MATESO YA DHURIA YA MTUME
|
|
- Σαπφώ Κόρακας
- 6 χρόνια πριν
- Προβολές:
Transcript
1 MATESO YA DHURIA YA MTUME Mwandishi: Ayatullah Murtadha Mutahhari Mtarjumi: Salman Shou Kimehaririwa na: Al-Haj Ramadhani S. K. Shemahimbo
2
3 Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: Kimeandikwa na: Ayatullah Murtadha Mutahhari Kimetarjumiwa na: Salman Shou Kimepangwa katika Kompyuta na: Al-Itrah Foundation Toleo la kwanza: Julai, 2013 Nakala: 1000 Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation S.L.P , Dar es Salaam, Tanzania Simu: / Barua Pepe: alitrah@raha.com Tovuti: Katika mtandao: w.w.w.alitrah.info
4 YALIYOMO Neno la Mchapishaji Utangulizi Falsafa na Umuhimu wa Kusimulia Mateso ya Ahlul-Bayt (a.s) MAJILISI Imam Ali (a.s.) anangojea Usiku wa Shambulizi MAJILISI Kufa Kishahidi kwa Mtazamo wa Imam Ali (a.s.) Siku za Mwisho za Uhai wa Ali Ndoto ya Imam Ali (a.s.) Katika Usiku wa Shambulizi Mabata Yalalamika Adhana ya Mwisho ya Imam Ali (a.s.) MAJILISI Imam Ali (a.s.) Anajitayarisha Kukutana na Mola Ee Mola! Nichukuwe haraka Nimefaulu, kwa Mola wa Kaaba! Namshukuru Allah, Matakwa yangu ya siku nyingi hatimaye yametimizwa Wosia wa Imam Ali Katika Kitanda alichofia Kishahidi MAJILISI Nilikuwa naingojea Siku hii MAJILISI Nyakati za mwisho za Imam Ali (a.s.) Tabibu wa Kufa amfanyia vipimo Ali (a. s.) Ummu Kulthum azungumza na Ibn Muljim Mapendekezo ya Imam Ali (a. s.) kuhusu muuaji wake Kikombe cha maziwa kwa ajili ya Ibn Muljim Nini kinaweza kuwa bora zaidi kuliko Shahada wakati wa ibada? Ushauri wa mwisho wa Imam Ali (a. s ) MAJILISI Thamani ya Mahari Damu ya Ali (a.s.) Msimuue huyo Khawarij baada yangu Kuhudhuria Maziko wakati wa Usiku Kuonewa kwa Ali (a.s.) iv
5 MAJILISI Imam Ali (a.s.) alizikwa kwa siri Shairi la huzuni la Sasa`ah kwenye kaburi la Imam Ali (a.s.) MAJILISI Sasa`ah, Sahaba Mashuhuri wa Imam Ali (a.s.) Siku ya Kwanza ya Ukhalifa wa Ali Baada ya Kujeruhiwa kwa Imam Ali (a.s.) Baada ya mazishi ya Ali MAJILISI Ali (a.s.) na Haki wana maana ya karibu sana Darmiyya amsifu Ali (a.s.) mbele ya Muawiyah Adi asoma shairi la kumsifu Ali (a.s.) MAJILISI Tabasamu Lenye maana la Bibi Fatimah Ujasiri wa Bibi Zahra Ujasiri wa Bibi Zainab MAJILISI Bibi Zahra amhuzunikia baba yake MAJILISI Wosia wa Bibi Zahra Mahusiano ya Adabu ya Fatimah na Ali (a.s.) Kukosa utulivu kwa Imam Ali (a.s.) kwa kutenganishwa na Bibi Zahra MAJILISI Kwa Nini Bibi Fatimah Alizikwa wakati wa Giza la Usiku? Ewe Ali, baada ya mazishi, bakia nami kwa muda kidogo Ali anaelezea hisia zake MAJILISI Mtindo wa maisha rahisi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Usahili (ukawaida) wa Bibi Fatimah Vazi la Usiku wa Siku ya Harusi Basi kwa nini Bibi Fatimah alikwenda kudai Fadak? Nyakati za mwisho wa Bibi Fatimah MAJILISI Ukatili juu ya Imam Hasan (a.s.) Ukatili na Uhalifu wa Muawiyah Amri ya kumlaani Ali (a.s.) mbele ya Imam Hasan (a.s.) v
6 MAJILISI Usiondoke kwenye mimbari Huduma ya Mkuu wa Mashahidi MAJILISI Imam Sadiq aomboleza kifo cha Husain (a.s.) MAJILISI MAJILISI Binti yake Muslim apewa taarifa ya Shahada ya Muslim Watoto wa Aqiil waahidi utii MAJILISI Hadhi ya Masahaba wa Husain MAJILISI Masahaba Watiifu Sana Hali ya Ujasiri Dini na Dunia Mwanzo wa vita na matokeo yake Kifo cha Kishahidi cha Abis bin Abi Shabiib Shakri Mama mwenye kujitoa muhanga wa Abdullah bin Umair Mtoto anayestahili Kusifiwa MAJILISI Yeyote ambaye hana moyo wa kujitoa muhanga asije Masahaba wa Husain watahiniwa Mafanikio makubwa sana ya harakati za Imam Husain Hurr, mfano wa dhamira iliyozinduka Hurr atubia Je, toba yangu inaweza kukubaliwa? Kwa nini Hurr hakuingia kwenye hema la Imam? Mazungumzo baina ya jeshi la Umar bin Saad na Hurr Imam Husain (a.s.) amwendea Hurr wakati wa mwisho wa uhai wake Uhai wangu nauwe muhanga kwa ajili ya Abbas Imam auendea Mwezi wa Bani Hashim MAJILISI Mkesha wa Ashura ulikuwa kama Miraj kwa wale wafuasi Mvumo wa sauti za wafuasi Toba yakubaliwa Hurr alikuwa na dhamira hai Huruma na upole wa Husain (a.s.) vi
7 MAJILISI Ushauri wa mke wa Zuhair Nguvu ya mvuto ya Husain Zuhair sasa awa juu ya orodha ya masahaba wa Imam Husain MAJILISI Imam Husain amwendea Mtumwa wa ki-habeshi [Ethiopia] Kifo cha Kishahidi cha mtumwa kutoka Rumi MAJILISI Nichukue pamoja nawe MAJILISI MAJILISI MAJILISI Wito wa Imam Husain (a.s.) kwa ajili ya msaada Kifo cha Kishahidi cha Mtoto Mchanga Imam Husain (a.s.) alijipaka damu hiyo usoni mwake Alasiri ya tisa Muharamu Mkesha wa Ashura Utiifu wa Muhammad bin Bashir Hadhrami Mtukufu, Qasim bin Hasan Mimi ni mwana wa Hasan Kichwa cha Qasim kwenye mapaja ya ami yake Usisimulie sehemu hii ya mateso ya Qasim MAJILISI Wallahi, mimi sitamuacha Ami yangu MAJILISI Kuamrisha mema Na Kukataza maovu Misingi ya harakati za Husein (a.s.) Mtoto anayenyonya anatengana na Imam Husain (a.s.) MAJILISI Nguvu za mvuto wa Mihemuko na hisia za Husain Kutambuliwa kwa Ali Akbar Kifo cha kishahidi cha Ali Akbar MAJILISI Kuaga kwa Vijana wa Bani Hashim Ali Akbar, mwenye kufanana sana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Kuondoka kwa Ali Akbar kwenda kupambana Laana ya Imam Husain(a.s.) Kiu ya Ali Akbar vii
8 MAJILISI Mihemuko ya binadamu waliokamilika Haiba kubwa ya Ali Akbar MAJILISI Mwezi wa Bani Hashim - Mfano Halisi wa Muhanga MAJILISI Utiifu wa Abbas Ujasiri wa Mtukufu Abbas Mwezi wa Bani Hashim na Usawa Abbas, Mwangalizi wa kambi ya Imam Husain (a.s.) Nauha ya Ummul Banin ndani ya Baqii MAJILISI Vitendo viovu vya Dhalimu Yazid Ufalme wa Bani Umayyah watikiswa Athari ya harakati za Husein yaenea kwenye nyumba ya adui Mtoto wa Yazid ajitenga na baba yake Mashahidi walionea wivu daraja la Abbas Barua ya Msamaha kwa watoto wa Ummul Banin Mashairi ya kuhuzunisha ya Ummul Banin MAJILISI Ashura, ile Siku ya Mashahidi Mantiki ya Kufa Kishahidi (ufia dini) Mkesha wa Ashura Viriba vya maji vitupu Hotuba ya Imam Husain (a.s.) kwenye Mkesha wa Ashura Majibu ya Imam Husain (a.s.) kwa Farazdaq Ushuhuda wa Imam Husain (a.s.) kuhusu masahaba na Ahlul-Bayt (a.s.) Yeyote anayetaka kuondoka yuko huru kufanya hivyo Furaha ya Imam Husain (a.s.) yaongezeka maradufu Masahaba waonyesha utiifu wao Kwa nini Imam Husain (a.s.) aliruhusu masahaba kubakia? Kifo cha mfiadini kinatia uhai kwenye jamii MAJILISI Tisa (Tasua) ya Imam Husain (a.s.) Nini kilitokea mnamo alasiri ya Tisa? Hali ya Bibi Zainab mnamo mkesha wa Ashura Kwa nini Imam aliomba kuahirishwa kuanza vita? viii
9 Utambuzi wa Qasim Ewe ami yangu! Nisaidie MAJILISI Imam Husain (a.s.) ni Muhajiri na Mujahidi pia Kifo cha kishahidi ni taji la kujivunia kwetu sisi Ni wale tu walio safi ndiyo walibaki Hao walikuwa taji la mashahidi wote Heshima kwa masahaba wa Husain MAJILISI Umashuhuri wa Roho ya Imam Husain Semi za Imam Husain (a.s.) wakati wa mwisho wa uhai wake Viashirio vya ujasiri kwenye hotuba za Husain MAJILISI Swala Nguzo ya dini Swala ya mwisho ya Imam Husain (a.s.) Said bin Abdullah - shahidi wa Swala Imam Husain (a.s.) anarukuu na kusujudu kwa mara ya mwisho MAJILISI Maneno ya Imam Husain (a.s.) wakati akiwa anaondoka kwa mara ya mwisho Zainab al-kubra azungumza kwenye baraza ya Yazid MAJILISI Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimlilia Khadija Wosia wa Khadija kwa Asma Mapenzi ya Imam Husain (a.s.) kwa Bibi Rabab na Sakina Rabab aomboleza kifo cha Imam Husain (a.s.) Binti yangu Sakina, usiufanye moyo wangu uteseke zaidi MAJILISI Fedheha haivumiliki Aliyelelewa kwenye mapaja ya Fatimah hawezi kuvumilia fedheha Kiu ya Imam Husain (a.s.) mnamo siku ya Ashura Mashairi ya Nauha na Matam Falsafa ya kuhuisha Ashura Ashura ni siku ya kuhuisha maisha Ishara za kuambatana na roho ya Imam Husain (a.s.) Kauli Mbiu ya Husain Kumlilia Imam Husain (a.s.) Ushujaa wa Imam Husain ix
10 Roho ya Ali ndani ya mwili wa Husain Hisia za heshima za U-Husain Kauli Mbiu ya Kumpwekesha Mungu Imam Husain (a.s.) anaaga Mazungumzo ya Sakina na Dhuljanah Nauha ya Imam wa zama zetu (a.t.f.s.) MAJILISI Mashindano baina ya sifa za ki-husain Siku ya Ashura Utulivu wa Imam Husain (a.s.) Mapinduzi ya Imam Husain yalichochea mapinduzi mengine Shambulio la kwanza dhidi ya utawala wa Bani Umayyah Hisia ya heshima ya Imam Husain Bishara njema za Imam Husain (a.s.) wanafamilia wake Imam Husain ni dhihirisho la hali ya heshima Tukufu Dhuljanah wa Imam Husain (a.s.) Mshale wenye sumu wachoma moyo wa Imam Husain (a.s.) Abdullah bin Hasan alijitoa muhanga kwa ajili ya ami yake MAJILISI Maneno ya mwisho ya Imam Husain (a.s.) MAJILISI Kifo kwa ajili ya mtu shujaa Mfungwa wa dunia hii hatambui yalioko dunia zingine Hisia za kuvunjika vipande vipande katika njia ya Allah Nyanda za chini za ufiadini MAJILISI Furaha ya Imam Husain (a.s.) wakati wa Shahada yake Kulinda kambi hadi dakika za mwisho Mtu yeyote asitoke nje ya mahema wakati ningali hai Familia ya Imam wasoma Nauha wakimzunguka Dhuljanah Swali la kuhuzunisha la Sakina kwa Dhuljanah MAJILISI Wakati mgumu sana kwa Ahlul-Bayt wa Imam (a.s.) Ufidhuli wa adui Kifo cha kishahidi cha Ali Asghar Bibi Zainab alihisi ana deni kwa Husain (a.s.) Mama ambaye mwanawe alikatwa kichwa mbele yake x
11 MAJILISI Bibi Zainab aongoza msafara Tupitishe katikati ya uwanja wa vita Bibi Zainab aomboleza kwenye mwili wa kaka yake Wajibu wa Bibi Zainab Hadithi iliyosimuliwa na Ummu Aiman Msafara wa mateka wa kivita ndani ya Kufa Hotuba ya Bibi Zainab ilikumbusha moja ya hotuba za Ali (a.s.) Hadhi na Staha ya Bibi Zainab MAJILISI Bibi Zainab kwenye baraza ya Ibn Ziyad MAJILISI Wauaji wa Imam Husain (a.s.) waliupa uhalifu wao sura ya kidini Kipofu hakuruhusu hila ya Ibn Ziyad ifaulu Mantiki ya Ibn Ziyad iliegemezwa kwenye mabavu Kiwango cha fedheha kulingana na maneno ya Bibi Zainab Ibn Ziyad aliamuru Bibi Zainab auawe Jina la Ali lawachukiza maadui Ngao ya Imam Sajjad (a.s.) MAJILISI Roho zetu haziwezi kufungwa nyororo Bibi Zainab kwenye ukumbi wa Yazid Mtume alikuwa na desturi ya kubusu midomo ile MAJILISI Zainab - mrithi wa umaarufu wa Ali na Fatima Wafungwa ndani ya kasri ya Yazid Hotuba ya Bibi Zainab ndani ya ukumbi wa Yazid Bibi Zainab aleta mapinduzi Syria MAJILISI Familia ya Imam ndani ya gereza la Syria MAJILISI Wafungwa waliohuisha historia ya Karbala Imam Sajjad (a.s.) ahutubia mkusanyiko wa swala ya Ijumaa Ewe Muadhini! Nyamaza MAJILISI Gereza la Syria xi
12 MAJILISI Imam Sajjad (a.s.) mfano halisi wa Upendo Kuhudumia msafara unaokwenda Hijja Kulia na Kusoma Dua kwa Imam Sajjad (a.s.) MAJILISI Kifo cha kishahidi cha Imam Musa Kadhim (a.s.) Athari za gereza kwa uhalifu wa kupenda uhuru Sheria ya vinyume na migongano Bibi Zainab Kubra Kusema na kupenda ukweli Gereza la Basra Gereza la Baghdad Afisa mkubwa amtembelea Imam Kutosheka kwa Imam Musa Kadhim (a.s.) MAJILISI Kifo cha kishahidi cha Imam Ridha (a.s.) Hadith Silsilatudh-Dhahab Imam Ridha (a.s.) asipitishwe sehemu zenye Shia wengi Imam Ridha (a..s.) akiwa Nishapur Ngome ya Tauhidi Hotuba ya Bibi Zainab Kubra katika soko la Kufah BIBLIOGRAFIA xii
13 NENO LA MCHAPISHAJI Kitabu ulichonacho mikononi mwako ni tarjumi ya kitabu cha Kiingereza kiitwacho, Sufferings of the Prophet s Descendants, kilichoandikwa na Ustadh Murtadha Mutahhari. Sisi tumekiita, Mateso ya Dhuria ya Mtume. Ni jambo la kusikitisha na kuhuzunisha sana kuona kwamba historia ya Uislamu imejaa mateso waliyofanyiwa Dhuria ya Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w), Mtume ambaye ni rehema kwa ulimwengu lakini kwa Kizazi chake imekuwa kwao ni mateso yasiyomithilika. Sababu ya kufanyiwa mateso hayo kunatokana na kutaka kwao kusimamisha haki katika ulimwengu kwa kufuata nyayo za Mtukufu Mtume. Makafiri walimfanyia Mtume (s.a.w.w) vitimbi vya kila aina, lakini hatimaye kwa uwezo wa Allah aliweza kuwashinda na Uislamu ukasimama na kuwa imara. Lakini baada tu ya kufariki Mtume (s.a.w.w) waliibuka watawala madhalimu ambao walipinga mafundisho ya Uislamu ya kuleta usawa na haki kwa watu wote. Hivyo, ili kutekeleza malengo yao ya kidhalimu, waliwatesa na kuwauwa Dhuria ya Mtume (s.a.w.w) au kwa jina lingine Ahlul Bayt (a.s) ambao ndio waliokuwa na dhamana ya kuhakikisha kwamba Uislamu unaendelea kusimama na kustawi. Kitabu hiki kimekusanya maelezo ya mateso ya Ahlul-Bayt (a.s.) kutoka kwenye majilisi 61 (hotuba za maombolezo) za Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari ambazo zinaweza kukidhi haja ya wasomaji wa majilisi kwa kiwango fulani. Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huu wa maendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote ambapo uwongo, ngano za kale na upotoshaji wa historia ni vitu ambavyo havina nafasi tena katika akili za watu. Kutoka na ukweli huu, Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumini yake yaleyale ya kuwahudumia Waislamu, hususan wazungumzaji wa Kiswahili. Tunamshukuru ndugu yetu Salman Shou kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kukitarjumi kitabu hiki kwa Kiswahili kutoka lugha ya Kiingereza. Aidha tunawashukuru wale wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake. Allah awalipe wote malipo mema hapa duniani na kesho Akhera Amin. Mchapishaji Al-Itrah Foundation 13
14 UTANGULIZI Amani iwe juu yenu, Enyi Ahlul-Bayt wa Mtume (s.a.w.w.) Siku moja nilikuwa nimekaa peke yangu nikijihesabu mwenyewe na kupitia orodha ya matendo yangu. Kila nilivyozidi kufikiria juu ya hilo ndio nilivyozidi kugundua hasara kubwa katika matendo yangu na ilielekea kuwa vigumu mimi kupita katika njia za Akhera. Nikajiambia mwenyewe msafara umeondoka wakati wewe ulikuwa umelala. Sasa huko uendako kuna jangwa pana lisilokuwa na mwisho. Utakwenda wapi? Utamuuliza nani akuelekeze njia ya kukufikisha uendako? Na utaokoka vipi? Utawezaje kuvuka hatua za kutisha zilizoko mbele ukiwa huna kitu chochote? Nilikuwa nimezama kwenye mawazo haya wakati nuru ya matumaini ilipotokeza. Kutoka kwenye kina cha moyo wangu uliokuwa umedhikika, mara sauti ilisema: Ewe uliyechanganyikiwa kwenye mashaka, kama unataka kufika kwenye kingo za matumaini yako, kwa nini usipande Safina ya Wokovu? Umesahau kwamba wale wanaopanda humo wataokolewa na wale wanaoitelekeza watakufa maji? 1 Kwa nini usichukue msaada wa wale ambao ni wacha Mungu wa kweli na kimbilio halisi? Hao ndio nuru inayoongoza msafara wa kumpwekesha Mwenyezi Mungu (Tawhidi). Wao wamepita katika mizani za hali ya juu za uongozi halisi. Hao ni milango ya Mwenyezi Mungu, watakuongoza hadi kwa Mwenyezi Mungu. Katika baraza tukufu la waombezi hawa wa hapa duniani na akhera onyesha mapenzi asilia kwa namna ambayo itaondoa vizuizi vyote vilivyomo kwenye njia iliyonyooka na njia hiyo inakuwa nyeupe na safi kwa ajili yako, kwa sababu kama viongozi watakatifu wa msafara huo wanaongoza njia yako, utafaulu kufika kule unakotaka kwenda bila kushindwa; lakini ukisafiri bila ya uongozi wao kamwe hutaweza kupata njia yako. 1 Imetolewa kutoka kwenye Salawat iliyosimuliwa kutoka kwa Imam Zainul Abidiin (a.s.), ambayo husomwa kila siku ndani ya mwezi wa Shaaban. 14
15 Katika miezi michache iliyopita, ilikuwa ni tamaa ya moyo wangu kwamba inanibidi kufanya kazi ya kuandika kama ilivyo kawaida ya wanazuoni wa dini na wasafiri, ili niweze kutoa, hayo matunda ya kazi yangu kama zawadi kwa hao watu watakatifu. Labda zawadi hii ya unyenyekevu itakubalika na huyu mtu muovu akapata kutazamwa kwa jicho la huruma na wema ili mng`aro wa moyo na macho yake ungerejea, na moyo wake uliochafuka ungeweza kupata utakaso, na nafsi yake isiyo na thamani ibadilike na kuwa yenye thamani tena. Hivyo, nikamkumbuka yule mwanazuoni mkubwa maarufu ambaye ameandika kwa kuaminika kabisa juu ya mada mbali mbali na ambaye vitabu vyake ni chanzo cha maarifa ya kidini, naye ni Ustadhi Shahid Murtaza Mutahhari. Kwa kiasi nilivyokuwa ninajua, katika vitabu vyake vyote ambavyo vimechapishwa, hakuna hata kitabu kimoja kinachozungumzia mateso ya Ahlul-Bayt (a.s.). Kwa hiyo nilifikiria, ni jambo gani lingekuwa bora zaidi kuliko kukusanya taarifa kuhusu mada hii kutoka kwenye vitabu mbalimbali vya mwanafikra huyu? Nikiwa na kusudio hili akilini mwangu, nilianza kupitia vitabu vya Ustadhi Shahid na nikakusanya kazi hii iliyopo sasa. Baada ya hapo, nikafanya utafiti na kuongeza rejea ili kuweza kupata kitu kamili hiki cha mwisho. Mambo yafuatayo ni muhimu kuyazingatia: 1. Katika kitabu hiki tumekusanya mateso ya Ahlul-Bayt (a.s.) kutoka kwenye Majilisi 61 (hotuba za maombolezo) za Ustadhi Shahid, ambazo zinaweza kukidhi haja ya Wahutubiaji wa Majilisi, kwa kiwango fulani. 2. Katika kukusanya na kutafiti taarifa hizi, sisi tumejaribu kadiri iwezekanavyo kuendeleza mtindo wa asili wa Ustadhi Shahid. 3. Taarifa nyingi zaidi zilikuwa kwenye kanda za sauti, kwa hiyo kuna uwezekano wa maneno yaliyokosekana au vifungu vya maneno. Kwa hiyo, tumelinganisha na vyanzo vya asili, na kama jambo limetajwa katika namna iliyo tofauti tumelionyesha kwenye tanbihi chini ya kurasa. 4. Katika zama hizi, kufuatana na mashambulizi ya kitamaduni ya maadui wa Uislamu, ni muhimu sana kuhakikisha kwamba kizazi cha sasa kinatambua fikra za mwanazuoni huyu mashuhuri. Kwa hiyo, ingekuwa ni vizuri zaidi kama Wahadhiri wetu watasoma matukio ya msiba wa Karbala kwa mujibu wa Ustadhi Shahid ili kwamba huduma hii isiyolinganishika iliyotolewa naye 15
16 itambulike ipasavyo. Tuna matumaini kwamba kupitia kazi hii, kiwango cha usomi wa vijana wetu kitaongezeka na mihadhara yetu itapata uthibitisho wa kisomi. 5. Sifa zote za kitabu hiki ni matokeo ya mapambano ya kisomi na kivitendo ya Ustadhi huyu, uaminifu wake, utakaso wa ndani wa nafsi yake, na msimamo wake, ambapo kama kuna dosari zozote ni kwa sababu ya mtumishi huyu mnyenyekevu. Mwishoni mwa utangulizi huu, tunawasilisha majibu ya Ustadhi Shahid kuhusu swali aliloulizwa wakati wa siku za maombolezo ya Imam Husain (a.s.) na humo ameeleza haja na umuhimu wa kusimulia mateso ya Ahlul- Bayt; na pia amefafanua falsafa iliyo nyuma ya mateso hayo. FALSAFA NA UMUHIMU WA KUSIMULIA MATESO YA AHLUL-BAYT (A.S.) Ustadhi anasema: Jana kijana mmoja aliniuliza swali kwa hiyo hapa nitasema jambo kuhusu swali hilo. Kwa kweli, kamwe sijasisitiza kwamba mateso ya Ahlul-Bayt (a.s.) lazima yasomwe katika kila mwisho wa Majilisi. Kama mazungumzo yapo katika jambo ambalo mimi ninaweza kuendelea mbele kuelekea upande mwingine, huwa sisimulii mateso hayo; lakini katika hotuba nyingi, hususan wakati wa msimu wa maombolezo, huamua kutaja baadhi ya mambo ya kusikitisha hata kama yawe kwa ufupi namna gani. Kijana huyu aliniuliza kama ipo haja yoyote na manufaa ya kusimulia mateso hayo? Iwapo kama lengo letu ni kuhuisha Madhehebu ya Husain (a.s.), hivi ni muhimu kusimulia msiba wa Karbala? Nilimwambia kijana huyo: Ndiyo ni jambo ambalo Maimamu wetu Watukufu (a.s.) wametuamuru na kuna falsafa katika jambo hili. Kama hakuna vuguvugu la mhemuko wa kweli katika harakati za Madhehebu na inakuwa ni mkusanyiko tu wa mawazo makavu na misingi isiyokuwa na mwelekeo thabiti, haitaathiri nafsi za watu na haitaweza kudumu daima. Hata hivyo kama madhehebu yana nguvu ya kuhamasisha nyoyo na kuwavutia watu,mvuto huu huu unayafanya madhehebu hayo yawe hai. Falsafa ya Madhehebu ina wajibu wa msingi katika kueneza Madhehebu hayo na inaipatia maneno: kwamba inaifanya inazungumza yenyewe. 16
17 Bila shaka, Madhehebu ya Husain ni Madhehebu ambayo falsafa yake huwasha hisia na ndiyo maana yamedumu hadi leo hii. Tunapaswa kuelewa falsafa hii na kuipenda. Kama tukiyawasilisha Madhehebu haya yenye kuleta uhai kama Madhehebu ya kifikra tu, mwale wa Madhehebu haya ambao hugawa ulimi kwenye hisia za watu, utazimika pole pole na Madhehebu haya yatapitwa na wakati na kukosa maana. Ndiyo maana lazima tuendelee kusimulia mateso ya Karbala. Utambuzi wa kina na uelewa mpana wa mwanazuoni huyu msomi unadhihirika kutokana na matamko ya hapo juu. Kweli, masimulizi ya mateso ya Imam Ali (a.s.), Imam Husain (a.s.), Imam Hasan (a.s.), au Bibi Zahra (a.s.) hugusa hisia za watu na hugawa maneno katika hisia hizo. Watu hupata vuguvugu kutoka kwenye mwale wa hisia hizi, na hisia hizi huwasha tena ndani mwao utambuzi wa wajibu na uelewa wao wa kulinda, jambo ambalo wakati wote tunatakiwa kulifanyia jitihada. 3, Shawwal 1420 A.H. Ja`far Salihan 17
18 MAJILISI 1 IMAM ALI (A. S.) ANANGOJEA USIKU WA SHAMBULIZI Enyi waombolezaji wa Mtukufu Amiri wa Waumini (a.s.)! Leo ni tarehe 13 ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Tunakaribia ile mikesha ya kukaa macho na kufanya ibada, na siku ya kufa kishahidi Amiri wa Waumini. Inasimuliwa kwamba Amiri wa Waumini alikuwa anatoa hotuba mnamo tarehe 13 ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, ambayo ilikuwa siku ya Ijumaa. Watoto wake, Imam Hasan (a.s.) na Imam Husain (a.s.) walikaa miongoni mwa wasikilizaji. Wakati hotuba inaendelea, ghafla alimuuliza Imam Hasan (a.s.): Mwanangu Hasan! Siku ngapi za mwezi huu zimepita hadi sasa? Akajibu: Baba, zimepita siku 13. Inaelekea kana kwamba Imam alitaka kufikisha ujumbe muhimu kwa sababu tayari alikuwa anajua siku ngapi zilikuwa zimepita. Baada ya hapo, alimuuliza Imam Husain (a.s.): Mwanangu! siku ngapi zimebaki katika mwezi huu? Imam Husain (a.s.) akasema: Zimebaki siku kumi na saba baba. Aliposikia hivi, Imam Ali (a.s.) alishikilia ndevu zake na kusema: Muda mfupi sana umebaki kwa ndevu hizi kupakwa rangi ya damu ya kichwa hiki. 2 Amiri wa Waumini hakutaja muda kamili na mazingira ya kifo chake cha kishahidi lakini alikuwa akionyesha hali fulani ambayo iliwafanya watu kwa ujumla na hususan familia yake, kufadhaika na kuwa na wasiwasi. 3 Hakuna Nguvu na Uwezo isipokuwa kwa Allah Mwenyezi aliyeko Juu na Muweza wa Yote. 2 Muntahaiul Amaal, Jz. 1, uk. 330 na Manaqib Murtazwiyah, uk Ashnai ba Quran, Murtaza Mutahhari, Juzuu,6, uk
19 MAJILISI 2 KUFA KISHAHIDI KATIKA MTIZAMO WA IMAM ALI (A.S.) Ramadhani ya mwisho ya uhai wa Imam Ali (a.s.) ilikuwa imejaa mfadhaiko kama ambavyo ilidhihirishwa na tabia ya Imam. Mwezi huu ulikuwa tofauti na miezi yote ya Ramadhani ya miaka iliyopita. Tofauti hii ilionekana wazi katika hisia za watu wa familia ya imam (a.s.). Hata hivyo, ningependa kutaja hiyo hali inayotofautisha, ambayo pia imesimuliwa kwenye Nahjul-Balaghah, Imam Ali (a.s.) alisema: Pale Allah Aliyetukuka alipoteremsha aya ifuatayo: Je, watu wanadhani wataachwa waseme tumeamini, nao wasijaribiwe? [Surah Al-Ankabut 29 : 2] 4 Nilipata kujua kwamba usumbufu huo haungetupata almuradi tu Mtume (s.a.w.w.) yu miongoni mwetu. Kwa hiyo nilisema: Ewe Mtume wa Allah (s.a.w.w.), ni fitina gani hiyo, ambayo Allah amekufahamisha wewe? 5 Na alijibu, Ewe Ali, Umma wangu utapita kwenye mitihani mara baada yangu. Ali aliposikia hayo kwamba baada ya kufariki Mtume (s.a.w.w.) wao watapata majonzi, alikumbuka kitu cha siku za nyuma na akauliza: Ewe Mtume (s.a.w.w.), je, mnamo siku ya Uhud wewe hukuniambia kwamba wale Waislamu ambao walikuwa wafe kishahidi tayari wamekwisha pata hadhi ya shahidi? Siku ile Waislamu sabini walikufa kishahidi, miongoni mwao Mkuu wa Mashahidi, Mtukufu Hamza alikuwa ndiye muhimu zaidi. Pale ambapo kifo cha kishahidi kilinikwepa, jambo ambalo lilinikasirisha sana, 6 na nilikuuliza: Kwa nini mimi nimenyimwa heshima hii? 4 Qur`ani Surah Ankabuut [29:1-2] 5 Chapisho la Faiz al-islam la Nahjul-Balaghah halina neno taa la. 6 Imam Ali (a.s.) alikuwa kwenye ujana wake wakati wa vita vya Uhud. Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tano tu wakati huo. Ndio kwanza amemuoa Bibi Fatima na Imam Hasan (a.s.) amezaliwa tayari. Kwa kawaida, maharusi vijana matakwa yao ni kuishi pamoja kwa muda mrefu lakini matakwa makubwa kabisa ya Imam Ali (a.s.) yalikuwa kufa kishahidi. [Ustadhi Mutahhari] 19
20 Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: Furahi kwani kifo cha kishahidi kinakufuatilia. Kwani kuna nini kama wewe hukuuliwa kishahidi? Kifo cha kishahidi tayari kimekwisha kuandikwa kwenye majaaliwa yako. Aliposema hivi Mtukufu Mtume aliniuliza: Kweli jambo hili litakuja kupita, lakini niambie subira yako itakuwaje wakati wa Shahada yako? Imam Ali (a.s.) akasema: Ewe Mtume wa Allah (s.a.w.w.) kipindi hicho si kipindi cha subira, bali kwa usahihi zaidi ni kipindi cha furaha na shukrani 7 SIKU ZA MWISHO WA MAISHA YA IMAM ALI (A.S.) Watu wa familia na masahaba wa Imam Ali (a.s.) hawakuwa na utulivu na walihangaika kwa sababu ya habari ambazo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alizitoa na kwa sababu ya ishara hizo zilizoonyeshwa kwa dhahiri na Imam Ali (a.s.) kwa sababu alikuwa anazungumza juu ya mambo yasiokuwa ya kawaida. Wakati wa Ramadhani hii alikuwa na kawaida ya kuhitimisha saumu yake (kufuturu) nyumbani kwa mmojawapo wa watoto wake. 8 Kila siku usiku alikuwa na desturi ya kuwa mgeni wa mmojawapo wa watoto wake. Usiku mmoja alikula nyumbani kwa Imam Hasan (a.s.) na usiku uliofuata alikula nyumbani kwa Imam Husain (a.s.) na halafu nyumbani kwa Bibi Zainab na kuendelea hivyo. Lakini alikuwa anakula chakula kidogo sana. 9 Kwa mtindo huu watoto wa Imam walikuwa wanaingiwa na huzuni. Kuna wakati walikuwa wakizidiwa na huzuni hadi wanalia. Wakati fulani mmojawao aliuliza: Ewe baba! Kwa nini unakula chakula kidogo hivi? Imam alijibu: Nataka kukutana na Allah tumbo langu likiwa halina kitu 10 (Watoto wake walikuwa wakielewa kwamba Mtukufu Ali alikuwa anangojea tukio fulani). Wakati mwingine alikuwa na kawaida ya kutazama juu angani na kusema: Mpendwa wangu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ameniarifu na yale aliyoniambia ni ya kweli kabisa. Hawezi kukosea. Muda umekaribia. 11 Mnamo tarehe 13 Mwezi wa Rajab, alisema jambo fulani, ambalo lilizidisha utata. Ilikuwa siku ya Ijumaa na Imam alikuwa anahutubia. Wakati 7 Nahjul-Balaghah, Faizul Islam, Hotuba ya 155, Uk na Nahjul-Balaghah, Subhi Salih, Hotuba ya Huenda labda hiyo ilikuwa ni desturi yake katika miezi iliyopita ya Ramadhani, (Ustaadh Mutahhari). 9 Muntahaiul Amaal, Juzuu ya 1, Uk Biharul Anwar, Juzuu ya 42, uk Biharul Anwar, Juzuu ya 42, uk
21 anaendelea kuhutubia alimuuliza Imam Husain (a.s.) Mwanangu siku ngapi zimebaki katika mwezi huu? Imam akajibu: Zimebaki siku kumi na saba baba. Imam Ali (a.s.) akasema: Ndiyo, baada ya muda mfupi ndevu zangu zitatapakaa damu yangu. Muda wa ndevu hizi kupakwa damu yangu unakaribia. 12 NDOTO YA IMAM ALI (A.S.) KATIKA USIKU WA SHAMBULIZI Enyi waombolezaji! Watoto walipitisha muda kiasi na Mtukufu Ali (a.s.) mnamo mkesha wa tarehe 19. Baada ya watu wote kuondoka, Imam Ali (a.s.) alisogea kwenye mkeka wake wa kuswalia. 13 Imam Ali (a.s.) alikuwa kwenye mswala wake na mapambazuko yalikuwa bado hayajawadia. Imam Hasan (a.s) aliwasili na aliketi karibu naye. Ama ilikuwa ni kwa sababu ya wasiwasi wake au ilikuwa ni tabia yake ya kawaida. Amiri wa Waumini alikuwa akiwapa heshima maalum Imam Hasan (a.s.) na Imam Husain (a.s.) kwa sababu walikuwa watoto wa Bibi Zahra (a.s.). Yeye alikuwa akichukulia kwamba akiwaheshimu wanawe hao ni sawa na kumheshimu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Bibi Zahra (a.s.). Alimwambia Imam Hasan (a.s.): Nilikuwa nimeketi pale nikiwa ninasinzia kwa muda fulani. Nikamuona Mtume wa Allah akitokeza mbele yangu nami nikasema, Umma wako umenifanya nilie machozi ya damu. 14 Kwa kweli ni jambo la kustaajabisha kwamba watu walimpinga Amiri wa Waumini Ali (a.s.) na hawakutaka kutembea katika njia aliyowaonyesha. Watu wamekuwa wakimsumbua mfululizo bila mwisho. Masahaba wa Aisha walivunja kiapo cha utii, na Muawiyah wakati wote alikuwa akila njama dhidi yake. Hali ilikuwa ngumu sana kwa Amiri Ali (a.s.) kuhimili yote haya. Muawiyah alikuwa mkatili hodari sana. Alijua ni kitu gani kinachomkera Amiri wa Waumini (a.s.). Kwa hiyo, naye alikuwa akilifanya hilo. Ni nini kile ambacho Khawarij na wale waliojiita makundi ya Kidini, ambao walikuwa na desturi ya kumshutumu Imam Ali (a.s.) na kumuita kafiri walichokifanya mwishoni? 12 Muntahaiul Amaal,Jz. 1, uk. 330; Manaqib Murtazviyah, uk Inapendekezwa kwamba mtu anatakiwa kutenga sehemu kwa ajili ya ibada tu ndani ya Makazi yake. Mswala wa Imam Ali (a.s.) ulihifadhiwa wakati alipokuwa anaishi Darul Imarah akiwa Khalifa na alikuwa akiswalia juu yake huo. Ilikuwa kawaida yake kwamba alikuwa halali wakati wa usiku na alikuwa akianza ibada zake kwenye msala huu baada ya kumaliza shughuli zake zote. [Ustaadh Mutahhari] 14 Nahjul Balaghah, Faizul Islam, Hotuba ya 69, uk.156; Nahjul Balaghah, Subhi Salih, Hotuba ya
22 Ni jambo la ukweli kwamba mtu atashangaa baada ya kuangalia na kuona yale maisha ya kuhuzunisha ya Imam Ali (a.s.). Hata mlima hauna uwezo wa kuhimili majanga mengi kama alivyofanya Imam Ali (a.s.). Katika hali hiyo Imam Ali (a.s.) angemwambia nani kuhusu mateso yake haya? Alipomuona Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika ndoto, Imam Ali (a.s.) aliufungua wazi moyo wake na akasema: Ewe Mtume wa Allah! Umma wako umenisumbua sana. Niambie nifanye nini kuhusu suala hili? Halafu akamwambia Imam Hasan (a.s.); Ewe kipenzi cha baba yake! Babu yako ameniamuru, akisema: Ewe Ali! Ulaani umma huu. Na nikiwa katika ndoto hii nikasema, Ee Mola wangu! Nichukue kutoka katika dunia hii haraka iwezekanavyo na uwateulie mtu mwingine wa kushika nafasi yangu ambaye ni mbaya zaidi yangu mimi. Unaweza kukisia ukubwa wa tatizo na kutokuwepo kwa utulivu kutokana na tamko hili. MABATA YALALAMIKA Imam alipoanza kuondoka kwenda msikitini, mabata walianza kupiga kelele kwa sauti ya juu sana. Imam akasema: Sasa hivi ni hawa mabata tu ndiyo wanalia lakini baada ya muda mfupi ardhi na mbingu zitatetemeka na watu wataanza kuomboleza. 15 Baada ya kusikia haya, watoto walimwendea na wakasema: Ewe baba! Hatutakuruhusu uende msikitini. Tafadhali tutume sisi au mtume mtu mwingine akuwakilishe. Imam Ali (a.s.) akasema: Sawa, mwiteni binamu yangu, Juada Hubaira. Halafu akabadili nia ghafla na akasema; Hapana nitakwenda msikitini mimi mwenyewe. Watoto wakamwomba Imam awaruhusu wafuatane naye lakini alikataa na kusema; Sitaki mtu yeyote afuatane nami. 16 Jinsi gani usiku huu ulivyomfurahisha Imam (a.s.)! Ni Mwenyewzi Mungu peke Yake ndiye anayejua hisia zake zilifika kwenye upeo gani!! Akasema [Imam Ali (a.s.)]: Mimi nilijaribu sana kutaka kujua siri hiyo niliambulia kujua muhtasari tu; kwamba msiba mkubwa ulikuwa unatarajiwa kutokea. Ni wazi kabisa kutokana na maneno yake mwenyewe yaliomo kwenye Nahjul-Balaghah: 15 Kashful Ghumma,Juz. 2, uk.62; Manaqib Ibn Shahr Aashob, Juz. 3, uk Biharul Anwar, Juz. ya 42, uk. 226; Muntahaiul Amaal, Juz. 1, uk
23 Nilijaribu sana kuifikia siri hiyo iliyofichika lakini Mwenyezi Mungu alikataa, kwa sababu alitaka ibakie kuwa ni siri. 17 ADHANA YA MWISHO YA IMAM ALI (A.S.) Imam alikuwa na desturi ya kuadhini adhana ya Swala ya Asubuhi. Mapambazuko yalikuwa yanakaribia wakati Imam alipokwenda kwenye sehemu ya kuadhini na akaadhini. 18 Baada ya hapo, aliuaga mwanga mweupe wa alfajiri kwa kusema: Ewe mwanga wa mapambazuko ya alfajiri! Umewahi kushuhudia siku ambapo Ali (a.s.) alikuwa amelala ulipochomoza katika anga tangu wakati Ali amefumbua macho yake? Maana yake ni kwamba kabla ya hapo hilo halijapata kutokea lakini sasa macho ya Ali yatafumba daima mililele. Baada ya kurudi kutoka kwenye sehemu ya muadhini, Imam alisoma beti zifuatazo: Tengeneza njia Muumini mpiganaji shujaa anayepigana katika njia ya Allah. 19 Ni muumini anayefuata amri za Mwenyezi Mungu. Na anaingia kwenye medani ya vita ya ufiadini kwa hiari yake. Yule ambaye hamuabudu yeyote isipokuwa Mwenyzi Mungu na huwaamuru watu kusimamisha Swala. Hapa Imam anajitambulisha yeye mwenyewe kama muumini na mpiganaji. Watu wa familia yake hawakuruhusiwa kuondoka kwenye sehemu zao. Imam Ali (a.s.) alikwishasema kwamba baada ya kilio chake, watu wataanza kuomboleza. Bibi Zainab, Bibi Ummu Kulthum na watu wengine wa familia walikuwa macho na wenye wahaka. Nyoyo zao zilikuwa zinakwenda mbio na kasi huku wakiwa na wasiwasi kwa sababu walikuwa hawajui ni janga gani litakalotokea kabla ya giza la usiku huo halijatoweka. Ghafla sauti ilisikika na kukamata nadhari ya watu, ikisema: Enyi waombolezaji! Enyi waombolezaji wa Ali! Sauti hii ilikuwa inatoka kila kona na upenu katika saa hii ya msiba: Wallahi, nguzo za uongozi zimebomolewa. Wallahi, ishara za ucha Mungu 17 Nahjul Balaghah, Faizul Islam, Hotuba ya 149, uk. 445; Nahjul Balaghah, Subhi Salih, hotuba ya Biharul Anwar, Juz. 42, uk Manaqib Ibn Shahr Aashub, Juz. 3, uk. 310; Biharul Anwar, Juz. 42, uk
24 zimefutwa. Kamba madhubuti ya ukweli imekatika. Binamu yake Mustafa ameuawa Shahidi. Ali al-murtaza ameuawa Shahidi. Mtu muovu kuliko wote waliopita na wanaokuja ndiye aliyemuua. 20 Kwa Jina la Allah na kwa Allah na juu ya dini ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.). 20 Muntahaiul Amaal,Juz. 1, uk. 238; Biharul Anwar, Juz. 42, uk
25 MAJILISI 3 IMAM ALI (A.S.) AJITAYARISHA KUKUTANA NA MOLA Imam Ali (a.s.) alikuwa amechagua programu maalum katika Ramadhani ya mwisho katika uhai wake. Alikuwa na tabia ya kwenda nyumbani kwa mmojawapo wa watoto wake wa kiume au wakike kufuturu. Hakuwa akila zaidi ya matonge matatu ya chakula. 21 Kwa msisitizo wa watoto wake kwamba awe anakula chakula cha kutosha, alikuwa anajibu kwa kusema: Sitaki kukutana na Allah tumbo langu likiwa limejaa. 22 Mara kwa mara alikuwa akisema: Kufuatana na ishara alizoniashiria Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ni kwamba baada ya muda si mrefu ndevu zangu zitapakwa damu ya kichwa changu. 23 Alimtembelea binti yake mdogo, Ummu Kulthum, katika mkesha wa mwezi 19. Dalili za kusubiria zilidhihirika zaidi kwake zikilinganishwa na kila usiku wa siku zilizopita. Wakati kila mtu alikuwa ameondoka kwa ajili ya mapumziko ya usiku, Imam alikwenda kwenye mswala wake wa ibada na akaanza kuswali. 24 EE MOLA! NICHUKUE HARAKA Imam Hasan (a.s.) alimwendea kwake muda mfupi kabla ya mapambazuko. Imam Ali (a.s.) alimwambia mwanawe mpendwa: Sikulala usiku kucha na nimewaamsha watu wote wa nyumba yangu kwa sababu leo ni mkesha wa siku ya Ijumaa na usiku wa leo ni sawa na Usiku wa Badri (au Usiku wa Laylatul-Qadr). 25 Nilikuwa nimeketi ambapo nilisinzia kwa muda mfupi. Nilimuona babu yako kwenye ndoto yangu. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alin- 21 Muntahaiul Amaal, Juz. 1, uk Biharul Anwar, Juz. 42, uk Biharul Anwar, Juz. 42, uk Biharul Anwar, Juz. 42, uk Vita ya Badr vilipiganwa tarehe 17 au 19 ya mwezi wa Ramadhani, mwaka wa 2 A.H., rejea Historia ya Mtume wa Uislamu, uk
26 iambia. Ulaani Umma huu. Mimi nikasema. Ee Mola wangu! Niondoe kutoka kwa watu hawa haraka na unikusanye miongoni mwao wale ambao ni wema kuliko wao. Mpe mamlaka ya uongozi yule ambaye ni muovu kuzidi mimi kwa sababu hivyo ndivyo wananvyostahili watu hawa. 26 Mwadhini aliwasili na kutoa taarifa kwamba muda wa Swala umewadia. Imam Ali (a.s.) aliondoka kwenda msikitini. 27 Nyumbani kwa Imam walikuwepo mabata wachache waliokuwa wanapendwa sana kwa ajili ya watoto, mabata walianza kupiga kelele kama vile wanalia. Wakati mmoja wa wanafamilia hiyo alipojaribu kuwanyamazisha Imam alisema: Usiwanyamazishe kwani wanaomboleza. 28 NIMEFAULU, KWA MOLA WA KAABA! Abdur Rahman Ibn Muljim na waovu wenzake walikuwa wanangojea kuwasili kwa Imam Ali (a.s.) msikitini kwa shauku kubwa sana. Hakuna aliyejua mpango wao isipokuwa Quttam na Ash ath bin Qais, ambao walikuwa na tabia mbaya na ambao walikuwa wanakula njama na Muawiyah kwa sababu alikuwa hapendi tabia ya Imam Ali (a.s.) ya kuwatendea watu haki sawa bila upendeleo. Ilielekea kwamba tukio dogo lingeweza kufichua njama ya mauaji lakini wakati huo huo tukio jingine lilizuia. Ash ath alikuja akikimbia kwenda kwa Muljim na kusema: Muda mfupi umebakia kuwa mapambazuko. Mwanga ukishakuwa mkubwa, utafedheheka. Kwa hiyo kamilisha kazi hii haraka iwezekanavyo. 29 Hujr bin Adi, ambaye alikuwa sahaba wa karibu wa Imam Ali (a.s.) alisikia mazungumzo hayo na akahisi kwamba watu hao walikuwa na mpango wa hatari. Muda mfupi uliopita Hujr ndiyo alikuwa amerudi kutoka katika kukamilisha kazi zake za kitaratibu na farasi wake alikuwa nje ya msikiti. Ilielekea kama vile alitaka kumpa taarifa Amiri wa Waumini kuhusu jambo hili. Hujr aliposikia maneno ya Ash ath, haraka alikwenda nyumbani kwa Imam Ali (a.s.) kumtahadharisha kuhusu hatari hiyo. Hata hivyo, alipofika 26 Biharul Anwar, Juz. 42, uk Muntahaiul Amaal, Juz. 1, uk Kashful Ghumma, Juz. 2, uk. 62; Manaqib Ibn Shahr Aashub, Juz. 3, uk Irshad, Shaykh Mufid, uk
27 nyumbani kwa Imam Ali (a.s.) alikuta amekwishaondoka kwenda msikitini kupitia njia nyingine. 30 Hata hivyo, wanawe na masahaba wa Imam Ali (a.s.) walisisitiza kwamba asindikizwe na mlinzi. Kila mara Imam Ali (a.s.) alikuwa akikataa ombi lao hilo. Imam (a.s.) alikuwa akikaa bila kulindwa binafsi. Mnamo usiku wa siku hiyo walitoa pendekezo hilo hilo kwa Imam (a.s.) lakini hakulikubali. 31 Imam Ali (a.s.) alipoingia msikitini alitoa wito akasema: Enyi watu! Swala! Swala! Alikuwa ametembea hatua chache tu kuelekea kwenye mswala wake baada ya kusoma Adhana ambapo mapanga mawili yalimulika ghafla kwenye giza na watu walishtuka kusikia kilio cha: Hukumu ni ya Mwenyezi Mungu ewe Ali na si yako. 32 Pigo la kwanza la upanga lilitoka kwa Shabib, aliyelaaniwa, lakini upanga huo ulipiga ukutani kwa hiyo haukufakiwa. Pigo la pili lilitoka kwa Muljim, ambalo lilipiga kichwa kitukufu cha Imam Ali (a.s.). Hujr alirudi haraka kadiri alivyoweza na akakuta tu watu wanalia na kuomboleza tu ndani ya msikiti wa Kufa. Watu walikuwa wanalia: Amiri wa Waumini ameuawa! Amiri wa Waumini ameuawa. 33 NAMSHUKURU ALLAH, MATAKWA YANGU YA SIKU NYINGI HATIMAYE YAMETIMIZWA Maneno ya kwanza ya Imam Ali (a.s.) baada ya kushambuliwa ni haya: Nimefaulu, kwa Mola wa Kaaba. 34 Katika maneno ya mshairi, Imam Ali alikuwa akisema: Namshukuru Allah, Matakwa yangu ya siku nyingi hatimaye yametimizwa. Halafu akasema kwa sauti kubwa Msimuache mtu huyu awatoroke. 35 Abdur Rahman, Shabib na Wardan, 36 walijaribu kukimbia ili wasikamatwe. Wardan hakujitokeza kwenye shambulio hili na yeye hakutambuliwa. 37 Mara tu Shabib alipojaribu kutaka kutoroka, sahaba wa Mtukufu Ali (a.s.) 30 Irshad, Shaykh Mufid, uk.17. Tatmah al-muntaha, uk Muntahaiul Amaal, Juz. 1, uk Biharul Anwar, Juz. 42, uk Biharul Anwar, Juz. 42, uk Biharul Anwar, Juz. 42, uk Biharul Anwar, Juz. 42, uk Jina lake kamili lilikuwa Wardan bin Mujalid; Irshad, Shaykh Mufid, uk Irshad, Shaykh Mufid, uk. 17. Biharul Anwar, Juz. 42, uk
28 alimkamata na kunyakua upanga wake kutoka mkononi mwake. Alimtupa chini na kupanda juu ya kifua chake akiwa amenuia kumuua hapo hapo. Hata hivyo, alipoona watu wanakuja kuelekea pale walipo, alihofia watu wangekosea na kudhani kwamba yeye ndiye muuaji. Kwa hiyo alishuka kutoka kifuani mwake. Shabib akapata fursa ya kukimbia na kujificha ndani ya nyumba. Binamu yake Shabib alipopata uthibitisho kwamba Shabib alihusika katika Shahada ya Imam Ali (a.s.), alikwenda nyumbani kwake na kumuua Shabib kwa upanga wake. 38 Abdur Rahman Ibn Muljim alikamatwa na watu na kufikishwa msikitini huku mikono yake ikiwa imefungwa nyuma yake. Watu walikasirika sana hivyo kwamba wangeweza hata kumnyonga. 39 Imam Ali (a.s.) aliwaamuru watu wamlete Abdur Rahman mbele yake. Alipofikishwa kwa Imam, aliuliza: Je, sijakufanyia jambo jema wewe? Akasema: Ndiyo, kwa nini isiwe hivyo? Imam akauliza: Kwa nini basi ukafanya hivi? 40 (Muljim) akasema: Lile lililokuwa limeelekea kutokea limetokea. Nilichovya upanga huu kwenye sumu kwa muda wa siku arobaini na nilimuomba Allah Mtukufu niweze kumuua mtu mbaya kuliko wote kwa upanga huu. Imam akasema: Maombi yako yamejibiwa. Baada ya muda mfupi tu wewe utauawa kwa upanga huu. 41 Halafu Imam Ali (a.s.) aliwaambia ndugu zake waliokuwa wamekusanyika hapo: Enyi wana wa Abdul Muttalib! Chukueni tahadhari! Msifanye kifo changu cha kishahidi kuwa kisingizio cha kumshutumu mtu yeyote kwa kula njama na msije mkaanzisha umwagaji wa damu. Halafu akamwambia Imam Hasan (.a.s): Ewe mwanangu! Endapo nikipona na kuishi, nitalipa kisasi dhidi ya mtu huyu. Kama nitakufa, lipeni kisasi kwa kumpiga pigo moja tu la upanga kwa sababu yeye amenipiga 38 Biharul Anwar, Juz. 42, uk Biharul Anwar, Juz. 42, uk. 231, Biharul Anwar, Juz. 42, uk Biharul Anwar, Juz. 42, uk
29 pigo moja tu. Jiepusheni kufanya uharibifu wowote kwenye maiti yake 42 kwa sababu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ametuamuru tusikatekate maiti hata kama ni ya mbwa mwenye kichaa. 43 Mtunzeni vizuri na mumlishe vizuri mfungwa huyu. 44 Baada ya kuamuriwa na Imam Hasan (a.s.) tabibu mzoefu na mashuhuri, Athir bin Amr aliitwa. Baada ya kupima jeraha la Amiri wa Waumini akasema: Upanga uliotumika kumshambulia Imam, ulipakwa sumu na athari yake imekwishafika kwenye ubongo. Hakuna tiba inayoweza kusaidia. 45 WOSIA WA IMAM ALI (A.S.) KATIKA KITANDA ALICHOFIA KISHAHIDI Imam aliendelea kuwa hai kwa muda wa saa 48 baada ya kushambuliwa kwa upanga. Hata hivyo hakupoteza muda huu pia. Hapakuwepo na muda ambapo Imam alikuwa hatoi ushauri. Aliusia kama ifuatavyo: Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye Kurehemu. Haya ni mambo ambayo kwayo Ali Ibn Abi Talib (a.s.) anawausieni. Ali anashahidilia kwamba mungu ni Mmoja na anashahidilia kwamba Muhammad ni mja na mtume wa Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu amemtuma aje kuifanya dini Yake iwe juu ya dini zingine. Kwa kweli, Swala yangu, ibada yangu, uhai wangu na kifo changu ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu huyu. Ambaye hana mshirika. Nimeamriwa kuhusu hili tu na ninajisalimisha kwa Mwenyezi Mungu. Kwako wewe. Ewe mwanangu Hasan, kwa wanangu wengine, kwa ndugu zangu na kwa wote waliokuja kutaka kujua kuhusu huu wosia wangu, kuhusiana na mambo yafuatayo: 42 Chuki ya Bani Umayyah dhidi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ilikuwa mbaya sana hivyo kwamba Hindu bibi yake Yazid hakuwa ameridhika hata baada ya kufanya Mtukufu Hamza kuuawa kishahidi ambapo alitafuna moyo wake kama kisasi na alivaa pua na masikio ya Mtukufu Hamza baada ya kuyakata kutoka kwenye kiwiliwili chake. Wafuasi wa Yazid hawakuridhika hata baada ya kumchinja Imam Husain (a.s.) na wakakanyaga maiti yake kwa kutumia farasi waliokuwa wamewapanda. Moyo wa Yazid haukutosheka hadi alipotikisa roho ya Mtukufu Mtume kwa kugonga midomo na meno ya Imam Husain (a.s.) kwa vimbo. (Ridwani). 43 Biharul Anwar, Juz. 42, uk Biharul Anwar,Juz. 42, uk. 206, Biharul Anwar,Juz. 42, uk
30 1. Katika hali yoyote ile msije mkapuuza kumuogopa Allah Mwenyezi na mjaribu kuwa katika dini ya Mwenyezi Mungu hadi kufa kwenu. 2. Nyinyi wote kwa pamoja shikamaneni na kamba ya Mwenyezi Mungu. Wote nyinyi wakati wote mshikamane juu ya misingi ya dini na kumtambua Mwenyezi Mungu na epukeni utengano na kusambaratika. Mtume wa Allah (s.a.w.w.) amesema: Kuondoa uadui, uhasama, na chuki ni vema zaidi kuliko Sala na Saumu zilizopendekezwa. Na kile kinachoharibu imani ni utengano na msambaratiko. 3. Watunzeni ndugu wa damu na wale wa karibu. Dumisheni uhusiano mzuri nao kwa sababu kuhesabiwa kwa yule anayemfanyia wema ndugu kunakuwa rahisi mbele ya Mwenyezi Mungu. 4. Watunzeni yatima kwa ajili ya Mwenyezi. Msiwaache wakiwa na njaa na bila matunzo na uangalizi. 5. Kwa ajili ya Allah Mwenyezi, muwe wasimamizi wa ustawi wa jirani zenu. Mtume wa Allah (s.a.w.w.) alisisitiza sana kuhusu majirani hivyo kwamba tulidhani angeweza hata kuwajumuisha miongoni mwa warithi wa mtu. 6. Muogopeni Mwenyezi Mungu kuhusu Qur ani Tukufu, wasije wengine wakaweza kuwapiku na kuwapita katika kufuata mafundisho yake na kufuata kwa vitendo yale inayoyaamrisha. 7. Muogopeni Allah Mwenyezi kiasi Sala zinavyohusika, kwa sababu Sala ni nguzo za dini yenu. 8. Muogopeni Mwenyezi Mungu katika jambo la Nyumba Yake Takatifu (Kaaba). Msiifanye ikawa ni nyumba iliyotelekezwa kwa sababu kama ikitelekezwa, (ninyi) Waislamu mtapotea. 9. Msimsahau Mwenyezi Mungu, jitahidi katika njia Yake kwa ulimi wako, kwa mali yako na uhai wako. 30
31 10. Lipeni Zaka kwa ajili ya Mwenyezi Mungu wakati unaotakiwa. Kulipa Zaka kunapunguza hasira za Mwenyezi Mungu. 11. Kwa ajili ya Mwenyezi Mungu jiepusheni na kuwadhulumu dhuria wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). 12. Kwa ajili ya Allah wapeni heshima masahaba wa Mtume. Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) amewapendekeza wao. 13. Kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, watunzeni masikini na wasiojiweza na muwaruhusu kushiriki maisha yenu. 14. Kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, muwatendee mema watumwa kwa sababu mapendekezo ya mwisho ya Mtume wa Allah (s.a.w.w.) yalikuwa ni kuhusu wao tu. 15. Fanyeni yale yanayompendeza Mwenyezi Mungu na msijali lawama za wenye kulaumu kuhusu suala hili. 16. Washughulikieni watu kwa upendo muwe wema kwao kama Qur`ani Tukufu ilivyoamuru. 17. Wahimizeni watu kufanya mema na muwaonye wajiepushe na kufanya uovu, vinginenvyo mafisadi na waovu watawatawaleni na kama kwa hiari zenu wenyewe mtawaruhusu watu wa aina hiyo kuwa viongozi wenu, Mwenyezi Mungu hatasikia du a zenu. 18. Endelezeni kupendana na urafiki na mapenzi baina yenu. Muwe na tahadhari kwamba hamsukumiani mbali, na kufanyiana ubaya na kutohurumiana. 19. Shirikianeni kwenye kazi nzuri na mzifanye katika njia ya pamoja. Na msisaidiane katika vitendo viovu na vitendo ambavyo husababisha chuki na uadui. 31
32 20. Ogopeni adhabu kali ya Mwenyezi Mungu, kwa sababu mshiko wa Mwenyezi Mungu ni madhubuti sana. Mwenyezi Mungu awawekeni nyinyi nyote kwenye hifadhi yake na aupatie Umma wa Muhammad Mustafa hisia nzuri ili uendelee kuwashikeni nyinyi na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kwa heshima.ninawakabidhini wote kwa Mwenyezi Mungu. Amani iwe kwenu wote. 46 Baada ya wasia huu hakuna mtu aliyesikia maneno mengine yoyote kutoka kwa Amiri wa Waumini (a.s.) isipokuwa shahada mbili za imani ya Kiislamu, hadi hatimaye pale aliposalimisha roho yake kwa Muumba. 47 Hakuna nguvu wala uwezo ila ni kwa Mwenyezi Mungu aliye juu na Mtukufu. 46 Wosia huu wa Imam unaonyesha jinsi umoja na mshikamano ulivyo muhimu katika Uislamu. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: Mwenyezi Mungu analinda ushirika wa Umma. Uislamu unataka kuona mshikamano miongoni mwa watu licha ya kuwepo kwa imani kila mahali kwa sababu maendeleo na mafanikio yanatokana na umoja na mshikamano tu. Kuvunja umoja na kuendekeza utengano ni kinyume cha Uislamu. Hakika, Uislamu unao utajiri ambao unaweza kuwaamsha watu wote duniani na kuwakusanya mahali pamoja kwa sababu hii ni dini ya Mola wa wanadamu. Profesa wa fasihi ya Kiarabu katika Chuo Kikuu cha Cairo, Dkt. Hamid Hanafi Dawood anasema: Siri za Uislamu zimejificha kwenye misingi ya Uislamu na siri ya misingi imejificha ndani ya Uislam. Jamii hufuzu tu kama imeungana na kushikamana. Kuwa mmeungana ni kwamba watu hufanya kazi kwa ajili ya manufaa ya wote na matabaka tofauati ya kijamii yana msingi madhubuti wa mawasiliano miongoni mwao na jamii nzima kwa jumla hunufaika kwayo. Kwa hiyo, mtu anayewakusanya Waislam mahali pamoja, huyo anastahili kupongezwa, na mtu anayevunja umoja na mshikamano wao (Waislamu) anastahili kulaumiwa.(riziwani) 47 Irshad, Shaykh Mufid, uk ; Kamiil Ibn Athiir, Juz. 3. Uk , Muruj al-dhahab, Juz. 2. uk ; Biharul Anwar, Juz. 42. uk. 248; Sharh Nahjul Balaghah, Ibn Abil Hadid, Juz. 6, uk. 120; Nahjul Balaghah, Faizul Islam, Hotuba ya 47, uk. 967; Muntahaiul Amaal, Juz. 1, uk ; Dastan Raastan, Juz. 2, uk
33 MAJILISI 4 NILIKUWA NINAINGOJEA SIKU HII Enyi waombolezaji! Pale Ibn Muljim aliyelaaniwa, alipompiga upanga Imam Ali bin Abi Talib (a.s.) kichwani, mchaniko ulifanyika kwenye fuvu hadi kwenye nyusi zake. Imam (a.s.) akasema: Wallahi! Kifo cha ghafla na shambulio la ghafla ni vitu ambavyo sio vitu ninavyovichukia. Hali yangu ni kama ile ya mpenzi ambaye amekutana na yule ampendaye. 48 Katika maneno ya mshairi: Unajua faraha ya kukutana na rafiki mliyepoteana? Ni furaha kama ile ya mtu mwenye kiu jangwani, pale wingu lianzapo kumnyeshea. Amiri wa Waumini alitoa mfano ambao ulikuwa unajulikana sana miongoni mwa Waarabu. Waarabu waliokuwa wanaishi jangwani walikuwa ni wahamiaji. Walikuwa na tabia ya kufanya Makazi popote pale ambapo paliweza kupatikana maji na uoto wa majani. Maji na majani vikiisha na wao walikuwa wanahama mahali hapo. Mnamo majira ya kiangazi, walikuwa wakisafiri wakati wa usiku wakitafuta sehemu yenye maji. Amiri wa Waumini aliwaambia masahaba wake: Hali yangu ni kama ile ya mtu ambaye amekutana na mpenzi wake. Hali yangu ya furaha ni kama ile ya mtu anayetafuta maji wakati wa usiku kwenye upweke wa msitu na anapata furaha ya kupita kiasi anapoyapata maji hayo. Imenukuliwa vizuri sana kama ilivyo hapa chini: Jana asubuhi nilipewa uhuru kutokana na huzuni na leo hii kwenye giza la usiku nilipewa kioevu cha maisha. 49 Kwa Jina la Mwenyezi Mungu na kwa Mwenyezi Mungu na Juu ya Dini ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.). 48 Biharul Anwar, Juz. 42, uk. 254; Nahjul Balaghah, Faizul Islam, Hotuba ya 23, uk. 865; Sharh Nahjul Balaghah, Ibn Abil Hadid, Juz.15. uk. 143; maneno ya Amiri wa Waumini, ambamo alimlaani Ibn Muljim baada ya kushambuliwa na kabla ya kufa kishahidi ni dondoo ambazo zimeandikwa kwa ufupi. 49 Hamasa Husaini, Juz. 1 (toleo la lugha ya Urdu la kitabu hiki huchapishwa na Dar al- Thaqafiyatul Islamiya, Karachi) 33
AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein
AHLUL ~ KISAA Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein Kimetungwa na: Ahmad Badawy bin Muhammad Al-Husseiny Kimehaririwa na: Sheikh
IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA
IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA اإلمام المهدي عليه السالم أمل الشعوب Kimeandikwa na: Sheikh Hasan Musa as-saffar Kimetarjumiwa na: Abdul-Karim Juma Nkusui Kimehaririwa na: Alhaji Hemedi Lubumba
Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~
Maswali ya Maisha ~ Ukurasa 2 ~ Yaliyomo 1. Yesu ni nani? Ukurasa 5 2. Kwa nini Yesu alikufa msalabani? Ukurasa 12 3. Nitakuwaje na hakika juu ya Imani yangu? Ukurasa 18 4. Kwa nini nisome Biblia? Niisomeje?
Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo
MSTAHIWA SHEIKH AHMAD BIN HAMAD AL KHALILI MUFTI MKUU WA OMAN Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo [Kauli za Maulama wa Madhehebu Nne] Imefasiriwa kwa Kiswahili na: Munir Sulaiman Aziz Al Masrouri
ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Ukoo/Jamaa Hatua ya 2: Mwalimu: Tusome silabi hii pamoja. Mwalimu na Wanafunzi: /m/ /a/- ma Hatua ya 3: Mwalimu: Ni zamu yenu sasa.
MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014
MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014 UMEANDIKWA NA JIMMY LUHENDE Kimetolewa na Shirika la Kuimarisha Demokrasia na Tawala za Vijiji S.L.P 1631, Mwanza
Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM
Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM ii Kiswahili TE(C2).indd ii 5/30/14 8:14 PM iii Kiswahili TE(C2).indd iii 5/30/14 8:14 PM iv Kiswahili TE(C2).indd iv 5/30/14 8:14 PM v Kiswahili TE(C2).indd v 5/30/14
Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani
4 4 Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani )) :( ) : ( ),,, )) ((. (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume wa
IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU
TUME YA UTUMISHI WA UMMA IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU WAJIBU MKUU WA MWALIMU Wajibu mkuu wa mwalimu ambao ndio Nguzo Tano za kazi ya ualimu ni:-.kwa MTOTO 2.KWA JUMUIYA 3.KWA KAZI YAKE 4.KWA TAIFA.KWA
i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM
i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM ii Kiswahili (TE) Class 1.indd ii 5/30/14 8:07 PM iii Kiswahili (TE) Class 1.indd iii 5/30/14 8:07 PM iv Kiswahili (TE) Class 1.indd iv 5/30/14 8:07 PM v
ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Nyumbani Wanafunzi: (Tumia hatua ya 3 kufunza: makaa, kaka, matatu, ama, mti, taa). l ll Ufahamu wa herufi: Majina na sauti za herufi
Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( )
Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali )) : :,,.((, ( ) :, Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume wa Allaah (
Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) :
Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) : : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Adiyy bin Haatim ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Ogopeni moto japo kwa nusu tende, na usipopata
Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir
Subira Njema Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir 1 ijk Utangulizi: Sifa zote njema Anastahiki Allaah وتعالى) (سبحانه Mola wa walimwengu صلى ( Muhammad wote, Rahma na amani zimshukie
Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu
( 4 Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu : ( ).!, )) : : (( Imepokelewa kutoka kwa Abdullaah bin Mas uwd ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) alilala kwenye jamvi la mtende
Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni
4 Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni )) :( ) : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume ( ) amesema: ((Hakika Allaah Hatazami viwiliwili vyenu wala
Mafundisho Ya Madhehebu
Mafundisho Ya Madhehebu na Rod Rutherford Mtafsiri John Makanyaga www.kanisalakristo.com 1 Mafundisho ya Madhehebu Somo la Kwanza- Kanisa la Agano Jipya. Utangulizi 1. Kuna makundi ya kidini 2054 katika
Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja
Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja, )) : ( ),, (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa iyd ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Mwanamme asitazame uchi
Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana.
Al-Waqf At-Taamm - Kisimamo Kilichokamilika ال وق ف الت ام 1. Kusimama katika neno la Qur-aan ambako kauli imekamilika maana yake, na wala hayana uhusiano wowote ule na yanayofuatia; uhusiano huo uwe wa
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Mwongozo wa Taifa wa Sekta ya Afya Kuhusu Huduma na Kinga Dhidi ya Ukatili wa Kijinsia JUNI 2013 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA
SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO
SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO Kifungu Jina 1. Jina fupi na matumizi 2. Tafsiri SEHEMU YA II KUUNDWA
Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania
Jina la Mradi: Eneo Ulipo Mradi: Mmiliki wa Mradi: Mhusika: Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania Wamiliki ni wengi (Halmashauri
Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo
ii- الا د غا م Al-idghaam Kuingiza, kuchanganya. Idghaam ni kuingiza kitu kwenye kitu. Katika hukmu za Tajwiyd ni kuingiza herufi saakin kwenye herufi yenye i raab na kuzipelekea herufi mbili hizi kuwa
25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa.
25-Faharasa Neno Maana Yake Aaridhw as-sukuwn Ibaadah sukuwn pana ya kusimami neno. ibada Ahkaamut-Tajwiyd Alfaadhw Hukumu za Tawjiyd Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw Arjah Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa
KILIMO CHA ZAO LA VANILLA
KILIMO CHA ZAO LA VANILLA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA IDARA YA MAENDELEO YA MAZAO Sehemu ya Uendelezaji wa Mazao KILIMO CHA ZAO LA VANILLA Kimetolewa na Jamhuri
ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ
ΜΟΝΑΧΟΥ ΑΜΑΣΚΗΝΟΥ ΓΡΗΓΟΡΙΑΤΟΥ ΜΩΥΣΕΩΣ KALENGA ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΜΕ ΣΤΟΙΧΕΙΑ ΓΡΑΜΜΑΤΙΚΗΣ ΤΗΣ ΓΛΩΣΣΑΣ ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΟΡΘΟ ΟΞΟΝ ΙΕΡΑΠΟΣΤΟΛΙΚΟΝ ΚΛΙΜΑΚΙΟΝ ΙΕΡΑΣ ΜΗΤΡΟΠΟΛΕΩΣ ΚΕΝΤΡΩΑΣ ΑΦΡΙΚΗΣ ΚΟΛΟΥΕΖΙ ΚΟΓΚΟ 1999
05- Fadhila Za Umrah Na Hajj
èèää ÆÆÆ Æd dd ÉÉÉ øø FF Ï ÉÉÉ ÎÎ ÅÅ øø FF... ŸŸŸ Ïi ii ššš '' éé ÈÈÈ ÝÝ èè àà ŸŸŸ nn 333 BBB øø ŸŸŸ èè Ï 555 ppøø rr öö þþþ ÎÎ «««óó ãã àà õõ ÉÉ ªªª xx øø ççç èè nn ÍÍ!! øø 999 öö oo ÖÖÖ ô rr ppøø rr
ΚΑΝΟΝΙΣΜΟΣ (EE) 2019/1238 ΤΟΥ ΕΥΡΩΠΑΪΚΟΥ ΚΟΙΝΟΒΟΥΛΙΟΥ ΚΑΙ ΤΟΥ ΣΥΜΒΟΥΛΙΟΥ
198/1 L I ( (EE) 2019/1238 20 2019 (PEPP) ( ), 114,,, ( 1 ), ( 2 ), : (1),.. (2),., 25, :. (3),,.,,,. ( 1 ) C 81 2.3.2018,. 139. ( 2 ) 4 2019 ( ) 14 2019. EL L 198/2 25.7.2019 (4).,,. H,, ( ). (5) 2015,
ΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ. ΕΙΚΤΗΣ ΤΙΜΩΝ ΥΛΙΚΩΝ ΚΑΤΑΣΚΕΥΗΣ ΝΕΩΝ ΚΤΙΡΙΩΝ ΚΑΤΟΙΚΙΩΝ: εκέµβριος 2015 (2010=100,0)
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΣΤΑΤΙΣΤΙΚΗ ΑΡΧΗ Πειραιάς, 22 Ιανουαρίου 2016 ΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ ΕΙΚΤΗΣ ΤΙΜΩΝ ΥΛΙΚΩΝ ΚΑΤΑΣΚΕΥΗΣ ΝΕΩΝ ΚΤΙΡΙΩΝ ΚΑΤΟΙΚΙΩΝ: εκέµβριος 2015 (2010=100,0) Ο Γενικός είκτης Τιµών Υλικών Κατασκευής
ΠΡΟΣΚΛΗΣΗ ΕΚΔΗΛΩΣΗΣ ΕΝΔΙΑΦΕΡΟΝΤΟΣ
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΥΠΟΥΡΓΕΙΟ ΑΓΡΟΤΙΚΗΣ ΑΝΑΠΤΥΞΗΣ ΚΑΙ ΤΡΟΦΙΜΩΝ ΔΙΟΙΚΗΤΙΚΟΣ ΤΟΜΕΑΣ ΚΟΙΝΟΤΙΚΩΝ ΠΟΡΩΝ ΚΑΙ ΥΠΟΔΟΜΩΝ ΕΙΔΙΚΗ ΥΠΗΡΕΣΙΑ ΕΦΑΡΜΟΓΗΣ ΠΑΑ ΑΝΤΑΓΩΝΙΣΤΙΚΟΤΗΤΑ ΕΥΡΩΠΑΪΚΗ ΕΝΩΣΗ ΕΥΡΩΠΑΪΚΟ ΓΕΩΡΓΙΚΟ ΤΑΜΕΙΟ
Ο ισλαμικός ταγματικός μυστικισμός και οι συσχετισμοί του με τον Οθωμανικό Τεκτονισμό
Εισήγηση Καθηγητού Ι. Θ. Μάζη Ο ισλαμικός ταγματικός μυστικισμός και οι συσχετισμοί του με τον Οθωμανικό Τεκτονισμό 2o Ευρωπαϊκό Φόρουμ 2nd EUROPA FORUM Ιόνιο Πανεπιστήμιο (Ελλάδα-Τμήμα Ξ.Γ.Μ.Δ.) Πανεπιστήμιο
Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake.
### ôô ÍÍÍ 444 nn ííí nn ß ôô ppøø ÈÈÈ èè knganiha: Hamzal-Wawl Hamza a هم ز ة ال و ص ل Ni hamzah inaoamkwa kaika neno na haiamkwi howeka) wakai wa knganiha na neno la nma ake. Inaiwa Wawl kwa abab inapelekea
(2), ,. 1).
178/1 L I ( ) ( ) 2019/1111 25 2019,, ( ), 81 3,,, ( 1 ), ( 2 ),, : (1) 15 2014 ( ). 2201/2003. ( 3 ) ( ). 2201/2003,..,,. (2),..,,, 25 1980, («1980»),.,,. ( 1 ) 18 2018 ( C 458 19.12.2018,. 499) 14 2019
Συμβούλιο της Ευρωπαϊκής Ένωσης Βρυξέλλες, 7 Μαρτίου 2017 (OR. en)
Συμβούλιο της Ευρωπαϊκής Ένωσης Βρυξέλλες, 7 Μαρτίου 2017 (OR. en) 7057/17 ADD 1 TRANS 97 ΔΙΑΒΙΒΑΣΤΙΚΟ ΣΗΜΕΙΩΜΑ Αποστολέας: Ημερομηνία Παραλαβής: Αποδέκτης: Για τον Γενικό Γραμματέα της Ευρωπαϊκής Επιτροπής,
Στοιχεία και έγγραφα που απαιτούνται για την εγγραφή στο ΓΕΜΗ
Στοιχεία και έγγραφα που απαιτούνται για την εγγραφή στο ΓΕΜΗ Σύμφωνα με την αριθμ. Κ1-941 οικ./27.4.12 και την Κ1-1484/12.6.2012 του Υπουργείου Ανάπτυξης & Ανταγωνιστικότητας πρέπει να γίνει εγγραφή των
- International Scientific Electronic Journal, Issue 1, 2004 Department of Cultural Technology and Communication University of the Aegean
Μια έκθεση για τα αρχαία ελληνικά µαθηµατικά. Ανδροµάχη Γκαζή Περίληψη Το παρόν άρθρο εξετάζει τις πιο σηµαντικές παραµέτρους ανάπτυξης µιας έκθεσης για τα αρχαία ελληνικά µαθηµατικά και παρουσιάζει τα
2742/ 207/ /07.10.1999 «&»
2742/ 207/ /07.10.1999 «&» 1,,,. 2 1. :.,,,..,..,,. 2., :.,....,, ,,..,,..,,,,,..,,,,,..,,,,,,..,,......,,. 3., 1. ' 3 1.., : 1. T,, 2., 3. 2 4. 5. 6. 7. 8. 9..,,,,,,,,, 1 14. 2190/1994 ( 28 ),,..,, 4.,,,,
Μεταϖτυχιακή Εργασία. Εκτίµηση εϖικινδυνότητας της ϖοιότητας του νερού του δικτύου ύδρευσης του ήµου Ηρακλείου του Νοµού Ηρακλείου Κρήτης
ΠΟΛΥΤΕΧΝΕΙΟ ΚΡΗΤΗΣ ΤΜΗΜΑ ΜΗΧΑΝΙΚΩΝ ΠΕΡΙΒΑΛΛΟΝΤΟΣ ΙΑΤΜΗΜΑΤΙΚΟ ΠΡΟΓΡΑΜΜΑ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΩΝ ΣΠΟΥ ΩΝ «ΕΛΕΓΧΟΣ ΠΟΙΟΤΗΤΑΣ ΚΑΙ ΙΑΧΕΙΡΙΣΗ ΠΕΡΙΒΑΛΛΟΝΤΟΣ» Μεταϖτυχιακή Εργασία Εκτίµηση εϖικινδυνότητας της ϖοιότητας
Οργάωνση του Περιφερικού Νευρικού Συστήµατος λκλλκλκλλκκκκ
Οργάωνση του Περιφερικού Νευρικού Συστήµατος λκλλκλκλλκκκκ Εισαγωγή Τα Εγκεφαλονωτιαία Γάγγλια Το Περιφερικό Νεύρο Δοµή του Περιφερικού Νεύρου Ταξινόµηση των Περιφερικών Ινών Τα Εγκεφαλικά Νεύρα Λειτουργική
Estimation of grain boundary segregation enthalpy and its role in stable nanocrystalline alloy design
Supplemental Material for Estimation of grain boundary segregation enthalpy and its role in stable nanocrystalline alloy design By H. A. Murdoch and C.A. Schuh Miedema model RKM model ΔH mix ΔH seg ΔH
Ε.Σ.Π.Α. 2014-2020 και Τοπική Αυτοδιοίκηση. Οι δυνατότητες ένταξης έργων και δράσεων της Τ.Α. στα Επιχειρησιακά Προγράμματα
Ε.Σ.Π.Α. 2014-2020 και Τοπική Αυτοδιοίκηση Οι δυνατότητες ένταξης έργων και δράσεων της Τ.Α. στα Επιχειρησιακά Προγράμματα ΔΕΚΕΜΒΡΙΟΣ 2015 3 Περιεχόμενα 5 Πρόλογος 6 Εισαγωγικές πληροφορίες 11 23 29 69
ΠΑΡΑΡΤΗΜΑ ΠΡΩΤΟ ΤΗΣ ΕΠΙΣΗΜΗΣ ΕΦΗΜΕΡΙΔΑΣ ΤΗΣ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑΣ Αρ. 3234 της 6ης ΑΠΡΙΑΙΟΥ 1998 ΝΟΜΟΘΕΣΙΑ ΜΕΡΟΣ Ι
Ν. 16(Ι)/98 ΠΑΡΑΡΤΗΜΑ ΠΡΩΤΟ ΤΗΣ ΕΠΙΣΗΜΗΣ ΕΦΗΜΕΡΙΔΑΣ ΤΗΣ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑΣ Αρ. 3234 της 6ης ΑΠΡΙΑΙΟΥ 1998 ΝΟΜΟΘΕΣΙΑ ΜΕΡΟΣ Ι Ο ΠΕΡΙ ΔΙΠΛΩΜΑΤΩΝ ΕΥΡΕΣΙΤΕΧΝΙΑΣ ΝΟΜΟΣ ΚΑΤΑΤΑΞΗ ΑΡΘΡΩΝ Άρθρο 1. Συνοπτικός τίτλος. 2.
Towards Excellence in Shi i Scholarship. Four Year Hawza Study Programme
Towards Excellence in Shi i Scholarship Four Year Hawza Study Programme To Iνστιτούτο Αλμαχντί και η φιλοσοφία του... To Iνστιτούτο Αλμαχντί ιδρύθηκε το 1993, με κεντρικό σκοπό την ίδρυση και την καθιέρωση
ΥΠΟΥΡΓΕΙΟ ΕΡΓΑΣΙΑΣ ΚΟΙΝΩΝΙΚΗΣ ΑΣΦΑΛΙΣΗΣ & ΠΡΟΝΟΙΑΣ ΣΕΠΕ ΟΑΕΔ ΙΚΑ ΕΤΑΜ ΡΟΕΣ ΜΙΣΘΩΤΗΣ ΑΠΑΣΧΟΛΗΣΗΣ ΣΤΟΝ ΙΔΙΩΤΙΚΟ ΤΟΜΕΑ ΟΚΤΩΒΡΙΟΣ 2013
ΥΠΟΥΡΓΕΙΟ ΕΡΓΑΣΙΑΣ ΚΟΙΝΩΝΙΚΗΣ ΑΣΦΑΛΙΣΗΣ & ΠΡΟΝΟΙΑΣ ΣΕΠΕ ΟΑΕΔ ΙΚΑ ΕΤΑΜ ΡΟΕΣ ΜΙΣΘΩΤΗΣ ΑΠΑΣΧΟΛΗΣΗΣ ΣΤΟΝ ΙΔΙΩΤΙΚΟ ΤΟΜΕΑ ΟΚΤΩΒΡΙΟΣ 2013 Μονάδα Ανάλυσης & Τεκμηρίωσης, Υπουργείου Εργασίας, Κοινωνικής Ασφάλισης
ΕΘΝΙΚΟ ΜΕΤΣΟΒΙΟ ΠΟΛΥΤΕΧΝΕΙΟ ΣΧΟΛΗ ΑΓΡΟΝΟΜΩΝ ΤΟΠΟΓΡΑΦΩΝ ΜΗΧΑΝΙΚΩΝ ΤΟΜΕΑΣ ΓΕΩΓΡΑΦΙΑΣ & ΠΕΡΙΦΕΡΕΙΑΚΟΥ ΣΧΕΔΙΑΣΜΟΥ
ΕΘΝΙΚΟ ΜΕΤΣΟΒΙΟ ΠΟΛΥΤΕΧΝΕΙΟ ΣΧΟΛΗ ΑΓΡΟΝΟΜΩΝ ΤΟΠΟΓΡΑΦΩΝ ΜΗΧΑΝΙΚΩΝ ΤΟΜΕΑΣ ΓΕΩΓΡΑΦΙΑΣ & ΠΕΡΙΦΕΡΕΙΑΚΟΥ ΣΧΕΔΙΑΣΜΟΥ Προγραμματική Σύμβαση Πολιτισμικής Ανάπτυξης Δήμος Κισσάμου Δήμος Πλατανιά Περιφέρεια Κρήτης
HONDA. Έτος κατασκευής
Accord + Coupe IV 2.0 16V (CB3) F20A2-A3 81 110 01/90-09/93 0800-0175 11,00 2.0 16V (CB3) F20A6 66 90 01/90-09/93 0800-0175 11,00 2.0i 16V (CB3-CC9) F20A8 98 133 01/90-09/93 0802-9205M 237,40 2.0i 16V
Το ΟΧΙ της Ρωμιοσύνης. To Έπος 1940-41 - Φως στην ιστορική αλήθεια
Το ΟΧΙ της Ρωμιοσύνης To Έπος 1940-41 - Φως στην ιστορική αλήθεια Aπαγορεύεται η μερική ή ολική αναδημοσίευση ή αναμετάδοση ή διασκευή και αναπαραγωγή με οποιονδήποτε τρόπο, ηλεκτρονικό, μηχανικό, φωτοτυπικό
ΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ. Η εξέλιξη του είκτη Τιµών Καταναλωτή, µε έτος αναφοράς 2009=100,0 του µηνός Φεβρουαρίου 2015, έχει ως εξής:
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΣΤΑΤΙΣΤΙΚΗ ΑΡΧΗ Πειραιάς, 10 Μαρτίου 2015 ΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ ΕΙΚΤΗΣ ΤΙΜΩΝ ΚΑΤΑΝΑΛΩΤΗ : Φεβρουάριος 2015 Η εξέλιξη του είκτη Τιµών Καταναλωτή, µε έτος αναφοράς 2009=100,0 του µηνός
ΘΕΜΑ ΔΙΠΛΩΜΑΤΙΚΗΣ ΕΡΓΑΣΙΑΣ: Ο ΙΣΛΑΜΙΚΟΣ ΡΙΖΟΣΠΑΣΤΙΣΜΟΣ ΚΑΙ ΟΙ ΣΥΝΕΠΕΙΕΣ ΤΟΥ ΓΙΑ ΤΗΝ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΑΣΦΑΛΕΙΑ ΚΑΙ ΕΞΩΤΕΡΙΚΗ ΠΟΛΙΤΙΚΗ
ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΜΑΚΕΔΟΝΙΑΣ ΔΙΑΤΜΗΜΑΤΙΚΟ ΠΡΟΓΡΑΜΜΑ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΩΝ ΣΠΟΥΔΩΝ ΣΤΙΣ ΔΙΕΘΝΕΙΣ ΣΧΕΣΕΙΣ ΚΑΙ ΑΣΦΑΛΕΙΑ. ΑΝΩΤΑΤΗ ΔΙΑΚΛΑΔΙΚΗ ΣΧΟΛΗ ΠΟΛΕΜΟΥ ΤΜΗΜΑ ΔΙΕΘΝΩΝ ΚΑΙ ΕΥΡΩΠΑΙΚΩΝ ΣΠΟΥΔΩΝ - ΤΜΗΜΑ ΒΑΛΚΑΝΙΚΩΝ, ΣΛΑΒΙΚΩΝ
Κώδικας επιχειρηματικής συμπεριφοράς και δεοντολογίας. Παγκόσμια Συμμόρφωση Mylan ΠΕΡΙΟΧΗ ΕΜΕΑ - ΕΛΛΗΝΙΚΑ
Κώδικας επιχειρηματικής συμπεριφοράς και δεοντολογίας Παγκόσμια Συμμόρφωση Mylan ΠΕΡΙΟΧΗ ΕΜΕΑ - ΕΛΛΗΝΙΚΑ Κώδικας επιχειρηματικής συμπεριφοράς και δεοντολογίας Βασικές αρχές και αξίες Η αποστολή της Mylan
ΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ. ΕΙΚΤΗΣ ΤΙΜΩΝ ΚΑΤΑΝΑΛΩΤΗ : Ιανουάριος 2013 ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΣΤΑΤΙΣΤΙΚΗ ΑΡΧΗ. Πειραιάς, 8 Φεβρουαρίου 2013
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΣΤΑΤΙΣΤΙΚΗ ΑΡΧΗ Πειραιάς, 8 Φεβρουαρίου 2013 ΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ ΕΙΚΤΗΣ ΤΙΜΩΝ ΚΑΤΑΝΑΛΩΤΗ : Ιανουάριος 2013 Η εξέλιξη του είκτη Τιµών Καταναλωτή µε βάση το έτος 2009=100,0, του µηνός
PECOS4SMEs Δξσηεκαηνιόγην Καηαλαισηώλ
PECOS4SMEs Δξσηεκαηνιόγην Καηαλαισηώλ Το ζσέδιο αςηό σπημαηοδοηήθηκε με ηην ςποζηήπιξη ηηρ Εςπωπαϊκήρ Επιηποπήρ. Η παπούζα δημοζίεςζη δεζμεύει μόνο ηον ζςνηάκη ηηρ και η Επιηποπή δεν εςθύνεηαι για ηςσόν
Νόµοςπεριοδικότητας του Moseley:Η χηµική συµπεριφορά (οι ιδιότητες) των στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού.
Νόµοςπεριοδικότητας του Moseley:Η χηµική συµπεριφορά (οι ιδιότητες) των στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού. Περιοδικός πίνακας: α. Είναι µια ταξινόµηση των στοιχείων κατά αύξοντα
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΠΕΡΙΦΕΡΕΙΑ ΗΠΕΙΡΟΥ ΔΗΜΟΣ ΙΩΑΝΝΙΤΩΝ Δ/ΝΣΗ ΤΕΧΝΙΚΩΝ ΥΠΗΡΕΣΙΩΝ. Προμήθεια συστήματος υπόγειας αποθήκευσης απορριμμάτων
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΠΕΡΙΦΕΡΕΙΑ ΗΠΕΙΡΟΥ ΔΗΜΟΣ ΙΩΑΝΝΙΤΩΝ Δ/ΝΣΗ ΤΕΧΝΙΚΩΝ ΥΠΗΡΕΣΙΩΝ Προμήθεια συστήματος υπόγειας αποθήκευσης απορριμμάτων Κ.Α.: 20.7135.001 Προϋπολογισμός 436.650,00 Έτος 2015 ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ
ΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ. ΕΙΚΤΗΣ ΤΙΜΩΝ ΚΑΤΑΝΑΛΩΤΗ : Μάιος 2013 ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΣΤΑΤΙΣΤΙΚΗ ΑΡΧΗ. Πειραιάς, 10 Ιουνίου 2013
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΣΤΑΤΙΣΤΙΚΗ ΑΡΧΗ Πειραιάς, 10 Ιουνίου 2013 ΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ ΕΙΚΤΗΣ ΤΙΜΩΝ ΚΑΤΑΝΑΛΩΤΗ : Μάιος 2013 Η εξέλιξη του είκτη Τιµών Καταναλωτή µε βάση το έτος 2009=100,0, του µηνός Μαΐου 2013
Προγραμματική Περίοδος 2007 2013
Προγραμματική Περίοδος 2007 2013 Επιχειρησιακό Πρόγραμμα Τίτλος: ΜΑΚΕΔΟΝΙΑΣ - ΘΡΑΚΗΣ Κωδικός Ε.Π.: 9 CCI: 2007GR161PO008 ΕΠΙΣΗΜΗ ΥΠΟΒΟΛΗ Αθήνα, Μάρτιος 2006 ΠΕΡΙΕΧΟΜΕΝΑ ΕΝΟΤΗΤΑ 1. ΑΝΑΛΥΣΗ ΤΗΣ ΚΑΤΑΣΤΑΣΗΣ
Διαχρονικές Τάσεις Δεικτών Ανθρώπινου Δυναμικού στην Κύπρο: Συμμετοχή και Προσφορά στην Αγορά Εργασίας 2004-2010
Διαχρονικές Τάσεις Δεικτών Ανθρώπινου Δυναμικού στην Κύπρο: Συμμετοχή και Προσφορά στην Αγορά Εργασίας 2004-2010 ΔΙΑΧΡΟΝΙΚΕΣ ΤΑΣΕΙΣ ΔΕΙΚΤΩΝ ΑΝΘΡΩΠΙΝΟΥ ΔΥΝΑΜΙΚΟΥ ΣΤΗΝ ΚΥΠΡΟ: Συμμετοχή και Προσφορά στην
Νέος Αναπτυξιακός Νόµος - Επενδυτικός Νόµος 3299/2004
Νέος Αναπτυξιακός Νόµος - Επενδυτικός Νόµος 3299/2004 Business Unit: CON No of Pages: 10 Authors: AR Use: External Info Date: 17/09/2007 Τηλ.: 210 6545340, Fax: 210 6545342 email: info@abele.gr - www.abele.gr
The Hidden Biography. January 1, 2008 Arabic. Malek Meselmany
Omar ibn al-khaṭṭāb The Hidden Biography www.annaqed.com January, 008 Arabic Malek Meselmany Syria, AL-Lādhiqīyah 006 [Blank Page] ( ) [Blank Page] [Blank Page] .... :» :.» :. :.« » : :.«.«()» :.. «.......
Κατευθυντήριες γραµµές για αρµόδιες αρχές και εταιρείες διαχείρισης ΟΣΕΚΑ
Κατευθυντήριες γραµµές για αρµόδιες αρχές και εταιρείες διαχείρισης ΟΣΕΚΑ Κατευθυντήριες γραµµές σχετικά µε τα διαπραγµατεύσιµα αµοιβαία κεφάλαια και άλλα θέµατα που αφορούν τους ΟΣΕΚΑ 18.12.2012 ESMA/2012/832EL
ΙΑΓΡΑΜΜΑ ΠΕΡΙΕΧΟΜΕΝΩΝ
ΙΑΓΡΑΜΜΑ ΠΕΡΙΕΧΟΜΕΝΩΝ Πρόλογος... ιάγραμμα περιεχομένων... Πίνακας περιεχομένων... Συντομογραφίες... Βιβλιογραφία... ΙΧ ΧΙ XV LI LV ΕΙΣΑΓΩΓΗ 1. Έννοια και σημασία του κληρονομικού δικαίου... 1 2. Ιστορική
Υπουργού Οικονομικών» ΑΠΟΦΑΣΗ Ο ΥΠΟΥΡΓΟΣ ΟΙΚΟΝΟΜΙΚΩΝ
1 ΑΝΑΡΤΗΤΕΑ ΣΤΟ ΔΙΑΔΙΚΤΥΟ ΕΞΑΙΡΕΤΙΚΑ ΕΠΕΙΓΟΝ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΥΠΟΥΡΓΕΙΟ ΟΙΚΟΝΟΜΙΚΩΝ 1 ΓΕΝ ΓΡΑΜΜΑΤΕΙΑ ΔΗΜΟΣΙΑΣ ΠΕΡΙΟΥΣΙΑΣ Αθήνα, 08 Φεβρουαρίου 2013 ΑρΠρωτ:ΔΤΥ Ε 1022756/298ΕΞ2013 ΓΕΝ Δ/ΝΣΗ ΔΗΜΟΣΙΑΣ
ΤΕΧΝΟΛΟΓΙΚΟ ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΚΥΠΡΟΥ ΣΧΟΛΗ ΜΗΧΑΝΙΚΗΣ ΚΑΙ ΤΕΧΝΟΛΟΓΙΑΣ. Πτυχιακή εργασία
ΤΕΧΝΟΛΟΓΙΚΟ ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΚΥΠΡΟΥ ΣΧΟΛΗ ΜΗΧΑΝΙΚΗΣ ΚΑΙ ΤΕΧΝΟΛΟΓΙΑΣ Πτυχιακή εργασία ΕΠΙΡΡΟΗ ΤΩΝ ΤΟΙΧΟΠΛΗΡΩΣΕΩΝ ΣΤΟΝ ΑΝΤΙΣΕΙΣΜΙΚΟ ΣΧΕΔΙΑΣΜΟ ΚΑΤΑΣΚΕΥΩΝ ΟΠΛΙΣΜΕΝΟΥ ΣΚΥΡΟΔΕΜΑΤΟΣ Γιάννης Ζήνωνος Λεμεσός 2013 ΤΕΧΝΟΛΟΓΙΚΟ
ΚΑΝΟΝΙΣΜΟΣ (ΕΕ) 2019/1243 ΤΟΥ ΕΥΡΩΠΑΪΚΟΥ ΚΟΙΝΟΒΟΥΛΙΟΥ ΚΑΙ ΤΟΥ ΣΥΜΒΟΥΛΙΟΥ
25.7.2019 EL 198/241 L ( ) 2019/1243 20 2019 290 291 ( ),, 33, 43 2, 53 1, 62, 91, 100 2, 114, 153 2 ), 168 4 ), 172, 192 1, 207 2, 214 3 338 1,,, ( 1 ), ( 2 ), ( 3 ), : (1), ( ) ( ). (2) 5 1999/468/ (
ΑΡΙΣΤΟΤΕΛΕΙΟ ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΘΕΣΣΑΛΟΝΙΚΗΣ ΣΧΟΛΗ ΝΟΜΙΚΩΝ, ΟΙΚΟΝΟΜΙΚΩΝ ΚΑΙ ΠΟΛΙΤΙΚΩΝ ΕΠΙΣΤΗΜΩΝ ΤΜΗΜΑ ΝΟΜΙΚΗΣ
ΑΡΙΣΤΟΤΕΛΕΙΟ ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΘΕΣΣΑΛΟΝΙΚΗΣ ΣΧΟΛΗ ΝΟΜΙΚΩΝ, ΟΙΚΟΝΟΜΙΚΩΝ ΚΑΙ ΠΟΛΙΤΙΚΩΝ ΕΠΙΣΤΗΜΩΝ ΤΜΗΜΑ ΝΟΜΙΚΗΣ Μεταπτυχιακές σπουδές στον τομέα Αστικού, Αστικού Δικονομικού και Εργατικού Δικαίου ΔΙΠΛΩΜΑΤΙΚΗ ΕΡΓΑΣΙΑ
ΔΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ. Ο Γενικός Δείκτης Τιμών Καταναλωτή αυξήθηκε κατά 5,5 % τον Ιούλιο 2010,σε σύγκριση με τον Ιούλιο 2009.
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΣΤΑΤΙΣΤΙΚΗ ΑΡΧΗ Πειραιάς, 6 Αυγούστου 2010 ΔΕΛΤΙΟ ΤΥΠΟΥ Ο Γενικός Δείκτης Τιμών Καταναλωτή αυξήθηκε κατά 5,5 % τον Ιούλιο 2010,σε σύγκριση με τον Ιούλιο 2009. ΔΕΙΚΤΗΣ ΤΙΜΩΝ
ΝΟΜΟΣ ΤΗΣ ΠΕΡΙΟ ΙΚΟΤΗΤΑΣ : Οι ιδιότητες των χηµικών στοιχείων είναι περιοδική συνάρτηση του ατοµικού τους αριθµού.
1. Ο ΠΕΡΙΟ ΙΚΟΣ ΠΙΝΑΚΑΣ Οι άνθρωποι από την φύση τους θέλουν να πετυχαίνουν σπουδαία αποτελέσµατα καταναλώνοντας το λιγότερο δυνατό κόπο και χρόνο. Για το σκοπό αυτό προσπαθούν να οµαδοποιούν τα πράγµατα
1. Οριζόντια βολή. ii) Στο σύστημα αξόνων του πιο πάνω σχήματος, να προσδιορίσετε τις συντεταγμένες των σημείων Ζ και Λ.
1.. 1.1. Ταυτόχρονη κίνηση δύο σωμάτων. Από ένα σημείο Ο που βρίσκεται σε ύψος h=80m από το έδαφος, εκτοξεύεται οριζόντια ένα σώμα Α, με αρχική ταχύτητα υ 0 =30m/s, ενώ ταυτόχρονα αφήνεται να πέσει (από
11602 ΕΦΗΜΕΡΙ Α TΗΣ ΚΥΒΕΡΝΗΣΕΩΣ. Τεύχος Α 212/ ΠΑΡΑΡΤΗΜΑ I
11602 ΕΦΗΜΕΡΙ Α TΗΣ ΚΥΒΕΡΝΗΣΕΩΣ ΠΑΡΑΡΤΗΜΑ I ΠΑΡΑΡΤΗΜΑ II ΕΦΗΜΕΡΙ Α TΗΣ ΚΥΒΕΡΝΗΣΕΩΣ 11603 11604 ΕΦΗΜΕΡΙ Α TΗΣ ΚΥΒΕΡΝΗΣΕΩΣ ΠΑΡΑΡΤΗΜΑ III 1/K ---- A 1,2,3,4,1 4. ΠΑΡΑΡΤΗΜΑ IV ΕΦΗΜΕΡΙ Α TΗΣ ΚΥΒΕΡΝΗΣΕΩΣ 11605
Αρ. Πρωτ. ήµου Ιλίου: 71461/19.12.2014
Αρ. Πρωτ. ήµου Ιλίου: 71461/19.12.2014 ΑΠΟΣΠΑΣΜΑ από το πρακτικό της υπ αριθµ. 27 ης Τακτικής Συνεδρίασης του ηµοτικού Συµβουλίου Ιλίου Αριθ. Απόφασης 377/2014 ΘΕΜΑ Έγκριση απογραφής των ΝΠ ηµοτικό Κέντρο
ΓΗ ΚΑΙ ΣΥΜΠΑΝ. Εικόνα 1. Φωτογραφία του γαλαξία μας (από αρχείο της NASA)
ΓΗ ΚΑΙ ΣΥΜΠΑΝ Φύση του σύμπαντος Η γη είναι μία μονάδα μέσα στο ηλιακό μας σύστημα, το οποίο αποτελείται από τον ήλιο, τους πλανήτες μαζί με τους δορυφόρους τους, τους κομήτες, τα αστεροειδή και τους μετεωρίτες.
ΤΑ ΒΑΣΙΚΑ ΜΕΓΕΘΗ ΤΗΣ ΕΚΠΑΙΔΕΥΣΗΣ 2010 Πρωτοβάθμια & Δευτεροβάθμια εκπαίδευση (έτη αναφοράς , , )
Έργο : ΤΑ ΒΑΣΙΚΑ ΜΕΓΕΘΗ ΤΗΣ ΕΚΠΑΙΔΕΥΣΗΣ 2010 Πρωτοβάθμια & Δευτεροβάθμια εκπαίδευση (έτη αναφοράς 2005 2006, 2006 2007, 2007 2008) Πηγές ερευνητικών δεδομένων: ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΣΤΑΤΙΣΤΙΚΗ ΑΡΧΗ (ΕΛ.ΣΤΑΤ.) Ενότητα:
H Εξωτερική Αξιολόγηση στο ΑΠΘ 2010 2014
H Εξωτερική Αξιολόγηση στο ΑΠΘ 2010 2014 Αναθεωρημένη έκδοση / Ιούλιος 2014 Γενική Εποπτεία Πρόεδρος ΜΟΔΙΠ-ΑΠΘ Καθηγήτρια Δέσπω Λιάλιου, Αναπληρώτρια Πρύτανη, Αντιπρύτανις Ακαδημαϊκών Υποθέσεων & Προσωπικού
πρακτικού συνεδριάσεως ιοικητικού ΗΜΟΣ ΠΑΤΜΟΥ
ΑΝΑΡΤΗΤΕΑ ΣΤΟ ΙΑ ΙΚΤΥΟ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ Απόσπασµα εκ του αριθµ. 19/2015 ΝΟΜΟΣ Ω ΕΚΑΝΗΣΟΥ πρακτικού συνεδριάσεως ιοικητικού ΗΜΟΣ ΠΑΤΜΟΥ Συµβουλίου ΗΜΟΤΙΚΟ ΛΙΜΕΝΙΚΟ ΤΑΜΕΙΟ ΠΑΤΜΟΥ Αριθµ. Απόφασης 201/2015
Α Π Ο Φ Α Σ Ι Ζ Ο Υ Μ Ε. A. Ορίζουµε αναπληρωτές Προϊσταµένους των νεοσύστατων Τµηµάτων, τους παρακάτω υπαλλήλους:
ΑΝΑΡΤΗΤΕΑ ΣΤΟ ΙΑ ΙΚΤΥΟ ΚΑΛΑΜΑΤΑ 5.3.2012 ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΝΟΜΟΣ ΜΕΣΣΗΝΙΑΣ ΗΜΟΣ ΚΑΛΑΜΑΤΑΣ Αρ.Πρωτ. 11757 ΙΕΥΘΥΝΣΗ ΙΟΙΚΗΤΙΚΩΝ ΤΑΧ. /ΝΣΗ : Αριστοδήµου 22 ΠΛΗΡΟΦΟΡΙΕΣ 24100 ΚΑΛΑΜΑΤΑ : Ιντζέ Αθανασία ΤΗΛΕΦΩΝΟ
Η ΕΞΕΛΙΞΗ ΤΟΥ ΚΛΑΔΟΥ ΤΡΟΦΙΜΩΝ ΣΕ ΠΕΡΙΟΔΟ ΚΡΙΣΗΣ: Η ΠΕΡΙΠΤΩΣΗ ΤΗΣ ΕΠΙΧΕΙΡΗΣΗΣ ΕΒΡΟΦΑΡΜΑ Α. Β. Ε. Ε.
ΤΜΗΜΑ ΛΟΓΙΣΤΙΚΗΣ ΚΑΙ ΧΡΗΜΑΤΟΟΙΚΟΝΟΜΙΚΗΣ ΠΡΟΓΡΑΜΜΑ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΩΝ ΣΠΟΥΔΩΝ ΣΤΗΝ ΕΦΑΡΜΟΣΜΕΝΗ ΛΟΓΙΣΤΙΚΗ ΚΑΙ ΕΛΕΓΚΤΙΚΗ Διπλωματική Εργασία Η ΕΞΕΛΙΞΗ ΤΟΥ ΚΛΑΔΟΥ ΤΡΟΦΙΜΩΝ ΣΕ ΠΕΡΙΟΔΟ ΚΡΙΣΗΣ: της ΜΑΡΙΑΣ ΑΝΔΡΕΑΔΟΥ
Απειροστικός Λογισμός Ι, χειμερινό εξάμηνο Λύσεις τέταρτου φυλλαδίου ασκήσεων. ( n(n+1) e 1 (
. Αποδείξτε ότι: Απειροστικός Λογισμός Ι, χειμερινό εξάμηνο 08-9. Λύσεις τέταρτου φυλλαδίου ασκήσεων. +) 7 +) +), 5 +7 5 5, +log ) 7 log 4, +, ++ + + ) +4+4 + +4, + si +, +) +), + [ ], + + 0, + +, ) +,,
Αθήνα, 21. 12. 2015. Α.Π. Φ80000/οικ.59819/1961
Αθήνα, 21. 12. 2015 ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΥΠΟΥΡΓΕΙΟ ΕΡΓΑΣΙΑΣ, ΚΟΙΝΩΝΙΚΗΣ ΑΣΦΑΛΙΣΗΣ & ΚΟΙΝΩΝΙΚΗΣ ΑΛΛΗΛΕΓΓΥΗΣ ΓΕΝΙΚΗ ΓΡΑΜΜΑΤΕΙΑ ΚΟΙΝΩΝΙΚΩΝ ΑΣΦΑΛΙΣΕΩΝ ΓΕΝΙΚΗ Δ/ΝΣΗ ΚΟΙΝΩΝΙΚΗΣ ΑΣΦΑΛΙΣΗΣ Δ/ΝΣΗ ΚΥΡΙΑΣ ΑΣΦΑΛΙΣΗΣ
(πρώην ΡΑΔΙΟ Α. ΚΟΡΑΣΙΔΗΣ TELECOM Α.Ε.) ΕΝΗΜΕΡΩΤΙΚΟ ΔΕΛΤΙΟ
(πρώην ΡΑΔΙΟ Α. ΚΟΡΑΣΙΔΗΣ TELECOM Α.Ε.) ΕΝΗΜΕΡΩΤΙΚΟ ΔΕΛΤΙΟ ΓΙΑ ΤΗΝ ΑΥΞΗΣΗ ΤΟΥ ΜΕΤΟΧΙΚΟΥ ΚΕΦΑΛΑΙΟΥ ΛΟΓΩ ΤΗΣ ΣΥΓΧΩΝΕΥΣΗΣ ΜΕ ΑΠΟΡΡΟΦΗΣΗ ΤHΣ ΕΤΑΙΡΙΑΣ ΣΙΤΙΚΟΜ Α.Ε.Τ. ΑΠΟ ΤΗΝ ΕΤΑΙΡΕΙΑ ΝΕΧΤΝΕΤ Α.Ε. ΑΠΟΦΑΣΗ ΤΗΣ
ΚΕΝΤΡΟ ΠΡΟΓΡΑΜΜΑΤΙΣΜΟΥ ΚΑΙ ΟΙΚΟΝΟΜΙΚΩΝ ΕΡΕΥΝΩΝ ΑΜΕΡΙΚΗΣ 11, ΑΘΗΝΑ Τ.Κ. 10672, Τηλ. 210 3676400 Fax 210 3611136
ΚΕΝΤΡΟ ΠΡΟΓΡΑΜΜΑΤΙΣΜΟΥ ΚΑΙ ΟΙΚΟΝΟΜΙΚΩΝ ΕΡΕΥΝΩΝ ΑΜΕΡΙΚΗΣ 11, ΑΘΗΝΑ Τ.Κ. 10672, Τηλ. 210 3676400 Fax 210 3611136 Διεύθυνση Διοικητικού Αθήνα, 16.5.2014 Πληροφορίες: Χ. Νούνης Α.Π. 839/379 Διευθυντής Διοικητικού
ΑΠΟΛΥΤΗ ΤΙΜΗ ΠΡΑΓΜΑΤΙΚΟΥ ΑΡΙΘΜΟΥ- ΑΣΚΗΣΕΙΣ
ΑΠΟΛΥΤΗ ΤΙΜΗ ΠΡΑΓΜΑΤΙΚΟΥ ΑΡΙΘΜΟΥ- ΑΣΚΗΣΕΙΣ Κατηγορίες ασκήσεων στα απόλυτα ΠΕΡΙΠΤΩΣΗ : Εξισώσεις που περιέχουν απόλυτο μιας παράστασης και όχι παράταση του x έξω από το απόλυτο. α) Λύνουμε ως προς το απόλυτο
2. Συνοπτική περιγραφή ερευνητικών δραστηριοτήτων
Ονοματεπώνυμο: Aθανάσιος Ευ. Γκότοβος Ίδρυμα: Πανεπιστήμιο Ιωαννίνων Σχολή: Φιλοσοφική Tμήμα: Φιλοσοφίας, Παιδαγωγικής και Ψυχολογίας Tομέας: Παιδαγωγικής Bαθμίδα: Kαθηγητής Γνωστικό Αντικείμενο: Γενική
Language, Mobile Phones and Internet: A Study of SMS Texting, , IM and SNS Chats in Computer Mediated Communication (CMC) in Kenya
Language,MobilePhonesandInternet:AStudyofSMS Texting,Email,IMandSNSChatsinComputerMediated Communication(CMC)inKenya overillustration: C Language,MobilePhonesandInternet:AStudyofSMSTexting,Email,IMand
Το περιεχόμενο του βιβλίου απευθύνεται κυρίως στους φοιτητές των γεωπονικών
www.ziti.gr Πρόλογος Το περιεχόμενο του βιβλίου απευθύνεται κυρίως στους φοιτητές των γεωπονικών τμημάτων και έχει ως κύριο σκοπό του την εισαγωγή τους στα θέματα δομής και οργάνωσης της Ευρωπαϊκής Ένωσης
A. Αὐτοτελεῖς δημοσιεύσεις:
Ὁ Κυριακὸς Νικολάου-Πατραγᾶς εἶνε πτυχιοῦχος τῆς νομικῆς σχολῆς τοῦ Ἀθῄνησι πανεπιστημίου καὶ κάτοχος μεταπτυχιακοῦ διπλώματος αὐτῆς. Εἰς τὴν αὐτὴν ὡς ἄνω σχολὴν ὑπεστηρίξατο ἐν ἔτει 2007 τὴν ἐναίσιμον
πρακτικού συνεδριάσεως ιοικητικού ΗΜΟΣ ΠΑΤΜΟΥ
ΑΝΑΡΤΗΤΕΑ ΣΤΟ ΙΑ ΙΚΤΥΟ ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ Απόσπασµα εκ του αριθµ. 13/2015 ΝΟΜΟΣ Ω ΕΚΑΝΗΣΟΥ πρακτικού συνεδριάσεως ιοικητικού ΗΜΟΣ ΠΑΤΜΟΥ Συµβουλίου ΗΜΟΤΙΚΟ ΛΙΜΕΝΙΚΟ ΤΑΜΕΙΟ ΠΑΤΜΟΥ Αριθµ. Απόφασης 145/2015
ΦΡΟΥΤΑ ΧΡΩΜΑΤΑ ΕΠΙΠΛΟ ΡΟΥΧΑ. 1. Μήλα. 2. Μπανάνες 3. Καρπούζι 4. Πορτοκάλια 5. Ροδάκινα 6. Αχλάδια 7. Σύκα 8. Νεκταρίνια
ΦΡΟΥΤΑ ΧΡΩΜΑΤΑ ΕΠΙΠΛΟ II. Βιβλιοθήκη IV. Κρεβάτι VI. Κομοδίνο ΡΟΥΧΑ ΨΩΝΙΑ Αγγελική και Τζωρτζίνα 6. Αχλαδί i. Καναπές ii. Βιβλιοθήκη iii. Ντουλάπα iv. Κρεβάτι v. Καρέκλα vi. Κομοδίνο A. Φούστα B. Παντελόνι
ΑΞΙΟΛΟΓΗΣΗ ΤΗΣ ΕΡΓΟΛΑΒΙΚΗΣ ΚΑΤΟΙΚΙΑΣ ΩΣ ΕΠΕΝΔΥΣΗ
ΑΞΙΟΛΟΓΗΣΗ ΤΗΣ ΕΡΓΟΛΑΒΙΚΗΣ ΚΑΤΟΙΚΙΑΣ ΩΣ ΕΠΕΝΔΥΣΗ ΒΑΡΒΑΡΑ Α. ΤΖΕΛΕΠΗ ΑΡΧΙΤΕΚΤΩΝ ΜΗΧΑΝΙΚΟΣ ΠΟΛΥΤΕΧΝΙΚΗ ΣΧΟΛΗ ΑΡΙΣΤΟΤΕΛΕΙΟΥ ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟΥ ΘΕΣΣΑΛΟΝΙΚΗΣ ΥΠΟΒΛΗΘΕΙΣΑ ΓΙΑ ΤΟ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΟ ΔΙΠΛΩΜΑ ΣΤΗ ΔΙΟΙΚΗΣΗ
ΕΘΝΙΚΟ ΜΕΤΣΟΒΙΟ ΠΟΛΥΤΕΧΝΕΙΟ ΣΧΟΛΗ ΑΓΡΟΝΟΜΩΝ ΤΟΠΟΓΡΑΦΩΝ ΜΗΧΑΝΙΚΩΝ ΤΟΜΕΑΣ ΤΟΠΟΓΡΑΦΙΑΣ ΕΡΓΑΣΤΗΡΙΟ ΓΕΝΙΚΗΣ ΓΕΩΔΑΙΣΙΑΣ
ΕΘΝΙΚΟ ΜΕΤΣΟΒΙΟ ΠΟΛΥΤΕΧΝΕΙΟ ΣΧΟΛΗ ΑΓΡΟΝΟΜΩΝ ΤΟΠΟΓΡΑΦΩΝ ΜΗΧΑΝΙΚΩΝ ΤΟΜΕΑΣ ΤΟΠΟΓΡΑΦΙΑΣ ΕΡΓΑΣΤΗΡΙΟ ΓΕΝΙΚΗΣ ΓΕΩΔΑΙΣΙΑΣ ΕΦΑΡΜΟΓΗ ΤΟΥ ΠΡΟΤΥΠΟΥ ISO 17123-4 ΣΕ ΕΣΩΤΕΡΙΚΗ ΒΑΣΗ ΔΗΜΙΟΥΡΓΙΑ ΕΥΕΛΙΚΤΗΣ ΕΞΩΤΕΡΙΚΗΣ ΒΑΣΗΣ
15PROC002628326 2015-03-10
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΝΟΜΟΣ ΙΩΑΝΝΙΝΩΝ ΔΗΜΟΣ ΙΩΑΝΝΙΤΩΝ Δ/ΝΣΗ ΟΙΚΟΝΟΜΙΚΩΝ ΥΠΗΡΕΣΙΩΝ ΤΜΗΜΑ ΠΡΟΜΗΘΕΙΩΝ- ΔΙΑΧΕΙΡΙΣΗΣ ΥΛΙΚΟΥ ΑΠΟΘΗΚΗΣ Διεύθυνση: Καπλάνη 7 (3 ος όροφος) Πληροφορίες: Δεσ. Μπαλωμένου Τηλ. 26513-61332
ΣΔΥΝΟΛΟΓΗΚΟ ΠΑΝΔΠΗΣΖΜΗΟ ΚΤΠΡΟΤ ΥΟΛΖ ΜΖΥΑΝΗΚΖ ΚΑΗ ΣΔΥΝΟΛΟΓΗΑ ΠΣΤΥΗΑΚΖ ΔΡΓΑΗΑ:
ΣΔΥΝΟΛΟΓΗΚΟ ΠΑΝΔΠΗΣΖΜΗΟ ΚΤΠΡΟΤ ΥΟΛΖ ΜΖΥΑΝΗΚΖ ΚΑΗ ΣΔΥΝΟΛΟΓΗΑ ΠΣΤΥΗΑΚΖ ΔΡΓΑΗΑ: ΘΔΧΡΖΣΗΚΖ ΚΑΗ ΠΔΗΡΑΜΑΣΗΚΖ ΓΗΔΡΔΤΝΖΖ ΟΡΗΑΚΖ ΚΑΣΑΣΑΖ ΑΣΟΥΗΑ ΜΔΛΧΝ ΑΛΟΤΜΗΝΗΟΤ ΤΠΟ ΚΑΜΦΖ Άληξηα Παπαδεζίκνπ Λεκεζφο 2011 ΣΔΥΝΟΛΟΓΗΚΟ
Κάθε γνήσιο αντίτυπο υπογράφεται από το συγγραφέα
Κάθε γνήσιο αντίτυπο υπογράφεται από το συγγραφέα Επιμέλεια Έκδοσης: Γεώργιος Κ. Σιάρδος Τηλ. 2310-998.808, Fax: 2310-998.828, e-mail: siardos@agro.auth.gr ISBN 960 431 955 8 1 η Έκδοση 1997 2 η Έκδοση
INFORMATICS DEVELOPMENT AGENCY. ΤΜΗΜΑ ΠΡΟΜΗΘΕΙΩΝ & ΔΙΟΙΚΗΤΙΚΗΣ Reason: ΜΕΡΙΜΝΑΣ 15PROC003600506 2015-12-31 ΠΡΟΣΚΛΗΣΗ ΕΚΔΗΛΩΣΗΣ ΕΝΔΙΑΦΕΡΟΝΤΟΣ
INFORMATICS ΙΔΡΥΜΑ ΝΕΟΛΑΙΑΣ DEVELOPMEN DEVELOPMENT AGENCY ΚΑΙ ΔΙ ΑΒΙΟΥ Date: 2015.12.31 12:36:53 ΜΑΘΗΣΗΣ T AGENCY EET ΤΜΗΜΑ ΠΡΟΜΗΘΕΙΩΝ & ΔΙΟΙΚΗΤΙΚΗΣ Reason: ΜΕΡΙΜΝΑΣ Digitally signed by INFORMATICS Location:
ΑΔΑ: ΒΛ1Π7Λ7-ΖΛΞ. Fax: 213 1501501 Email: attiki@mou.gr
ΕΛΛΗΝΙΚΗ ΗΜΟΚΡΑΤΙΑ ΠΕΡΙΦΕΡΕΙΑ ΑΤΤΙΚΗΣ ΕΥΡΩΠΑΙΚΗ ΕΝΩΣΗ ΕΝ ΙΑΜΕΣΗ ΙΑΧΕΙΡΙΣΤΙΚΗ ΑΡΧΗ ΠΕΡΙΦΕΡΕΙΑΣ ΑΤΤΙΚΗΣ Ταχ. / νση: Λ. Συγγρού 98-100 Ταχ. Κώδικας: 11741 Πληροφορίες: Γρ. Προϊσταµένου Τηλέφωνο: 213 1501500
ΕΘΝΙΚΟ ΜΕΤΣΟΒΙΟ ΠΟΛΥΤΕΧΝΕΙΟ
ΕΘΝΙΚΟ ΜΕΤΣΟΒΙΟ ΠΟΛΥΤΕΧΝΕΙΟ ΣΧΟΛΗ ΑΓΡΟΝΟΜΩΝ ΚΑΙ ΤΟΠΟΓΡΑΦΩΝ ΜΗΧΑΝΙΚΩΝ ΟΔΗΓΟΣ ΣΠΟΥΔΩΝ ΑΘΗΝΑ 2009-2010 I Η εικόνα του εξώφυλλου είναι αντίγραφο έργου του διάσημου Έλληνα ζωγράφου Ν. Χατζηκυριάκου - Γκίκα
( ) 1995.» 3 ( ). 10 ( ). 1975 1980 ( ) 1986, ( ) (1) 3,, ( ),,,,».,,,
1983 1995 23/83 51/83 39/84 79/86 94/86 135/88 51/89 138/91 67( ) / 92 100( ) / 92 2( ) / 93 70(1)/99 109(1)/99 119(1)/99 16(1)/01 20(1)/01 150(1)/02 102 ( ) /95 33/64 35/75 72/77 59/81.. 79/86... 2/86
ΕΦΗΜΕΡΙΣ ΤΗΣ ΚΥΒΕΡΝΗΣΕΩΣ
8593 ΕΦΗΜΕΡΙΣ ΤΗΣ ΚΥΒΕΡΝΗΣΕΩΣ ΤΗΣ ΕΛΛΗΝΙΚΗΣ ΔΗΜΟΚΡΑΤΙΑΣ ΤΕΥΧΟΣ ΔΕΥΤΕΡΟ Αρ. Φύλλου 391 21 Φεβρουαρίου 2013 ΑΠΟΦΑΣΕΙΣ Αριθμ. A2 176 Έγκριση απόφασης 318/14 12 2012 του Δ.Σ. του Οργανι σμού Κεντρικών Αγορών
ΧΟΝΟΣ ΔΙΕΝΕΓΕΙΑΣ ΤΟΥ ΔΙΑΓΩΝΙΣΜΟΥ : ΘΞΕΤΡΞΘΟΙΑ ΑΟΑΤΦΘΥΘΥ ΦΘΥ ΣΤΡΜΘΤΧΠΘΥ ΥΦΘ ΔΙΑΔΙΜΦΧΑΜΘ ΣΧΝΘ www.promitheus.gov.gr του Ε.Σ.Θ.ΔΘ.Σ. : 06/04/2015.
. ΕΛΛΘΝΙΚΘ ΔΘΜΟΚΑΤΙΑ ΝΟΜΟΣ ΙΩΑΝΝΙΝΩΝ ΔΘΜΟΣ ΙΩΑΝΝΙΤΩΝ Δ/ΝΣΘ ΟΙΚΟΝΟΜΙΚΩΝ ΥΡΘΕΣΙΩΝ ΤΜΘΜΑ ΡΟΜΘΘΕΙΩΝ- ΔΙΑΧΕΙΙΣΘΣ ΥΛΙΚΟΥ ΑΡΟΘΘΚΘΣ Διεφκυνςθ: Μαπλάνθ 7 Ρλθροφορίεσ: ΣΤΑΜΑΤΙΑ ΣΑΑΚΑΤΣΑΝΟΥ Τθλ. :26513-61390 Email:
0.3 Όρια, Συνέχεια συναρτήσεων
. Όρια, Συνέχεια συναρτήσεων Μπορείτε να «σχεδιάσετε» τις γραφικές παραστάσεις και να τις περιεργαστείτε πληκτρολογώντας στο Matlab το κοµµάτι κώδικα που βρίσκεται µετά τις ασκήσεις. Άσκηση.1 Υπολογίστε
ΠΡΟΣΤΑΣΙΑ ΓΕΩΜΕΜΒΡΑΝΩΝ ΜΕ ΓΕΩΥΦΑΣΜΑΤΑ: ΑΠΟΤΕΛΕΣΜΑΤΑ ΚΑΙ ΣΥΣΧΕΤΙΣΕΙΣ ΚΑΤΑ ΕΝ 13719
Επιβλέπων : Δ. Κ. Ατματζίδης, Καθηγητής ΠΡΟΣΤΑΣΙΑ ΓΕΩΜΕΜΒΡΑΝΩΝ ΜΕ ΓΕΩΥΦΑΣΜΑΤΑ: ΑΠΟΤΕΛΕΣΜΑΤΑ ΚΑΙ ΣΥΣΧΕΤΙΣΕΙΣ ΚΑΤΑ ΕΝ 13719 ΔΙΑΤΡΙΒΗ ΓΙΑ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΟ ΔΙΠΛΩΜΑ ΕΙΔΙΚΕΥΣΗΣ ΜΑΡΙΑΝΝΑ ΑΦΡΟΔΙΤΗ T. ΚΟΝΔΥΛΗ Διπλ.