Fatumah peke yake, kadhalika Aya imetaja " watoto "na Mtume (s.a.w.w.) hakutoka na kijana wa jamaa yake wala wa yeyote bali alitoka na wajukuu zake Hassan na Husseyn. Basi mabwana wanne hawa, Ali na mkewe na watoto wao; ndio alioamrisha Mtume (s.a.w.w.) wapendwe kwa hadithi nyingi za Mtume (s.a.w.w.), na katika Qur-an ni ile aya niliyoitaja mwanzo. Aya kamili, na maana yake nimekwisha kuieleza. Na makusudio yake kuteremshwa aya hii ni kwa ajili ya watu wanne hawa, kwa dalili waliyoipokea maimamu hawa: Imamu Ahmad, Tabrani na Hakim: wote 7

8 wameipokea hadithi hii kutoka kwa bwana Abdullah bin Abass (R.A.), yeye amesema ilipoteremka aya hii, Masahaba walimuuliza Mtume (s.a.w.w.) Wakasema: "Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Ni nani hao walio karibu zake wapasikao juu yetu kuwapenda" Mtume (s.a.w.w.) akasema: "Ni Ali, Fatma na watoto wao (Hassan na Hussein)". Na walio karibu na Mtume (s.a.w.w.) yaani jamaa zake ni wengj, ni Banu Hashim wote, hata na Makureish wote. Na wote hao Mtume (s.a.w.w.) aliamrisha wapendwe kwa hadithi nyingi alizozisema juu ya watu hao, lakini walio bora kuliko wote na aliowasisitiza sana Mtume (s.a.w.w.) wapendwe ni hawa watu wanne. Nikiendelea kuzieleza sifa za watu hawa watukufu, nitakijaza kitabu chetu hiki wala hakitatosha wala hatutawahi kusema mengine juu ya maisha yao, Hivyo naendelea kusema: Imamu Muslim mwenye Sahihi yake ameipokea hadithi itolewayo kwa Sahaba mkubwa Bwana Zaid bin Akram (R.A.) amesema: Alisema Mtume (s.a.w.w.) mahali paitwapo "KHAMM" baina ya Makkah na Madinah, Mtume (s.a.w.w.) akatoa khutuba. Alimshukuru Mwenyezi Mungu kisha akasema' "amma Baad, Enyi watu! Hakika si jingine (bali) mimi ni binadamu kama ninyi, nachelea kunijilia mjumbe wa Mola wangu (Malaika wa mauti) nami nikamjibu (akaichukua roho): basi na mimi nawaachieni ninyi vitu viwili (vitukufu): cha kwanza ni kitabu cha Mwenyezi Mungu (Quran) ndani yake mna uongofu na nuru, basi shikamaneni nacho na mkitumie" Mtume (s.a.w.w.) akasisitiza sana na kusogeleza juu ya Qur~an, kisha akasema: "Na Ahlul Baity", (watu wa nyumba yangu) nawakumbusha kwa Mungu na Ahlul Baity "Alikariri mara tatu tamko la Ahlul Baity" (Watu wa nyumba yangu). Imepokewa hadithi na Addailamy, kuwa Mtume (s.a.w.w.) amesema: "Wafundisheni adabu watoto wenu kwa mambo matatu. 1. Kwa kumpenda Mtume wenu (s.a.w.w.) 2. Na kuwapenda Ahlul Baity zake 3. Na kusoma Qur-ani. Kadhalika Mtume (s.a.w.w.) aliwaambia Sahaba zake LAAH TUSWALII 'ALLAYYASW SWALAATAL BATRAA-A Msinisalie sala ya mkato. (Sahihi Bukhari na Sahih Muslim) Masahaba wakamuuliza: Ni ipi hiyo Sala ya MKATO? Akawaambia "Ni kusema: Ewe Mola! Mrehemu Muhammad Kisha mkanyamaza: Lakini semeni: "Ewe Mola! Mrehemu Muhammad na Aali Muhammad Na Aali hapa ni walioamini katika jamaa zake yaani Banu Hashim na Dhuriya zao wote. Kwa hiyo baadhi ya maimamu na Wanavyuoni wamesema Sala juu ya Aali Muhammad mwenye tashahud (Attahiyyatu) ya Mwisho ni wajibu, yaani ni lazima na ni miongoni mwa nguzo za sala kwa hadithi ile ya Mtume (s.a.w.w.) aliposema kuwa asisaliwe sala ya MKATO kama nilivyoeleza nyuma. Na wamechukulia maneno ya Imamu Shafii aliposema:- 8

9 YAA AHLA BAYTI RASUULIL LAAHI? HUBBUKUM FARADHUN MINALLAAHI FIIL QUR-AANI ANZALAHU, KAFAAKUM MIN 'ADHWIIMIL QADRI ANNAKUM MAN LAM YUSWALI ALAYKUM LAA SWALAATA-LAHU". Enyi Ahli-Bait wa Mtume wa Mungu: mapenzi yenu ni faradhi (lazima, juu ya Waislamu) itokayo kwa Mwenyezi Mungu katika Qur-ani ameiteremsha. Yawatosha ninyi kwa utukufu wa cheo, hakika yenu ninyi mtu asiye warehemu (katika sala) basi hana maana ya: "Hana sala", yaani Sala kamili, si kuwa haikusihi la. Haya yote niliyokutajieni ni kwa ufupi tu ya sifa za mabwana hawa. Hadithi za Mtume (s.a.w.w.) zatuonyesha kuwa Bibi Fatimah ni "bora" kuliko wanawake wote lakini iko ikhtilafu baina ya wanavyuoni. Wengine wamesema bibi Mariam ndiye wa kwanza, kisha ni Fatimah. Na wengine wamesema bibi Fatimah ndiye wa kwanza na wengine wamesema Mariam ni bora kwa wakati wake; na Fatimah ni bora kwa wakati wake; yaani wa Ummati Muhammad. Basi ikiwa ni hivi bila shaka Fatimah ni bora kuliko Mariam; Sababu Ummati Muhammad ni bora kuliko Ummati wowote na yeye ni bora wa wanawake wa Ummati Muhammad. Vipi Mtume (s.a.w.w.) awe ni bora wa watu wote binti yake asiwe bora wa wanawake wote! Mtume (s.a.w.w.) akisema: kipenzi cha watu wangu kwangu ni Fatimah Akimwambia "Hakika! Mwenyezi Mungu huridhika kwa kuridhika wewe na hukasiriki kwa kukasirika wewe". Kadhalika amesema (s.a.w.w.): Itakapokuwa siku ya kiyama: atalingania mwenye kulingania katika Arshi: "Enyi watu! Fungeni macho yenu mpaka apite Fatimah bint Muhammad". Hapo tena atapita pamoja na wajakazi 70,000 katika Hurul-Ain, atapita kama umeme". Amepewa jina la "Zahraa" kwa ajili hakuingia katika Hedhi, kwani Asmaa binti Umais asema: "Alikuja Fatimah na amembeba Hassan (baada ya kuzaa) na sikumuona na damu, nikamuuliza Mtume (s.a.w.w.) kuwa Fatimah simuoni na damu ya hedhi wala ya uzazi, Mtume (s.a.w.w.) akaniambia: Hujui wewe bint yangu kuwa ni twahara (safi) haionekani hedhi wala damu ya uzazi"? Bibi Fatimah alikuwa amefanana sana na Mtume (s.a.w.w.) kwa kila kitu, hata kwa mwendo na sauti pia alikuwa amempata baba yake KUOLEWA KWAKE Sayyedna Abubakar alipeleka ombi kwa Mtume (s.a.w.w.) akitaka kumposa Bibi Fatimah (a.s.) lakini Mtume (s.a.w.w.) alikataa ombi hilo na akasema sijapata amri kutoka kwa Mola wangu kumuoza. Akaenda Sayyidna Omar, vile vile akakataa akajibiwa kama alivyojibiwa Sayyidna Abubakar (R.A.). Hapo tena Sayyidna Omar (R.A.) akamwambia Imamu Ali! "Nenda wewe ukampose Fatimah Imamu Ali akasema: 9

10 Nikaenda mpaka nikaingia kwa Mtume (s.a.w.w.) nisiweze kusema naye, yeye akaniuliza: "Umekuja kufanya nini"? Nikanyamaza, akaniambia: Labda umekuja kumposa Fatimah?" Nikasema ndiyo akaniuliza unacho kitu cha kumuolea? Nikamwambia la, sina. Akaniambia: Iko wapi ile dir-i (nguo ya kuvaa ya vita) niliyokupa Nikamjibu ninayo, akaniambia: "Nenda kaiuze kwa dirham mia nne (400) ni mahri ya Fatimah" Hapa tena Imamu Ali akaenda akiuza dir~i yake kwa dirham 400. Mtume (s.a.w.w.) alisema: "Ameniamrisha Mola wangu nimuozeshe Ali, Fatimah". Mtume (s.a.w.w.) alipompa habari bibi Fatimah kuwa ataolewa na Imamu Ali, alimkuta nyumbani mara moja akilia, akamwambia: Ee Fatimah we! Unalia nini? Wallahi nimekuoza mtu aliye mwingi wa watu kwa Ilimu, aliye mbora wao kwa upole, aliye wa kwanza kwa Kusilimu. Basi tena ikatengenezwa harusi, akamuamrisha Mtume (s.a.w.w.) atengenezewe Fatimah firasha na mito, akamuamrisha Asmaa bint Umais aitengeneze nyumba ya Fatimah, na ulikuwa ni mwezi wa Mfungo tano mwaka wa pili wa Hijra. Mtume (s.a.w.w.) akasoma khutuba akamuoza Imamu Ali. Ukaliwa Walimatul - harusi kwa kondoo na tende zilizosongwa pamoja na samli: Mtume (s.a.w.w.) akamwambia Imamu Ali: "Kabla hujazungumza na mkeo kwanza onana na mimi" Kisha Mtume (s.a.w.w.) akaagizia maji yakaletwa akatawadha, yaliyo baki akayamimina katika kifua cha Imamu Ali kidogo, kisha akasema: "Ewe Mola! Wabarikie hawa, vibarikie na nasla (kizazi chao)". Baada ya sala ya Isha akapelekwa Bi Harusi nyumbani, alipelekwa na Ummu Aiman na Bwana harusi akiwangojea. Hata Mtume (s.a.w.w.) alipokuja, akaingia nyumbani akasema huyu Ndugu yako? Ummu Aiman akamwambia: "Ndugu yako kisha umemuoza binti yako? Mtume (s.a.w.w.) akamjibu: "Ee! yeye ni Ndugu yangu kwa daraja lakini hainizuii mimi kumuoza binti yangu". Hapo tena Mtume (s.a.w.w.) akamwambia Fatimah alete maji. Fatimah akaenda akaleta maji huku akiona haya. Mtume (s.a.w.w.) akayamiminia katika bakuli kisha akamwambia Fatimah asogee mbele. Fatimah akasogea, Mtume (s.a.w.w.) akachukua maji kidogo akayapiga tama (akayatia mdomoni) kisha akayarudisha (akayatema) Bakulini, kisha akayateka akamnyunyizia nayo bibi Fatimah kifuani pake na huku akisema: Ewe Mola! Hakika mimi namlinda huyu kwako pamoja na dhuriya (watoto) wake (namlinda) na shetani aliye mbali na Rehema Zako". Kisha akamwambia Fatimah ageuke kwa nyuma, akageuka akamnyunyizia tena maji kati ya mabega yake na akafanya kwa Imamu Ali kama alivyo fanya kwa Bibi Fatimah kisha akamwambia Ali; "Ingia kwa watu wako (mkeo) kwa jina la Mwenyezi Mungu na baraka zake". Alharndulilah! Akashukuru Imamu Ali kwa kumpatia mke huyu, na sote twamshukuru kwa neema kama hii. Ni furaha iliyoje ya bibi na bwana; Bwana kumpata 10

11 mtoto wa Mtume (s.a.w.w.) na bibi kumpata nduguye Mtume (s.a.w.w.) kadhalika na yeye mwenyewe Mtume (s.a.w.w.) ilikuwa ndiyo furaha yake kwa kumpa binti yake ampendaye yeye mwenyewe (s.a.w.w.) na (kumpa Imamu Ali mke ampendaye yeye mwenyewe (s.a.w.w.) baada ya kuwa Ali na Fatimah ni mtu na ami yake, kisha wamelelewa pamoja, amewalea yeye Mtume (s.a.w.w.). Bibi Fatimah alipopewa habari na Baba yake kuwa ataolewa na Imamu Ali, alilia, hakulia kwa ajili kuwa hampendi laa, bali ni desturi ya Wanawali wote hasa wenye haya na dini wakiposwa hulia. Je haya za wanawake kama kina bibi Fatima zi vipi! Allahu Akbar, hazisemeki! Ni juu ya Waislamu wote kwenda mwendo namna hii kama alivyofanya Mtume (s.a.w.w.) yaani mume atafute mke "kufu" na mke au mkwe atafute mume "kufu" kama alivyo sema Mtume (s.a.w.w.) Mwanamke huolewa kwa mambo manne:- 1. Kwa ajili ya mali yake, au 2. Nasaba yake; au 3. Uzuri wake; au 4. Dini yake. (Basi wewe) jichukulie pato kwa mwenye dini. Usipofanya hivyo; (fahamu) mikono yako itapata mtanga (utakorofika)! Na hadithi nyingine Mtume (s.a.w.w.) amesema: "Awajiapo atakaye kuowa ambaye mwaridhia "tabia" yake na "Dini" yake, basi muozeni, msipofanya hivyo (mkakataa) au mukamuoza asiye kuwa na sifa hizo), basi patakuwa na fitina kubwa katika nchi (mahali hapo)na uharibifu wenye kuenea". Zama hizi ni wachache wafuatao mawili haya, kila mtu anataka mali na uzuri. Ama Mtume (s.a.w.w.) kumkataa Sayyidna Abubakar na Sayyidna Omar ni kama nilivyo tangulia kusema huko nyuma; kuwa Mtume (s.a.w.w.) alikuwa hajapata amri kutoka kwa Mola wake ya kumuoza Fatimah. Basi tena wakakaa Bibi na Bwana kwa furaha mpaka Mwenyezi Mungu akawaruzuku watoto watano, watatu wa kiume na wawili wa kike, Hassan, Hussein na Muhsin, lakini huyu alikufa mdogo sana. Na wanawake ni Zainabu na Ummu Kulthum. ama Imamu Ali alipata watoto wengi kwa wake wengine aliowaoa kama utakavyo soma mbele, lakini Imamu Ali hakuowa mke yeyote katika uhai wa bibi Fatirnah ila baada ya kufa kwake. KIFO CHAKE Bibi Fatimah hakupata maisha ya haja, baada ya kufa baba yake alikuwa hana furaha tena. 11

12 Alipokufa Mtume (s.a.w.w.) Fatimah alikwenda kwa Sayyidna Abubakar kumweleza urithi wake sababu ndiye Khalifa aliyeshika mambo yote, Sayyidna Abubakar akakataa kumpa, Bibi Fatimah akamuuliza: "Ni yupi akurithiye wewe? Akamjibu: Ni mke wangu na watoto wangu" Akamwambia: kwa nini mimi nisimrithi baba yangu"? Sayyidna Abubakar akasema: Nimemsikia Mtume (s.a.w.w.) akisema:- Sisi Mitume haturithiwi, tukiacha chochote ni Sadaka". Hapo tena Bibi Fatimah akakasirika akatoka, na hakusema nae mpaka akafa. Lakini wengine wasema kuwa Sayyidna Abubakar alikwenda mpaka nyumbani kwa bibi Fatimah akasimama mlango akasema: Sitaondoka hapa mpaka binti ya Mtume (s.a.w.w.) aniwie radhi: alipokuja Imamu Ali akasema naye mkewe mpaka akakubali akamsamehe. Alipokuwa mgonjwa bibi Fatimah, maradhi ya mauti, aliyekuwa akimuuguza ni Asmaa bint Umais. Siku ya kufa kwake Asmaa asema "Fatimah aliniambia mimi" Mimi nikifa sipendi aingie yoyote, nikifa nioshe wewe na Ali". Kadhalika aliusia azikwe usiku. Hata ilipofika usiku wa kuamkia Jumanne, 3Ramadhani, l1 Hijra, akafa na akafanyiwa kama alivyousia na umri wake ulikuwa miaka 29 akazikwa hapo hapo Madinah mahali paitwapo Bakiy. Mwenyezi Mungu amrehemu, Amin. Sasa tumuache Bibi tumshike bwana ambaye ni wa tatu katika wale watano wa kisaa, ambaye ni nduguye Mtume (s.a.w.w.) naye ni:- IMAMU ALI Imamu Ali (K. W) ni mashuhuri kwa lakab ya "Imamu" lakab hii hakuitwaa yeyote kabla yake. Wale Makhalifa watatu walio mtangulia, walikuwa wakiitwa kwa "Khalifatu- Rasulullah" na Sayyidna Omar akijulikana kama"amirul Muuminiin". Amma Imamu Ali kwa yote haya akijulikana, lakini zaidi ni hili la Imamu, kisha tena likaenda baada yake kwa watoto wake kina Sayyidna Hassan na Sayyidna Hussein na wajukuu zao hawa, ikaendelea mpaka kwa Maimamu wetu hata wanne. Imamu Hanafy, Imamu Shafiy, Imamu Maliky na Imamu Hambaly. Kadhalika na Maimamu wa hadithi wote, lakini asili ilianza kwa Imamu Ali. NASABA YAKE Yeye ni Ali bin Abu-Talib bin Abdil Muttalib bin Hashim. Yeye na Mtume (s.a.w.w.) wanakutana kwa Abdul Muttalib yaani huyu ni babu yao wote wawili. Kisha huyu Abi Talib baba yake Ali na Abdullah baba yake Mtume (s.a.w.w.) mama yao ni mmoja, jina lake ni Fatimah bint Amri Al-Makazumiya, kwa hivyo ndipo bwana Abdul-Muttalib alipokufa alimuusia Abu Talib kumlea Mtume (s.a.w.w.). 12

13 Kadhalika na yeye Mtume (s.a.w.w.) akamchukua Imamu Ali kumlea ili kumpunguzia uzito Ami yake, sababu Abi Talib alikuwa na watoto wengi naye alikuwa maskini. Jina lake khasa ni Abdu Manaf, hili Abu Twalib ni kuniya, sababu alikuwa na kijana akiitwa Talib, basi kwa hivyo akaitwa Abu Twalib yaani baba yake Talib, kama Mtume (s.a.w.w.) akiitwa Abal Kassim na Abu Abdullah, sababu alikuwa nao hawa watoto Kassim na Abdullah. Lakini wakati mwingine huwa hana mtoto na hutengenezewa sifa ya kiutu au mnyama. Kama Sahaba mmoja mashuhuri kwa jina la Abu-Huraira (baba yake paka) hakika hakuwa na mtoto akiitwa "Paka" la yeye alikuwa akipenda kucheza na paka sana, basi Mtume (s.a.w.w.) akamwita Abu-Huraira. Na hii si aibu ndiyo desturi ya Kiarabu. Vile vile mara nyingi Mtume (s.a.w.w.) akimwita Imamu Ali Abu Turab (baba yake Mchanga). Na sababu yake kumwita hivi, alikwenda Msikitini akamkuta amelala mchangani akamwamsha kwa kumwita: "Ewe Aba Turab inuka". Imamu Ali alikuwa na lakab nyingi (mafumbo ya majina), lakini mashuhuri ni Asadullah, Raider. Assidikul-Akbaru na Yaasubul Ummah, haya mawili ya mwisho alipewa na Mtume (s.a.w.w.) maana ya "Yaasub" ni Sayyid (Bwana) yaani yeye ni Bwana wa Ummah. Na sababu ya kumwita "Siddikul-Akbar", ni hadithi yake Mtume (s.a.w.w.) aliposema: " Waliosadiki (mwanzo) ni watatu:- (1) Habibun Najjar, katika watu wa Yaasiin aliye amini (wajumbe wa Nabii Issa waliopelekwa katika kijiji cha watu wa Yaasiin kama ilivyo katika "Surati Yaasiin" habari yao) ambaye alisema:-enyi watu wangu! Waandameni wajumbe (2) Na Kharkil, aliye amini katika kabila la Firauni ambaye alisema "Mnamuuwa mtu (kwa ajili) anasema: Mola wangu ni Mwenyezi Mungu"? (3) Na Ali bin Abi Talib, na yeye ndiye bora wao". Imamu Ali kun-ya zake vile vile ni nyingi, mashuhuri ni: Abu Turab, Abul Hasanain, Abu Sibtain na Abur-Raihanatain. Yote haya ni maana ya "Baba wa Hassan na Hussein, ila lile la Abu-Tarab tu, ni kama nilivyo eleza. Na mama yake Imamu Ali ni Fatimah bint Asad bin Hashim, yaani yeye ni Banu Hashim kwa Baba na mama, nani mtu wa mwazo kuzaliwa Banu Hashim pande zote mbili na ni Sharaf kubwa hiyo aliyokuwa nayo Imamu Ali. Bibi huyu Fatimah binti Asad ni katika wanawake walio amini mwanzo na akahama kwenda Madinah kumfuata Mtume (s.a.w.w.) na yeye Mtume (s.a.w.w.) alikuwa akimpenda sana bibi huyu na kumtukuza sababu ni mama yake wa kumlea. Alipokufa bibi huyu, Mtume (s.a.w.w.) alilia sana, akamkafini (kumvisha sanda) kwa kanzu yake mwenyewe (s.a.w.w.) Mtume akamsalia na alipofika kaburini kwanza 13

14 akashuka yeye (s.a.w.w.) Mtume akalala ndani ya mwanandani kisha akamtia bibi huyu. Mwenyezi Mungu amrehemu, Amin. KUZALIWA Imamu Ali (K.M.) Karamallah Wajhah) alizaliwa siku ya Ijumaa mwezi 13 Rajjab, mwaka wa thalathini tangu kuzaliwa Mtume (s.a.w.w.) 600 A.D. yaani yeye ni mdogo kuliko Mtume (s.a.w.w.) kwa miaka 30. Alizaliwa Makkah ndani ya al-kaaba, na hii ni Sharaf kubwa aliyoipata kwani hakuna mtu yeyote aliyezaliwa mahali hapo patakatifu, basi huu ni mwanzo wake, na ni mwisho wake, yaani mauti yake yalitokana na msikiti; alipigwa ndani ya Msikiti katika masiku ya Lailatul - Kadri na akafa katika masiku hayo kama nitakavyo eleza katika kifo chake. Kama ulivyosoma nyuma ya kitabu chetu hiki kuwa Imamu Ali alilelewa na Mtume (s.a.w.w.) basi hapana shaka alikuwa na tabia isiyo kuwa na mfano. Alikuwa mpole, karimu, shujaa hakukubali kuonewa yeye wala yeyote. Alikuwa hodari tena mwana chuoni kushinda masahaba wote kama tutakavyo soma mbele sifa zake moja moja. KUS1LIMU KWAKE Imamu Ali alisilimu siku ya pili baada ya kupewa Utume Mtume (s.a.w.w.) Mtume (s.a.w.w.) alipewa Utume siku ya Jumatatu yeye akasilimu siku ya Jumanne. Kama ijulikanavyo katika tarekh ya Mtume (s.a.w.w.) kuwa alipokuwa katika Jabal Hira akifanya ibada, akamjia Jibril na Wahyi, palepale alikwenda nyumbani kwa mkewe na huku khofu imemjaa kwa mambo aliyoyaona, akamwambia bibi Khadija binti Khuwaylid amfunike na akamueleza yote aliyoyaona, basi mtu wa kwanza aliyemuamini alikuwa ni yeye bibi Khadija binti Khuwaylid. Hata siku ya pili akaingia Imamu Ali akawakuta wanafanya ibada, akawauliza; "Mnafanya nini"? Mtume (s.a.w.w.) akamwambia: "Hii ni dini ya Mwenyezi Mungu ameichagua mwenyewe, amewapeleka mitume wake, na mimi nakulingania kwa Mungu peke yake, asiyekuwa na mshirika, na kumuabudu yeye na kuwachana na "Lata na Uza". Imamu Ali akasema siwezi kukata jambo lolote pasi na kumpa habari baba yangu na hili ni jambo jipya sijawahi kuliona au kulisikia. Mtume (S.A.W.W,) akamuusia asilitangaze. Hapo Imamu Ali akaenda akampa habari baba yake, naye akampa ruhusa akamfuata Muhammad kwa lolote lile amwambialo. Basi Ali akasilimu siku hiyo hiyo na umri wake ni miaka kumi au minane tu. alisilimu kijana wala hakuabudu sanamu tangu utoto wake. 14

15 UTUKUFU WAKE Mtume (s.a.w.w.) alipata amri kutoka kwa Mola wake kuwa ahame pale Makkah aende Madinah. akawapa habari sahaba zake, na wengine wakatangulia kwenda na wengine wakabakia. Miongoni mwa waliobakia ni Sayyidna Abubakar na Imamu Ali. Hata siku ile Makureish walipokusany ana katika Darin-Nad-wa wakakata shauri la kumuuwa Mtume (s.a.w.w.), alishuka Jibril akamwambia Mtume (s.a.w.w.) kuwa asilale usiku ule katika kitanda chake. Hapo tena Mtume (s.a.w.w.) akamuamrisha Imamu Ali alale kitandani kwake na ajifunike kishali chake (ili maadui wakija waone ni yeye, huku naye atoke). Imamu Ali akalala, akawa ndiye mtu wa kwanza aliye inunua nafsi yake kwa Mtume (s.a.w.w.). Hata ilipofika usiku, Mtume (s.a.w.w.) akatoka na huku akisoma akawapita maadui pale pale, nao wasimuone, akatoka (s.a.w.w.) salama akaenda mpaka kwa Sayyidna Abubakar wakafuatana pamoja katika safari kama ijulikanavyo katika tarekh zote za maisha ya Muhammad (s.a.w.w.). Hata walipofahamu Makuraish wakajiona wametiwa mchanga vichwani mwao, wakachungulia dirishani wakamuona amelala wakadhani ni Mtume (s.a.w.w.) wakarejea kazi yao ya kushika zamu wamngojee atoke. Hata kulipo pambazuka asubuhi Imamu Ali akainuka kitandani, walipo muona ni yeye wakamuuliza: " Yuko wapi Swahibu yako? Akawajibu sijui, tena hapo wakajuwa kuwa Mtume (s.a.w.w.) ameokoka. Imamu Ali akakaa Makkah kwa kazi aliyomuachia Mtume (s.a.w.w.) kurejesha amana za watu, alipomaliza akaondoka haraka kuelekea Madinah peke yake, na alikuwa akienda mchana na usiku hapumziki ila muda mchache tu. alipofika Madinah alikuwa taabani miguu ikiwa imefura na kuchuruzika damu. Mtume (s.a.w.w.) akalia kwa kumsikitikia kwa hali aliyokuwa nayo, akamtemea mate na akamuombea Mungu. Basi haikumuuma tena miguu maishani mwake. Mtume (s.a.w.w.) alipofika Madinah kazi ya kwanza aliyoifanya baada ya kujenga Msikiti wa Quba, aliwafunga udugu masahaba wote-muhajirina na Answari (wa Makkah na Madinah) kila mtu akampa nduguye ila Imamu Ali hakumpa yeyote, pale pale Imamu Ali akamwarnbia! Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Umefunga udugu baina ya Sahaba zako, kila mtu umempa nduguye ila mimi hukunipa yeyote"? Mtume (s.a.w.w.) akamwambia:- Wewe ni ndugu yangu 'Duniani na akhera". Mahali hapa Mtume (s.a.w.w.) amemfanya Imamu Ali ni nduguye na katika "Mubahala" (kuapizana baina yake na Wakristo) alimfanya ni "nafsi" yake kwa aya ya Qur'an kama tulivyo soma nyuma katika hadithi ya "Wafd Najran". 15

16 Kadhalika maneno haya yatiliwa nguvu na hadithi ya Mtume (s.a.w.w.) aliposema:- Ali ni katika mimi na mimi ni katika yeye". Maana yake Ali ni wangu nami ni wake. Mahali pengine Mtume (s.a.w.w.) amemwita Imamu Ali "Waliy", nayo ni katika hadith yake aliyoisema katika mahali paitwapo Khum katika kurudi kwake Mtume (s.a.w.w.) kutoka Makkah pamoja na sahaba zake, kuhiji "Hijjatul - Widai". Mtume (s.a.w.w.) aliwakusanya Sahaba mahali hapo, kisha akasimama akatoa hutuba ndefu sana iliyo kali kabisa na ya kusikitisha, kuonyesha kuwa yeye hataonana tena na Sahaba zake mwaka mwingine. Kisha akamshika Imamu Ali akamuinua mkono juu kabisa watu wote wakarnuona kisha akasema "Sikuwa mimi ni "bora" kuliko nafsi zenu? Wakasema (Masahaba) kwa nini Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! (kisha Mtume (s.a.w.w.) akasema): Ambaye mimi ni "Maula" wake basi na Ali ni "Maula" wake, Ewe Mola. Mtawalishe mwenye kumtawalisha Ali (au mnusuru mwenye kumnusuru na teta naye mwenye kumteta Ali". Tamko "Maula" sikulitafsiri kwa kiswahili chake vizuri, kwa sababu lina rnaana mbili, ya kwanza ni "Mtukufu" au "mbora" na ya pili ni "Nasri" (mwenye kukunusuru). Kadhalika tamko la "Mtawalishe" vile vile lina maana "mnusuru". Basi kwa matamko haya ndipo pakawa na mzozo na ushindi baina ya sisi na" Mashia" Sisi "Sunny" twalichukulia neno hili "Maula" ni "Nasir" (mwenye kukunusuru) yaani kukusaidia na kukuhifadhi. Wao "Shia" wanalichukia neno hili "Maula" ni "Mtawala" (Mtawala wa mambo) au "mtukufu". Kwa hadithi hii ndipo waliposhikama "Shia" kuwa Mtume (s.a.w.w.) alimtawalisha Imamu Ali, ipo na hadithi nyingine nitaitaja hapo baadaye. Hadithi hiyo imepokelewa na Maimamu wa hadithi wengi mmoja ni Imamu Muslim katika sahihi yake. Kadhalika na katika tafsiri ya Qur-an juzuu ya nne ya SAWI, katika "Suuratil-Maarij" yaani Sura ya 70, ameitia hadithi hii, kisha ameendelea kusema kuwa, baada ya Mtume (s.a.w.w.) kumaliza kusema, aliinuka mtu akamwambia Mtume (s.a.w.w.) :- Umetuamrisha kuamini tumeamini, umetuamrisha kusali tumesali, umetuamrisha kufunga tumefunga, umetuamrisha kutoa zaka tumetoa, umetuamrisha Kuhiji tumehiji, hukukubali ila kumfanya Ibn Ami yako (Ali) kuwa juu ya vichwa vyetu? Hili latoka kwako au latoka kwa Mwenyezi Mungu? Ikiwa latoka kwa Mwenyezi Mungu, basi naishuke adhabu hebu tuione!". Mtume (s.a.w.w.) akamjibu kuwa latoka kwa Mwenyezi Mungu. Hapo hapo kikashuka kijiwe kutoka mbinguni kikamuangukia mwilini akafa hapo hapo. Ndiyo sababu ya kuteremka, "Sa-ala-Saailu". 16

17 Kwa hivi maneno ya Sawi yanatilia nguvu juu ya hadithi hii kuwa Mtume (s.a.w.w.) alimtawalisha, kwani hakuwa na haja yule mtu kumhoji Mtume (s.a.w.w.) na kumwambia kuwa amemuweka Ali juu ya vichwa vyao. Kadhalika Mwenyezi Mungu amemwita Imamu Ali "Waliy" kwa neno lake aliposema katika Qur-an:- öνèδuρ nο4θx. 9$# tβθè? σãƒuρ nο4θn= Á9$# tβθßϑ É)ムt Ï%!$# (#θãζtβ#u t Ï%!$#uρ ã&è!θß u uρ ª!$# ãνä3 ŠÏ9uρ $uκ ΡÎ) tβθãèï. u "Hakika si jingine, Waliy wenu ni Mwenyezi Mungu na Mtume wake na ambao wameamini, ambao wanasali sala na kutoa zaka (Sadaka) na hali wao wako katika rukuu (kusali)". (Sura 5:55.). Sababu ya kushuka aya hii Imamu Ali, alikuwa akisali msikitini, akaja maskini kuomba asimkute mtu ila Imamu Ali naye yuko katika sala, basi akamuashiria "pete" yake aliyokuwa ameivaa kidoleni mwake akaja maskini akaitoa, yaani ndiyo sadaka yake. Hapo ikateremka aya hii kwa Mtume (s.a.w.w.) kwa ajili ya Ali, kama ielezavyo kuwa Waliy wenu ni Mungu na Mtume na wale wanao amini na kusali na kutoa sadaka na ilhali wao wako katika sala na hili la kutoa Sadaka namna hii ni moja katika ukarimu wake na ilhali naye kuwa ni maskini. Kisa kingine cha ukarimu wake. Siku moja mkewe, bibi Fatimah alitengeneza chakula chao na watoto wao, baada ya kumaliza tu kupika kabla hawajala mara akaja "maskini" kuomba na hawana kitu ila kile chakula chao; Imamu Ali akamwambia Fatimah akigawanye chakula kile sehemu tatu amletee sehemu moja. Akaenda bibi Fatimah akakigawanya akamletea Imamu Ali akampa yule maskini. Sasa zimebaki thuluthi mbili yaani mafungu mawili. Haukupita muda mrefu mara akaja "Yatima" kuomba, Imamu Ali akachukua fungu moja na akampa yule Yatima. Sasa chakula chao kimebaki fungu moja tu, baada ya kitambo kidogo mara akatokea "Asiir" (mtu aliyetekwa vitani). Imamu Ali akachukua lile fungu la tatu lililobaki akampa yule "Asiir". Wakabakia kulala na njaa, watoto wao Hassan na Hussein wakawa wanalia kwa njaa nao bado wangali wadogo. Akawa mama yao akiwapumbaza na kuwahadaa kuwa anawapikia chakula hadi ikaingia asubuhi. Kwa ajili ya kitendo hiki kitukufu Mwenyezi Mungu akamteremshia Mtume wake (s.a.w.w.) kwa ajili ya Imamu Ali aya tangu ya tano (5) katika sura ya 76 mpaka aya ya

18 Tuziache aya hizi tusitafsiri kwa sababu tunazo aya nyingi za kutafsiriwa atakaye na atafute kalika tafsiri za Qur-an na aya hizi si dharura. Dharura ni ushahidi wa maneno yetu nayo ni aya hizi:- ϵÎm7ãm 4 n?tã tπ$yè Ü9$# tβθßϑïèôüãƒuρ #Z ÏÜtGó ãβ çν Ÿ tβ%x. $YΒöθtƒ tβθèù$sƒs uρ Í õ Ζ9$Î/ tβθèùθム# Å r&uρ$vϑšïktƒuρ$yζšå3ó ÏΒ (Hao watu wema ni ambao) watekeleza Nadhiri (wajibu wao) na wanaiogopa siku ya kiama)... (Wema hao ni) walishao chakula hali ya kuwa wanakipenda (wakihitajia. Wawalisha) maskini na yatima "asir" (aliyetekwa). (Suura 76:7-8). Watu wengine: wakaanza kusema kuwa Imamu Ali amefanya hivi ili apate kushukuriwa na kusifiwa, Zikateremka aya hizi:- $ Βöθtƒ $uζîn/ ÏΒ ß $sƒwυ $ ΡÎ) # θä3ä Ÿωuρ [!#t y_ óοä3ζïβ ß ƒì çρ Ÿω «!$# ϵô_uθÏ9 ö/ä3ãκïèôüçρ $oÿ ςî) Νßγ1t y_uρ #Y ρç ß uρ Zοu ôøtρ öνßγ9 )s9uρ ÏΘöθu ø9$# y7ï9 sœ Ÿ ª!$# ãνßγ9s%uθsù #\ ƒì süôϑs% $U θç7tã #\ ƒì ymuρzπ Ζy_(#ρç y9 ¹$yϑÎ/ "Hakika si jingine, twawalisha kwa ajili ya Mwenyezi Mungu (peke yake) hatutaki kwenu malipo wala shukrani. Hakika yetu sisi twaogopa kwa Mola wetu siku ya kukunja uso (kwa taabu watakazo zipata watu tena siku hiyo) iliyo na shida (nayo ni siku ya Kiama). Atawahifadhi Mwenyezi Mungu na shari la siku hiyo (ya kiyama au ile waliyo lala na njaa) na atawakutanisha (Mola wao) kwa uzuri na furaha. Atawalipa kwa sababu wamesubiri (nayo ni njaa wakalipwa) pepo na (mavazi ya) hariri" (Sura 76:9-12) Zimeendelea aya kwa kusifiwa pepo kwa starehe zake na watakayo yakuta watakao ingia mpaka karibu na mwisho wa Sura hii. Hakika jambo la watu hawa "Maskini". "Yatima" na "Asiir" kumwendea Imamu Ali wote kwa siku moja! Bila shaka hawakuwa ni watu, hawa walikuwa ni malaika, walitumwa kwenda kumjaribu Imamu Ali kumuangalia atafanya au hatafanya. Naye alifanya na Mwenyezi Mungu amemlipa. Basi na Mwislamu yeyote akifanya haya baada ya faradhi yake kuitimiza, atayapata haya aliyo yaagiza Mwenyezi Mungu katika sura hii. Imamu Ali alihudhuria vita vyote vya Jihaad, vikubwa kama vita vya Badri na Uhud na vidogo vyote. Katika vita vya Badri yeye ni mmoja aliyechaguliwa na Mtume (s.a.w.w.) kwenda kubariziana (Mubaaraza). Sababu Makafiri walitoka watu watatu kutaka mubaraza 18

19 (kupambana mmoja mmoja) wakatoka katika Masahaba Ansari watatu, wale makafiri nao ni- Utba bin Rubaia na Shaiba bin Rubaia, hawa ni ndugu, na wa tatu wao ni Walid bin Utba. Hawa walipowaona watu waliotoka ni Ansar si makureish, wakamwambia: "Muhammad! tutolee kufu zetu" (yaani Makuresh) hapo Mtume (s.a.w.w.) akaita: Ewe Ubaida Ibnil Harith inuka na wewe Hamza inuka na wewe Ali inuka (hawa wawili ni nduguze Mtume na mmoja ni Ami yake kisha ni nduguye wa kunyonya, naye ni Hamza) Wakainuka wakabariziana na wale makafairi watatu. Makafiri wawili wakauliwa, akabaki Ubaida na mtu wake Utba, akaumizwa Ubaida kwa dharba ya Utba, baadaye Ubaida akafa shahidi (R.A.) na vile vile Utba aliuliwa. Katika vita vya Uhud Imamu Ali ndiye aliyechukua bendera ya "Muhajirina" (Waliohama kwenda Madinah) Mtume (s.a.w.w.) katika vita hivi aliwagawanya Masahaba zake makundi matatu, mawili yalikuwa ni Ansar, nao ni "Aus" na "Khazaraj" na moja "Muhajir" kadhalika na katika vita vya "Hunain" pia Imamu Ali ndiye aliye kuwa na bendera ya Muhajirin. Na mahali kadhaa wa kadhaa tukitaja kitabu chetu kitakuwa kirefu. Lakini nitataja vita vya "Khaibar" ambavyo walishindwa masahaba wote kufungua (kushika mji) mpaka alipopewa Imamu Ali bendera akafungua. Na nitataja kwa ufupi sana. KHAIBAR ni mji uliombali na Madinah upande wa kaskazini kwa kiasi cha maili 96 za Kiarabu, na watu wake ni Mayahudi watupu, nao walikuwa ni watu wa vita na ni mashujaa sana. Akatoka Mtume (s.a.w.w.) na jeshi lake akawaendea. Akapigana nao kwa muda wa siku saba, bado Mayahudi wamejikaza tu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa na bendera yake ikiitwa Ukaab na katika vita hivi kila siku akimpa ile bendera huyu na yule na wakirudi bila ya kufungua (kushinda). Katika waliopewa bendera ni mabwana wakubwa Sayyidna Abubakar na Umar (R.A.) pia wasiweze. Hata siku ya saba Mtume (s.a.w.w.) akasema:- "Hakika Wallahi! Nitampa bendera kesho mtu ampendaye Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanampenda yeye". Yaani Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanampenda yeye naye anawapenda. Imamu BUKHARI NA MUSLIM wamepokea hadithi hii. Hapo tena masahaba wote wakawa wanangoja ni yupi, kila mmoja anaona atapewa yeye, hata siku ya pili Mtume (s.a.w.w.) akauliza yuko wapi Ali? Akaambiwa ni mgonjwa macho yanamuuma sana, akasema: "Mleteni". Akaletwa Imamu Ali na huku amejifunga macho. Mtume (s.a.w.w.) akamfungua akamtia mate machoni mwake kisha akamwambia "Haya nenda", akampa bendera yake "Ukaab". Tangu wakati huo alipo temewa mate na Mtume (s.a.w.w.) hakuugua tena macho, kadhalika aliombewa Mwenyezi Mungu na Mtume (s.a.w.w.) asione joto wala baridi, hakuwahi kushtakia maishani mwake joto wala baridi. 19

20 Akatoka Imamu Ali naye amekwisha poa macho hayamuumi tena, akaenda mpaka katika ngome ya Mayahudi akaisimamisha bendera nje chini ya ngome (mahali pa kujihifadhi). Hapo tena akatoka mkubwa wao naye ni Harithi naye alikuwa shujaa wao, hapo Imamu Ali akamuua. Akatoka tena nduguye Harith naye ni Muhrib, wakapambana, kisha ngao ya Ali ikamponyoka mkononi, akachukua mlango ambao ulikuwepo hapo katika ngome akafanya ndiyo ngao yake, akapigana mpaka akafungua (akashinda) Basi tena ukawa ushindi ni wa Waislamu. USHUJAA WAKE Tumekwisha soma nyuma ushujaa aliokuwa nao Imamu Ali, na ingekuwa vizuri maneno yale kutiwa hapa, lakini kiko kisa kikubwa zaidi ambacho kitawatosha nacho ni hiki:- Katika vita vya "Khandak" shimo lililo zunguka Madinah kwa ajili ya kujihifadhi na maadui, na aliyetoa shauri hili ni Salman Alfarsy kwa amri ya Mtume (s.a.w.w.), Walikwenda Makuraish ili kuwapiga Waislamu, lakini wasiweze kuingia Madinah kwa ajili ya hilo "Khandak. Mwishowe akaruka shujaa mmoja mkubwa aitwaye "Amri bin Abdi Wud" Ushujaa wake huyu ulikuwa hauna kiasi, katika mashujaa wa Kiarabu yeye ni wa kwanza; ya kutosha kuwa yeye ameweza kuruka na Farasi wake katika Handaki hilo, aliruka kwa upande wa pili kwenye masahaba, Wenzake wengine waliojaribu walianguka wakafa. Yeye akavuka salama akanadi tena: "Yuko mwenye kubariziana"? Masahaba wote kimya, kana kwamba juu ya vichwa vyao ametua ndenge hatikisiki, na mashujaa wote hapo wako kila mmoja amuogopa kwa ushujaa wake mtu huyo na nguvu zake akainuka Imamu Ali (Simba wa Mungu) akamwambia Mtume (s.a.w.w.):- "Mini na yeye Ewe Mtume wa Mungu" Mtume (s.a.w.w.) akamwambia "Hakika huyo ni Amri", Mtume (s.a.w.w.) asimkubalie, akamwambia "Keti mahali pako" lile baba likanadi mara ya pili na huku akitoa ufedhuli akisema: "Nani atakaye pepo? Nani atakaye ghanimm? Nani aliyeshujaa? Pepo yenu ni huu upanga wangu, na aje nimuuwe aingie peponi". Haya ni maneno aliyokuwa akiyasema Amri na hapati jawabu lolote ila Imamu Ali ataka ruhusa kwa Mtume (s.a.w.w.) naye hampi. Hata mara ya tatu akampa. Hapo tena akamtokea kijana umri wake hauzidi miaka 25 na Amri hapungui miaka 50, lile baba lilipo muona Imamu Ali alistaajabu kwa ujana wake akamuuliza: "Ni nani wewe? Akamjibu: Ali, akamwambia "Bin Abdul Muttalib? akamjibu bin Abi Talib akamwambia naona aibu kuimwaga damu yako kwa upanga huu. Imamu Ali akamjibu: "Mimi sioni aibu kuimwaga damu yako kwa upanga wangu huu" Na kabla ya hapo, Mtume (s.a.w.w.) alimpa Ali upanga wake "Dhul-Fikar" akamvisha "Diri yake, akamvisha kilemba chake, kisha akamuombea dua akasema: "Ewe Mola! msaidie. Ewe Mola wangu! Ulinichukulia Ubaida" siku ya Badri na "Hamza siku ya Uhud na huyu Ali, kijana wa Ami yangu, usiniache pake yangu". 20

21 Hapo tena Simba wa Mungu akapambana na simba wa Makuraish, kwanza Imamu, Ali akapigwa dharuba akaikinga ikakata ngao yake ikampasua kichwa kidogo akaondoka kwenda kujifunga vizuri damu isitoke, lile baba na wanafiki wakadhani kuwa Imamu Ali amekwisha. Akawa yule Amri akinadi, mwingine mara hapo hapo Imamu Ali akamtokea, likadanganywa, ukamtoka Ali tena Upanga ukampiga akaanguka, alipotaka kummaliza kabisa, lile baba likamtemea mate usoni Imamu Ali. Hapo Imamu Ali akaona akimmaliza, itakuwa ni kwa hasira zake si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, akamwita mtu akamuua kabisa. Hiki ni kisa mashuhuri katika tarekh zote, lakini baadhi ya waandikaji hawataki kuwapa sifa wengine, kama sifa ya Imamu Ali na kueleza kisa hiki kwa urefu, bali hivi ni ufupi, sababu zipo na nyimbo zake Imamu Ali alipokuwa akijisifu walipopambana na Amri. Muhammad Ridha aliyeandika Maisha ya Nabii Muhammad (s.a.w.w.) katika kitabu chake: Kila katika vita vya Jihad amemsifu kila sahaba shujaa lakini katika vita ya Khandak, mambo yote haya ya ushujaa wa Ali hakuyasema, ila amesema "Alitaka Mubaraza Amri Imamu Ali akamuua!" Na ilhali ni mengi ya kusemwa! na hata katika kitabu chake alichokiita Imamu ALI pia hakutaja kisa hiki wala chochote cha ushujaa. Katika vita vya Uhud, Masahaba wote walikimbia na sababu ilitokana na wale wenye kuwatilia vyembe walihalifu amri ya Mtume (s.a.w.w.) ameuawa. Basi tena hapo hakukubakia ila watu wachache tu. Muhamad Ridhaa ameandika katika kitabu chake cha Maisha ya Mtume (s.a.w.w.) kuwa:-adui alifika mpaka alipokuwa Mtume (s.a.w.w.) Mtume akaumia kwa mawe yao akaanguka akapotewa na fahamu. Ali na Talha ndio walio muinua wakamsimamisha", Kisha amesema; katika walikuwa pamoja na Mtume (s.a.w.w.) ambao hawakukimbia ni watii saba tu. Talha amemhesabu, Ali hakumtia! Na kule nyuma amesema ndiye aliyekuwa pamoja na Talha wakimuinua Mtume (s.a.w.w.) kisha amesema: ama Ali bin Abi Talib (R. A.) zimesihi hadithi kuwa yeye ni katika waliothubutu (wasokimbia) na baadhi ya wapokeaji hadithi hawakumtaja, sababu alikuwa ndiye mchukuaji bendera baada ya Musib". Maneno haya yamo katika page (ukurasa) 232 na 234 katika kitabu chake tulichokitaja. Vile vile katika ukurasa 198 katika vita vya Badri amesema: Aliulizwa Ali: Nani alieshujaa wa watu wote?" Akasema Abubakar, sababu yeye ndiye aliyekuwa pamoja na Mtume (s.a.w.w.) katika (ARISH) kimwili. Hapa hapaonyeshi ushujaa, panaonyesha kuwa Sayyidna Abubakar anapenda kuwa pamoja na Mtume (s.a.w.w.), na vita vyote wapiganavyo watu huwa wanamlinda yeye. Ama Imamu Ali kujibu namna hiyo ndiyo adabu kwani asipojibu hivyo ni sharti aseme: "Shujaa ni mimi" kujibu namna hii licha ya yeye hata yeyote aliye mwerevu hawezi kujibu. Maneno hayakuwa Imamu Ali aliulizwa na akajibu hivyo, hakuthubutu kamwe katika tarekh nyingine na angethubutu mahali pengine basi pia si ya kutolea hoja kama hivyo. 21

22 Basi kama tulivyo soma kuwa Imamu Ali alihudhuria katika vita vyote vya Jihad na mara nyingi bendera ya Muhajirina Mtume (s.a.w.w.) alimpa yeye, ila katika vita vya TAABUK vilivyokuwa mwaka wa tisa Hijra. Mtume (s.a.w.w.) hakumchukua Ali, sababu alimuachia watu wake wa nyumbani. Hapo tena wanafiki wakaanza kutokwa na maneno wakisema kuwa asingeachwa ila ni kwa uthakili wake, akatoka Imamu Ali kwenda kumfuata Mtume (s.a.w.w.) akamuuliza Mtume (s.a.w.w.) akamjibu kuwa; "Ni waongo" nimekuachia watu wangu na wako, rudi mahala pangu. Kisha akamwambia:- Huridhiki Ewe Ali kuwa mbele yangu mimi una manzila kama ya Harun kwa Musa? Isipokuwa hilo (la kuwa ) hapana (jinsi ya ) utume baada yangu! "Maana yake hapana Mtume baada yake, lakini daraja zingine zote kama Ukhalifa, Uimamu yafaa kuwa, Hadithi hii imetangaa katika vitabu vyote vya tarekh na vya hadithi na ni mmoja katika watoleao hoja Mashia kuwa Imamu Ali ndiye Khalifa wa kwanza baada ya Mtume (s.a.w.w.) lakini "Sunny" wamewajibu. KISA CHA ANAS BIN MAL1K Bw. Anas bin Malik. (R.A.) ni katika Sahaba, Ansari (wa Madinah) alikuwa akimpenda Mtume (s.a.w.w.) na amepokea hadithi nyingi, moja ni hii hapa; amesema mwenyewe: "Aliletewa Mtume (s.a.w.w.) Hidaya (tunu) ya ndege wa kuchoma, alipowekewa mbele yake alisema: Ewe Mola! Niletee mimi apendezaye katika viumbe vyako kwako; ale pamoja nami ndege huyu Nikasema katika roho yangu. "Ewe Mola! nijalie mtu (huyo) ni katika Ansar". Akaja Ali akabisha mlango kwa taratibu. Nikauliza: Ni nani huyo? Akajibu; "Ni mimi Ali" Nikamwambia Mtume (s.a.w.w.) yuko katika haja. Nikarudi kwa Mtume (s.a.w.w.) naye akiomba ile dua yake. Akaja Ali mara mbili nami namrudisha. Hata alipokuja mara ya tatu, Mtume (s.a.w.w.) akaniambia: ''Mfungulie mlango" nikamfungulia akapita akaketi pamoja na Mtume (s.a.w.w.) Wakala pamoja yule ndege. Kisha Mtume (s.a.w.w.) akamwambia Ali. "Ni lipi lililo kuchelewesha? Akasema Ali" Hii ni mara ya tatu (kuja) na Anas akinirudisha'' Mtume (s.a.w.w.) akaniambia. "Ewe Anas! Ni jambo gani lililokupa kufanya hivi? Nikasema: Nikataraji mtu awe ni katika Ansar Mtume (s.a.w.w.) akasema: katika Ansar yuko bora kuliko Ali? Hadithi hii ya Bwana Anas, imepokelevva na Bw Abu Daud. Tumeona mapenzi ya Mtume (s.a.w.w.) juu ya Imamu Ali yalikuwa namna gani katika kila jambo ataka ashirikiane naye; mapenzi ambayo akiyategemeza kwa Mola wake, kwa kumwambia Mola wake: "Niletee apendwaye kwako katika viumbe vyako" ELIMU YA IMAMU ALI 22

23 Imamu Ali (K.W.) alikuwa bora wa Sahaba wote kwa elimu alivyo kuwa bora kwa hoja kadhalika na kwa fasaha (uhodari wa kusema), mambo matatu haya hakushindwa na yeyote baada ya Mtume (s.a.w.w.) ni yeye. Ama katika Elimu, Mtume (s.a.w.w.) amesema "Mimi ni mji wa elimu na ali ni mlango wake"(au ni nyumba). Amesema tena Mjuzi wenu kwa hukumu ya Ali. Mtume (s.a.w.w.) alimpeleka Imamu Ali Yemen mara mbili ili kuwaongoza. watu wa huko katika dini na awahukumu. Imamu Ali akanena: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Hakika wao (watu wa Yemen) ni watu wazima na mimi ni kijana, pengine huenda nisisibu katika nitakalo hukumu baina yao". Akamwambia (s.a.w.w.): "Nenda Mwenyezi Mungu atautia nguvu moyo wako na auongoze ulimi wako" Kadhalika alipelekwa na Mtume (s.a.w.w.) kuwalingania watu wa "Hamadan" na kwa "Banu Saad bin Bakr" na "Fulas", mahali kote huku aliwalingania dini na wote wakaamini. Hapana nafasi ya kueleza kwa urefu. Katika mwaka wa 9 Hijra, Mtume (s.a.w.w.) alimpeleka Sayyidna Abubakar katika mwezi wa Hijra ili ahiji na watu. Kisha akamfuatisha Imamu Ali nyuma yake ili awasomee watu wa Makkah ''Baraa-ah Kusitufiwe baada ya mwaka huo tupu tupu (bila ya nguo kama ilivyo kuwa desturi yao) wala kafiri yeyote, asihiji, na mengineyo tena akaenda Imamu Ali akasimama katika "Jamrah" (mahali pa kutupia mawe) siku ya Idd, akatoa khutuba aliyo amrishwa na Mtume (s.a.w.w.). Wakati wa khilafa ya Sayyidna Abubakar (R.A.) mara nyingi akishauriwa Imamu Ali, kadhalika akipata Mushikil wowote Sayyidna Abubakar alikuwa akimuuliza Imamu Ali. Hata mara moja alikuja mjumbe kutoka kwa mfalme wa Rome, akamuuliza Sayyidna Abubakar. "Ni mtu gani ambaye hataraji pepo wala haogopi moto wala hamchi Mungu? Harukuu wala hasujudu (wakati akiswali) anakula maiti na damu, na anashuhudia kwa ambalo halioni, anapenda fitina na anasikia haki"? Sayyidna Abubakar (R.A.) asiweze kujibu. Na Sayyidna Omar (R.A.) alikuwepo na akakasirika juu ya yule mtu akamwambia "umezidisha ukafiri juu ya ukafiri wako" akapelekewa habari hiyo Imamu Ali naye akaenda haraka akauliza yale maswali, kisha akajibu hivi "Huyo ni mtu katika mawalii" wa Mwenyezi Mungu Yeye hataraji kuingia peponi (kwa amali zake) wala hauchi moto lakini anamcha Mwenyezi Mungu. Wala hamchi Mwenyezi Mungu (maana yake} hamchi na dhuluma zake bali anamcha kwa uadilifu wake. Harukuu wala hasujudu katika "sala ya jeneza", anakula maiti na damu (maana yake) anakula "nzige" "samaki" na "ini", anashuhudia kwa asiloliona (maana yake) anashuhudia pepo na moto kuwa vipo naye hajaviona. Anapenda fitina (maana) anapenda mali na watoto. Anachukia haki (maana) anachukia mauti". (Hakuna apendaye kufa). Basi ni mengi ya mushkil yaliyotokea kama namna hii, hasa katika Khilafa ya Sayyidna Omar, hata Sayyidna Omar ikiwa usemi wake ni huu:- 23

24 Ewe Mola wangu hakika najilinda na (mambo ya) Mushkil (mambo ya kudanganyika) asipokuwepo Abal Hasan (Imamu Ali), "Maana yake asipokuwepo yeye itakuwa hatari yakitokea maswali kama hayo. Katika maneno yake Imamu Ali, kila mara alikuwa akisema:- "Niulizeni kabla hamjanikosa (sijafa)", Khutuba zake na maneno yake ya maarifa, yaani "Hekma" (Proverbs), hata vitabu 100 kama hivi havitoshi. Yeyote atakaye kuzisoma hizo khutuba na kupata maarifa na asome kitabu "Nahjul - balaghah". Lakini mwisho wa maneno yake, yaani baada ya kutaja kifo chake, nitataja kidogo katika "Hekma" zake. SIFA ZAKE Imamu Ali ni nduguye Mtume (s.a.w.w.). Mtoto wa Ami yake, kisha ni mkwewe, mumewe bibi Fatimah, tena ndiye baba wa dhuriya za Mtume (s.a.w.w.). Yeye ni Mwislamu wa kwanza baada ya bibi Khadija. Yeye ni mtu wa kwanza aliyeuza roho yake kwa ajili ya Mtume (s.a.w.w.) wakati wa Hijra yake, akalala katika firasha ya Mtume (s.a.w.w.). Yeye ndiye shujaa wa kwanza baada ya Mtume (s.a.w.w.). Yeye ni mjuzi wa watu wote baada ya Mtume (s.a.w.w.) Yeye ni fasaha wa watu wote baada ya Mtume (s.a.w.w.) YEYE NA UKHALIFA (UTAWALA) Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa mgonjwa (maradhi ya mauti) Imamu Ali alikuwa haondoki nyumbani. Mtume (s.a.w.w.) alipokufa walikusanyika Ansar (watu wa Madinah) katika jumba lao mashauri (Bait Banu Saad) kumchagua Khalifa (mtu wa kushika mahali pa Mtume (s.a.w.w.). Abu Ubaidah akapata habari hii, akatoka mbio mpaka kwa Sayyidna Omar, akamwambia, upesi tukalipatilize jambo, Ansar wataka kumuweka Khalifa". Wakaondoka wakaenda mpaka kwa Sayyidna Abubakar wakamwambia. Wote watatu wakafuatana pamoja wakaenda kwenye mkutano wa Ansar. Hapo Sayyidna Abubakar akatoa khutuba ndefu, katika maneno yake akawaonya Ansar kuwa Khilafa ni ya Makuraish (watu wa Makkah). Ukaendelea mjadala mrefu baina yao hata baadhi ya Ansar wakawahi kutoa panga wakitaka kupigana, hawataki khilafa iwe kwa Makureish lakini mwisho wake upande wa kina Sayyidna Abubakar ukashika nguvu, hapo tena akabaiwa (chaguliwa) Sayyidna Abubakar lakini wengine wakakataa kumbai (kumchagua). Katika walio kataa mmoja ni bwana mkubwa Saad bin Ubaad, bwana huyu hakumbai Sayyidna Abubakar mpaka akafa. Mambo haya yalipokuwa huko katika jumba la Ansar, akabaiwa Sayyidna Abubakar, Masahaba kadhaa wa kadhaa hawakuwepo. Katika ambao hawakuwepo ni 24

Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo

Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo MSTAHIWA SHEIKH AHMAD BIN HAMAD AL KHALILI MUFTI MKUU WA OMAN Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo [Kauli za Maulama wa Madhehebu Nne] Imefasiriwa kwa Kiswahili na: Munir Sulaiman Aziz Al Masrouri

Διαβάστε περισσότερα

i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM

i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM ii Kiswahili (TE) Class 1.indd ii 5/30/14 8:07 PM iii Kiswahili (TE) Class 1.indd iii 5/30/14 8:07 PM iv Kiswahili (TE) Class 1.indd iv 5/30/14 8:07 PM v

Διαβάστε περισσότερα

MATESO YA DHURIA YA MTUME

MATESO YA DHURIA YA MTUME MATESO YA DHURIA YA MTUME Mwandishi: Ayatullah Murtadha Mutahhari Mtarjumi: Salman Shou Kimehaririwa na: Al-Haj Ramadhani S. K. Shemahimbo Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: 978-9987

Διαβάστε περισσότερα

ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Nyumbani Wanafunzi: (Tumia hatua ya 3 kufunza: makaa, kaka, matatu, ama, mti, taa). l ll Ufahamu wa herufi: Majina na sauti za herufi

Διαβάστε περισσότερα

ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Ukoo/Jamaa Hatua ya 2: Mwalimu: Tusome silabi hii pamoja. Mwalimu na Wanafunzi: /m/ /a/- ma Hatua ya 3: Mwalimu: Ni zamu yenu sasa.

Διαβάστε περισσότερα

Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM

Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM ii Kiswahili TE(C2).indd ii 5/30/14 8:14 PM iii Kiswahili TE(C2).indd iii 5/30/14 8:14 PM iv Kiswahili TE(C2).indd iv 5/30/14 8:14 PM v Kiswahili TE(C2).indd v 5/30/14

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni

Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni 4 Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni )) :( ) : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume ( ) amesema: ((Hakika Allaah Hatazami viwiliwili vyenu wala

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( )

Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( ) Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali )) : :,,.((, ( ) :, Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume wa Allaah (

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) :

Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) : Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) : : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Adiyy bin Haatim ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Ogopeni moto japo kwa nusu tende, na usipopata

Διαβάστε περισσότερα

IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA

IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA اإلمام المهدي عليه السالم أمل الشعوب Kimeandikwa na: Sheikh Hasan Musa as-saffar Kimetarjumiwa na: Abdul-Karim Juma Nkusui Kimehaririwa na: Alhaji Hemedi Lubumba

Διαβάστε περισσότερα

Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir

Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir Subira Njema Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir 1 ijk Utangulizi: Sifa zote njema Anastahiki Allaah وتعالى) (سبحانه Mola wa walimwengu صلى ( Muhammad wote, Rahma na amani zimshukie

Διαβάστε περισσότερα

Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~

Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~ Maswali ya Maisha ~ Ukurasa 2 ~ Yaliyomo 1. Yesu ni nani? Ukurasa 5 2. Kwa nini Yesu alikufa msalabani? Ukurasa 12 3. Nitakuwaje na hakika juu ya Imani yangu? Ukurasa 18 4. Kwa nini nisome Biblia? Niisomeje?

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu

Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu ( 4 Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu : ( ).!, )) : : (( Imepokelewa kutoka kwa Abdullaah bin Mas uwd ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) alilala kwenye jamvi la mtende

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani

Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani 4 4 Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani )) :( ) : ( ),,, )) ((. (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume wa

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja

Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja, )) : ( ),, (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa iyd ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Mwanamme asitazame uchi

Διαβάστε περισσότερα

MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014

MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014 MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014 UMEANDIKWA NA JIMMY LUHENDE Kimetolewa na Shirika la Kuimarisha Demokrasia na Tawala za Vijiji S.L.P 1631, Mwanza

Διαβάστε περισσότερα

Mafundisho Ya Madhehebu

Mafundisho Ya Madhehebu Mafundisho Ya Madhehebu na Rod Rutherford Mtafsiri John Makanyaga www.kanisalakristo.com 1 Mafundisho ya Madhehebu Somo la Kwanza- Kanisa la Agano Jipya. Utangulizi 1. Kuna makundi ya kidini 2054 katika

Διαβάστε περισσότερα

Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana.

Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana. Al-Waqf At-Taamm - Kisimamo Kilichokamilika ال وق ف الت ام 1. Kusimama katika neno la Qur-aan ambako kauli imekamilika maana yake, na wala hayana uhusiano wowote ule na yanayofuatia; uhusiano huo uwe wa

Διαβάστε περισσότερα

IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU

IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU TUME YA UTUMISHI WA UMMA IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU WAJIBU MKUU WA MWALIMU Wajibu mkuu wa mwalimu ambao ndio Nguzo Tano za kazi ya ualimu ni:-.kwa MTOTO 2.KWA JUMUIYA 3.KWA KAZI YAKE 4.KWA TAIFA.KWA

Διαβάστε περισσότερα

Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo

Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo ii- الا د غا م Al-idghaam Kuingiza, kuchanganya. Idghaam ni kuingiza kitu kwenye kitu. Katika hukmu za Tajwiyd ni kuingiza herufi saakin kwenye herufi yenye i raab na kuzipelekea herufi mbili hizi kuwa

Διαβάστε περισσότερα

25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa.

25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa. 25-Faharasa Neno Maana Yake Aaridhw as-sukuwn Ibaadah sukuwn pana ya kusimami neno. ibada Ahkaamut-Tajwiyd Alfaadhw Hukumu za Tawjiyd Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw Arjah Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa

Διαβάστε περισσότερα

SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO

SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO Kifungu Jina 1. Jina fupi na matumizi 2. Tafsiri SEHEMU YA II KUUNDWA

Διαβάστε περισσότερα

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Mwongozo wa Taifa wa Sekta ya Afya Kuhusu Huduma na Kinga Dhidi ya Ukatili wa Kijinsia JUNI 2013 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA

Διαβάστε περισσότερα

ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ

ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΜΟΝΑΧΟΥ ΑΜΑΣΚΗΝΟΥ ΓΡΗΓΟΡΙΑΤΟΥ ΜΩΥΣΕΩΣ KALENGA ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΜΕ ΣΤΟΙΧΕΙΑ ΓΡΑΜΜΑΤΙΚΗΣ ΤΗΣ ΓΛΩΣΣΑΣ ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΟΡΘΟ ΟΞΟΝ ΙΕΡΑΠΟΣΤΟΛΙΚΟΝ ΚΛΙΜΑΚΙΟΝ ΙΕΡΑΣ ΜΗΤΡΟΠΟΛΕΩΣ ΚΕΝΤΡΩΑΣ ΑΦΡΙΚΗΣ ΚΟΛΟΥΕΖΙ ΚΟΓΚΟ 1999

Διαβάστε περισσότερα

KILIMO CHA ZAO LA VANILLA

KILIMO CHA ZAO LA VANILLA KILIMO CHA ZAO LA VANILLA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA IDARA YA MAENDELEO YA MAZAO Sehemu ya Uendelezaji wa Mazao KILIMO CHA ZAO LA VANILLA Kimetolewa na Jamhuri

Διαβάστε περισσότερα

05- Fadhila Za Umrah Na Hajj

05- Fadhila Za Umrah Na Hajj èèää ÆÆÆ Æd dd ÉÉÉ øø FF Ï ÉÉÉ ÎÎ ÅÅ øø FF... ŸŸŸ Ïi ii ššš '' éé ÈÈÈ ÝÝ èè àà ŸŸŸ nn 333 BBB øø ŸŸŸ èè Ï 555 ppøø rr öö þþþ ÎÎ «««óó ãã àà õõ ÉÉ ªªª xx øø ççç èè nn ÍÍ!! øø 999 öö oo ÖÖÖ ô rr ppøø rr

Διαβάστε περισσότερα

Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania

Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania Jina la Mradi: Eneo Ulipo Mradi: Mmiliki wa Mradi: Mhusika: Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania Wamiliki ni wengi (Halmashauri

Διαβάστε περισσότερα

! " # $ % & $ % & $ & # " ' $ ( $ ) * ) * +, -. / # $ $ ( $ " $ $ $ % $ $ ' ƒ " " ' %. " 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 : ; ; < = : ; > : 0? @ 8? 4 A 1 4 B 3 C 8? D C B? E F 4 5 8 3 G @ H I@ A 1 4 D G 8 5 1 @ J C

Διαβάστε περισσότερα

( ). : : :.. : :. : : : : """ " " "... : "" ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ u

( ). : : :.. : :. : : : :    ... :  ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ u ( ). :. drtarig٩٩@yahoo.com :. :.. - ٧ ( ). : : :.. : :. : : : : """ " " "... : "" ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ ušø ç/ ª!$# tar'sù

Διαβάστε περισσότερα

) * +, -. + / - 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 6 : ; < 8 = 8 9 >? @ A 4 5 6 7 8 9 6 ; = B? @ : C B B D 9 E : F 9 C 6 < G 8 B A F A > < C 6 < B H 8 9 I 8 9 E ) * +, -. + / J - 0 1 2 3 J K 3 L M N L O / 1 L 3 O 2,

Διαβάστε περισσότερα

Z L L L N b d g 5 * " # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / / + 3 / / / / + * 4 / / 1 " 5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3 " #

Z L L L N b d g 5 *  # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / / + 3 / / / / + * 4 / / 1  5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3  # Z L L L N b d g 5 * " # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / 0 1 2 / + 3 / / 1 2 3 / / + * 4 / / 1 " 5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3 " # $ % $ ' $ % ) * % @ + * 1 A B C D E D F 9 O O D H

Διαβάστε περισσότερα

Rulings on Fasting during Hajj

Rulings on Fasting during Hajj 1436 2015, 1,27, 1436 2015,78 43, 1,27, * 1435 04 10 ; 1435 03 08 ;,, :,,,,,,,,,,,,,, : Rulings on Fasting during Hajj Mohammad Abduh Hassir Awwaf Hummady* Jazan University (Received 09/01/2014; accepted

Διαβάστε περισσότερα

Critique of Humanism

Critique of Humanism 1437 2015, 3,27, 1437 2015,307 275, 3,27, * 1436 4 11 ; 1436 03 06 :, : :,, : :, ;,,,,,,, : Critique of Humanism Ahmad Ibn-Mohammed Allaheeb * King Saud University (Received 28/12/2014; accepted for publication

Διαβάστε περισσότερα

P P Ó P. r r t r r r s 1. r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s. Pr s t P r s rr. r t r s s s é 3 ñ

P P Ó P. r r t r r r s 1. r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s. Pr s t P r s rr. r t r s s s é 3 ñ P P Ó P r r t r r r s 1 r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s Pr s t P r s rr r t r s s s é 3 ñ í sé 3 ñ 3 é1 r P P Ó P str r r r t é t r r r s 1 t r P r s rr 1 1 s t r r ó s r s st rr t s r t s rr s r q s

Διαβάστε περισσότερα

Yusif Idrīs Σπίτι από σάρκα

Yusif Idrīs Σπίτι από σάρκα یوسف إدریس بيت من لحم Εισαγωγικό σημείωμα - Μετάφραση HESHĀM M. ÍĀSSAN Yusif Idrīs Odi et amo. Quare id faciam, fortasse requiris. nescio, set fieri sentio et excrucior* Ο Idrīs 1 (1927-1991) γεννήθηκε

Διαβάστε περισσότερα

Q π (/) ^ ^ ^ Η φ. <f) c>o. ^ ο. ö ê ω Q. Ο. o 'c. _o _) o U 03. ,,, ω ^ ^ -g'^ ο 0) f ο. Ε. ιη ο Φ. ο 0) κ. ο 03.,Ο. g 2< οο"" ο φ.

Q π (/) ^ ^ ^ Η φ. <f) c>o. ^ ο. ö ê ω Q. Ο. o 'c. _o _) o U 03. ,,, ω ^ ^ -g'^ ο 0) f ο. Ε. ιη ο Φ. ο 0) κ. ο 03.,Ο. g 2< οο ο φ. II 4»» «i p û»7'' s V -Ζ G -7 y 1 X s? ' (/) Ζ L. - =! i- Ζ ) Η f) " i L. Û - 1 1 Ι û ( - " - ' t - ' t/î " ι-8. Ι -. : wî ' j 1 Τ J en " il-' - - ö ê., t= ' -; '9 ',,, ) Τ '.,/,. - ϊζ L - (- - s.1 ai

Διαβάστε περισσότερα

Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake.

Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake. ### ôô ÍÍÍ 444 nn ííí nn ß ôô ppøø ÈÈÈ èè knganiha: Hamzal-Wawl Hamza a هم ز ة ال و ص ل Ni hamzah inaoamkwa kaika neno na haiamkwi howeka) wakai wa knganiha na neno la nma ake. Inaiwa Wawl kwa abab inapelekea

Διαβάστε περισσότερα

The Composition of the Qur'an and the Book. Book Two : The Miracle of the Qur an (Third Part: pp )

The Composition of the Qur'an and the Book. Book Two : The Miracle of the Qur an (Third Part: pp ) Qur'anic Studies ( 3 ) ( ) The Composition of the Qur'an and the Book Professor Youssef Durrah al - Haddad : ( : ) Book Two : The Miracle of the Qur an (Third Part: pp 587-893 ) www.muhammadanism.org November

Διαβάστε περισσότερα

Š Šˆ ATLAS: ˆ ˆŸ ˆ Šˆ, Œ ˆ Œ ˆ.. ƒê ±μ,. ƒ ² Ï ², ƒ.. Š ± ²,. Œ. Ò,.. ŒÖ²±μ ±,.. Ï Ìμ μ,.. Ê ±μ Î,.. ±μ,. Œ. μ

Š Šˆ ATLAS: ˆ ˆŸ ˆ Šˆ, Œ ˆ Œ ˆ.. ƒê ±μ,. ƒ ² Ï ², ƒ.. Š ± ²,. Œ. Ò,.. ŒÖ²±μ ±,.. Ï Ìμ μ,.. Ê ±μ Î,.. ±μ,. Œ. μ ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ 2010.. 41.. 1 Š ƒ ˆ ˆŸ Å Š Šˆ ATLAS: ˆ ˆŸ ˆ Šˆ, Œ ˆ Œ ˆ.. ƒê ±μ,. ƒ ² Ï ², ƒ.. Š ± ²,. Œ. Ò,.. ŒÖ²±μ ±,.. Ï Ìμ μ,.. Ê ±μ Î,.. ±μ,. Œ. μ Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê. ÉÉÊ,. Ê μ μ ± Ö μ Í Ö Ö ÒÌ

Διαβάστε περισσότερα

P Ò±,. Ï ± ˆ ˆŒˆ Š ƒ ˆŸ. Œ ƒ Œ ˆˆ γ-š Œˆ ƒ ƒˆ 23 ŒÔ. ² μ Ê ². Í μ ²Ó Ò Í É Ö ÒÌ ² μ, É μí±, μ²óï

P Ò±,. Ï ± ˆ ˆŒˆ Š ƒ ˆŸ. Œ ƒ Œ ˆˆ γ-š Œˆ ƒ ƒˆ 23 ŒÔ. ² μ Ê ². Í μ ²Ó Ò Í É Ö ÒÌ ² μ, É μí±, μ²óï P15-2012-75.. Ò±,. Ï ± ˆ Œ ˆŸ ˆ, š Œ ˆ ˆŒˆ Š ƒ ˆŸ ˆ ˆ, Œ ƒ Œ ˆˆ γ-š Œˆ ƒ ƒˆ 23 ŒÔ ² μ Ê ² Í μ ²Ó Ò Í É Ö ÒÌ ² μ, É μí±, μ²óï Ò±.., Ï ±. P15-2012-75 ˆ ³ Ö μ Ì μ É, μ Ñ ³ ÒÌ μ É Ì ³ Î ±μ μ μ É μ Íμ Ö ÕÐ

Διαβάστε περισσότερα

HONDA. Έτος κατασκευής

HONDA. Έτος κατασκευής Accord + Coupe IV 2.0 16V (CB3) F20A2-A3 81 110 01/90-09/93 0800-0175 11,00 2.0 16V (CB3) F20A6 66 90 01/90-09/93 0800-0175 11,00 2.0i 16V (CB3-CC9) F20A8 98 133 01/90-09/93 0802-9205M 237,40 2.0i 16V

Διαβάστε περισσότερα

rs r r â t át r st tíst Ó P ã t r r r â

rs r r â t át r st tíst Ó P ã t r r r â rs r r â t át r st tíst P Ó P ã t r r r â ã t r r P Ó P r sã rs r s t à r çã rs r st tíst r q s t r r t çã r r st tíst r t r ú r s r ú r â rs r r â t át r çã rs r st tíst 1 r r 1 ss rt q çã st tr sã

Διαβάστε περισσότερα

Estimation of grain boundary segregation enthalpy and its role in stable nanocrystalline alloy design

Estimation of grain boundary segregation enthalpy and its role in stable nanocrystalline alloy design Supplemental Material for Estimation of grain boundary segregation enthalpy and its role in stable nanocrystalline alloy design By H. A. Murdoch and C.A. Schuh Miedema model RKM model ΔH mix ΔH seg ΔH

Διαβάστε περισσότερα

ΑΠΑΝΤΗΣΕΙΣ ΑΛΓΕΒΡΑΣ Α ΛΥΚΕΙΟΥ

ΑΠΑΝΤΗΣΕΙΣ ΑΛΓΕΒΡΑΣ Α ΛΥΚΕΙΟΥ ΕΡΩΤΗΣΕΙΣ ΚΑΤΑΝΟΗΣΗΣ ΑΠΑΝΤΗΣΕΙΣ ΑΛΓΕΒΡΑΣ Α ΛΥΚΕΙΟΥ ΚΕΦΑΛΑΙΟ ο : ΠΡΑΓΜΑΤΙΚΟΙ ΑΡΙΘΜΟΙ. Σωστό. Σωστό. Σωστό 4. Λάθος 5. Σωστό 6. Λάθος 7. Σωστό 8. Λάθος 9. Σωστό 0. Λάθος. Λάθος a. Σωστό b. Λάθος c. Λάθος

Διαβάστε περισσότερα

P Î,.. Š ²³Ò±μ, Œ.. Œ ϱ,.. ʳ ˆ ˆ ˆ ˆŸ ˆŠ Š Š ˆ Ÿ -200

P Î,.. Š ²³Ò±μ, Œ.. Œ ϱ,.. ʳ ˆ ˆ ˆ ˆŸ ˆŠ Š Š ˆ Ÿ -200 P9-2011-62. Î,.. Š ²³Ò±μ, Œ.. Œ ϱ,.. ʳ ˆ ˆ ˆ ˆŸ ˆŠ Š Š ˆ Ÿ -200 Î.. P9-2011-62 É μ É μ μ Í μ μ Ö μ ±μ Êα Ê ±μ É ²Ö -200 É ² μ μ Ê É μ É μ Í μ μ Ö Ò ÒÌ μ - ±μ, ±μéμ μ Ö ²Ö É Ö Î ÉÓÕ É ³Ò μ É ± Êα ²

Διαβάστε περισσότερα

K r i t i k i P u b l i s h i n g - d r a f t

K r i t i k i P u b l i s h i n g - d r a f t T ij = A Y i Y j /D ij A T ij i j Y i i Y j j D ij T ij = A Y α Y b i j /D c ij b c b c a LW a LC L P F Q W Q C a LW Q W a LC Q C L a LC Q C + a LW Q W L P F L/a LC L/a LW 1.000/2 = 500

Διαβάστε περισσότερα

Ó³ Ÿ , º 3(187).. 431Ä438. Š. ˆ. ±μ,.. ŒÖ²±μ ±,.. Ï Ìμ μ,.. μ² ±μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê

Ó³ Ÿ , º 3(187).. 431Ä438. Š. ˆ. ±μ,.. ŒÖ²±μ ±,.. Ï Ìμ μ,.. μ² ±μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê Ó³ Ÿ. 2014.. 11, º 3(187).. 431Ä438 Œ ˆŠ ˆ ˆ Š ƒ Š ˆŒ ˆŒ Š Š Š ƒ ˆŸ ŠˆŒ Œ ˆ Œ Š. ˆ. ±μ,.. ŒÖ²±μ ±,.. Ï Ìμ μ,.. μ² ±μ Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê μé É ² Ò Ê²ÓÉ ÉÒ ÊÎ Ö ³ μéò Éμ ±μ É ÒÌ Ëμ ÒÌ É Ê μ± ( É μê) Ì

Διαβάστε περισσότερα

P ƒ. μ μ², Œ.. ˆ μ,.. μ ± Î Š Ÿ ˆ Œ ˆŸ ˆ Ÿ Š ˆ. ² μ Ê ² μ Ò É Ì ± Ô± ³ É.

P ƒ. μ μ², Œ.. ˆ μ,.. μ ± Î Š Ÿ ˆ Œ ˆŸ ˆ Ÿ Š ˆ. ² μ Ê ² μ Ò É Ì ± Ô± ³ É. P13-2011-120. ƒ. μ μ², Œ.. ˆ μ,.. μ ± Î Š Ÿ ˆ Œ ˆŸ ˆ Ÿ Š ˆ ² μ Ê ² μ Ò É Ì ± Ô± ³ É E-mail: sobolev@nrmail.jinr.ru μ μ². ƒ., ˆ μ Œ.., μ ± Î.. P13-2011-120 É μ ± ²Ö ³ Ö μ² ÒÌ Î Ö ÒÌ ±Í Ò É Ö Ô± ³ É ²Ó Ö

Διαβάστε περισσότερα

..,..,.. ! " # $ % #! & %

..,..,.. !  # $ % #! & % ..,..,.. - -, - 2008 378.146(075.8) -481.28 73 69 69.. - : /..,..,... : - -, 2008. 204. ISBN 5-98298-269-5. - -,, -.,,, -., -. - «- -»,. 378.146(075.8) -481.28 73 -,..,.. ISBN 5-98298-269-5..,..,.., 2008,

Διαβάστε περισσότερα

The Hidden Biography. January 1, 2008 Arabic. Malek Meselmany

The Hidden Biography.  January 1, 2008 Arabic. Malek Meselmany Omar ibn al-khaṭṭāb The Hidden Biography www.annaqed.com January, 008 Arabic Malek Meselmany Syria, AL-Lādhiqīyah 006 [Blank Page] ( ) [Blank Page] [Blank Page] .... :» :.» :. :.« » : :.«.«()» :.. «.......

Διαβάστε περισσότερα

P Œ ²μ, Œ.. ƒê Éμ,. ƒ. ²μ,.. μ. ˆ ˆŸ Œˆ ˆŸ ˆ Š Œ ˆŸ Ÿ - ˆ ˆ ŠˆŒˆ Œ Œˆ ˆ œ ˆ Œ ˆ ŒˆŠ Œ -25

P Œ ²μ, Œ.. ƒê Éμ,. ƒ. ²μ,.. μ. ˆ ˆŸ Œˆ ˆŸ ˆ Š Œ ˆŸ Ÿ - ˆ ˆ ŠˆŒˆ Œ Œˆ ˆ œ ˆ Œ ˆ ŒˆŠ Œ -25 P6-2011-64.. Œ ²μ, Œ.. ƒê Éμ,. ƒ. ²μ,.. μ ˆ ˆŸ Œˆ ˆŸ ˆ Š Œ ˆŸ Ÿ - ˆ ˆ ŠˆŒˆ Œ Œˆ ˆ œ ˆ Œ ˆ ŒˆŠ Œ -25 Œ ²μ... P6-2011-64 ² μ Ö ²Õ³ Ö ± ³ Ö μ Í Ì μ Ò Ö μ-ë Î ± ³ ³ Éμ ³ μ²ó μ ³ ³ ± μé μ Œ -25 μ³μðóõ Ö μ-ë

Διαβάστε περισσότερα

ˆ Œ ˆŸ Š ˆˆ ƒ Šˆ ƒ ƒ ˆ Šˆ ˆ ˆ Œ ˆ

ˆ Œ ˆŸ Š ˆˆ ƒ Šˆ ƒ ƒ ˆ Šˆ ˆ ˆ Œ ˆ Ó³ Ÿ. 2007.. 4, º 5(141).. 719Ä730 ˆ ˆ ƒˆÿ, Š ƒˆÿ ˆ Ÿ Ÿ Œ ˆ ˆ ˆ Œ ˆŸ Š ˆˆ ƒ Šˆ ƒ ƒ ˆ Šˆ ˆ ˆ Œ ˆ Š Œ Œ ˆ.. Š Öαμ,. ˆ. ÕÉÕ ±μ,.. ²Ö Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê μ ÖÉ Ö Ê²ÓÉ ÉÒ μéò μ ³ Õ ±μ Í É Í CO 2 O 2 ϲ μì

Διαβάστε περισσότερα

ΘΕΜΑ ΔΙΠΛΩΜΑΤΙΚΗΣ ΕΡΓΑΣΙΑΣ: Ο ΙΣΛΑΜΙΚΟΣ ΡΙΖΟΣΠΑΣΤΙΣΜΟΣ ΚΑΙ ΟΙ ΣΥΝΕΠΕΙΕΣ ΤΟΥ ΓΙΑ ΤΗΝ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΑΣΦΑΛΕΙΑ ΚΑΙ ΕΞΩΤΕΡΙΚΗ ΠΟΛΙΤΙΚΗ

ΘΕΜΑ ΔΙΠΛΩΜΑΤΙΚΗΣ ΕΡΓΑΣΙΑΣ: Ο ΙΣΛΑΜΙΚΟΣ ΡΙΖΟΣΠΑΣΤΙΣΜΟΣ ΚΑΙ ΟΙ ΣΥΝΕΠΕΙΕΣ ΤΟΥ ΓΙΑ ΤΗΝ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΑΣΦΑΛΕΙΑ ΚΑΙ ΕΞΩΤΕΡΙΚΗ ΠΟΛΙΤΙΚΗ ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΜΑΚΕΔΟΝΙΑΣ ΔΙΑΤΜΗΜΑΤΙΚΟ ΠΡΟΓΡΑΜΜΑ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΩΝ ΣΠΟΥΔΩΝ ΣΤΙΣ ΔΙΕΘΝΕΙΣ ΣΧΕΣΕΙΣ ΚΑΙ ΑΣΦΑΛΕΙΑ. ΑΝΩΤΑΤΗ ΔΙΑΚΛΑΔΙΚΗ ΣΧΟΛΗ ΠΟΛΕΜΟΥ ΤΜΗΜΑ ΔΙΕΘΝΩΝ ΚΑΙ ΕΥΡΩΠΑΙΚΩΝ ΣΠΟΥΔΩΝ - ΤΜΗΜΑ ΒΑΛΚΑΝΙΚΩΝ, ΣΛΑΒΙΚΩΝ

Διαβάστε περισσότερα

P μ,. Œμ α 1,. ²μ ± 1,.. ϱ Î, Ÿ. Ê Í± 2 Œˆ ˆ Œ Š Ÿ Š Ÿ ˆ ˆŒ ˆˆ. ² μ Ê ² μ Ò É Ì ± Ô± ³ É

P μ,. Œμ α 1,. ²μ ± 1,.. ϱ Î, Ÿ. Ê Í± 2 Œˆ ˆ Œ Š Ÿ Š Ÿ ˆ ˆŒ ˆˆ. ² μ Ê ² μ Ò É Ì ± Ô± ³ É P13-2009-117.. μ,. Œμ α 1,. ²μ ± 1,.. ϱ Î, Ÿ. Ê Í± 2 Œˆ ˆ Œ Š Ÿ Š Ÿ ˆ ˆŒ ˆˆ ² μ Ê ² μ Ò É Ì ± Ô± ³ É 1ˆ É ÉÊÉ Éμ³ μ Ô, ±Ä Ï, μ²óï 2 Ì μ²μ Î ± Ê É É, Õ ², μ²óï μ... P13-2009-117 μ ³ μ ³μ² ±Ê²Ö ÒÌ Êαμ

Διαβάστε περισσότερα

Sarò signor io sol. α α. œ œ. œ œ œ œ µ œ œ. > Bass 2. Domenico Micheli. Canzon, ottava stanza. Soprano 1. Soprano 2. Alto 1

Sarò signor io sol. α α. œ œ. œ œ œ œ µ œ œ. > Bass 2. Domenico Micheli. Canzon, ottava stanza. Soprano 1. Soprano 2. Alto 1 Sarò signor io sol Canzon, ottava stanza Domenico Micheli Soprano Soprano 2 Alto Alto 2 Α Α Sa rò si gnor io sol del mio pen sie io sol Sa rò si gnor io sol del mio pen sie io µ Tenor Α Tenor 2 Α Sa rò

Διαβάστε περισσότερα

ˆŒ œ ƒ ƒ ˆ ˆŸ ˆ Š ˆ 137 Cs Š ˆ Œ.

ˆŒ œ ƒ ƒ ˆ ˆŸ ˆ Š ˆ 137 Cs Š ˆ Œ. Ó³ Ÿ. 2017.. 14, º 6(211).. 630Ä636 ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ. Š ˆŒ ˆ Š ˆŸ ˆŸ ˆŒ œ ƒ ƒ ˆ ˆŸ ˆ Š ˆ 137 Cs Š ˆ Œ. œ.., 1,.. ³,. ƒ. Š ² ±μ,.. ³ ±,.. ³ μ,. ˆ. É ²μ,. ˆ. ÕÉÕ ±μ, ƒ.. Ë,, ˆ.. ±μ ˆ É ÉÊÉ μ Ð Ë ± ³.. Œ.

Διαβάστε περισσότερα

Š ˆ ˆ ˆ Š ˆ ˆ Œ.. μ É Ó

Š ˆ ˆ ˆ Š ˆ ˆ Œ.. μ É Ó ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ 2011.. 42.. 2 Š ˆ ˆ ˆ Š ˆ ˆ Œ.. μ É Ó Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê ˆ 636 ˆ ˆ Šˆ Œ ˆŸ ˆŒˆ - Šˆ Œ Š ˆ ˆ 638 Š ˆ ˆ ˆ : ˆ ˆŸ 643 ˆ ˆ Šˆ Š 646 Œ ˆ Šˆ 652 Œ ˆ Šˆ Š ˆ -2 ˆ ˆ -2Œ 656 ˆ ˆ Šˆ Š œ Š ˆ Œ

Διαβάστε περισσότερα

P Ë ³μ,.. μ μ³μ²μ,.. ŠμÎ μ,.. μ μ,.. Š μ. ˆ œ ˆ Š Œˆ ŠˆŒ ƒ Œ Ÿ ˆŸ Š ˆ ˆ -ˆ ˆŠ

P Ë ³μ,.. μ μ³μ²μ,.. ŠμÎ μ,.. μ μ,.. Š μ. ˆ œ ˆ Š Œˆ ŠˆŒ ƒ Œ Ÿ ˆŸ Š ˆ ˆ -ˆ ˆŠ P9-2008-102.. Ë ³μ,.. μ μ³μ²μ,.. ŠμÎ μ,.. μ μ,.. Š μ ˆ œ ˆ Š Œˆ ŠˆŒ ƒ Œ Ÿ ˆŸ Š ˆ ˆ -ˆ ˆŠ Ë ³μ... P9-2008-102 ˆ μ²ó μ Ô± μ³ Î ± ³ μ³ ²Ö μ²êî Ö Êα μ μ - ÉμÎ ± μ²êî É ÒÌ Ê ±μ ÒÌ Êαμ 48 Ö ²Ö É Ö μ μ ±²ÕÎ

Διαβάστε περισσότερα

ss rt çã r s t Pr r Pós r çã ê t çã st t t ê s 1 t s r s r s r s r q s t r r t çã r str ê t çã r t r r r t r s

ss rt çã r s t Pr r Pós r çã ê t çã st t t ê s 1 t s r s r s r s r q s t r r t çã r str ê t çã r t r r r t r s P P P P ss rt çã r s t Pr r Pós r çã ê t çã st t t ê s 1 t s r s r s r s r q s t r r t çã r str ê t çã r t r r r t r s r t r 3 2 r r r 3 t r ér t r s s r t s r s r s ér t r r t t q s t s sã s s s ér t

Διαβάστε περισσότερα

P ƒ Ê Î 1, 2,.. ƒê μ 1, 3,. ÉÓ±μ 2, O.M.ˆ μ 1,.. Œ É μë μ 1,.. μ μ 1,. ƒ. Ê±μ ± 1,.. ³ 1,.. ±Ê Éμ 1. ˆ ˆ ˆ ˆ Š ˆ Si- ˆ SiC- Š Š ˆ

P ƒ Ê Î 1, 2,.. ƒê μ 1, 3,. ÉÓ±μ 2, O.M.ˆ μ 1,.. Œ É μë μ 1,.. μ μ 1,. ƒ. Ê±μ ± 1,.. ³ 1,.. ±Ê Éμ 1. ˆ ˆ ˆ ˆ Š ˆ Si- ˆ SiC- Š Š ˆ P13-2017-81. ƒ Ê Î 1, 2,.. ƒê μ 1, 3,. ÉÓ±μ 2, O.M.ˆ μ 1,.. Œ É μë μ 1,.. μ μ 1,. ƒ. Ê±μ ± 1,.. ³ 1,.. ±Ê Éμ 1 ˆ ˆ ˆ ˆ Š ˆ Si- ˆ SiC- Š Š ˆ ² μ Ê ² μ Ò É Ì ± Ô± ³ É 1 Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê 2 ² ±É μé Ì

Διαβάστε περισσότερα

Meren virsi Eino Leino

Meren virsi Eino Leino œ_ œ _ q = 72 Meren virsi Eino Leino Toivo Kuua o. 11/2 (1909) c c F c Kun ne F iu L? c œ J J J J œ_ œ_ nœ_ Min ne rien nät, vie ri vä vir ta? Kun ne c c F c Kun ne F iu L? c œ J J J J œ_ œ_ nœ_ Min ne

Διαβάστε περισσότερα

Š Œ -Ÿ Š ˆŸ Ÿ Œˆ ˆ Œˆ.ˆ. Ê ÉÒ²Ó ±

Š Œ -Ÿ Š ˆŸ Ÿ Œˆ ˆ Œˆ.ˆ. Ê ÉÒ²Ó ± ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ 2000, Œ 31,. 2 539.172+;539.173 Š Œ -Ÿ Š ˆŸ Ÿ Œˆ ˆ Œˆ.ˆ. Ê ÉÒ²Ó ± Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² µ, Ê a ˆ 273 ˆŸ ˆ ˆ Š Œ ˆ 277 Î ± Ö ± É 277 Î Ö µ µ Ö ±µ³ Ê -Ö µ Ò µµé µï Ö ²Ö Ï ±µ³ Ê - 278 Ö É É É

Διαβάστε περισσότερα

Annulations de la dette extérieure et croissance. Une application au cas des pays pauvres très endettés (PPTE)

Annulations de la dette extérieure et croissance. Une application au cas des pays pauvres très endettés (PPTE) Annulations de la dette extérieure et croissance. Une application au cas des pays pauvres très endettés (PPTE) Khadija Idlemouden To cite this version: Khadija Idlemouden. Annulations de la dette extérieure

Διαβάστε περισσότερα

Forêts aléatoires : aspects théoriques, sélection de variables et applications

Forêts aléatoires : aspects théoriques, sélection de variables et applications Forêts aléatoires : aspects théoriques, sélection de variables et applications Robin Genuer To cite this version: Robin Genuer. Forêts aléatoires : aspects théoriques, sélection de variables et applications.

Διαβάστε περισσότερα

Επίσηµη Εφηµερίδα των Ευρωπαϊκών Κοινοτήτων

Επίσηµη Εφηµερίδα των Ευρωπαϊκών Κοινοτήτων 29.5.2002 EL Επίσηµη Εφηµερίδα των Ευρωπαϊκών Κοινοτήτων L 139/9 ΚΑΝΟΝΙΣΜΟΣ (ΕΚ) αριθ. 881/2002 ΤΟΥ ΣΥΜΒΟΥΛΙΟΥ της 27ης Μαΐου 2002 για την επιβολή συγκεκριµένων περιοριστικών µέτρων κατά ορισµένων προσώπων

Διαβάστε περισσότερα

ΓΗ ΚΑΙ ΣΥΜΠΑΝ. Εικόνα 1. Φωτογραφία του γαλαξία μας (από αρχείο της NASA)

ΓΗ ΚΑΙ ΣΥΜΠΑΝ. Εικόνα 1. Φωτογραφία του γαλαξία μας (από αρχείο της NASA) ΓΗ ΚΑΙ ΣΥΜΠΑΝ Φύση του σύμπαντος Η γη είναι μία μονάδα μέσα στο ηλιακό μας σύστημα, το οποίο αποτελείται από τον ήλιο, τους πλανήτες μαζί με τους δορυφόρους τους, τους κομήτες, τα αστεροειδή και τους μετεωρίτες.

Διαβάστε περισσότερα

Editorís Talk. Advisor. Editorial team. Thank

Editorís Talk. Advisor. Editorial team. Thank 1 Editorís Talk ❶ ⓿ ⓿ ❹ 2 ⓿ ❶ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ❹ ⓿ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ❹ ⓿ ⓿ ⓿ ❽ ❾ & & ❽ ❾ ❽ ❾ ❼ Advisor Editorial team & & & Thank & & ⓿ ❶ ❶ ❶ ❶ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ❶ ⓿ ❹ ❶ ❶ ⓿ ❶ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ❶ ❶

Διαβάστε περισσότερα

Ó³ Ÿ , º 5(147).. 777Ä786. Œ ˆŠ ˆ ˆ Š ƒ Š ˆŒ. ˆ.. Š Öαμ,. ˆ. ÕÉÕ ±μ,.. ²Ö. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê

Ó³ Ÿ , º 5(147).. 777Ä786. Œ ˆŠ ˆ ˆ Š ƒ Š ˆŒ. ˆ.. Š Öαμ,. ˆ. ÕÉÕ ±μ,.. ²Ö. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê Ó³ Ÿ. 2008.. 5, º 5(147).. 777Ä786 Œ ˆŠ ˆ ˆ Š ƒ Š ˆŒ ˆŒˆ Šˆ Œ Š ƒ ˆŒ œ ƒ - Ÿ ˆ.. Š Öαμ,. ˆ. ÕÉÕ ±μ,.. ²Ö Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê μ± μ, ÎÉμ ² ³ Ö Éμ³ μ-ô³ μ μ μ ±É μ³ É μ Ìμ É μ μ ³μ² ±Ê² CN CO 2 N 2. ±

Διαβάστε περισσότερα

Ó³ Ÿ º 3[120] Particles and Nuclei, Letters No. 3[120]

Ó³ Ÿ º 3[120] Particles and Nuclei, Letters No. 3[120] Ó³ Ÿ. 2004. º 3[120] Particles and Nuclei, Letters. 2004. No. 3[120] Š 621.384.633.5/6 Š ˆ ˆ Šˆ Šˆ Š ˆ Ÿ Ÿ ˆ ˆ.. Œ ϱµ 1,.. µ 1,.. ³ µ 1,. Œ. Ò 1, ƒ.. Ê ±µ 1 Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² µ, Ê Œµ ±µ ± µ Ê É Ò É ÉÊÉ

Διαβάστε περισσότερα

Νόµοςπεριοδικότητας του Moseley:Η χηµική συµπεριφορά (οι ιδιότητες) των στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού.

Νόµοςπεριοδικότητας του Moseley:Η χηµική συµπεριφορά (οι ιδιότητες) των στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού. Νόµοςπεριοδικότητας του Moseley:Η χηµική συµπεριφορά (οι ιδιότητες) των στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού. Περιοδικός πίνακας: α. Είναι µια ταξινόµηση των στοιχείων κατά αύξοντα

Διαβάστε περισσότερα

ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ Ä Œμ Ìμ. ±É- É Ê ± μ Ê É Ò Ê É É, ±É- É Ê, μ Ö

ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ Ä Œμ Ìμ. ±É- É Ê ± μ Ê É Ò Ê É É, ±É- É Ê, μ Ö ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ 2017.. 48.. 5.. 740Ä744 ˆ Œˆ ƒ Š Œ ˆ Œˆ ˆŸ ˆ ˆ ˆŸ ˆˆ ƒ ˆ Šˆ ˆ.. Œμ Ìμ ±É- É Ê ± μ Ê É Ò Ê É É, ±É- É Ê, μ Ö ±μ³ ² ± ÒÌ ³μ ʲÖÌ Ð É Ò³ ² ³ Š² ËËμ Î É μ - ³ μ É Ò Ë ³ μ Ò ³ Ò Å ²μ ÉÉ. Ì

Διαβάστε περισσότερα

Ó³ Ÿ , º 2(214).. 171Ä176. Š Œ œ ƒˆˆ ˆ ˆŠ

Ó³ Ÿ , º 2(214).. 171Ä176. Š Œ œ ƒˆˆ ˆ ˆŠ Ó³ Ÿ. 218.. 15, º 2(214).. 171Ä176 Š Œ œ ƒˆˆ ˆ ˆŠ ˆ ˆ ˆ Š Š Œ Œ Ÿ ˆ Š ˆ Š ˆ ˆŠ Œ œ ˆ.. Š Ö,, 1,.. ˆ μ,,.. μ³ μ,.. ÉÓÖ μ,,.š. ʳÖ,, Í μ ²Ó Ò ² μ É ²Ó ± Ö Ò Ê É É Œˆ ˆ, Œμ ± Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê μ ± Ê É

Διαβάστε περισσότερα

Œ ˆ ˆŸ ˆ Š ˆ ƒ Š Œ Š Š

Œ ˆ ˆŸ ˆ Š ˆ ƒ Š Œ Š Š Ó³ Ÿ. 2012.. 9, º 4Ä5(174Ä175).. 654Ä665 ˆ ˆŠ ˆ ˆŠ Š ˆ Œ ˆ ˆŸ ˆ Š ˆ ƒ Š Œ Š Š.. ÊÉ ±μ,. ˆ. ƒμ μ μ,.. μ Í,.. μ Í,.. μ Í, Š.. É μ,.. Œμ Î ±,.. μ, ƒ.. Ê ±μ,.. ³Êϱ Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê ˆ ±Í μ Ò ±μ³ ² ± ʱ²μÉ

Διαβάστε περισσότερα

Ó³ Ÿ , º 2(131).. 105Ä ƒ. ± Ï,.. ÊÉ ±μ,.. Šμ ² ±μ,.. Œ Ì ²μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê

Ó³ Ÿ , º 2(131).. 105Ä ƒ. ± Ï,.. ÊÉ ±μ,.. Šμ ² ±μ,.. Œ Ì ²μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê Ó³ Ÿ. 2006.. 3, º 2(131).. 105Ä110 Š 537.311.5; 538.945 Œ ƒ ˆ ƒ Ÿ ˆŠ ˆ ƒ Ÿ ƒ ˆ œ ƒ Œ ƒ ˆ ˆ Š ˆ 4 ². ƒ. ± Ï,.. ÊÉ ±μ,.. Šμ ² ±μ,.. Œ Ì ²μ Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê ³ É É Ö μ ² ³ μ É ³ Í ² Ö Ê³ μ μ ³ É μ μ μ²ö

Διαβάστε περισσότερα

Œ.. ² μ,.. Œ ²μ, ƒ.. μ ±μ,. Ô Ô ², Œ.. ƒê Éμ, Œ.. Œ ² μ *

Œ.. ² μ,.. Œ ²μ, ƒ.. μ ±μ,. Ô Ô ², Œ.. ƒê Éμ, Œ.. Œ ² μ * 6-2008-5 Œ.. ² μ,.. Œ ²μ, ƒ.. μ ±μ,. Ô Ô ², Œ.. ƒê Éμ, Œ.. Œ ² μ * ˆ ˆ ˆˆ U(VI) ˆ ˆ ˆ ˆ Š ˆ ² μ Ê ² μì ³ Ö *, μ -, μ² Ö ² μ Œ... 6-2008-5 ˆ ² μ μ Í U(VI) μî μ μ Ì ² Ð μ ±É ÒÌ μéìμ μ ˆ ² μ μ Í Ö U(VI) μî

Διαβάστε περισσότερα

Το άτομο του Υδρογόνου

Το άτομο του Υδρογόνου Το άτομο του Υδρογόνου Δυναμικό Coulomb Εξίσωση Schrödinger h e (, r, ) (, r, ) E (, r, ) m ψ θφ r ψ θφ = ψ θφ Συνθήκες ψ(, r θφ, ) = πεπερασμένη ψ( r ) = 0 ψ(, r θφ, ) =ψ(, r θφ+, ) π Επιτρεπτές ενέργειες

Διαβάστε περισσότερα

ΚΥΠΡΙΑΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΥΠΟΥΡΓΕΙΟ ΕΞΩΤΕΡΙΚΩΝ. Θέμα: Περιοριστικά μέτρα ΕΕ κατά της Λιβύης

ΚΥΠΡΙΑΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΥΠΟΥΡΓΕΙΟ ΕΞΩΤΕΡΙΚΩΝ. Θέμα: Περιοριστικά μέτρα ΕΕ κατά της Λιβύης ΚΥΠΡΙΑΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΥΠΟΥΡΓΕΙΟ ΕΞΩΤΕΡΙΚΩΝ ΠΟΛΙΤΙΚΗ ΔΙΕΥΘΥΝΣΗ ΤΜΗΜΑ ΠΟΛΥΜΕΡΩΝ ΣΧΕΣΕΩΝ ΚΑΙ ΔΙΕΘΝΩΝ ΟΡΓΑΝΙΣΜΩΝ Αρ. Φακ: 04.02.004.001.003.007 Τηλ.: 22 651264 Τηλεομοιότυπο: 22 661881 Ηλεκτρ. Διεύθυνση: dchristodoulou@mfa.gov.cy

Διαβάστε περισσότερα

ΠΟΛΥ ΜΕΓΑΛΗ : ΜΕΓΑΛΗ : ΜΕΣΑΙΑ: ΜΙΚΡΗ

ΠΟΛΥ ΜΕΓΑΛΗ : ΜΕΓΑΛΗ : ΜΕΣΑΙΑ: ΜΙΚΡΗ Page 1 of 67 Page 2 of 67 Page 3 of 67 Page 4 of 67 1. Page 5 of 67 Page 6 of 67 Page 7 of 67 2. Page 8 of 67 Page 9 of 67 Page 10 of 67 Page 11 of 67 Page 12 of 67 Page 13 of 67 Page 14 of 67 Page 15

Διαβάστε περισσότερα

P É Ô Ô² 1,2,.. Ò± 1,.. ±μ 1,. ƒ. ±μ μ 1,.Š. ±μ μ 1, ˆ.. Ê Ò 1,.. Ê Ò 1 Œˆ ˆŸ. ² μ Ê ² μ Ì μ ÉÓ. É μ ±, Ì μé μ Ò É μ Ò ² μ Ö

P É Ô Ô² 1,2,.. Ò± 1,.. ±μ 1,. ƒ. ±μ μ 1,.Š. ±μ μ 1, ˆ.. Ê Ò 1,.. Ê Ò 1 Œˆ ˆŸ. ² μ Ê ² μ Ì μ ÉÓ. É μ ±, Ì μé μ Ò É μ Ò ² μ Ö P11-2015-60. É Ô Ô² 1,2,.. Ò± 1,.. ±μ 1,. ƒ. ±μ μ 1,.Š. ±μ μ 1, ˆ.. Ê Ò 1,.. Ê Ò 1 Œ Œ ˆ Š Œ ˆ ˆ Œˆ ˆŸ ƒ Š ˆŒ Š ² μ Ê ² μ Ì μ ÉÓ. É μ ±, Ì μé μ Ò É μ Ò ² μ Ö 1 Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê 2 Œμ μ²ó ± μ Ê É Ò

Διαβάστε περισσότερα

ƒšˆœˆ Ÿ Œˆ ˆ ˆ ˆ Šˆ ƒˆÿ.. Ê μ Î ±μ

ƒšˆœˆ Ÿ Œˆ ˆ ˆ ˆ Šˆ ƒˆÿ.. Ê μ Î ±μ ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ 2013.. 44.. 5 ƒšˆœˆ Ÿ Œˆ ˆ ˆ ˆ Šˆ ƒˆÿ.. Ê μ Î ±μ É μë Î ± É ÉÊÉ ³.. ƒ. ±μ, ˆ É ÉÊÉ Ö μ Ë ± Š, ²³ - É, Š Ì É ˆ 1535 Œ 1537 μ² Ò Î Ö Ì É 1537 μé Í ²Ò μ² μ Ò ËÊ ±Í 1539 ² Ò ³ Éμ Ò Î É 1541

Διαβάστε περισσότερα

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 2 12,999,976 km 9,136,765 km 1,276,765 km 499,892 km 245,066 km 112,907 km 36,765 km 24,159 km 7899 km 2408 km 76 km 12 14 16 3 6 11 1 12 7 1 2 5 4 3 9 10 8 18 20 21 22 23 24 25 26

Διαβάστε περισσότερα

2 3 4 5 6 7 8 9 10 12,999,976 km 9,136,765 km 1,276,765 km 499,892 km 245,066 km 112,907 km 36,765 km 24,159 km 7899 km 2408 km 76 km 12 14 16 9 10 1 8 12 7 3 1 6 2 5 4 3 11 18 20 21 22 23 24 26 28 30

Διαβάστε περισσότερα

The extent of Islamic Education basic stage Textbooks to ensure the developmental listening skills for the activities of Holly Quran

The extent of Islamic Education basic stage Textbooks to ensure the developmental listening skills for the activities of Holly Quran 438 27,,29, 438 27,83 67,,29, 438 4 7 ; 437 8 :, %32, 62 48 :,,,,,,,,,, : The extent of Islamic Education basic stage Textbooks to ensure the developmental listening skills for the activities of Holly

Διαβάστε περισσότερα

ΔΗΜΟΤΙΚΕΣ ΕΚΛΟΓΕΣ 18/5/2014 ΑΚΥΡΑ

ΔΗΜΟΤΙΚΕΣ ΕΚΛΟΓΕΣ 18/5/2014 ΑΚΥΡΑ ΔΗΜΟΤΙΚΕΣ ΕΚΛΟΓΕΣ 18/5/2014 ΑΚΥΡΑ ΑΔΑΜΗΣ Δ.Κ. / Τ.Κ. E.T. ΕΓΓ/ΝΟΙ ΨΗΦΙΣΑΝ ΕΓΚΥΡΑ ΓΙΟΒΑΣ ΙΩΑΝΝΗΣ ΛΕΥΚΑ ΠΑΝΑΓΙΩΤΗΣ ΜΑΝΤΑΣ ΠΑΝΑΓΙΩΤΗΣ ΔΑΛΙΑΝΗΣ ΓΕΩΡΓΙΟΣ ΑΣΤΡΟΣ 5 2.728 1.860 36 1.825 69 3,8% 152 8,3% 739 40,5%

Διαβάστε περισσότερα

ΝΟΜΟΣ ΤΗΣ ΠΕΡΙΟ ΙΚΟΤΗΤΑΣ : Οι ιδιότητες των χηµικών στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού.

ΝΟΜΟΣ ΤΗΣ ΠΕΡΙΟ ΙΚΟΤΗΤΑΣ : Οι ιδιότητες των χηµικών στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού. 1. Ο ΠΕΡΙΟ ΙΚΟΣ ΠΙΝΑΚΑΣ Οι άνθρωποι από την φύση τους θέλουν να πετυχαίνουν σπουδαία αποτελέσµατα καταναλώνοντας το λιγότερο δυνατό κόπο και χρόνο. Για το σκοπό αυτό προσπαθούν να οµαδοποιούν τα πράγµατα

Διαβάστε περισσότερα

Robust Segmentation of Focal Lesions on Multi-Sequence MRI in Multiple Sclerosis

Robust Segmentation of Focal Lesions on Multi-Sequence MRI in Multiple Sclerosis Robust Segmentation of Focal Lesions on Multi-Sequence MRI in Multiple Sclerosis Daniel García-Lorenzo To cite this version: Daniel García-Lorenzo. Robust Segmentation of Focal Lesions on Multi-Sequence

Διαβάστε περισσότερα

Ó³ Ÿ , º 1(130).. 7Ä ±μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê

Ó³ Ÿ , º 1(130).. 7Ä ±μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê Ó³ Ÿ. 006.. 3, º 1(130).. 7Ä16 Š 530.145 ˆ ƒ ˆ ˆŒ ˆŸ Š ƒ.. ±μ Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê É μ ² Ö Ó μ μ Ö μ μ²õ μ É μ ÌÉ ±ÊÎ É ² ³ É μ - Î ±μ μ ÊÌ ±μ Ëμ ³ μ- ±² μ ÒÌ ³μ ²ÖÌ Ê ±. ³ É ÔÉμ μ μ μ Ö, Ö ²ÖÖ Ó ±μ³

Διαβάστε περισσότερα

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Διατακτικοί αριθμοί. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Διατακτικοί αριθμοί. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Ενότητα: Διατακτικοί αριθμοί Γιάννης Μοσχοβάκης Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Σημειώματα Σημειώμα ιστορικού εκδόσεων έργου Το παρόν έργο αποτελεί την έκδοση 1.1. Εχουν προηγηθεί οι κάτωθι

Διαβάστε περισσότερα

ΜΕΛΕΤΗ ΤΗΣ ΥΝΑΤΟΤΗΤΑΣ ΑΞΙΟΠΟΙΗΣΗΣ ΤΟΥ ΓΕΩΘΕΡΜΙΚΟΥ ΠΕ ΙΟΥ ΘΕΡΜΩΝ ΝΙΓΡΙΤΑΣ (Ν. ΣΕΡΡΩΝ)

ΜΕΛΕΤΗ ΤΗΣ ΥΝΑΤΟΤΗΤΑΣ ΑΞΙΟΠΟΙΗΣΗΣ ΤΟΥ ΓΕΩΘΕΡΜΙΚΟΥ ΠΕ ΙΟΥ ΘΕΡΜΩΝ ΝΙΓΡΙΤΑΣ (Ν. ΣΕΡΡΩΝ) ελτίο της Ελληνικής Γεωλογικής Εταιρίας τοµ. XXXVI, 2004 Πρακτικά 10 ου ιεθνούς Συνεδρίου, Θεσ/νίκη Απρίλιος 2004 Bulletin of the Geological Society of Greece vol. XXXVI, 2004 Proceedings of the 10 th

Διαβάστε περισσότερα

ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ Ä1350 ˆ ˆ Š -3

ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ Ä1350 ˆ ˆ Š -3 ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ 2018.. 49.. 4.. 1343Ä1350 ˆ ƒ ŒŒ ˆ ˆ Œ ƒˆ ˆˆ ˆ Š ˆ ˆ Š -3.. ŠÊ Ö 1,, ˆ.. μ 2,.. ɱμ 1, 2,.. 1, 2,.. Ê 1,.. Ê 2,.. μ ±μ 2, ˆ. Œ. μ 1, 2,.. Ÿ 1, Œ.. ² ± 2 1 ˆ É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Œμ ± 2 ˆ É

Διαβάστε περισσότερα

Ó³ Ÿ , º 4(181).. 501Ä510

Ó³ Ÿ , º 4(181).. 501Ä510 Ó³ Ÿ. 213.. 1, º 4(181.. 51Ä51 ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ. ˆŸ Š ˆ ƒ ˆ ˆŸ Ÿ ƒ Ÿ Ÿ ˆ ˆ Š ˆˆ ƒ ˆ ˆˆ Š.. Œμ Éμ 1,.. Ê 2 Œμ ±μ ± μ Ê É Ò Ê É É ³. Œ.. μ³μ μ μ, Œμ ± ƒ ÒÎ ² É μ Ô - ³ Ê²Ó ²Ö ³ É ± Š. Ò Ï É Í μ Ò Ô Ö ³μ³

Διαβάστε περισσότερα

ΣΥΝΕΧΕΙΑ ΣΥΝΑΡΤΗΣΗΣ - Θ. BOLZANO - Θ. ΕΝΔΙΑΜΕΣΩΝ ΤΙΜΩΝ. , ώστε η συνάρτηση. æ η γραφική της παράσταση να διέρχεται από το σημείο Mç

ΣΥΝΕΧΕΙΑ ΣΥΝΑΡΤΗΣΗΣ - Θ. BOLZANO - Θ. ΕΝΔΙΑΜΕΣΩΝ ΤΙΜΩΝ. , ώστε η συνάρτηση. æ η γραφική της παράσταση να διέρχεται από το σημείο Mç Να βρεθούν τα α και β Î R, ώστε η συνάρτηση ì 4 ημ - + = í - î α + β < ³ να είναι συνεχής και æ η γραφική της παράσταση να διέρχεται από το σημείο Mç è,- ö ø Να βρείτε τα α, β, γ Î R, ώστε να είναι συνεχής

Διαβάστε περισσότερα

P ² Ì μ Š ˆ Œˆ Š Œ Œˆ. ² μ Ê ² Nuclear Instruments and Methods in Physics Research.

P ² Ì μ Š ˆ Œˆ Š Œ Œˆ. ² μ Ê ² Nuclear Instruments and Methods in Physics Research. P1-2017-59.. ² Ì μ ˆ Š ˆ ˆ ƒˆ ˆˆ γ-š ƒ Œˆ Š ˆ Œˆ Š Œ Œˆ ² μ Ê ² Nuclear Instruments and Methods in Physics Research. Section A E-mail: zalikhanov@jinr.ru ² Ì μ.. P1-2017-59 μ ÒÏ ÔËË ±É μ É É Í γ-± Éμ μ

Διαβάστε περισσότερα

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Επιλογής επόμενα. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Επιλογής επόμενα. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Ενότητα: Επιλογής επόμενα Γιάννης Μοσχοβάκης Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Σημειώματα Σημειώμα ιστορικού εκδόσεων έργου Το παρόν έργο αποτελεί την έκδοση 1.1. Εχουν προηγηθεί οι κάτωθι

Διαβάστε περισσότερα

Αναπληρωτής Καθηγητής Τμήμα Συντήρησης Αρχαιοτήτων και Έργων Τέχνης Πανεπιστήμιο Δυτικής Αττικής - ΣΑΕΤ

Αναπληρωτής Καθηγητής Τμήμα Συντήρησης Αρχαιοτήτων και Έργων Τέχνης Πανεπιστήμιο Δυτικής Αττικής - ΣΑΕΤ Γενική και Ανόργανη Χημεία Περιοδικές ιδιότητες των στοιχείων. Σχηματισμός ιόντων. Στ. Μπογιατζής 1 Αναπληρωτής Καθηγητής Τμήμα Συντήρησης Αρχαιοτήτων και Έργων Τέχνης Π Δ Χειμερινό εξάμηνο 2018-2019 Π

Διαβάστε περισσότερα

P Œ ²μ, ƒ.. μ ±μ,. ˆ. ˆ μ, Œ.. ƒê Éμ,. ƒ. ²μ,.. ³ É. ˆŒ ˆ Š ƒ Œ ˆ Ÿ ˆŸ 238 Uˆ 237 U, Œ ƒ Ÿ Š ˆˆ 238 U(γ,n) 237 U.

P Œ ²μ, ƒ.. μ ±μ,. ˆ. ˆ μ, Œ.. ƒê Éμ,. ƒ. ²μ,.. ³ É. ˆŒ ˆ Š ƒ Œ ˆ Ÿ ˆŸ 238 Uˆ 237 U, Œ ƒ Ÿ Š ˆˆ 238 U(γ,n) 237 U. P6-2009-30.. Œ ²μ, ƒ.. μ ±μ,. ˆ. ˆ μ, Œ.. ƒê Éμ,. ƒ. ²μ,.. ³ É ˆŒ ˆ Š ƒ Œ ˆ Ÿ ˆŸ 238 Uˆ 237 U, Œ ƒ Ÿ Š ˆˆ 238 U(γ,n) 237 U ² μ Ê ² μì ³ Ö, μ, μ² Ö Œ ²μ... ³ μ É Ê±ÉÊ μ μ ³ É ² ²Ö ² Ö 238U 237 U, μ²êî ³μ

Διαβάστε περισσότερα

ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ Ä664

ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ Ä664 ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ 2017.. 48.. 5.. 653Ä664 ˆ Œ ˆ ˆ e + e K + K nπ (n =1, 2, 3) Š Œ ŠŒ -3 Š - ˆ Œ Š -2000 ƒ.. μéμ Î 1,2, μé ³ ±μ²² μ Í ŠŒ -3: A.. ß ±μ 1,2,. Œ. ʲÓÎ ±μ 1,2,.. ̳ ÉÏ 1,2,.. μ 1,.. ÏÉμ μ 1,.

Διαβάστε περισσότερα

O ÛÒ ˆÓ Â ÙfiÓ... ÙÔÓ ÈÛÙfi ÙË Ú ÓË T Ì ÛÙÈÎ ÁÈ ÌÈ

O ÛÒ ˆÓ Â ÙfiÓ... ÙÔÓ ÈÛÙfi ÙË Ú ÓË T Ì ÛÙÈÎ ÁÈ ÌÈ B EK O H Â «Ô ÙÈ» Ô Ú ÚÁ ÚÔ 25 A PI IOY 2010 ñ ºY O 1.681 ñ appleâú Ô Ô B www.enet.gr 2 ú (EÎ ÔÛË ÌÂ appleúôûêôú 4 ú ) E. 62 MIA PO ºOPA TH «K.E.» OI E I Tø EI A O THN PO ºY H TO MHXANI MO THPI H E OIKONOMIA,

Διαβάστε περισσότερα

EÈ ÈÎ Ì Ù ÁÈ ÙËÓ ÔÈfiÙËÙ

EÈ ÈÎ Ì Ù ÁÈ ÙËÓ ÔÈfiÙËÙ E π A π π ª π EÈ ÈÎ Ì Ù ÁÈ ÙËÓ ÔÈfiÙËÙ TfiÌÔ B' NÈÎfiÏ Ô TÚ ÏÈ EappleÈıÂÒÚËÛË ÛÙËÌ ÙˆÓ ÁÈ ÙËÓ ÔÈfiÙËÙ ΕΛΛΗΝΙΚΟ ΑΝΟΙΚΤΟ ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ Σχολή Θετικών Επιστηµών και Τεχνολογίας Πρόγραµµα Σπουδών IAΣΦAΛIΣH ΠOIOTHTAΣ

Διαβάστε περισσότερα

Radio détection des rayons cosmiques d ultra-haute énergie : mise en oeuvre et analyse des données d un réseau de stations autonomes.

Radio détection des rayons cosmiques d ultra-haute énergie : mise en oeuvre et analyse des données d un réseau de stations autonomes. Radio détection des rayons cosmiques d ultra-haute énergie : mise en oeuvre et analyse des données d un réseau de stations autonomes. Diego Torres Machado To cite this version: Diego Torres Machado. Radio

Διαβάστε περισσότερα