Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( )
|
|
- Ναβαδίας Ιωαννίδης
- 6 χρόνια πριν
- Προβολές:
Transcript
1 Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali )) : :,,.((, ( ) :, Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Hakika Allaah Anawaridhia mambo matatu na Anachukia kwenu mambo matatu; Anawaridhia mumwabudu Yeye, wala msimshirikishe kwa chochote, na mshikamane nyote na kamba ya Allaah wala msifarikiane. Na anachukia kwenu uvumi, kuuliza sana na kupoteza mali)). 1 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Maana ya Tawhiyd ni kumwambudu Allaah ( ) bila ya kumshirikisha na chochote. 2. Himizo na amri ya kumwabudu Allaah ( ) Pekee [Yuwnus 10: 3, Al-An aam 6: 102]. tβθà) Gs? öνä3ª=yès9 öνä3î=ö6s% ÏΒ t Ï%!$#uρ öνä3s)n=s{ Ï%!$# ãνä3 /u (#ρß ç6ôã$# â $ Ψ9$# $pκš r' tƒ ((Enyi watu! Mwabuduni Mola wenu Ambae Amekuumbeni na wale wa kabla yenu ili mpate taqwa)) Haramisho la kumshirikisha Allaah ( ) na chochote. Aayah na Hadiyth nyingi zimekataza [An-Nisaa 4: 36, Al-An aam 6: 151, Al-A raaf 7: 33]. 4. Kumwabudu Allaah ( ) bila ya kumshirikisha na chochote ni ujumbe walioulingania Mitume wote kwa kaumu zao [An-Nahl 16: 36, Al- Araaf 7: 59, 65, 73, 85, Al- Ankabuwt 29: 16, Al-Maaidah 5: 72]. 1 Muslim. 2 Al-Baqarah (2: 21). 1
2 ( Èβρß ç7ôã$sù O$tΡr& HωÎ) tµ s9î) Iω çµ Ρr& ϵø s9î) û ÇrθçΡ ÏΒ š Î=ö6s% ÏΒ $uζù=y ö r&!$tβuρ ((Na Hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila Tulimfunulia wahyi kwamba: Hapana ilaah [mungu apasaye kuabudiwa kwa haki] ila Mimi, basi Niabuduni)) Himizo na amri ya Waislamu kushikamana pamoja bila ya kufarikiana. [Aal- Imraan 3: 103]. 6. Chukizo na makatazo ya kuzungumza habari za uvumi, porojo n.k. Haya yanakutokana na uovu wa ulimi unaompelekea mtu katika ghiybah (kusengenya), namiymah (kufitinisha), n.k. Imesisitizwa kuuhifadhi ulimi mtu asitamke neno ila la kheri. [Rejea Hadiyth namba 37]. 7. Makatazo ya kuuliza sana maswali au jambo ikiwa halina maana au halihitajiki, kuepusha mjadala na kupoteza muda wa wenye elimu. 8. Makatazo ya kupoteza mali katika njia zisizokubalika kishari ah na zisizomridhisha Allaah ( ), kama kufuja katika sherehe za harusi ambazo imekuwa ni kushindana na kujionyesha ufakhari. Huu ni ubadhirifu Alioukataza Allaah ( ): # ƒé ö7s? ö Éj t7è? Ÿωuρ È Î6 9$# t ø $#uρ t Å3ó Ïϑø9$#uρ çµ )ym 4 n1ö à)ø9$# #sœ ÏN#u uρ #Y θà x. ϵÎn/t Ï9 ß süø ±9$# tβ%x.uρ È ÏÜ u ±9$# tβ uθ zî) (#þθçρ%x. t Í Éj t6ßϑø9$# βî) ((Na umpe jamaa [yako] haki yake, na maskini na msafiri aliyeharibikiwa, wala usitawanye [mali yako] kwa ubadhirifu)). ((Hakika watumiao kwa ubadhirifu ni ndugu wa mashaytwaan [wanamfuata], na shaytwaan ni mwenye kumkufuru Mola wake)). 2 Pia: [Al-Furqaan 25: 67]. 9. Kutumia mali katika shughuli za bid ah; mawlid, matanga, khitmah n.k. ni kupoteza mali yake Muislamu na muda wake bure kwa amali isiyokubaliwa. 1 Al-Anbiyaa (21: 25). 2 Al-Israa (17: 26-27). 2
3 10. Muislamu anafaa afahamu kuwa mali ni amana kutoka kwa Allaah ( ) na atakwenda kuulizwa alivyopata na kuitumia. [Hadiyth: Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Mguu wa mmoja wenu hautoweza kunyanyuka Siku ya Qiyaamah mpaka aulizwe mambo manne: Umri wake ameupitisha vipi; ujana wake ameumaliza vipi; mali yake ameipata na kuitumia vipi; na elimu yake ameifanyia kazi vipi))]. 1 1 At-Tirmidhiy kutoka kwa Ibn Mas uwd ( ). 3
4 Hadiyth Ya 132 Amelaaniwa Anayemwelekeza Nduguye Silaha )) : ( ) : (( )) :( ).(( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Mmoja wenu asimwelekezee silaha nduguye, kwani hajui pengine shaytwaan huenda akamshopoa katika mkono wake ikawa ndio sababu ya kuingia katika shimo la moto)). 1 Na katika riwaya nyingine: Amesema Abul-Qaasim ( ): ((Atakayemwelekezea nduguye chuma [silaha], basi hakika Malaika wanamlaani mpaka aiondoshe, hata kama ni kaka yake kwa baba na mama)). 2 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Uharamisho wa kumwelekezea mtu silaha, kwani hivyo ni kumtishia mtu na kumkosesha amani na utulivu wa nafsi. 2. Makatazo haya hayapasi hata kwa asiyekuwa Muislamu ikiwa hana hatia yoyote, kwani huenda akamuua bila ya haki jambo lililoharamishwa. [Al-Mumtahinah 70: 8-9]. Bali ataingizwa motoni, na atapata ghadhabu za Allaah, laana Yake, na adhabu kubwa. çµs9 tãr&uρ çµuζyès9uρ ϵø n=tã ª!$# =ÅÒxîuρ $pκ Ïù #V$Î# yz ÞΟ Ψyγy_ çνäτ!#t yfsù #Y ÏdϑyètG Β $YΨÏΒ σãβ ö çfø)tƒ tβuρ $VϑŠÏàtã $¹/#x tã ((Na atakayemuua Muumin kwa kusudi, basi jazaa yake ni Jahannam, atadumu humo milele na Allaah Atamghadhibikia na Atamlaani na Atamuandalia adhabu kuu)). 3 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 Muslim. 3 An-Nisaa (4: 93-9). 4
5 3. Makatazo haya ni miongoni mwa madhambi makubwa kwa vile yanahusiana na laana za Malaika. 4. Mzaha katika hatari ya kuleta madhara haukubaliki katika Shari ah. 5. Haipasi kubeba silaha bila ya kuwa na mahitaji nayo, kama upanga, kisu, kiwembe n.k. 6. Tahadharisho la vitimbi vya shaytwaan ambaye yuko tayari kumpotosha mtu aingie motoni kwa kila njia [Al-Hijr 15: 39, Al-A raaf 7: 16-18]. 7. Uislamu unalinda usalama na amani ya binaadamu. 5
6 Hadiyth Ya 133 Makatazo Ya Kuvaa Hariri, Diybaaj (Hariri Iliyotariziwa) Na Kunywa Katika Vyombo Vya Dhahabu Na Fedha ( ) ((,. )) : )) : : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Hudhayfah ( ) kwamba Mtume ( ) amekataza (kuvaa nguo za) Hariri, na diybaaj (hariri ya kimashariki iliyotariziwa) na kunywa katika vyombo vya dhahabu na fedha, akasema: ((Hivyo ni vyao [makafiri] duniani, navyo ni vyenu Aakhirah)). 1 Na katika riwaya nyingine iliyopokelewa kutoka kwa Hudhayfah ( ) amesema: Nimemsikia Mtume ( ) akisema: ((Msivae hariri wala diybaaj (hariri iliyotariziwa), wala msinywe katika vyombo vya dhahabu na fedha, wala msile katika sinia zake)). 2 Diybaaj: ni aina ya hariri nzito kama makhmeli. Mafunzo Na Hidaaya: 1. Uharamisho wa kuvaa hariri, kwa vile ni dalili ya kiburi, ufakhari na kujifananisha na makafiri. Hivo ni kwa wanawake kama walivyonukuu Ma ulamaa. 2. Uharamisho wa kutumia vyote vya kulia vya dhahabu na fedha, kwa vile ni dalili ya kiburi, na pia israfu ya mali. 3. Uharamisho kwa wanaume kuvaa dhahabu ila pete ya fedha wanaruhusiwa. Ama wanawake, wao wameruhusiwa kuvaa dhahabu za kiasi na wachunge kuzilipia Zakaah. 4. Makatazo ya kuvaa hariri na kutumia dhahabu na fedha ni miongoni mwa madhambi makubwa kwa vile yameahidiwa adhabu kali ya 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 Al-Bukhaariy na Muslim. 6
7 ( ( moto [Hadiyth: ((Anayekunywa katika chombo cha fedha, hakika anagogomoa [anasukutua mpaka kooni] tumboni mwake moto wa Jahannam))] Muislamu anapaswa atamani starehe za Aakhirah zilizoahidiwa Aakhirah kuliko starehe za duniani ambazo ni za wakati tu. [Rejea Hadiyth namba 57, 58, 60, 62]. Na hiyo ni sifa ya zuhd apasayo kuwa nayo Muumin kwa kuipa mgongo dunia. [Rejea Hadiyth namba 59]. 6. Aayah nyingi zimetaja starehe za watu wa Peponi watakaotumia vyombo vyao vya dhahabu, fedha na mapambo ya hariri, lulu n.k. [Al- Kahf 18: 30-31, Al-Hajj 22-23, Asw-Swaaffaat 37: 40-49, Ad-Dukhaan 44: 51-57, Muhammad 47: 15, Atw-Twuur 52: 17-24, Ar-Rahmaan 55: 46-77, Al-Waaqi ah 56: 14-40, Al-insaan 76: 11-22, An-Nabaa 78: 31-37, Al- Ghaashiyah 88: 8-16]. (#θçρ%ÿ2uρ $uζïg tƒ$t Î/ (#θãζtβ#u t Ï%!$# šχθçρt øtrb óοçfρr& Iωuρ tπöθu ø9$# â/ä3ø n=tæ ì öθyz Ÿω ÏŠ$t7Ïè tƒ 5=yδsŒ ÏiΒ 7 $ysåáî/ ΝÍκö n=tã ß $süムšχρç y9øtéb ö/ä3ã_ uρø r&uρ óοçfρr& sπ Ψyfø9$# (#θè=äz Š$# t ÏϑÎ=ó ãβ èπ Ψpgø:$# y7ù=ï?uρ šχρà$î# yz $yγšïù óοçfρr&uρ Ú ã ôãf{$# %s#s?uρ ß à ΡF{$# ϵŠÎγtGô±n@ $tβ $yγšïùuρ tβθè=ä.ù's? $yγ ΨÏiΒ οu ÏVx. πyγå3 sù $pκ Ïù ö/ä3s9 šχθè=yϑ ès? óοçfζä. $yϑî/ $yδθßϑçgøoí ρé& û ÉL 9$# 5>#uθø.r&uρ ((Enyi waja wangu [mlio wazuri!] Hamtokuwa na khofu siku hiyo wala hamtohuzunika)). (([Waja Wangu] Ambao waliziamini Aayah Zetu na walikuwa Waislamu kamili)). ((Ingieni Peponi nyinyi na wake zenu mtafurahishwa [humo])) ((Watakuwa wanapitishiwa sahani za dhahabu na vikombe [vya dhahabu] na vitakuwamo ambavyo nafsi zinavipenda na macho yanavifurahia, na nyinyi mtakaa humo milele)) ((Na hii ni Pepo mliyorithishwa kwa hayo mliyokuwa mkiyafanya)) ((Mtapata humo matunda mengi mtakayoyala)) Muislamu anapasa kujiepusha na kila jambo linalotendwa na makafiri na kushikamana na mila na desturi za Kiislamu. [Al-Baqarah 2: 120]. 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 Az-Zukhruf (43: 68-73). 7
8 Hadiyth Ya 134 Makatazo Ya Kujishabihisha Na Makafiri )) : ( ).(( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Hakika Mayahudi na Manaswara hawapaki rangi, wakhalifuni)). 1 Maana yake: Ni kupaka rangi mvi za ndevu na mvi za nywele kichwani kwa rangi manjano au nyekundu. Ama kupaka rangi nyeusi, imekatazwa kama ilivyothibiti dalili yake katika Hadiyth iliyopokelewa na Muslim Mafunzo Na Hidaaya: 1. Pendekezo la kupaka rangi ili kuficha mvi kwa rangi ya manjano au nyekundu. Kutumia hinna ni bora zaidi, kwani ni Sunnah ya Mtume ( ). Juu ya hivyo, ni mada asili na kawaida na haileti madhara. 2. Makatazo ya kupaka rangi nyeusi ni kwa wanaume na wanawake, kwani hiyo inakuwa ni ghushi. 3. Kujiepusha kujifananisha na makafiri katika matendo yao kama mavazi yao, na kujipamba kwao. [Rejea Hadiyth namba: 113, 115, 116]. 4. Makatazo ya kujifananisha na makafiri katika kila jambo, na hivyo pia ni kutokufuata mila zao ambazo zimekuwa ni kigezo kwa Waislamu wengi wasiojua uovu wake au ambao bado hawataki kuacha maovu hayo. Mfano kusherehekea au kukubali mialiko ya sikukuu zao kama Krismasi, Mwaka mpya wa Kikristo na wa Hijri (wa Kiislamu), Pasaka, kusherehekea Siku ya Wajinga (April Fool), Siku ya mama (Mother s day), Siku ya wapendanao (Valentine), Siku ya kuzaliwa (Birthday), n.k. 5. Kujifananisha na makafiri katika sherehe zao khaswa ni miongoni mwa madhambi makubwa, kwani humo wanamshirikisha Allaah ( 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 8
9 3 ). Na Allaah ( ) Ameonya kufuata au kutaka mila yaani Dini zao [Aal-'Imraan 3: 85]. Na pia: öνåκtj =ÏΒ yìî6 Ks? 4 Lym 3 t Á Ψ9$# Ÿωuρ ߊθåκu ø9$# y7ψtã 4 yìö s? s9uρ ((Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao)) Mtume ( ) pia ameonya kuwafuata [Hadiyth: ((Kuweni kinyume na Washirikina, punguzeni masharubu na fugeni ndevu)). 2 ((Mtafuata nyendo za wale waliokuja kabla yenu hatua kwa hatua mpaka itafika wakiingia katika shimo la kenge, na nyinyi mtaingia pia)) Wakasema (Maswahaba): Ee Mtume! Je, unamaanisha Mayahudi na Manaswara? Akasema: ((Hivyo nani basi mwengine?)). 3 ((Anayejishabihisha na watu, basi naye ni miongoni mwao)) Shakhsiya ya Muislamu ni makhsusi katika kufuata maamrisho ya Dini yake, mavazi yake, adabu zake, kuandamana kwake na marafiki, na anapaswa kufuata Sunnah za Mtume الله عليه وآله وسلم) (صلى wala haipasi kuwafuata wasio Waumini katika ada na mila zao. 1 Al-Baqarah (2: 120). 2 Al-Bukhaariy na Muslim. 3 Al-Bukhaariy na Muslim. 4 Ahmad na Abu Daawuwd. 9
10 Hadiyth Ya 135 Makatazo Ya Kustanji Na Kugusa Uchi Kwa Mkono Wa Kulia )) : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Qataadah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Anapokojoa mmoja wenu, asiishike kabisa dhakari yake [uchi wake] kwa mkono wake wa kulia, wala asistanji kwa mkono wake wa kulia, wala asipumue katika chombo)). 1 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Chukizo la kutumia mkono wa kulia wakati wa kustanji, kwani mkono huo wa kulia unatumika kwa kulia chakula.makatazo hayo yanawahusu wanaume na wanawake sawasawa. 2. Inaruhusiwa kustanji kwa mkono wa kulia kwa dharura. Mfano anapokuwa mtu ameumia mkono wa kushoto, au amekatazwa kutumia maji kutokana na madhara fulani ya kiafya au ugonjwa au kidonda. 3. Makatazo ya kupumua katika chombo anachonywea maji mtu. Hii imethibitika katika sayansi madhara yake kwamba viini vya maradhi huingia katika chombo vikamsababishia mtu magonjwa. 4. Uislamu umetahadharisha kila jambo linalopelekea katika uovu na maasi, na umefunza na kuhimiza siha na afya ya mtu kwa ujumla. 5. Uislamu umefunza tabia na maadili mema kabisa ya kutumia mkono wa kulia kwa ajili ya mambo mazuri na yenye utukufu kama kula, kunywa, kuandika, kuamkiana, kuvaa nguo, viatu, kutoka msalani (chooni), kuleta dhikri za tasbiyh baada ya Swalaah, kulala pia iwe kwa ubavu wa kulia n.k. Ama mkono na mguu wa kushoto utumike kwa mambo ya kinyume chake, kama kuingia chooni, kujisafisha tupu, kuokota uchafu, kuubeba n.k. Hadiyth Ya Al-Bukhaariy na Muslim. 10
11 Kubashiria Ya Ghayb Kwa Kupiga Fali (Rajua Mbaya) Kutokana Na Tukio Fulani Ni Shirki )) : : ( ) : (( Imepokelewa kutoka kwa Urwah bin Aamir ( ) amesema: Ilitajwa habari ya kupiga fali mbaya (mkosi) mbele ya Mtume ( ) akasema: ((Ilio bora zaidi ni kupiga fali nzuri, wala [kupiga fali mbaya] haimrudishi Muislamu [kutokutenda aliloazimia]. Mmoja wenu atakapoona analochukia, aseme: Allaahumma laa yaa-tiy bil-hasanaat illaa Anta, walaa yadfa us-sayyiaat illa Anta, walaa hawla walaa quwwata illaa Bika - Ee Allaah, hakuna anayeweza kuleta mambo mema isipokuwa ni Wewe, wala hakuna anayeweza kukinga mabaya isipokuwa ni Wewe. Hakuna jinsi [ya hila ya kuepuka kutenda mabaya] wala nguvu [ya kutenda mema] isipokuwa ni Kwako). 1 Maana ya twayr (ndege mbaya) kupiga fali. Wakati wa ujahiliya, Waarabu walikuwa wakichukua ndege ( ) na humtumilia kuonyesha ishara nzuri au mbaya. Mfano wanapotaka kusafiri humrusha ndege yule, akiruka upande wa kulia, basi wanaamini kuwa ni safari ya salama, na kama akiruka upande wa kushoto, basi huwa hawasafiri. Uislamu umekuja na kuondoa shirki kama hiyo kama alivyotukataza Mtume ( ) katika Hadiyth: ((Hakuna mkosi, na ni bora tegemea heri [matumaini mema])). Wakauliza nini matumaini mema (matarajio ya kufanikiwa) ee Mjumbe wa Allaah? Akasema: ((Ni neno jema alisikialo mmoja wenu)). 2 Mafunzo Na Hidayaa: 1. Kubashiria jambo la ghayb ni miongoni mwa madhambi makubwa, kwani ni kumshirikisha Allaah ( ) katika Qadhwaa na Qadar (Yaliyopangwa na Yaliyokadiriwa) Yake. 1 Hadiyth Swahiyh ameipokea Abu Daawuwd kwa isnaad Swahiyh. 2 Al-Bukhaariy. 11
12 Muislamu awe na Iymaan ya kutambua kwamba hakuna yeyote au lolote litakaloweza kumdhuru isipokuwa lile lililokwishaandikwa katika majaaliwa [Rejea Hadiyth namba 6]. Pia Imepokelewa kutoka kwa Abul- Abbaas Abdullaah bin Abbaas ( رضي الله عنھما ) amesema: Siku moja nilikuwa nyuma ya Mtume ( ) akaniambia: ((Kijana nitakufundisha maneno [ya kufaa]; Mhifadhi Allaah [fuata maamrisho Yake na chunga Mipaka Yake] Atakuhifadhi. Muhifadhi Allaah na utamkuta mbele yako. Ukiomba, muombe Allaah, ukitafuta msaada, tafuta kwa Allaah. [Lazima] ujue kuwa ikiwa taifa zima litaungana kukunufaisha wewe kwa kitu, basi hutonufaika ila tu kwa kile Alichokwisha kukuandikia Allaah. Na wakikusanyika kukudhuru kwa chochote, hutodhurika ila tu kwa kile Allaah Alichokwisha kukuandikia [kuwa kitakudhuru], kwani kalamu zimeshanyanyuliwa [kila kitu kishaandikwa] na sahifa zimeshakauka [Hakuna kupangwa tena wala kupanguliwa])) Hata Mtume ( ) hakuwa na uwezo wa kujikinga na dhara au kujua ya ghayb. [Al-An aam 6: 50, 59, Al-A raaf: 7: 188, An- Naml 27: 65]. ßN syò6tgó ]ω =ø tóø9$# ãνn=ôãr& àmζä. öθs9uρ ª!$# u!$x $tβ ωî) # ŸÑ Ÿωuρ $Yèø tρ Å ø uζï9 à7î=øβr& Hω è% tβθãζïβ σム5Θöθs)Ïj9 ϱo0uρ Ö ƒé tρ ωî) O$tΡr& βî) â þθ 9$# z Í_ tβ $tβuρ Î ö y ø9$# z ÏΒ ((Sema: Sina mamlaka ya kujipa manufaa wala kujiondolea madhara ila Apendayo Allaah. Na lau kama ningelijua ghayb ningejizidishia mema mengi, wala isingelinigusa dhara. Mimi si chochote ila ni muonyaji na mtoaji habari njema kwa watu wanaoamini)) Baada ya Uislamu, shirki ya aina hii pia hutendeka ingawa si ya kutumia ndege, bali kubashiria ya ghayb kutokana na tendo fulani na kulihusisha na mkosi au nuksi. Mifano ifuatayo inayojulikana: (a) Jicho likimpiga mtu upande wa kushoto husema ni shari hiyo inakuja. (b) Akimuona mtu paka mweusi, basi siku hiyo itakuwa ni ya ukorofi. (c) Mkono ukimuwasha mtu anasema pesa. (d) Ukifagia usiku unaondoa baraka. (e) Akipaliwa mtu, husema kuwa mtu anamtaja. (f) Ukikata kucha zote pamoja (ya mikono na miguu) ina maana kwamba shida zikija zitakuja zote pamoja n.k. Hivyo Muislamu 1 Ahmad na at-tirmidhiy. 2 Al-A raaf (7: 188). 12
13 anapaswa kuacha itikadi za kidhana na Iymaan kama hizi, kwani.(سبحانه وتعالى) hatari yake ni makazi ya moto kwa kumshirikisha Allaah 5. Kubashiria ya ghayb ni sawa na mtabiri, na pindi Muislamu akiamuamini anayoyatabiri, basi hukutoka nje ya Uislamu. [Rejea Hadiyth namba 119]. 13
14 Hadiyth Ya 137 Viumbe Waovu Kabisa Wajengao Misikiti Katika Makaburi Ya Waja Wema Wakachora Picha Zao : ( ), " " )) : (( Imepokelewa kutoka kwa Mama wa Waumini Aaishah ( ) amesema: Mtume ( ) alipougua, mmoja katika wakeze alitaja kanisa aliloliona katika nchi ya Uhabashi liitwalo Maariyah. Ummu Salamah na Ummu Habiybah walikuwa wamewahi kwenda nchi ya Uhabashi. Wakataja uzuri wake na picha zilizokuwa humo. Mtume ( ) akakiinua kichwa chake akasema: ((Hao, anapokufa mwema miongoni mwao, hujenga Msikiti juu ya kaburi lake. Kisha wakazichora ndani yake picha hizo. Hao ni viumbe waovu mbele ya Allaah)). 1 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Haramisho la kujenga Misikiti katika makaburi, kwani ni kushabihiana na makafiri na hivyo ni shirki kama alivyosema Mtume ( ) [Hadiyth: Imepokelewa kutoka kwa Jundub bin Abdillaah ) ( amesema: Nilimsikia Mtume ( ) kabla hajaondoka duniani kwa siku tano akisema: ((Fahamuni! Hakika waliokuwa kabla yenu walikuwa wakiyafanya makaburi ya Manabii wao ni Misikiti. Fahamuni! Msiyafanye makaburi ni Misikiti, hakika mimi nawakataza jambo hilo)) Kutembelea makaburi ya waja wema kwa kutufu kaburini mwake au kuligusa na kujipangusa, na kuwaomba ni bid ah (uzushi) kubwa kabisa na miongoni mwa shirki kubwa, kwani ni kuitakidi kuwa waja wema hao wana uwezo wa kuwanufaisha na kuwadhuru na hali 1 Al-Bukhaariy, Muslim. 2 Muslim. 14
15 4 4 hakuna awezaye hayo isipokuwa Allaah ( ): [Al-A raaf 7: 194, 197, Al-Israa 17: 56, Sabaa 34: 22, Yuwnus 10: 18, , Al- Ankabuut 29: 17, Al-Hajj 22: 12-13]. (#θãô tƒ ß Ïèt7ø9$# ã n= Ò9$# uθèδ y7ï9 sœ ç ϱyèø9$# } ø Î6s9uρ 4 n<öθyϑø9$# } ø Î6s9 çµãèx Ζtƒ Ÿω $tβuρ çν àòtƒ Ÿω $tβ «!$# Âχρߊ ÏΒ (#θãô tƒ ϵÏèø Ρ ÏΒ Ü>t ø%r& ÿ çν ŸÑ yϑs9 ((Wanaomba badala ya Allaah, wasiowadhuru [wakiacha kuwaabudu] wala wasiowafaa [wanapowaabudu]. Huo ndio upotofu ulio mbali kabisa [na haki])) ((Wanawaomba wale ambao bila shaka dhara yao ikaribu zaidi kuliko manufaa yao. Kwa yakini [hao wanaowaabudu badala ya Allaah] ni walinzi wabaya na ni rafiki wabaya)) Na hivyo ni ujahili kama wa washirikina wa Makkah waliokuwa wakitoa hoja zao. [Az-Zumar 39: 3]. 4. Swalaah mbele ya kaburi ni haraam, ikiwa ni katika Msikiti au mbali na Msikiti. 5. Wanaodai kuwa kaburi la Mtume ( ) liko katika Msikiti ni kutokufahamu hali halisi ilivyokuwa ya kwamba: (i) inajulikana kuwa Msikiti wa Mtume ( ) ulijengwa kabla ya kufariki kwake, kwa hiyo haukujengwa katika kaburi lake. (ii) Mtume ( ) hakuzikwa katika Msikiti wake, bali alizikiwa nyumbani kwa Mama wa Waumini Aaishah ( ) nyumba ambayo ilitengana na Msikiti. Ila kosa lilitokea wakati Msikiti ulipopanuliwa mwisho wa karne ya kwanza, ulipobomolewa na kujengwa upya na kupanuliwa ndipo vyumba vya wake zake Mtume ( ) vilipoingia katika eneo la Msikiti na ndani ya moja ya vyumba ndipo lilipo kaburi la Mtume na kwa sababu pia haifai kuvunjwa kaburi lake au kufukuliwa na kuhamishwa. [Rejea Hadiyth namba 84, 129]. 6. Haramisho la kuchora picha za viumbe wenye roho. [Rejea Hadiyth namba 120]. 7. Mwenye kutenda mambo hayo mawili; ni kiumbe mwovu kabisa mbele ya Allaah ( ) kutokana na sababu zake zilokatazwa. 1 Al-Hajj (22: 12-13). 15
16 8. Hima kubwa ya Mtume ( ) kuwafunza Waumini yasiyopasa kutendwa kama shirki ambayo haisamehewi. Hakuweza kuvumilia kusikia maovu, na akatoa nasiha hapohapo juu ya kuwa alikuwa anaugua. 9. Nasiha hizo za Mtume ( ) ni miongoni mwa nasiha za mwisho katika uhai wake. 16
17 Hadiyth Ya 138 Haramisho La Kukaa Mwanamke Matanga Zaidi Ya Siku Tatu ( ) : ( ) :. )) : ( ) : (( : )) : (( Imepokelewa kutoka kwa Zaynab bin Abi Salamah ( ) amesema: Niliingia kwa Ummu Habiybah ( ) mkewe Mtume ( ) alipofiliwa na baba yake Abu Sufyaan bin Harb. Akaitisha manukato manjano au manukato ya aina nyingine. Akampaka mjakazi wake na akajipaka mashavuni. Kisha akasema: Wa-Allaahi sikuwa na haja ya kujipaka manukato isipokuwa nimemsikia Mtume wa Allaah ( ) akisema juu ya mimbari: ((Si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na Siku ya Mwisho kumkalia maiti matanga zaidi ya siku tatu, isipokuwa amkalie mumewe miezi minne na siku kumi)). Zaynab akasema: Kisha nikamwendea Zaynab bint Jahshi ( ) alipofiliwa na ndugu yake. Akaitisha manukato, akajipaka kisha akasema: Wa-Allaahi sikuwa na haja ya manukato, isipokuwa nilimsikia Mtume wa Allaah ( ) akisema: ((Si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na Siku ya mwisho kumkalia maiti matanga zaidi ya siku tatu, isipokuwa amkalie mumewe miezi minne na siku kumi)). 1 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Makatazo ya mwanamke kumkalia matanga aliyefiwa zaidi ya siku tatu, kwani hivyo ni kinyume na Shari ah ya Dini yetu. 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 17
18 ( 3 2. Ukamilifu wa Iymaan kutokana na kauli (( anayemwamini Allaah na Siku ya mwisho )) ni kufuata amri hii ya Mtume ( ) kutokumkalia matanga aliyefiliwa zaidi ya siku tatu. 3. Muda wa msiba katika Uislamu kwa mwanamke usizidi siku tatu, na mtu anaweza kujizuia na kustahamili hata siku moja inatosha kuomboleza, na hali hiyo inathibitisha Iymaan ya hali ya juu ya kukubali Qadhwaa na Qadar (Yaliyopangwa na Yaliyokadiriwa). 4. Hakuna katika mapokezi kunakoashiria kuwa wanaume wanaomboleza au wanakaa masiku kufanya maombolezi, hayo ni mambo ya wanawake kwa sababu ya maumbile yao na udhaifu wao wa kuhimili, hivyo shari ah ikawaruhusu wanawake waomboleze lakini isizidi siku tatu. Mtume ( ) alifiliwa na wanawe na ami zake na jamaa zake wengine lakini hakuwahi kufanya maombolezi au kutenga masiku ya kuomboleza. 5. Ilivyo katika Sunnah, ni kumtayarishia chakula mfiwa kwa siku tatu ili awe katika mapumziko wakati wa huzuni na kupokea watu wa kumhani. Hivyo ndivyo alivyoamrisha Mtume ( ) alipofariki Ja far ( ) katika vita vya Tabuwk [Hadiyth: ((Watengenezeeni familia ya Ja'far chakula, kwani wamefikwa na jambo lenye kuwashughulisha)) Shari ah ya eda ya mwanamke ni miezi minne na siku kumi. z øón=t/ #sœî*sù #Z ô³tãuρ 9 åκô r& sπyèt/ö r& ÎγÅ à Ρr'Î/ z óá /u titƒ %[` uρø r& tβρâ x tƒuρ öνä3ζïβ tβöθ ùuθtfムt Ï%!$#uρ Î6yz tβθè=yϑ ès? $yϑî/ ª!$#uρ Å ρâ êyϑø9$î/ ÎγÅ à Ρr& þ Îû z ù=yèsù $yϑšïù ö/ä3øšn=tæ y$oψã_ Ÿξsù ßγn=y_r& ((Na wale wanaofishwa miongoni mwenu na wakaacha wake, wangojee nafsi zao miezi minne na siku kumi [eda ya mfiwa]. Watakapofikia muda wao, si dhambi kwao katika yale waliyoyafanya katika nafsi zao kwa mujibu wa shari ah. Na Allaah kwa myatendayo ni Khabiyr Mwenye Khabari zote)) Kumkalia aliyefiwa matanga zaidi ya siku tatu ni kumkalifisha kwa kila upande; wasaa wake wa kupumzika, faragha yake, kuwahudumia na 1 Abu Daawuwd na ameipa daraja ya Swahiyh Al-Abaaniy katika Ahkaam Al-Janaaiz. 2 Al-Baqarah (2: 234). 18
19 kutumia mali yake kwa mambo yasiyopasa. Imekuwa ada ovu katika jamii kumkalia matanga mfiwa, kisha husababisha kutendwa mambo ya bid'ah kama kusoma Khitmah au nyiradi kwa pamoja, mazungumzo ya siasa, mipira, upuuzi wa kidunia, kusengenyana na kucheza karata, dumna, na wengine kula mirungi, kuvuta sigara na mengineo ya haraam. 8. Anayefiwa anatakiwa awe na Iymaan ya mafunzo ya Dini yake na awe na msimamo. Asijali kuambiwa kuwa hamthamini mtu wake aliyefariki kwa kutokuweka matanga kama ilivyokuwa ni itikadi ya watu. 19
20 Hadiyth Ya 139 Kujiepusha Na Aliyoyaharamisha Allaah )) : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Hakika Allaah Ana hisia ya ghera, na ghera ya Allaah [inachomoza] pale mtu anapofanya [maasi] Aliyoyaharamisha Allaah)). 1 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Amesema Shaykh Muhammad bin Uthaymiyn ( ): Ghera ni sifa ya hakika ya Allaah ( ) lakini si ghera kama ghera yetu, bali Yake ni kubwa na tukufu zaidi. Na Allaah ( ) kwa Hikma Yake, Amewajibisha kwa waja Wake mambo fulani na Ameharamisha mengine. Aliyowajibisha ni kheri kwao kwa ajili ya Dini yao na dunia yao, kwa ukaribu wao na mustakbali wao. Na Aliyowaharamishia ni shari kwao kwa ajili ya Dini yao na dunia yao, kwa ukaribu na mustakbali wao. Hivyo basi, Anapoharamisha jambo, Allaah ( ) Huwa na ghera pale mtu anapoenda kutenda maharamisho Yake. Na vipi mja ayaendee Aliyoyaharamisha Allaah ( ) na hali Ameyaharamisha kwa ajili ya maslahi ya mja? Pamoja na kuwa hakuna madhara kwa Allaah ( ) pale binaadamu anapomuasi, lakini Allaah Ana ghera, kwa kuwa vipi binaadamu anajua kwamba Allaah ( ) ni Al-Hakiym (Mwenye Hikma), na Ar-Rahiym (Mwenye Kurehemu), na wala Haharamishi jambo kwa sababu tu ya kumkosesha asilipate, bali kwa ajili ya maslahi yake, kisha anakuja mja akamuasi Allaah ( ) kwa maasi? Seuze basi aje kutenda zinaa? Tunamuomba Allaah ( ) Al- Aafiyah, kwani Mtume ( ) amethibitisha kwa kusema: ((Hakuna mwenye ghera zaidi ya Allaah wakati anapozini mja wake au ummah 1 Al-Bukhaariy, Muslim. 20
21 Wake uzini)). 1 Allaah ( ) Ameharamisha kwa waja Wake zinaa na Amekusanya hilo katika kauli Yake: ((Wala msikaribie zinaa, hakika hiyo ni faahishah [uchafu] na njia mbaya)). 2 Kwa hiyo mja anapozini, Allaah ( ) Huwa na ghera kali na tukufu kuliko ghera ya mja. Hali kadhalika kuyaendea maasi kama liwati wa kaumu Luutw. 3 Kuiba pia, kunywa pombe, kula haraam na kadhalika. Yote Allaah ( ) Huwa na ghera nayo 4 2. Hadiyth hii ni miongoni mwa Jawaami ul-kalim (Mjumuisho wa maana nyingi katika maneno machache) aliyopewa Mtume ( ), kwani imekusanya maharamisho yote yanayojulikana katika Shari ah ya Kiislamu. Na kauli ya Allaah ( ) imethibitisha: ((Na anayokuleteeni Mtume yachukueni [yatekelezeni], na anayokukatazeni jiepusheni nayo, na mcheni Allaah)) Hadiyth hii inathibitishia kuwa ghera ni miongoni mwa Sifa za Allaah ( ), na itikadi ya Ahlus-Sunnah wal-jamaa ah kwamba Sifa Zake zinazomuelekea Yeye Pekee kwa Dhati Yake na si kama sifa za binaadamu: ((Hakuna kitu kinachofanana Naye, Naye ni As-Samiy ul- Baswiyr - Mwenye Kusikia, Mwenye Kuona daima)) Muislamu anapaswa kujiepusha na maharamisho yote ya Allaah ( ) na yaliyokuja katika Sunnah za Mjumbe Wake ( ) khasa maasi makubwa kama kumshirikisha Allaah ( ) kwa kila njia, kuzini, liwati, kuua bila ya haki, kuiba, kula ribaa, kutoa shahada ya uongo n.k. [Al-Furqaan 25: 68-73] Na Aayah nyingi nyinginezo zimetaja maharamisho kama hayo. [Pia Rejea Hadiyth namba, 15, 19, 36, 38, 66, 82, 87, 88, 89, 90, 92, 93, 94, 97, 101, 102, 103, 108, 109, 113, 114, 116, 119, 120, 124, 125, 126, 128, 130, 131, 132]. Kinyume chake, Muislamu anapaswa kwa ujumla kumtii Allaah ( ) na Mtume Wake ( ) kama Anavyoamrisha katika Aayah nyingi miongoni mwazo ni: 1 Al-Bukhaariy. 2 Al-Israa (17: 32). 3 Al-A raaf (7: 80). 4 Sharh Riyaadhwus-Swaalihiyn ya ibn Uthaymiyn. 5 Al-Hashr (59: 7). 6 Ash-Shuwraa (42: 7). 21
22 ( 4 ( Νà6ø n=tæuρ Ÿ ÏiΗäq $tβ ϵø n=tã $yϑ ΡÎ*sù (#öθ 9uθs? χî*sù tαθß 9$# (#θãè ÏÛr&uρ!$# (#θãè ÏÛr& ö è% Ú Î7ßϑø9$# à n=t7ø9$# ωî) ÉΑθß 9$# n?tã $tβuρ (#ρß tgôγs? çνθãè ÏÜè? βî)uρ óοçfù=ïiηäq $ Β ((Sema: Mtiini Allaah na mtiini Mtume, na kama mkikengeuka, basi ni juu yake huo [mzigo] aliotwikwa, [kazi aliyopewa kufikisha ujumbe] na juu yenu [huo mzigo] mliotwikwa [kutii]. Na mkimtii, mtaongoka, hapana juu ya Mtume ila kufikisha [ujumbe Wake] waziwazi)). 1 1 An-Nuwr (24: 54). 22
23 Hadiyth Ya 140 Hitimisho - Mfano Wa Mtende Na Muumin Kwa kuhitimisha kitabu hiki kilichojaa mafunzo, nimependelea kuweka Hadiyth ifuatayo na mafunzo yake, kwani inamuelekea Muumin kwa kila aina za sifa: )) : : ( ) (( - -. : :.(( )) :. : - :. : Kutoka kwa Ibn Umar ( ) ambaye amesema: "Tulikuwa na Mtume wa Allaah ( ) akauliza: ((Niambieni kuhusu mti unaofanana na au kama Muislamu, ambao majani yake hayaanguki wakati wa majira ya joto, wala wakati wa majira ya baridi, na hutoa matunda yake kila mara kwa idhini ya Mola wake)). Ibn Umar akasema: Niliufikiria kuwa ni mtende, lakini niliona vibaya kujibu nilipoona Abu Bakr na Umar hawakujibu. Akasema Mtume wa Allaah ( ): ((Ni mtende)). Tulipoondoka, nilimwambia Umar: Ee baba yangu! Wa-Allaahi nilihisi kuwa ni mtende. Akasema: Kwa nini basi hukutaja? Nikasema: Nilikuoneni kimya, nikaona vibaya kusema kitu. Akasema Umar: "Ungelisema, ingelikuwa bora kwangu kuliko kadhaa na kadhaa (Yaani ningelikuwa na fakhari zaidi kuwa wewe mwanangu ndiye uliyeweza kujibu pekee). 1 Mafunzo Na Hidaaya: 1. Njia nzuri ya kumfunza mtu kwa kuuliza swali kama alivyokuwa Mtume ( ) akiwauliza Maswahaba mara nyingi katika mas-alah ya Dini, mfano Hadiyth namba 88 ((Je, mnajua maana ya Ghiybah? (Kusengenya])) Wakasema: Allaah na Mjumbe Wake wanajua. 1 Al-Bukhaariy. 23
24 Akasema: ((Ni kumtaja ndugu yako kwa jambo analolichukia)). 1 Na hii ni njia iliyokuwa ikitumiwa mara nyingi na Mtume ( ). Na ni mbinu ya ufundishaji ambayo inatumiwa leo katika vyuo mbalimbali. 2. Hikma ya Mtume ( ) kupiga mifano mizuri, mfano Hadiyth namba 20, 49, 57, 60, 107]. 3. Dhihirisho la adabu ya Swahaba Ibn Umar ( ) kutokujibu mbele ya hadhara ya mzazi wake na kuwaachia wakubwa wake wajibu. Hii inadhihirisha pia unyenyekevu wake. 4. Elimu ina upeo wake kwa kila mtu, mdogo anaweza kuwa na ujuzi zaidi kuliko mkubwa. [Yuwsuf 12: 76]. Na ndio maana hata katika Swalaah, mwenye elimu zaidi ya Qur-aan hata kama ni mdogo anatakiwa aongoze Swalaah. 5. Hadiyth nzima imeufananisha mtende na Muumin ambaye sifa zake zote ni nzuri, mwenye kheri na Baraka, na mwenye kupendelea usalama na amani kama ifuatavyo: Mtende Muumin Umethibiti ardhini kwa mizizi yake. Tunda lake ni zuri na tamu. Umepambika vizuri na kufunikika. Ni rahisi kula tunda lake. Anathibiti Iymaan yake daima na huwa na Iymaan ya hali ya juu. Mazungumzo na vitendo vyake ni vizuri na vya kupendeza, na si mwenye maneno maovu yanayoudhi, kudharau, kukashifu, kusengenya, kufitinisha n.k. Mavazi yake ni mazuri ya heshima. Ni rahisi kujadiliana na watu kwa hoja, dalili na kwa busara. 1 Muslim. 24
25 3 Una faida kwa anayekula, kwani matunda yake yana siha mwilini na huwa ni kinga ya maradhi, uchawi, na kila aina ya maovu kwa kula tende saba asubuhi kama kula chochote. 1 Ni mti madhubuti sana wenye kustahmili upepo mkali. Kila unapokuwa mkubwa unazidi kutoa matunda na faida nyinginezo. Kila sehemu ya mti ina faida fulani; matunda yake huliwa, majani yake hutumiwa kuezeka na katika matumizi tofauti. Iimu yake anayotoa ina faida kubwa ya kuwaongoza Waislamu na wasio Waislamu kutoka upotofu kuingia katika uongofu na hivyo ni kuutakasa moyo katika usalama wa shirki na maovu mengineyo, kinyume na moyo wenye maradhi ya shirki, unafiki n.k. Iymaan yake imethibiti vizuri hata anapopata misukosuko na mitihani, huwa na moyo mkubwa wa kustahmili. Kila anapozidi umri huongezeka elimu, busara na huzidi kunufaisha watu kwa kheri zake. Kila jambo la Muumin lina manufaa; elimu yake hunufaisha wengine, matendo yake hunufaisha jamii na kadhalika. Na Allaah وتعالى) (سبحانه Anajua zaidi. سبحانه ( Allaah Huo ndio mfano wa neno zuri na mti mzuri kama Anavyosema :(وتعالى Ï!$yϑ 9$# Îû $yγãö sùuρ MÎ/$rO $yγè=ô¹r& Bπt7Íh sû ;οt yft±x. Zπt6ÍhŠsÛ ZπyϑÎ=x. WξsWtΒ ª!$# z>u ŸÑ y#ø x. t s? öνs9r& šχρã 2x tgtƒ óοßγ =yès9 Ä $ Ψ=Ï9 tα$swøβf{$# ª!$# ÛUÎ ôøo uρ $yγîn/u ÈβøŒÎ*Î/ Ïm ä. $yγn=à2é& þ ÎA σè? ((Je, huoni jinsi Allaah Alivyopiga mfano wa neno zuri? Ni kama mti mzuri [ambao] asili yake [mizizi yake] ni imara na matawi yake yamenyooka juu)). ((Hutoa matunda yake kila wakati kwa idhini ya Mola wake, na Allaah Huwapigia watu mifano ili wapate kukumbuka)). 2 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 Ibraahiym (14: 24-25). 25
26 ( 4 Ama mfano wa neno ovu na mti muovu: 9 #t s% ÏΒ $yγs9 $tβ ÇÚö F{$# É öθsù ÏΒ ôm VçGô_$# >πsv Î6yz >οt yft±x. 7πsW Î7yz >πyϑî=x. ã svtβuρ ((Na mfano wa neno baya, ni kama mti mbaya ambao umeng'olewa katika ardhi, hauna imara)). 1 Unaelezea kutokuamini kwa kafiri kuwa ni kama mti usiokuwa madhubuti, mti mchungu kabisa, na bila shaka vitendo vyake havipandi juu wala havitakabaliwi. Kisha Allaah وتعالى) (سبحانه Anasema kuwa Humthibitisha mwenye kuamini katika maisha ya dunia na pia maisha ya Aakhirah kwa neno hilo lililothibiti kama mti, yaani 'Laa ilaaha illa-allaah'. ª!$# ÅÒãƒuρ Íοt ÅzFψ$# Îûuρ $u Ρ 9$# Íο4θuŠptø:$# Îû ÏMÎ/$ V9$# ÉΑöθs)ø9$Î/ (#θãζtβ#u š Ï%!$# ª!$# àmîm6svムâ!$t±tƒ $tβ ª!$# ã yèø tƒuρ š ÏϑÎ= à9$# ((Allaah Huwathubutisha wale walioamini kwa kauli thabiti katika maisha ya dunia na katika Aakhirah. Na Allaah Huwaacha kupotea hao wenye kudhulumu. Na Allaah Hufanya Apendavyo)). 2 Duniani huthibiti kumuamini Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala), kwa kuendesha maisha yake yote yakiwa katika mipaka ya Mola wake Mtukufu. Na nje ya maisha ya dunia, huthibitika kwa kuweza kujibu maswali atakayoulizwa na Malaika wawili kaburini ambao ni Munkar na Nakiyr: )) ) ((( Imekutoka kwa Al-Baraa bin Aazib ( الله عنه (رضي kwamba Mtume wa Allaah kaburi, amesema: ((Muislamu akiulizwa katika (صلى الله عليه وآله وسلم) atashuhudia kwamba: "Laa ilaaha Illa-Allaah wa Anna Muhammadar- 1 Ibraahiym (14: 26). 2 Ibraahiym (14: 24-27). 26
27 Rasuulu-Allaah" [Hapana mungu apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah na Muhammad ni Mjumbe wa Allaah] hiyo ndiyo maana ya kauli ya Allaah: Allaah Huwatia imara wenye kuamini kwa kauli thabiti katika maisha ya dunia na Aakhirah)). 1 Hadiyth nyingine imeelezea: )) : : (( )) :,, :., (( صلى الله ( Allaah kwamba Mtume wa (رضي الله عنه ( Hurayrah Imekutoka kwa Abu ) amesema: ((Allaah Huwatia imara wenye kuamini kwa kauli عليه وآله وسلم thabiti katika maisha ya dunia na Aakhirah)). Akasema: ((Hivyo atakapoulizwa kaburini; Nani Mola wako, nini Dini yako, nani Mtume wako? Atasema: Mola wangu ni Allaah, Dini yangu ni Islaam na Mtume wangu ni Muhammad, ametuletea dalili za wazi kutoka kwa Allaah, nikamuamini na nikamsadikisha. Ataambiwa: Umesema ukweli, umeishi kwa hayo, umefia kwa hayo na utafufuliwa kwa hayo)). 2 1 Al-Bukhaariy na Muslim na wengineo 2 Atw-Twabariy 16:
Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) :
Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) : : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Adiyy bin Haatim ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Ogopeni moto japo kwa nusu tende, na usipopata
Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani
4 4 Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani )) :( ) : ( ),,, )) ((. (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume wa
Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu
( 4 Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu : ( ).!, )) : : (( Imepokelewa kutoka kwa Abdullaah bin Mas uwd ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) alilala kwenye jamvi la mtende
Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni
4 Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni )) :( ) : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume ( ) amesema: ((Hakika Allaah Hatazami viwiliwili vyenu wala
Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir
Subira Njema Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir 1 ijk Utangulizi: Sifa zote njema Anastahiki Allaah وتعالى) (سبحانه Mola wa walimwengu صلى ( Muhammad wote, Rahma na amani zimshukie
Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja
Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja, )) : ( ),, (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa iyd ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Mwanamme asitazame uchi
Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana.
Al-Waqf At-Taamm - Kisimamo Kilichokamilika ال وق ف الت ام 1. Kusimama katika neno la Qur-aan ambako kauli imekamilika maana yake, na wala hayana uhusiano wowote ule na yanayofuatia; uhusiano huo uwe wa
AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein
AHLUL ~ KISAA Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein Kimetungwa na: Ahmad Badawy bin Muhammad Al-Husseiny Kimehaririwa na: Sheikh
Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo
MSTAHIWA SHEIKH AHMAD BIN HAMAD AL KHALILI MUFTI MKUU WA OMAN Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo [Kauli za Maulama wa Madhehebu Nne] Imefasiriwa kwa Kiswahili na: Munir Sulaiman Aziz Al Masrouri
ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Ukoo/Jamaa Hatua ya 2: Mwalimu: Tusome silabi hii pamoja. Mwalimu na Wanafunzi: /m/ /a/- ma Hatua ya 3: Mwalimu: Ni zamu yenu sasa.
Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM
Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM ii Kiswahili TE(C2).indd ii 5/30/14 8:14 PM iii Kiswahili TE(C2).indd iii 5/30/14 8:14 PM iv Kiswahili TE(C2).indd iv 5/30/14 8:14 PM v Kiswahili TE(C2).indd v 5/30/14
IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA
IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA اإلمام المهدي عليه السالم أمل الشعوب Kimeandikwa na: Sheikh Hasan Musa as-saffar Kimetarjumiwa na: Abdul-Karim Juma Nkusui Kimehaririwa na: Alhaji Hemedi Lubumba
05- Fadhila Za Umrah Na Hajj
èèää ÆÆÆ Æd dd ÉÉÉ øø FF Ï ÉÉÉ ÎÎ ÅÅ øø FF... ŸŸŸ Ïi ii ššš '' éé ÈÈÈ ÝÝ èè àà ŸŸŸ nn 333 BBB øø ŸŸŸ èè Ï 555 ppøø rr öö þþþ ÎÎ «««óó ãã àà õõ ÉÉ ªªª xx øø ççç èè nn ÍÍ!! øø 999 öö oo ÖÖÖ ô rr ppøø rr
i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM
i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM ii Kiswahili (TE) Class 1.indd ii 5/30/14 8:07 PM iii Kiswahili (TE) Class 1.indd iii 5/30/14 8:07 PM iv Kiswahili (TE) Class 1.indd iv 5/30/14 8:07 PM v
ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Nyumbani Wanafunzi: (Tumia hatua ya 3 kufunza: makaa, kaka, matatu, ama, mti, taa). l ll Ufahamu wa herufi: Majina na sauti za herufi
MATESO YA DHURIA YA MTUME
MATESO YA DHURIA YA MTUME Mwandishi: Ayatullah Murtadha Mutahhari Mtarjumi: Salman Shou Kimehaririwa na: Al-Haj Ramadhani S. K. Shemahimbo Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: 978-9987
Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~
Maswali ya Maisha ~ Ukurasa 2 ~ Yaliyomo 1. Yesu ni nani? Ukurasa 5 2. Kwa nini Yesu alikufa msalabani? Ukurasa 12 3. Nitakuwaje na hakika juu ya Imani yangu? Ukurasa 18 4. Kwa nini nisome Biblia? Niisomeje?
MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014
MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014 UMEANDIKWA NA JIMMY LUHENDE Kimetolewa na Shirika la Kuimarisha Demokrasia na Tawala za Vijiji S.L.P 1631, Mwanza
Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo
ii- الا د غا م Al-idghaam Kuingiza, kuchanganya. Idghaam ni kuingiza kitu kwenye kitu. Katika hukmu za Tajwiyd ni kuingiza herufi saakin kwenye herufi yenye i raab na kuzipelekea herufi mbili hizi kuwa
IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU
TUME YA UTUMISHI WA UMMA IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU WAJIBU MKUU WA MWALIMU Wajibu mkuu wa mwalimu ambao ndio Nguzo Tano za kazi ya ualimu ni:-.kwa MTOTO 2.KWA JUMUIYA 3.KWA KAZI YAKE 4.KWA TAIFA.KWA
Mafundisho Ya Madhehebu
Mafundisho Ya Madhehebu na Rod Rutherford Mtafsiri John Makanyaga www.kanisalakristo.com 1 Mafundisho ya Madhehebu Somo la Kwanza- Kanisa la Agano Jipya. Utangulizi 1. Kuna makundi ya kidini 2054 katika
KILIMO CHA ZAO LA VANILLA
KILIMO CHA ZAO LA VANILLA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA IDARA YA MAENDELEO YA MAZAO Sehemu ya Uendelezaji wa Mazao KILIMO CHA ZAO LA VANILLA Kimetolewa na Jamhuri
Critique of Humanism
1437 2015, 3,27, 1437 2015,307 275, 3,27, * 1436 4 11 ; 1436 03 06 :, : :,, : :, ;,,,,,,, : Critique of Humanism Ahmad Ibn-Mohammed Allaheeb * King Saud University (Received 28/12/2014; accepted for publication
( ). : : :.. : :. : : : : """ " " "... : "" ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ u
( ). :. drtarig٩٩@yahoo.com :. :.. - ٧ ( ). : : :.. : :. : : : : """ " " "... : "" ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ ušø ç/ ª!$# tar'sù
SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO
SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO Kifungu Jina 1. Jina fupi na matumizi 2. Tafsiri SEHEMU YA II KUUNDWA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Mwongozo wa Taifa wa Sekta ya Afya Kuhusu Huduma na Kinga Dhidi ya Ukatili wa Kijinsia JUNI 2013 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA
25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa.
25-Faharasa Neno Maana Yake Aaridhw as-sukuwn Ibaadah sukuwn pana ya kusimami neno. ibada Ahkaamut-Tajwiyd Alfaadhw Hukumu za Tawjiyd Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw Arjah Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa
Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania
Jina la Mradi: Eneo Ulipo Mradi: Mmiliki wa Mradi: Mhusika: Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania Wamiliki ni wengi (Halmashauri
Rulings on Fasting during Hajj
1436 2015, 1,27, 1436 2015,78 43, 1,27, * 1435 04 10 ; 1435 03 08 ;,, :,,,,,,,,,,,,,, : Rulings on Fasting during Hajj Mohammad Abduh Hassir Awwaf Hummady* Jazan University (Received 09/01/2014; accepted
) * +, -. + / - 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 6 : ; < 8 = 8 9 >? @ A 4 5 6 7 8 9 6 ; = B? @ : C B B D 9 E : F 9 C 6 < G 8 B A F A > < C 6 < B H 8 9 I 8 9 E ) * +, -. + / J - 0 1 2 3 J K 3 L M N L O / 1 L 3 O 2,
! " # $ % & $ % & $ & # " ' $ ( $ ) * ) * +, -. / # $ $ ( $ " $ $ $ % $ $ ' ƒ " " ' %. " 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 : ; ; < = : ; > : 0? @ 8? 4 A 1 4 B 3 C 8? D C B? E F 4 5 8 3 G @ H I@ A 1 4 D G 8 5 1 @ J C
Z L L L N b d g 5 * " # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / / + 3 / / / / + * 4 / / 1 " 5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3 " #
Z L L L N b d g 5 * " # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / 0 1 2 / + 3 / / 1 2 3 / / + * 4 / / 1 " 5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3 " # $ % $ ' $ % ) * % @ + * 1 A B C D E D F 9 O O D H
ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ
ΜΟΝΑΧΟΥ ΑΜΑΣΚΗΝΟΥ ΓΡΗΓΟΡΙΑΤΟΥ ΜΩΥΣΕΩΣ KALENGA ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΜΕ ΣΤΟΙΧΕΙΑ ΓΡΑΜΜΑΤΙΚΗΣ ΤΗΣ ΓΛΩΣΣΑΣ ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΟΡΘΟ ΟΞΟΝ ΙΕΡΑΠΟΣΤΟΛΙΚΟΝ ΚΛΙΜΑΚΙΟΝ ΙΕΡΑΣ ΜΗΤΡΟΠΟΛΕΩΣ ΚΕΝΤΡΩΑΣ ΑΦΡΙΚΗΣ ΚΟΛΟΥΕΖΙ ΚΟΓΚΟ 1999
א א ١٠ ÉΑöθ sø9$î/ çµs9 #ρã yγøgrb Ÿωuρ Äc É< Ψ9$# ÏNöθ ¹ s öθsù öνä3s? uθô¹r& #þθãè sùös? Ÿω #θãζtβ# u t Ï%!$# $ pκš r' tƒ tβρâßêô±s? Ÿω óοçfρr&uρ öνä3è= yϑôãr& xýt7øtrb βr& CÙ èt7ï9öνà6åò è t/ Ìôγyfx..
() ( ) - - ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( )
() () ( ) - - ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) () - - - - " ( ) " - - ( ) () ( ) ( ) ( ) ) ( ) ( ) ( ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ) () ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ( ) ( ) ) ( ) ) ( ( ) ( ) ( ) ( ( ) ( ) (
Q π (/) ^ ^ ^ Η φ. <f) c>o. ^ ο. ö ê ω Q. Ο. o 'c. _o _) o U 03. ,,, ω ^ ^ -g'^ ο 0) f ο. Ε. ιη ο Φ. ο 0) κ. ο 03.,Ο. g 2< οο"" ο φ.
II 4»» «i p û»7'' s V -Ζ G -7 y 1 X s? ' (/) Ζ L. - =! i- Ζ ) Η f) " i L. Û - 1 1 Ι û ( - " - ' t - ' t/î " ι-8. Ι -. : wî ' j 1 Τ J en " il-' - - ö ê., t= ' -; '9 ',,, ) Τ '.,/,. - ϊζ L - (- - s.1 ai
P P Ó P. r r t r r r s 1. r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s. Pr s t P r s rr. r t r s s s é 3 ñ
P P Ó P r r t r r r s 1 r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s Pr s t P r s rr r t r s s s é 3 ñ í sé 3 ñ 3 é1 r P P Ó P str r r r t é t r r r s 1 t r P r s rr 1 1 s t r r ó s r s st rr t s r t s rr s r q s
Ÿωuρ $pκš r' tƒ. < ø Ρ. ÏiΒ
1 3 4 4 : tβθßϑî=ó Β ΝçFΡr&uρ ωî) è θèÿsc Ÿωuρ ϵÏ?$s)è?,ym!$# (#θà)?$# (#θãψtβ#u t Ï%!$# $pκš r' tƒ :- - #Z ÏWx. Zω%ỳ Í $uκåκ ]ÏΒ ]t/uρ $yγy_ ρy $pκ ]ÏΒ t,n=yzuρ ;οy Ïn uρ < ø Ρ ÏiΒ /ä3s)n=s{ Ï%!$# ãνä3
rs r r â t át r st tíst Ó P ã t r r r â
rs r r â t át r st tíst P Ó P ã t r r r â ã t r r P Ó P r sã rs r s t à r çã rs r st tíst r q s t r r t çã r r st tíst r t r ú r s r ú r â rs r r â t át r çã rs r st tíst 1 r r 1 ss rt q çã st tr sã
ΑΠΑΝΤΗΣΕΙΣ ΑΛΓΕΒΡΑΣ Α ΛΥΚΕΙΟΥ
ΕΡΩΤΗΣΕΙΣ ΚΑΤΑΝΟΗΣΗΣ ΑΠΑΝΤΗΣΕΙΣ ΑΛΓΕΒΡΑΣ Α ΛΥΚΕΙΟΥ ΚΕΦΑΛΑΙΟ ο : ΠΡΑΓΜΑΤΙΚΟΙ ΑΡΙΘΜΟΙ. Σωστό. Σωστό. Σωστό 4. Λάθος 5. Σωστό 6. Λάθος 7. Σωστό 8. Λάθος 9. Σωστό 0. Λάθος. Λάθος a. Σωστό b. Λάθος c. Λάθος
Purposive Analysis: Inculcation and Application
1437 2016, 1,28, 1437 2016,97 53, 1,28, : * 1436 07 28 ; 1436 06 27,, :,,, :,,,,,,, : Purposive Analysis: Inculcation and Application Mushref Ahmad Jama'n Al-Zahrani* Prince Sattam bin Abdulaziz University
ﺷﺮ ﻢﻠﺴﻟﻤ ﻦﺼﺣ ﺔﻨﺴﻟ ﺎﺘﻜﻟ ﻛﺎ ﻦﻣ א! א א ﻢﻠﺴﻟﻤ ﻦﺼ ﺣ ﻒﻟﺆﻣ ﻪﻴﻠﻋ ﻖﻠﻋ ﻪﺤﺤﺻ
رش حصن ملسلم من اك لكتا لسنة א אא صححه علق عليه مو لف حصن ملسلم 2010-1431 òäûaë@lbnøûa@ b c@åß@áü½a@å y@š @ îz m@pbçì ìß@šèï @pbçì ìß@šèï@ @R,,,,,,,,,,,, :,,,,,,,,,,, :,, ١ ٢ =,, : ٣ @òäûaë@lbnøûa@ b c@åß@áü½a@å
( ) א : ( ) : - " : - : ( ). " " : " :..".." " : ( ).. :. : : : ( ) (/ ) () - -.( / ).() ( ) ( ).( / ) ( ).( - ) ( )
א א א מא אאא אא ( ) א : ( ) : - " : - : ( ). " " : " :..".." " : ( ).. :. : : : ( ) (/ ) () - -.( / ).() ( ) ( ).( / ) ( ).( - ) ( ) " " - -... :א : -.. -. -. -. - :אא - - -. : -. -. - - -. -. -.. - -
Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake.
### ôô ÍÍÍ 444 nn ííí nn ß ôô ppøø ÈÈÈ èè knganiha: Hamzal-Wawl Hamza a هم ز ة ال و ص ل Ni hamzah inaoamkwa kaika neno na haiamkwi howeka) wakai wa knganiha na neno la nma ake. Inaiwa Wawl kwa abab inapelekea
: :
-. - : - : translation@dawateislami.net : overseas@dawateislami.net : www.dawateislami.net : :.. :. ٦ " " :. ٧ :. :." ". : ٨ . : ß ômr& ô tβuρ :.[ / : ] $[sî= ¹ Ÿ Ïϑtãuρ «!$# n
<<< ššš. ÎÎÎ Îh hh ( ) ZZZ. ööö
;;; ùù øø ((( èè éé ööö ää ((( ãã ªªª ÆÆÆ öö - - - -.. 44 4 ;M y y_u u y yš zz zοù z ù=ï Ïèø ø9$ $# (#θè è?ρé é& t Ï t Ï%!$ $#u uρ öνä ä3ζï ÏΒ (#θã ãζt tβ#u u t Ï t Ï%!$ $# ª!$ $# Æìs sùö ö t tƒ - - :
Im{z} 3π 4 π 4. Re{z}
! #"!$%& '(!*),+- /. '( 0 213. $ 1546!.17! & 8 + 8 9:17!; < = >+ 8?A@CBEDF HG
Editorís Talk. Advisor. Editorial team. Thank
1 Editorís Talk ❶ ⓿ ⓿ ❹ 2 ⓿ ❶ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ❹ ⓿ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ❹ ⓿ ⓿ ⓿ ❽ ❾ & & ❽ ❾ ❽ ❾ ❼ Advisor Editorial team & & & Thank & & ⓿ ❶ ❶ ❶ ❶ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ❶ ⓿ ❹ ❶ ❶ ⓿ ❶ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ❶ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ⓿ ⓿ ❶ ⓿ ❶ ❶
(#θèù ρr& 4 n< ρr& $ ÏΨ xî
" " " " " " " - - " " " " " " : " " " : " : " " " ! : (#θä9ï ôã$$sù óοçfù=è% #sœî) uρ ) : ( 4 4 ( 4 ( šχρã x s? /ä3ª= yès9 ϵÎ/ Νä38 ¹uρ öνà6ï9 sœ (#θèù ρr& «! $# Ï ôγ yèî/ uρ 4 n1öè% # sœ tβ%ÿ2 öθs9uρ
f(w) f(z) = C f(z) = z z + h z h = h h h 0,h C f(z + h) f(z)
Ω f: Ω C l C z Ω f f(w) f(z) z a w z = h 0,h C f(z + h) f(z) h = l. z f l = f (z) Ω f Ω f Ω H(Ω) n N C f(z) = z n h h 0 h z + h z h = h h C f(z) = z f (z) = f( z) f f: Ω C Ω = { z; z Ω} z, a Ω f (z) f
ss rt çã r s t Pr r Pós r çã ê t çã st t t ê s 1 t s r s r s r s r q s t r r t çã r str ê t çã r t r r r t r s
P P P P ss rt çã r s t Pr r Pós r çã ê t çã st t t ê s 1 t s r s r s r s r q s t r r t çã r str ê t çã r t r r r t r s r t r 3 2 r r r 3 t r ér t r s s r t s r s r s ér t r r t t q s t s sã s s s ér t
U
U åä Ûa@æbîÇc@ bèuë ³ÐÛa@të y V W åä Ûa@æbîÇc@ bèuë ³ÐÛa@të y Acknowledgment X As per Hadith "People who are ungrateful for minor thing are ungrateful for major thing as well. And those who don t thank
(! )! " (S.S)-. + #, $ % &' ( )* $! / :;:<9::=>>? 4 5 : 6 A B C 7 1 )* ( F D>EE / G:99
( ) (S.S) / .١.-.٢ -..٣.- "".. " ""." "". "." ""..... .............. ). ( "" " " (S1).. ...... (LIPIA).. ..... ) ( ...................................... .................................... ........
HONDA. Έτος κατασκευής
Accord + Coupe IV 2.0 16V (CB3) F20A2-A3 81 110 01/90-09/93 0800-0175 11,00 2.0 16V (CB3) F20A6 66 90 01/90-09/93 0800-0175 11,00 2.0i 16V (CB3-CC9) F20A8 98 133 01/90-09/93 0802-9205M 237,40 2.0i 16V
Alterazioni del sistema cardiovascolare nel volo spaziale
POLITECNICO DI TORINO Corso di Laurea in Ingegneria Aerospaziale Alterazioni del sistema cardiovascolare nel volo spaziale Relatore Ing. Stefania Scarsoglio Studente Marco Enea Anno accademico 2015 2016
The extent of Islamic Education basic stage Textbooks to ensure the developmental listening skills for the activities of Holly Quran
438 27,,29, 438 27,83 67,,29, 438 4 7 ; 437 8 :, %32, 62 48 :,,,,,,,,,, : The extent of Islamic Education basic stage Textbooks to ensure the developmental listening skills for the activities of Holly
Solutions - Chapter 4
Solutions - Chapter Kevin S. Huang Problem.1 Unitary: Ût = 1 ī hĥt Û tût = 1 Neglect t term: 1 + hĥ ī t 1 īhĥt = 1 + hĥ ī t ī hĥt = 1 Ĥ = Ĥ Problem. Ût = lim 1 ī ] n hĥ1t 1 ī ] hĥt... 1 ī ] hĥnt 1 ī ]
v w = v = pr w v = v cos(v,w) = v w
Íö Ú Ò ÔÖ Ø Ô Ö ÔÖ ØÝ Ô Ð Ùö Ú ÒÝÒ ÝÖ Ð ÓØ Ó µ º ºÃÐ ØÒ Ë ÓÖÒ Þ ÔÓ ÒÐ Ø Ó ÓÑ ØÖ ½ ÁÞ Ø Ð ØÚÓ Æ Ù Å Ú º ÖÙ µº Ã Ø Ùö Ú Ò ÝÖ Ú Ø ÒÅ ØØÔ»»ÛÛÛºÑ ºÚÙºÐØ» Ø ÖÓ» ¾» л Ò Ó» ÓÑ ÙÞ º ØÑ ½ Î ØÓÖ Ð Ö ÒÅ Ö Ú ØÓÖ ÒÅ
ΓΗ ΚΑΙ ΣΥΜΠΑΝ. Εικόνα 1. Φωτογραφία του γαλαξία μας (από αρχείο της NASA)
ΓΗ ΚΑΙ ΣΥΜΠΑΝ Φύση του σύμπαντος Η γη είναι μία μονάδα μέσα στο ηλιακό μας σύστημα, το οποίο αποτελείται από τον ήλιο, τους πλανήτες μαζί με τους δορυφόρους τους, τους κομήτες, τα αστεροειδή και τους μετεωρίτες.
حفظ النفس بين الدين والفلسفة
è!! ó nn ÄÄÄ Ï ÉÉ ZZZ ZZZ éé VV VV ppmm În nn أبحاث ووقاي ع المو تمر العام الثانى والعشرين حفظ النفس بين الدين والفلسفة أ.د. أحمد محمد هليل قاضى القضاة / إمام الحضرة الهاشمية الهاشمية الا ردنية المملكة
Ανώτερα Μαθηματικά ΙI
Ανοικτά Ακαδημαϊκά Μαθήματα Τεχνολογικό Εκπαιδευτικό Ίδρυμα Αθήνας Ανώτερα Μαθηματικά ΙI Ενότητα 2: Αναλυτική Γεωμετρία Αθανάσιος Μπράτσος Τμήμα Πολιτικών Μηχ.ΤΕ και Μηχ. Τοπογραφίας & Γεωπληροφορικής
: :
فراي د اسلس ورررر ال ijk :. : : noon@p-ol.com www.islamnoon.com : : - .................... ..................... ( ) :... ()... () (). ().. / .. ( ).... 160... !!! oo ß «««ÂÂÂ ùùù ÌÌ Nθä ä9$y yfî Î/
Radio détection des rayons cosmiques d ultra-haute énergie : mise en oeuvre et analyse des données d un réseau de stations autonomes.
Radio détection des rayons cosmiques d ultra-haute énergie : mise en oeuvre et analyse des données d un réseau de stations autonomes. Diego Torres Machado To cite this version: Diego Torres Machado. Radio
Estimation of grain boundary segregation enthalpy and its role in stable nanocrystalline alloy design
Supplemental Material for Estimation of grain boundary segregation enthalpy and its role in stable nanocrystalline alloy design By H. A. Murdoch and C.A. Schuh Miedema model RKM model ΔH mix ΔH seg ΔH
ACTA MATHEMATICAE APPLICATAE SINICA Nov., ( µ ) ( (
35 Þ 6 Ð Å Vol. 35 No. 6 2012 11 ACTA MATHEMATICAE APPLICATAE SINICA Nov., 2012 È ÄÎ Ç ÓÑ ( µ 266590) (E-mail: jgzhu980@yahoo.com.cn) Ð ( Æ (Í ), µ 266555) (E-mail: bbhao981@yahoo.com.cn) Þ» ½ α- Ð Æ Ä
ΣΥΝΕΧΕΙΑ ΣΥΝΑΡΤΗΣΗΣ - Θ. BOLZANO - Θ. ΕΝΔΙΑΜΕΣΩΝ ΤΙΜΩΝ. , ώστε η συνάρτηση. æ η γραφική της παράσταση να διέρχεται από το σημείο Mç
Να βρεθούν τα α και β Î R, ώστε η συνάρτηση ì 4 ημ - + = í - î α + β < ³ να είναι συνεχής και æ η γραφική της παράσταση να διέρχεται από το σημείο Mç è,- ö ø Να βρείτε τα α, β, γ Î R, ώστε να είναι συνεχής
Ó³ Ÿ , º 1(130).. 7Ä ±μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê
Ó³ Ÿ. 006.. 3, º 1(130).. 7Ä16 Š 530.145 ˆ ƒ ˆ ˆŒ ˆŸ Š ƒ.. ±μ Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê É μ ² Ö Ó μ μ Ö μ μ²õ μ É μ ÌÉ ±ÊÎ É ² ³ É μ - Î ±μ μ ÊÌ ±μ Ëμ ³ μ- ±² μ ÒÌ ³μ ²ÖÌ Ê ±. ³ É ÔÉμ μ μ μ Ö, Ö ²ÖÖ Ó ±μ³
: :
-. - : - : translation@dawateislami.net : overseas@dawateislami.net : www.dawateislami.net : :.. : ٦ :. ٧ : :». «! :. "".( ) / ١١ :. :. :. : : ١٢ » :. :. :. : :. «. : "" /.().() / " " / " ". / " " (
Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Επιλογής επόμενα. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών
Θεωρία Συνόλων Ενότητα: Επιλογής επόμενα Γιάννης Μοσχοβάκης Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Σημειώματα Σημειώμα ιστορικού εκδόσεων έργου Το παρόν έργο αποτελεί την έκδοση 1.1. Εχουν προηγηθεί οι κάτωθι
Ηυλοποίησ ητηςπαραπάνωκατηγορίαςβρίσ κεταισ τοναλγόριθμο º¾ºΗγραμμή
ÔØ Ö ΕΙΣΟΔΟΣ ΔΕΔΟΜΕΝΩΝ º½ ÉÄ Ò Ø Ηβασ ικήκατηγορίατης ÉØγιαείσ οδοδεδομένωνείναιηéä Ò Øμετηνοποία οχρήσ τηςμπορείναεισ άγεισ εμιαγραμμήένααλφαριθμητικόºστοναλγόριθμο º½παρουσ ιάζεταιηδήλωσ ηγιαένακεντρικόπαράθυρομετοοποίοοχρήσ
ΑΣΚΗΣΕΙΣ ΣΤΟΥΣ ΜΙΓΑΔΙΚΟΥΣ
ν ν æ α + i ö æ i - α ö Να βρείτε όλες τις τιμές της παράστασης Α = ç, νî Ν αi + ç αi è - ø è + ø και α Î R Να αναλύσετε το μιγαδικό = 5 + i σε άθροισμα δύο μιγαδικών,, των οποίων οι εικόνες βρίσκονται
MENTAL TROPES IN THE HOLY QUR`AN NAZEER HUSSEIN EMRITTE. submitted in accordance with the requirements for the degree of
MENTAL TROPES IN THE HOLY QUR`AN by NAZEER HUSSEIN EMRITTE submitted in accordance with the requirements for the degree of DOCTOR OF LITERATURE AND PHILOSOPHY in the subject ARABIC at the UNIVERSITY OF
ðñüübi pbïüb a óïèím ójé
1 بسم االله الرحمن الرحيم تشرف با عداد هذا الكتاب ðñüübipbïüb aóïèímójé وزارة الشو ون الا سلامية والا وقاف والدعوة والا رشاد الزلفي - 11932 ص.ب: 182 ت: - 064234466 فاآس: 064234477 حساب الطباعة: - 1/6960
T : g r i l l b a r t a s o s Α Γ Ί Α Σ Σ Ο Φ Ί Α Σ 3, Δ Ρ Α Μ Α. Δ ι α ν ο μ έ ς κ α τ ο ί κ ο ν : 1 2 : 0 0 έ ω ς 0 1 : 0 0 π μ
Α Γ Ί Α Σ Σ Ο Φ Ί Α Σ 3, Δ Ρ Α Μ Α g r i l l b a r t a s o s Δ ι α ν ο μ έ ς κ α τ ο ί κ ο ν : 1 2 : 0 0 έ ω ς 1 : 0 π μ Δ ι α ν ο μ έ ς κ α τ ο ί κ ο ν : 1 2 : 0 0 έ ω ς 0 1 : 0 0 π μ T ortiyas Σ ο υ
Αρχείασ την Â Ú. ΙωάννηςΓºΤσ ούλος
Αρχείαστην ÂÚ ΙωάννηςΓºΤσούλος Νοέμβριος ½½ ½ Ηκατηγορία ÁÒÔÙØËØÖÑ Ηκατηγορία ÁÒÔÙØËØÖÑείναιμιααφηρημένηκατηγορίακαιχρησιμοποιείταιγια τηνανάγνωση δεδομένων στην ÂÚαπόαρχείαεισόδουº Ωςαρχείαεισόδου μπορούμεναθεωρήσουμεαρχείαπουβρίσκονταιστονσκληρόδίσκοτουυπολογιστήήκαισυσκευέςεισόδουόπωςτοπληκτρολόγιοºοισημαντικότερεςμέθοδοι
Microscopie photothermique et endommagement laser
Microscopie photothermique et endommagement laser Annelise During To cite this version: Annelise During. Microscopie photothermique et endommagement laser. Physique Atomique [physics.atom-ph]. Université
2?nom. Bacc. 2 nom. acc. S <u. >nom. 7acc. acc >nom < <
K+P K+P PK+ K+P - _+ l Š N K - - a\ Q4 Q + hz - I 4 - _+.P k - G H... /.4 h i j j - 4 _Q &\\ \\ ` J K aa\ `- c -+ _Q K J K -. P.. F H H - H - _+ 4 K4 \\ F &&. P H.4 Q+ 4 G H J + I K/4 &&& && F : ( -+..
Π Ο Λ Ι Τ Ι Κ Α Κ Α Ι Σ Τ Ρ Α Τ Ι Ω Τ Ι Κ Α Γ Ε Γ Ο Ν Ο Τ Α
Α Ρ Χ Α Ι Α Ι Σ Τ Ο Ρ Ι Α Π Ο Λ Ι Τ Ι Κ Α Κ Α Ι Σ Τ Ρ Α Τ Ι Ω Τ Ι Κ Α Γ Ε Γ Ο Ν Ο Τ Α Σ η µ ε ί ω σ η : σ υ ν ά δ ε λ φ ο ι, ν α µ ο υ σ υ γ χ ω ρ ή σ ε τ ε τ ο γ ρ ή γ ο ρ ο κ α ι α τ η µ έ λ η τ ο ύ
Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Διατακτικοί αριθμοί. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών
Θεωρία Συνόλων Ενότητα: Διατακτικοί αριθμοί Γιάννης Μοσχοβάκης Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Σημειώματα Σημειώμα ιστορικού εκδόσεων έργου Το παρόν έργο αποτελεί την έκδοση 1.1. Εχουν προηγηθεί οι κάτωθι
ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΠΕΙΡΑΙΩΣ ΤΜΗΜΑ ΨΗΦΙΑΚΩΝ ΣΥΣΤΗΜΑΤΩΝ ΕΡΓΑΣΤΗΡΙΟ ΤΗΛΕΠΙΚΟΙΝΩΝΙΑΚΩΝ ΣΥΣΤΗΜΑΤΩΝ
3/5/016 ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΠΕΙΡΑΙΩΣ ΤΜΗΜΑ ΨΗΦΙΑΚΩΝ ΣΥΣΤΗΜΑΤΩΝ ΕΡΓΑΣΤΗΡΙΟ ΤΗΛΕΠΙΚΟΙΝΩΝΙΑΚΩΝ ΣΥΣΤΗΜΑΤΩΝ ΑΣΥΡΜΑΤΕΣ ΕΠΙΚΟΙΝΩΝΙΕΣ Παραδείγματα Κεραιών Αθανάσιος Κανάτας Καθηγητής Παν/μίου Πειραιώς Δίπολο Hetz L d
¼ ½ ¾ À Á Â Á Ã Ä Å Á Æ Ç È É È É Á Ê Ä Ã Ã Ë Ì Í Ç Á Ê Ã È Á Ê Æ Ê Ì Ä Î Í Ï Ä É È Í Ç È Í Ð Í Ä Ê Ñ Ê Ì Ä É È Í Ò Ó Ô Õ Ö Ø Ù Ú Ú Û Ü Ý Þ Ó Ø ß à á
F G H I J J K L L! " # $ % % & ' ( # ) * + ), -. - / 0 1 2 ), -. 3.. 4, 5 1 6 7 1 8 9 4 : ; < 4 = 4 < >? $ @ @ A B < < C D D E E E 1 8 9 4 >? U S U X s U V W U X X Y W U X U V W š T Z J J ^ _ h \ J F \
Νόµοςπεριοδικότητας του Moseley:Η χηµική συµπεριφορά (οι ιδιότητες) των στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού.
Νόµοςπεριοδικότητας του Moseley:Η χηµική συµπεριφορά (οι ιδιότητες) των στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού. Περιοδικός πίνακας: α. Είναι µια ταξινόµηση των στοιχείων κατά αύξοντα
DC BOOKS. H-ml-c-n-s-b- -p-d-n- -v A-d-n-b-p-w-a-p-¼-v
BÀ. tdmj³ Xn-cp-h-\- -]p-cw kz-tz-in. 2004 ap-xâ [-\-Im-cy ]-{X-{]-hÀ- -\cw-k v. XpS- w Zo-]n-I- Zn-\- -{X- nâ. C-t mä am-xr-`q-an Zn-\- -{X- n-sâ {]-Xnhmc _n-kn\-kv t]pm-b "[-\-Im-cy-' n-sâbpw ssz-\w-zn-\
P Œ ²μ, Œ.. ƒê Éμ,. ƒ. ²μ,.. μ. ˆ ˆŸ Œˆ ˆŸ ˆ Š Œ ˆŸ Ÿ - ˆ ˆ ŠˆŒˆ Œ Œˆ ˆ œ ˆ Œ ˆ ŒˆŠ Œ -25
P6-2011-64.. Œ ²μ, Œ.. ƒê Éμ,. ƒ. ²μ,.. μ ˆ ˆŸ Œˆ ˆŸ ˆ Š Œ ˆŸ Ÿ - ˆ ˆ ŠˆŒˆ Œ Œˆ ˆ œ ˆ Œ ˆ ŒˆŠ Œ -25 Œ ²μ... P6-2011-64 ² μ Ö ²Õ³ Ö ± ³ Ö μ Í Ì μ Ò Ö μ-ë Î ± ³ ³ Éμ ³ μ²ó μ ³ ³ ± μé μ Œ -25 μ³μðóõ Ö μ-ë
ŒˆŠ Š ˆ Š ˆ ˆ ˆ œ ƒ ƒˆƒ Š ƒ.. ˆÏÌ μ,.. ²
ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ 2007.. 38.. 2 ŒˆŠ Š ˆ Š ˆ ˆ ˆ œ ƒ ƒˆƒ Š ƒ.. ˆÏÌ μ,.. ² ÊÎ μ- ² μ É ²Ó ± É ÉÊÉ Ö μ Ë ± ³... ±μ ²ÓÍÒ, Œƒ, Œμ ± μ ³Ê² Ê É Ö μ É Ö μ²ê³ ± μ ±μ Î ± Ö ³μ ²Ó, μ μ²öõð Ö ÊÎ ÉÓ ² Ö Ëμ - ³ Í μ ÒÌ,
Το άτομο του Υδρογόνου
Το άτομο του Υδρογόνου Δυναμικό Coulomb Εξίσωση Schrödinger h e (, r, ) (, r, ) E (, r, ) m ψ θφ r ψ θφ = ψ θφ Συνθήκες ψ(, r θφ, ) = πεπερασμένη ψ( r ) = 0 ψ(, r θφ, ) =ψ(, r θφ+, ) π Επιτρεπτές ενέργειες
r t t r t t à ré ér t é r t st é é t r s s2stè s t rs ts t s
r t r r é té tr q tr t q t t q t r t t rrêté stér ût Prés té r ré ér ès r é r r st P t ré r t érô t 2r ré ré s r t r tr q t s s r t t s t r tr q tr t q t t q t r t t r t t r t t à ré ér t é r t st é é
ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΗ ΙΠΛΩΜΑΤΙΚΗ ΕΡΓΑΣΙΑ. Ελευθερίου Β. Χρυσούλα. Επιβλέπων: Νικόλαος Καραμπετάκης Καθηγητής Α.Π.Θ.
ΑΡΙΣΤΟΤΕΛΕΙΟ ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΘΕΣΣΑΛΟΝΙΚΗΣ ΤΜΗΜΑ ΜΑΘΗΜΑΤΙΚΩΝ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΟ ΠΡΟΓΡΑΜΜΑ ΣΠΟΥ ΩΝ ΘΕΩΡΗΤΙΚΗ ΠΛΗΡΟΦΟΡΙΚΗ ΚΑΙ ΘΕΩΡΙΑ ΣΥΣΤΗΜΑΤΩΝ ΚΑΙ ΕΛΕΓΧΟΥ Αναγνώριση συστημάτων με δεδομένη συνεχή και κρουστική συμπεριφορά
! "# " #!$ &'( )'&* $ ##!$2 $ $$ 829 #-#-$&2 %( $8&2(9 #."/-0"$23#(&&#
! "# " #!$ %""! &'( )'&* $!"#$% &$'#( )*+#'(,#* /$##+(#0 &1$( #& 23 #(&&# +, -. % ($4 ($4 ##!$2 $567 56 $$ 829 #-#-$&2 %( $8&2(9 #."/-0"$23#(&&# 6 < 6 6 6 66 6< <
Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Τα πάντα σύνολα; Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών
Θεωρία Συνόλων Ενότητα: Τα πάντα σύνολα; Γιάννης Μοσχοβάκης Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Σημειώματα Σημειώμα ιστορικού εκδόσεων έργου Το παρόν έργο αποτελεί την έκδοση 1.1. Εχουν προηγηθεί οι κάτωθι
20.2.5 Å/ ÅÃ... YD/ kod... 130
Περιεχόμενα 13 Ψάχνοντας υποαπασχόληση 1 13.1 Διάλογοι.................................................. 1 13.1.1 Ÿ º Â È Ç½µ¹ Å»µ¹..................................... 1 13.1.2 Ä µãä¹±äìá¹...........................................
Š Šˆ ATLAS: ˆ ˆŸ ˆ Šˆ, Œ ˆ Œ ˆ.. ƒê ±μ,. ƒ ² Ï ², ƒ.. Š ± ²,. Œ. Ò,.. ŒÖ²±μ ±,.. Ï Ìμ μ,.. Ê ±μ Î,.. ±μ,. Œ. μ
ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ 2010.. 41.. 1 Š ƒ ˆ ˆŸ Å Š Šˆ ATLAS: ˆ ˆŸ ˆ Šˆ, Œ ˆ Œ ˆ.. ƒê ±μ,. ƒ ² Ï ², ƒ.. Š ± ²,. Œ. Ò,.. ŒÖ²±μ ±,.. Ï Ìμ μ,.. Ê ±μ Î,.. ±μ,. Œ. μ Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê. ÉÉÊ,. Ê μ μ ± Ö μ Í Ö Ö ÒÌ
Œ.. ² μ,.. Œ ²μ, ƒ.. μ ±μ,. Ô Ô ², Œ.. ƒê Éμ, Œ.. Œ ² μ *
6-2008-5 Œ.. ² μ,.. Œ ²μ, ƒ.. μ ±μ,. Ô Ô ², Œ.. ƒê Éμ, Œ.. Œ ² μ * ˆ ˆ ˆˆ U(VI) ˆ ˆ ˆ ˆ Š ˆ ² μ Ê ² μì ³ Ö *, μ -, μ² Ö ² μ Œ... 6-2008-5 ˆ ² μ μ Í U(VI) μî μ μ Ì ² Ð μ ±É ÒÌ μéìμ μ ˆ ² μ μ Í Ö U(VI) μî
QWWWWWWE A D A D A D A D A D A D A D A D A D
QWWWWWWE A D A D A D A D A D A D A D A D A D A D Conveying Islamic Message Society Site: wwwislamic-messagenet A E-mail: info_en@islamic-messagenet D PO Box 834 Alex Egypt Tel: (002) 0106901838 ZXXXXXXC
M 2. T = 1 + κ 1. p = 1 + κ 1 ] κ. ρ = 1 + κ 1 ] 1. 2 κ + 1
Å Ü Ò ÙÐØ Ø ÍÒ Ú ÖÞ Ø Ø Ù Ó Ö Ù Ã Ø Ö Þ Ñ Ò Ù ÐÙ Ð Ò Ö Ëº Ó Ì Ä ÈÊÇÊ ÉÍÆ Æ ÃÁÀ ËÌÊÍ ËÌÁ ÁÎÇ ÄÍÁ Á ÆÌÊÇÈËÃ Ê Ä Á κ = 1.4µ ½ ½ ÁÞ ÒØÖÓÔ Ö Ð ÃÓÖ Ø Ò ÑÓ Þ Þ ÒØÖÓÔ Ó ØÖÙ ½ Ú ÔÓÑÓ Ù Ò ÜÙ ØÓØ ÐÒ Ú Ð Õ Ò Ø Ø
استمتع بحياتك. / 1 5.......1 7...2 8...3 10....4 12..5 13.6 15.....7 20...8 22.....9 23.....10 26.11 29...12 31...13 35...!!.14 37...: 100.15 39......16 42...!!.17 51..18 56.......19 60.....20 69..21 72..22
ΛΥΣΕΙΣ. f(x) = g(x)+c. Α2. ί. Ποια είναι η γεωμετρική ερμηνεία του Θεωρήματος Μέσης Τιμής του διαφορικού λογισμού;; (Να κάνετε πρόχειρο σχήμα).
ΛΥΣΕΙΣ ΠΑΝΕΛΛΑΔΙΚΕΣ ΕΞΕΤΑΣΕΙΣ Γ ΤΑΞΗΣ ΗΜΕΡΗΣΙΟΥ ΓΕΝΙΚΟΥ ΛΥΚΕΙΟΥ ΠΡΟΣΟΜΟΙΩΣΗ ΘΕΜΑΤΩΝ ΚΥΡΙΑΚΗ, 3 ΑΠΡΙΛΙΟΥ 7 ΕΞΕΤΑΖΟΜΕΝΟ ΜΑΘΗΜΑ: ΜΑΘΗΜΑΤΙΚΑ ΠΡΟΣΑΝΑΤΟΛΙΣΜΟΥ ΘΕΤΙΚΩΝ ΣΠΟΥΔΩΝ ΚΑΙ ΣΠΟΥΔΩΝ ΟΙΚΟΝΟΜΙΑΣ ΚΑΙ ΠΛΗΡΟΦΟΡΙΚΗΣ
ΟΡΙΑ ΣΥΝΕΧΕΙΑ ΒΑΣΙΚΕΣ ΑΣΚΗΣΕΙΣ. 2 f (x) =, να βρεθεί ο k Î R, ώστε να. . β) Να βρείτε το. , αν για κάθε x Î U(, á) όρια lim fx ( ) και lim gx ( ).
ΟΡΙΑ ΣΥΝΕΧΕΙΑ ΒΑΣΙΚΕΣ ΑΣΚΗΣΕΙΣ Αν για την συνάρτηση f ισχύει ( ) το f () Έστω η συνάρτηση υπάρχει το f () 7 ( k ) f = 4 για κάθε Î R να βρεθεί 7 49 f () = να βρεθεί ο k Î R ώστε να 7 Έστω η συνάρτηση f(
f a o gy s m a l nalg d co h n to h e y o m ia lalg e br coh the oogy lagebr
- - - * k ˆ v ˆ k ˆ ˆ E x ˆ ˆ [ v ˆ ˆ ˆ ˆ ˆ E x ˆ ˆ ˆ ˆ v ˆ Ex U U ˆ ˆ ˆ ˆ ˆ ˆ v ˆ M v ˆ v M v ˆ ˆ I U ˆ I 9 70 k k ˆ ˆ - I I 9ˆ 70 ˆ [ ˆ - v - - v k k k ˆ - ˆ k ˆ k [ ˆ ˆ D M ˆ k k 0 D M k [ 0 M v M ˆ