Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir

Μέγεθος: px
Εμφάνιση ξεκινά από τη σελίδα:

Download "Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir"

Transcript

1 Subira Njema Ummu Iyyaad Imepitiwa Na: Abu Abdillaah Muhammad Baawazir 1

2 ijk Utangulizi: Sifa zote njema Anastahiki Allaah وتعالى) (سبحانه Mola wa walimwengu صلى ( Muhammad wote, Rahma na amani zimshukie kipenzi chetu Mtume na wote (رضي الله عنھم ( zake ) na jamaa zake, na Swahaba الله عليه وآله وسلم waliotangulia kwa wema mpaka Siku ya Mwisho. Muislamu anahitaji subira katika kila jambo zuri au baya na katika kila hali; kwenye furaha na huzuni, siha na maradhi, utajiri na umasikini, :(سبحانه وتعالى) neema na dhiki, utiifu na maasi. Anasema Allaah ( ZπuΖ FÏù Î ö sƒø:$#uρ Îh ³9$Î/ Νä.θè=ö7tΡuρ ((Na Tunakufanyieni mitihani kwa [mambo ya] shari na ya kheri)) 1 Dunia ni nyumba ya mtihani ambako mja atakuwa akigeuzwa kukabili hali zote za kheri na shari na hatima yake ni kuelekea kwenye makazi ya :(سبحانه وتعالى) malipo kama Anavosema Allaah öνä.uθè=ö7u Ï9 nο4θu ptø:$#uρ Nöθyϑø9$# t,n=y{ Ï%!$# í ƒï s% & ó x«èe ä. 4 n?tã uθèδuρ à7ù=ßϑø9$# ÍνÏ u Î/ Ï%!$# x8t t6s? 4WξuΚtã ß ômr& ö/ä3 ƒr& ((Amebarikika Ambaye Mikononi Mwake umo ufalme Naye ni Qadiyr [Mweza] daima juu ya kila kitu. Ambaye Ameumba mauti na uhai ili Akujaribuni nani kati yenu mwenye amali nzuri zaidi)) 2 1 Al-Anbiyaa (17: 35). 2 Al-Mulk (67: 1-2). 2

3 ( 4 Kwa hiyo Muislamu hana chaguo ila asubiri katika mitihani ili apate fadhila tele Alizoahidi Allaah وتعالى) (سبحانه na Mtume Wake Muhammad au sivyo atakuwa miongoni mwa waliokhasirika kama (صلى الله عليه وآله وسلم) Alivyohukumu Mwenyewe وتعالى) (سبحانه katika Suratul Aswr 1. Pia, (سبحانه وتعالى) Muumini atambue kwamba hakuna mtihani ila Allaah Humteremshia mja Wake Rehma kwa kumpa faraja Naye Haendi kinyumbe na ahadi Zake. Anasema: #Z ô ç Î ô ãèø9$# yìtβ βî) # ô ç Î ô ãèø9$# yìtβ βî*sù ((Basi hakika pamoja na ugumu kuna ya sahali. [baada ya dhiki faraja])) ((Hakika pamoja na ugumu kuna ya sahali)) 2 Nimenukuu visa kadhaa vilothibiti ili viwe ni mafunzo kwetu na viweze kumthibitisha Muislamu anaposibiwa na mitihani. Juu ya hivyo, tuna mifano bora kabisa vya Mitume wa Allaah وتعالى) (سبحانه waliokumbana na kila aina ya mitihani, Na Allaah وتعالى) (سبحانه Akawasifu kwa subira zao: t Î É9 Á9$# z à2 ( È ø Å3ø9$# #sœuρ } ƒí ŠÎ)uρ Ÿ ŠÏè yϑó Î)uρ ((Na [taja] Ismaa iyl na Idriys na Dhal-Kifl, wote ni miongoni mwa wenye kusubiri)) 3 Akamsifu Nabii Ayyuwb: Ò># ρr& ÿ çµ ΡÎ) ß ö7yèø9$# zν èïoρ #\ Î/$ ¹çµ tρô ỳ uρ $ ΡÎ) ((Tumemkuta ni mwenye subira sana, uzuri ulioje wa mja, hakika yeye ni mwenye kurudiarudia kutubia [Kwetu])) 4 Na Anasema: 1 Suwrah Namba Al-Inshiraah (94: 5-6). 3 Al-Anbiyaa (17: 85). 4 Swaad (38: 44). 3

4 È ß 9$# z ÏΒ ÏΘ yèø9$# (#θä9'ρé& u y9 ¹ $yϑx. É9ô¹$sù ((Basi subiri [ee Muhammad] kama walivyosubiri Mitume wenye ustahmilivu mkubwa)) 1 Hao kama walivyokubaliana Wafasiri baada ya kukhitilafiana kwamba ni Nabii Ibraahiym, Nuwh, Muwsaa, Iysaa ( السالم (عليه na Mtume (صلى الله عليه وآله وسلم) Muhammad Na namuomba Allaah ( ) Ajaalie kazi hii iwe kwa ajili ya kupata Radhi Zake Pekee na Ajaalie iwe yenye manufaa kwa ndugu zetu wa Kiislamu na namuomba Atughufurie na Atusamehe kwa makosa yoyote yatakayokuwemo. Wa-Swalla-Allaahu alaa Muhammadin wa alaa aalihi wa-swahbihi wa sallam. Ummu Iyyaad Talha Muhammad Abdul-Qaadir Al-Haamid Abu Bakr bin Saalim 19 Swafar 1433H - 13 Januari 2012M 1 Al-Ahqaaf (46: 35). 4

5 01 - Maana Na Aina Za Subira Subira imegawika katika sehemu nne: 1. Subira katika utiifu. 2. Subira katika maasi. 3. Subira katika Qadhwaa (Yaliyopangwa) na Qadar (Yaliyokadiriwa) ya Allaah ( ) yaani majaaliwa. 4. Subira kutokana na maudhi ya watu. Maana ya subira katika utiifu inahusiana na amali anazotenda mja kwa kutumia mwili (vitendo vya ibada) au ulimi wake (kumdhukuru Allaahi). Na subira katika maasi ni kuacha kutenda jambo lisilokuwa lenye kuridhisha kwa kutumia mwili au ulimi wake. Na subira katika majaaliwa ni kuzuia nafsi isiungulike au isimahanike au isighadhibike kutokana na mitihani inayomsibu mtu. Na maana ya subira kutokana na maudhi ya watu ni kuzuia nafsi, ulimi na viungo visilipize maovu anayotendewa mtu. Kusubiri kote huko ni kwa ajili ya kupata radhi za Allaah ( ). Anasema Allaah ( ): ( çµyγô_uρ tβρß ƒì ムÄc Å yèø9$#uρ Íο4ρy tóø9$î/ Νæη /u šχθãô tƒ t Ï%!$# yìtβ y7 ø tρ É9ô¹$#uρ ((Na isubirishe nafsi yako pamoja na wanaomuomba Mola wao asubuhi na jioni, hali ya kuwa wanataka radhi Yake)) 1 Ibnul-Qayyim amemsikia Shaykh Al-Islaam Ibn Taymiyyah akisema: Subira katika kutekeleza maamrisho ya Allaah ni jambo zito na lilikamilika zaidi kuliko subira katika kujiepusha na yaliyoharamishwa. Kwani maslaha yanayopatikana kwa kutenda maamrisho Yake Allaah kunapendwa zaidi na Allaah kuliko kuacha maasi. Na madhara yanayopatikana kwa kuacha kutekeleza maamrisho ya Allaah ni makubwa na yanachukiza zaidi mbele ya Allaah kuliko madhara ya kuwepo na maasia. 2 1 Al-Kahf (18: 28). 2 Madaarij As-Saalikiyn (2/129). 5

6 4 1-Subira Katika Utiifu: Kunahitajika subira katika utiifu kwani baadhi ya ibada zina tabu na mashaka na nyinginezo zinahitaji imani na azimio la nguvu hata nafsi iridhike. Mfano mtu anapoamka usiku akiwa hakushiba usingizi lakini pamoja na hayo anajitahidi kuamka kwa ajili ya Tahajjud, au kuamka mapema kwenda Msikitini na pengine hali ya hewa ni baridi kali, au kufunga Swawm masiku marefu ya joto kali, au kuitolea mali yake aipendayo Zakaah na Swadaqah, au kuvumilia misukusuko inayopatikana katika kutekeleza ibada ya Hajj n.k. Yote hayo ni katika ibada na anaifanya kwa ustahmilivu. Mifano yake ni kauli za Allaah ( ): t Ïèϱ sƒø:$# n?tã ωî) îοu Î7s3s9 $pκ ΞÎ)uρ Íο4θn= Á9$#uρ Î ö9 Á9$Î/ (#θãζšïètfó $#uρ ((Na tafuteni msaada kupitia subira na Swalah; na hakika hilo ni kubwa isipokuwa kwa Khaashi iyn [wanyenyekevu])) 1 ( $pκö n=tæ É9sÜô¹$#uρ Íο4θn= Á9$Î/ y7n= δr& ö ãβù&uρ ((Na waamrishe watu wako kuswali, na uendelee mwenyewe kwa hayo)) 2 tβθà)ï Ζムöνßγ uζø%y u $ ϑïβuρ $YèyϑsÛuρ $]ùöθyz öνåκ 5u tβθãô tƒ ÆìÅ_$ŸÒyϑø9$# Ç tã öνßγç/θãζã_ 4 nû$yftfs? ((Mbavu zao zinaachana na vitanda kwa kumwomba Mola wao kwa khofu na kutumaini, na hutoa kutokana na Tulivyowaruzuku)) 3 2-Subira Katika Maasi: Mja anahitaji subira katika maasi kwani binaadamu hukabiliwa na yaliyo haramu na machafu; mfano kula ribaa na mali za mayatima, kuchukua haki za watu ikiwa ni mali au heshima ya mtu, kuzuia ulimi usitaje ya 1 Al-Baqarah (2: 45). 2 Twaahaa (20: 132). 3 As-Sajdah (32: 16). 6

7 upuuzi au al-ghiybah (kumteta mtu), an-namiymah (kufitinisha) na kila aina ya maneno maovu. Hayo ni baadhi ya mambo ambayo nafsi hutamani kujiridhisha isikie raha na kutimiza matamanio yake, na Shaytwaan humtia wasiwasi na kuiamrisha hiyo nafsi itende maovu hayo kama Anavyosema Allaah ( ): Ï þθ 9$Î/ 8οu $ ΒV{ } ø Ζ9$# βî) ((Na hakika nafsi ni yenye kuamrisha sana maovu)) 1 Hapo ndipo mja anapohitajika kufanya Jihaad ya nafsi ajizuie na afanye subira na kutokuiendekeza nafsi yake. Imethibiti hili katika Hadiyth ya Mtume ( ): Kutoka kwa Fadhwaalah bin Ubayd kwamba Mtume ( ) amesema katika Hijjah ya kuaga:, )) ((,, " ", ((Je, nikujulisheni kuhusu Muumini? Ni yule anayeaminiwa na watu juu ya mali zao na nafsi zao. Na Muislamu ni yule anayeweka amani kwa watu kwa ulimi wake na mkono wake. Na mpiganaji Jihaad ni yule anayefanya Jihaad ya nafsi yake katika kumtii Allaah, na mhamaji Hijrah ni yule anayehama makosa na madhambi)) 2 Na ndipo maana Pepo ikawa si wepesi kuipata kwani imezungukwa na mazito na magumu (kuyatenda), na moto ukawa wepesi kuufikia kwa kuzungukwa na matamanio kama alivyotuelezea Mtume ( ) katika Hadiyth Al-Qudsiy: Kutoka kwa Abu Hurayrah kwamba Mtume amesema: 1 Yuwsuf (12: 53). 2Ahmad na Al-Haakim. Kasema Al-Albaaniy katika Silsilatul-Ahaadiyth Asw- Swahiyhah: Hii isnaad ni Swahiyh. 7

8 : )) : :. :. (( :. :.. : : :.. : : ((Allaah Alipoumba Pepo na moto, Alimtuma Jibriyl Peponi Akimwambia: Iangalie na angalia matayarisho Nliyoyatayarisha kwa ajili ya wakaazi wake. Akasema [Mtume ] Kwa hivyo alikuja kuiangalia na kuangalia matayarisho Allaah Aliyofanya kwa ajili ya wakazi wake. Akasema: Akarejea kwa Allaah na kusema: Kwa Utukufu Wako, hakuna atakayesikia [habari yake] ila tu ataingia [Peponi]. Kisha Akaamrisha izungushwe [ihusishwe] mambo magumu watu wasiyoyapenda, Akasema: Rejea na angalia yale Niliyoyatayarisha kwa ajili ya wakaazi wake. Akasema: Kisha akarejea na akakuta imezungukwa na mambo magumu watu wasiyoyapenda. Hapo alirejea kwa Allaah na akasema: Kwa utukufu Wako, nina khofu hakuna hata mtu mmoja atakayeingia. Akasema: Nenda motoni ukauangalie na uangalie matayarisho Yangu kwa ajili ya wakaazi wake. Akaona ulikuwa na matabaka moja juu ya tabaka jingine. Akarejea kwa Allaah na akamuambia: Kwa Utukufu Wako hakuna hata mmoja ausikiae [sifa zake] atakayeingia. Kisha Allaah Aliamrisha Uhusishwe na shahawaat [matamanio ya nafsi]. Kisha Allaah Akamuambia: Rejea tena [motoni]. Alirejea tena na akasema: Kwa Utukufu, wako nakhofia kuwa hapatakuwa na yeyote atakayenusurika nao)) 1 1 At-Tirmidhiy akasema ni Hadiyth Hasan, na Abu Daawuwd na An-Nasaaiy. 8

9 3 ( 3-Subira katika Qadhwaa (Yaliyopangwa) na Qadar (Yaliyokadiriwa) ya Allaah ( ) Majaaliwa yanaweza kuwa katika yale ya kheri au ni katika mitihani inayomsibu mtu. Anasema Allaah ( ): ( ZπuΖ FÏù Î ö sƒø:$#uρ Îh ³9$Î/ Νä.θè=ö7tΡuρ ((Na Tunakufanyieni mitihani kwa [mambo ya] shari na ya kheri)) 1 $tβ #sœî)!$ Βr&uρ Ç tβt ø.r& ú În1u ãαθà)ušsù çµyϑ ètρuρ çµtβt ø.r'sù 絚/u çµ9n=tgö/$# $tβ #sœî) ß ΡM}$# $ Βr'sù Ç oψ yδr& þ În1u ãαθà)ušsù çµs%ø Í Ïµø n=tã u y s)sù çµ9n=tgö/$# ((Ama binaadamu anapojaribiwa na Mola wake, Akamkirimu na Akamneemesha, husema: Mola wangu Amenikirimu! Na ama Anapomjaribu Akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Amenitia unyonge!)) 2 Aina hii ya Subira inahusiana pia na aina za misiba inayomsibu mtu ikiwa ni kifo cha mpenzi wake, mali, maradhi, shida, huzuni, dhiki, maafa n.k. Anasema Allaah ( ): Ì Ïe±o0uρ ÏN t yϑẅ9$#uρ Ä à ΡF{$#uρ ÉΑ uθøβf{$# z ÏiΒ <Èø)tΡuρ Æíθàfø9$#uρ Å öθsƒø:$# z ÏiΒ & ó ý Î/ Νä3 Ρuθè=ö7oΨs9uρ öνíκö n=tæ y7í s9'ρé& tβθãèå_ u ϵø s9î)!$ ΡÎ)uρ! $ ΡÎ) (#þθä9$s% πt7šåá Β Νßγ Fu; ¹r&!#sŒÎ) t Ï%!$# š Î É9 Á9$# tβρß tgôγßϑø9$# ãνèδ š Í s9'ρé&uρ πyϑômu uρ öνîγîn/ ÏiΒ ÔN uθn= ¹ ((Na bila shaka Tutakujaribuni kwa kitu katika khofu na njaa na upungufu wa mali na nafsi na mazao. Na wabashirie wenye kusubiri. Wale ambao unapowafika msiba husema: (Innaa lillaahi wa Innaa Ilayhi Raaji uwn) Hakika sisi ni wa Allaah na hakika sisi Kwake 1 Al-Anbiyaa (17: 35). 2 Al-Fajr (89: 15-16). 9

10 ( 4 4 tutarejea. Hao juu yao zitakuwa Baraka kutoka kwa Mola wao na Rehma, na hao ndio wenye kuongoka)) 1 4- Subira Kutokana Na Maudhi ya watu: Miongoni mwayo, inayohitajia subira ya hali ya juu ni dhulma na maudhi ya watu. Na ndio maana Allaah ( ) Ametaja kuwa subira ya aina hii inahitajika azimio la nguvu kuvumilia na kutokulipizia na kusamehe watu wanaosababisha hayo: tβθßϑî=ôàtƒ t Ï%!$# n?tã ã ŠÎ6 9$# $yϑ Î6y ÏiΒ ΝÍκö n=tã $tβ y7í s9'ρé'sù ϵÏϑù=àß y èt/ t ÁtGΡ$# Ç yϑs9uρ βî) t x xîuρ u y9 ¹ yϑs9uρ ÒΟŠÏ9r& ë>#x tã óοßγs9 š Í s9'ρé& Í θãβw{$# ÏΘ tã ô Ïϑs9 y7ï9 sœ Èd,ysø9$# Î ö tóî/ ÇÚö F{$# Îû tβθäóö7tƒuρ } $ Ζ9$# ((Na wanaojitetea baada ya kudhulumiwa, hao hapana njia ya kuwalaumu. Bali lawama ipo kwa wale wanaowadhulumu watu, na wanafanya jeuri katika nchi bila ya haki. Hao watapata adhabu iumizayo. Na anayesubiri, na akasamehe, hakika hayo ni katika mambo ya kuazimiwa)) 2 Juu ya kuwa imeruhusiwa kulipiza dhulma au mateso, lililo bora zaidi ni kuvumilia kwani huko ni kwa ajili ya kupata Radhi za Allaah ( ) na kutegemea malipo mema. Na juu ya hivyo ni dalili ya taqwa na kuwa na sifa ya ihsani ambayo inampatia fadhila Muislamu ya kwamba Allaah Yu pamoja naye daima. Anasema hayo Allaah ( ) : $tβuρ É9ô¹$#uρ š Î É9 Á=Ïj9 ö yz uθßγs9 Λän y9 ¹ È s9uρ ϵÎ/ ΟçFö6Ï%θã $tβ È VÏϑÎ/ (#θç7ï%$yèsù óοçgö6s%%tæ βî)uρ t Ï%!$# yìtβ!$# βî) šχρã à6ôϑtƒ $ ϑïiβ 9,øŠ Ê Îû Û s? Ÿωuρ óοîγöšn=tæ βt øtrb Ÿωuρ šχθãζå øt Χ Νèδ t Ï%!$# ρ (#θs)?$# «!$Î/ ωî) x8ç ö9 ¹ 1 Al-Baqarah (2: ). 2 Ash-Shuwraa (42: 41-43). 10

11 ( ((Na mkilipiza [kuadhibu adui au Waumini] basi lipizieni [kuadhibu] kulingana na vile mlivyodhuriwa. Na mkisubiri basi bila shaka hivyo ni ubora kwa wenye kusubiri. Na subiri. Na kusubiri kwako kusiwe ila kwa ajili ya Allaah. Wala usihuzunike kwa ajil yao, wala usiwe katika dhiki kutokana na hila wanazozifanya. Hakika Allaah Yu Pamoja na wenye taqwa na wale ambao wao ni Muhsinuwn [wema])) 1 Aina hii ya subira inawahusu pia walinganiaji Dini, pale mtu anapoamrisha mema na kukataza maovu kama Luqmaan alipomuusia mwanawe: ÇΠ tã ô ÏΒ y7ï9 sœ βî) y7t/$ ¹r&!$tΒ 4 n?tã É9ô¹$#uρ Ì s3ζßϑø9$# Ç tã tµ Ρ$#uρ Å ρã èyϑø9$î/ ö ãβù&uρ nο4θn= Á9$# ÉΟÏ%r& o_ç6 tƒ Í θãβw{$# ((Ee mwanangu! Simamisha Swalah, na amrisha mema, na kataza maovu, na subiri kwa yanayokupata. Hayo ni katika mambo ya kuazimiwa)) 2 Na hii ni sifa miongoni mwa sifa za Mitume kwani walivumilia walipokadhibishwa na kuudhiwa na kaumu zao kwa kila aina ya maudhi hadi ikawa ni huzuni kubwa kwao. Nabii Nuuh ( ) alifanyiwa istihzaai na watu wake. Nabii Luutw ( ) alipata maudhi ya kashfa kutoka kwa watu wake. Nabii Ibraahiym ( ) aliingizwa kwenye moto na watu wake na akatengwa mbali. Nabii Yuwsuf ) ( alitaka kuuliwa na nduguze, akaingizwa kisimani, kisha akauzwa kwa bei ndogo mno, kisha akazuliwa kashfa ya mke wa Waziri, akaingizwa jela miaka kadhaa. Nabii Swaalih ( ) alikadhibishwa na watu wake kuhusiana na miujiza ya ngamia. Nabii Muwsaa ( ) alipata maudhi kuanzia kwa Fir awn hadi watu wake. Nabii Iysaa ( ) alipata maudhi na kutaka kuuliwa na watu wake. Na maudhi mengi mbali mbali yalimfikia Mtume Muhammad ( ) alipoudhiwa na watu wake 1 An-Nahl (16: ). 2 Luqmaan (31: 17). 11

12 Maquraysh wa Makkah hadi kifua chake kikawa na dhiki mno na Allaah ( ) Akampooza kwa kumwambia: tβθä9θà)tƒ $yϑî/ x8â ô ¹ ß,ŠÅÒtƒ y7 Ρr& ÞΟn= ètρ ô s)s9uρ ((Na Sisi Tunajua kwa hakika kuwa wewe kifua chako kinaona dhiki kwa hayo wayasemayo)) 1 Mitume wote hao walivumilia, wakasubiri na wakaweka dhanna nzuri kwa Mola wao na kuamini waliyoahidiwa na wakaendelea na ulinganiaji wao wa Dini, na wakapata radhi za Allaah ( ) na wakawa ni wenye kushinda na kufaulu duniani na Aakhirah. 1 Al-Hijr (15: 97). 12

13 3 ( 02 - Fadhila Za Subra Katika Qur-aan Subira imetajwa katika Qur-aan mara nyingi mno kama walivyonukuu Maulamaa. Wengine wamesema kwamba imetajwa zaidi ya mara themanini kwa kusifiwa wale wenye kuvumilia mitihani inayowasibu. Ama kwa ujumla, subira imetajwa katika Qur-aan zaidi ya mara mia. Zifuatazo ni baadhi ya fadhila za subira katika Qur-aan: 1. Wenye kusubiri hupata mapenzi ya Allaah ( ). t Î É9 Á9$# =Ïtä ª!$#uρ (( na Allaah Anawapenda wanaosubiri)) 1 2. Allaah ( ) Yu pamoja nao daima: š Î É9 Á9$# yìtβ!$# βî) ((.hakika Allaah Yu Pamoja na wanaosubiri)) 2 3. Allaah ( ) Amewajumuishia mambo matatu ya bishara njema; Baraka [na Maghfirah], Rehma Yake ( ), na uongofu. Ì Ïe±o0uρ ÏN t yϑẅ9$#uρ Ä à ΡF{$#uρ ÉΑ uθøβf{$# z ÏiΒ <Èø)tΡuρ Æíθàfø9$#uρ Å öθsƒø:$# z ÏiΒ & ó ý Î/ Νä3 Ρuθè=ö7oΨs9uρ öνíκö n=tæ y7í s9'ρé& tβθãèå_ u ϵø s9î)!$ ΡÎ)uρ! $ ΡÎ) (#þθä9$s% πt7šåá Β Νßγ Fu; ¹r&!#sŒÎ) t Ï%!$# š Î É9 Á9$# tβρß tgôγßϑø9$# ãνèδ š Í s9'ρé&uρ πyϑômu uρ öνîγîn/ ÏiΒ ÔN uθn= ¹ ((Na bila shaka Tutakujaribuni kwa kitu katika khofu na njaa na upungufu wa mali na nafsi na mazao. Na wabashirie wenye 1 Aal-Ímraan (3: 146). 2 Al-Anfaal (8: 46). 13

14 kusubiri. Wale ambao unapowafika msiba husema: Innaa lillaahi wa Innaa Ilayhi Raaji uwn. [Hakika sisi ni wa Allaah na hakika sisi Kwake tutarejea]. Hao juu yao zitakuwa Baraka kutoka kwa Mola wao na Rehma, na hao ndio wenye kuongoka)) 1 4. Allaah ( ) Ameahidi kuwalipa malipo mazuri kabisa kwa sababu ya kusubiri kwao katika utiifu. šχθè=yϑ ètƒ (#θçρ$ÿ2 $tβ Ç ômr'î/ Οèδt ô_r& (#ÿρç y9 ¹ t Ï%!$# t Ì ôfuζs9uρ ((Na bila shaka Tutawalipa ambao wamesubiri ujira wao kwa mazuri waliyokuwa wakitenda)) 2 5. Wenye kusubiri wameahidiwa na Allaah ( ) malipo mema yasiyohesabika. 5>$ Ïm Î ö tóî/ Νèδt ô_r& tβρç É9 Á9$# ûuθム$yϑ ΡÎ) (( Na bila shaka wafanyao subira watalipwa ujira wao pasipo hesabu)) 3 6. Allaah ( ) Ameambatanisha subira na mafanikio na Amewaahidi kufuzu. šχθßsî=ø è? öνä3ª=yès9!$# (#θà)?$#uρ (#θäüî/#u uρ (#ρã Î/$ ¹uρ (#ρç É9ô¹$# (#θãψtβ#u š Ï%!$# $yγ ƒr' tƒ ((Enyi mloamini! Subirini na shindaneni kusubiri, na unganeni na mcheni Allaah ili mpate kufaulu)) 4 tβρâ Í!$x ø9$# ãνèδ öνßγ Ρr& (#ÿρç y9 ¹ $yϑî/ tπöθu ø9$# ãνßγçf ƒt y_ ÎoΤÎ) 1 Al-Baqarah (2: ). 2 An-Nahl (16: 96). 3 Az-Zumar (39: 10). 4 Aal Ímraan (3: 200). 14

15 ( ( 3 ((Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyosubiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu)) 1 7. Allaah ( ) Amewasifu kuwa ni miongoni mwa wakweli waliosadikisha na wenye taqwa. tβθà) Gßϑø9$# ãνèδ y7í s9'ρé&uρ (#θè%y ¹ t Ï%!$# y7í s9'ρé& Ä ù't7ø9$# t Ïnuρ Ï!# œø9$#uρï!$y ù't7ø9$# Îû t Î É9 Á9$#uρ (( na wanaosubiri [wavumiliao] katika shida na dhara na katika vita. Hao ndio ambao wamesadikisha na hao ndio Muttaquwna [wamchao Allaah]) 2 8. Allaah ( ) Ameahidi Maghfirah na ujira mkubwa kwa wenye kusubiri na wakatenda mema. Î7Ÿ2 Ö ô_r&uρ οt Ï øó Β Οßγs9 y7í s9'ρé& ÏM ysî= Á9$# (#θè=ïϑtãuρ (#ρç y9 ¹ t Ï%!$# ωî) ((Isipokuwa ambao wamevumilia wakatenda mema, hao watapata Maghfirah na ujira mkubwa)) 3 9. Wanaovumilia wamehusishwa na uongozi wa Dini na kuwa ni wenye yakini kuhusu yaliyoteremshwa kwao na Mola wao. tβθãζï%θム$uζïg tƒ$t Î/ (#θçρ%ÿ2uρ (#ρç y9 ¹ $ ϑs9 $tρí ö r'î/ šχρß öκu Zπ ϑí r& öνåκ ]ÏΒ $oψù=yèy_uρ ((Na Tukawafanya miongoni mwao waongozi wanaoongoa watu kwa amri Yetu, waliposubiri na wakawa na yakini na Ishara Zetu)) Allaah ( ) Ameifanya subira kuwa ni kinga kubwa kwa maadui na hila zao kama walivyoaahidiwa Maswahaba katika vita vya Uhud. 1 Al-Muuminuwn (23: 111). 2 Al-Baqarah (2: 177). 3 Huwd (11: 11). 4 As-Sajdah (32: 24). 15

16 3 4 ÔÝŠÏtèΧ šχθè=yϑ ètƒ $yϑî/!$# βî) $º ø x öνèδß ø x. öνà2 ÛØtƒ Ÿω(#θà) Gs?uρ (#ρç É9óÁs? βî)uρ ((na mkisubiri na mkawa na taqwa haitakudhuruni chochote katika hila zao. Hakika Allaah kwa wayatendayo ni Muhiytw [Mwenye Kuzunguka Vyote])) Allaah ( ) Ameifanya kuwa ni jambo la kutakwa msaada pamoja na nguzo ya Swalah na kuwasifu kuwa wenye kuvumilia ni wenye sifa ya unyenyekevu. t Ïèϱ sƒø:$# n?tã ωî) îοu Î7s3s9 $pκ ΞÎ)uρ Íο4θn= Á9$#uρ Î ö9 Á9$Î/ (#θãζšïètfó $#uρ ((Na tafuteni msaada kupitia subira na Swalah; na hakika hilo ni kubwa isipokuwa kwa Khaashi iyn [wanyenyekevu])) Allaah ( ) Amewasifu wenye kuvumilia misiba, maudhi na dhulma kwamba hilo ni jambo kuu la kuazimiwa. Í θãβw{$# ÏΘ tã ô Ïϑs9 y7ï9 sœ βî) t x xîuρ u y9 ¹ yϑs9uρ ((Na anayesubiri, na akasamehe, hakika hayo ni katika mambo ya kuazimiwa)) Wenye kuvumilia bila shaka watapewa kheri nyingi na wenye hadhi kubwa. 5ΟŠÏàtã >eáym ρèœ ωî)!$yγ8 )n=ム$tβuρ (#ρç y9 ¹ t Ï%!$# ωî)!$yγ9 )n=ム$tβuρ (( lakini hawapewi wema huu ila wanaosubiri, wala hawapewi ila wenye hadhi kubwa)) 4 1 Aal- Imraan (3: 120). 2 Al-Baqarah (2: 45). 3 Ash-Shuwraa (42: 41-43). 4 Fusw-swilat (41: 35). 16

17 ( Allaah ( ) Ameambatanisha ushindi kwa subira na taqwa. Ïπs3Í n=yϑø9$# z ÏiΒ 7# s9#u Ïπ ôϑsƒ 2 Νä3š/u öνä. ŠÏ ôϑム#x yδ öνïδí öθsù ÏiΒ Νä.θè?ù'tƒuρ (#θà) Gs?uρ (#ρç É9óÁs? βî) t ÏΒÈhθ ãβ # n?t/ ((Ndio! Mkisubiri mkawa na taqwa na wakakujieni kwa ghafla hivi; Mola wenu Atakusaidieni kwa Malaika elfu tano waliotiwa alama [ya ubora])) Allaah ( ) Amesifu kila ambaye ananufaika na Aayah Zake na akaathirika na mawaidha kwamba ni mwingi wa kusubiri na kushukuru: A θä3x 9 $ 6 ¹ Èe ä3ïj9 ;M tƒuψ y7ï9 sœ Îû βî) ((Hakika katika hayo ni ishara kwa kila mwingi wa kusubiri, mwingi wa kushukuru)) Amemsifu Nabii Ayyuwb ( ) kwa subira yake kuwa ni mja mzuri alioje. Ò># ρr& ÿ çµ ΡÎ) ß ö7yèø9$# zν èïoρ #\ Î/$ ¹çµ tρô ỳ uρ $ ΡÎ) ((Hakika Tulimkuta mwenye subira, mbora wa waja, kwa hakika alikuwa mwingi wa kutubu)) Allaah ( ) Amehukumu kukhasirika kwa binaadamu pindi asipokuwa miongoni mwa wenye kuusia subira na akavumilia mwenyewe pia: 1 Aal-Ímraan (3: 125). 2 Ash-Shuwraa (42: 33). 3 Swaad (38: 44). 17

18 ( 4 Èd,ysø9$Î/ (#öθ ¹#uθs?uρ ÏM ysî= Á9$# (#θè=ïϑtãuρ (#θãζtβ#u t Ï%!$# ωî) A ô äz Å s9 z ΣM}$# βî) Î óçyèø9$#uρ Î ö9 Á9$Î/ (#öθ ¹#uθs?uρ ((Naapa kwa Zama! Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara. Ila wale walioamini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri)) Allaah ( ) Amewahusisha watu wa kuliani ambao ni watu wa kheri kwamba ni watu wenye subira wenye huruma. ÏπuΖyϑø prùq$# Ü= ptõ¾r& y7í s9'ρé& ÏπuΗxqö uκø9$î/ (#öθ ¹#uθs?uρ Î ö9 Á9$Î/ (#öθ ¹#uθs?uρ (#θãζtβ#u t Ï%!$# z ÏΒ tβ%x. ΟèO ((Tena awe miongoni mwa walioamini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana. Hao ndio watu wa kheri wa kuliani)) Hatimaye Aakhirah ambako ndio kwenye maisha ya kudumu na milele wameahidiwa Pepo na Neema zake: #\ ƒì ymuρ Zπ Ζy_ (#ρç y9 ¹ $yϑî/ Νßγ1t y_uρ ((Na Akawalipa Mabustani ya Pepo na [nguo za] hariri kwa sababu ya kusubiri kwao)) Na pia watabashiriwa Pepo na neema zake na amani kutoka kwa Malaika. tβθè=äzô tƒ èπs3í n=yϑø9$#uρ Í # $!$# t<ø)ã zν èïψsù öνíκéj ƒíh èœuρ öνîγå_ uρø r&uρ öνíκé!$t/#u ô ÏΒ yxn= ¹ tβuρ $pκtξθè=äzô tƒ 5βô tã àm Ζy_ Λän y9 ¹ $yϑî/ /ä3ø n=tæ íν n=y 5>$t/ Èe ä. ÏiΒ ΝÍκö n=tã 1 Suratul-Áswr (103). 2 Al-Balad (90: 17-18). 3 Al-Insaan (76: 12). 18

19 ((Nayo ni Bustani za milele, wataziingia wao na waliowema miongoni mwa baba zao, na wake zao, na vizazi vyao. Na Malaika wanawajia katika kila mlango. [Wakiwaambia] Salaamun Alaykum! Amani iwe juu yenu, kwa sababu ya mlivyosubiri! Basi ni mema mno malipo ya Nyumba ya Aakhirah)) 1 Lakini si wepesi kuipata, na miongoni mwa watakaiopata ni waja waliosubiri katika kufanya Jihaad katika njia ya Allaah ( ) ambayo wamekumbwa na mateso mbali mbali. Allaah ( ) Amewatia mtihanini ili Awatambue kama walivumilia kweli: t Î É9 Á9$# zνn= ètƒuρ öνä3ζïβ (#ρß yγ y_ t Ï%!$# ª!$# ÉΟn= ètƒ $ ϑs9uρ sπ Ψyfø9$# (#θè=äzô s? βr& Λä ö7å ym ôθr& ((Je! Mnadhani kwamba mtaingia Peponi na hali Allaah Hakuwapambanua wale ambao wamejahidi miongoni mwenu na Akapambanua wenye kusubiri?)) 2 1 Ar-Ra d (13: 23-24). 2 Aal-Ímraan (3: 142). 19

20 03 - Subira Katika Mitihani Kwa Ujumla Allaah ( ) Hamkalifishi mtu jambo lolote isipokuwa kwa wasaa wake. Na Anapomkidhia mja Wake kufikwa na misiba na mitihani huwa ni kheri kwake kwani malipo yake ni ya duniani na Aakhirah. Kwa kafiri, misiba na mitihani ni kizuizi kwake kutokuweza kuendelea na shughuli zake za kikawaida. Ama Muumini huwa ni mapumziko ambapo hupata fursa zaidi kumdhukuru Mola wake kwa kumshukuru, kusubiri na kutegemea malipo ya kufutiwa madhambi yake, au kupandishwa daraja Peponi au kupata mapenzi ya Allaah ( ) n.k. kama ilivyothibiti katika Qur-aan na Sunnah. ( )...,,, )) : ((, Kutoka kwa Abu Sa iyd Al-Khudriyy ( ) amesema: Watu fulani miongoni mwa Answaar walimuomba Mtume ( ) naye akawapa. Kisha wakamuomba tena naye akawapa. Kisha wakamuomba tena naye akawapa, mpaka akamaliza chote alichokuwa nacho. Akawaambia baada ya kuwa ameshatoa kila kitu: ((Kheri yoyote niliyonayo siwezi kuwanyima, na mwenye kujizuia [kuomba] Allaah Atamjazi kwa kutokuomba, na mwenye kujikwasisha Allaah Atamkwasisha, na atakayejisubirisha Allaah Atampa subira. Hakuna yeyote aliyepewa zawadi bora na ilio kunjufu zaidi kuliko subira)) 1 La muhimu ni kwamba Muumini avumilie mtihani pale mwanzo anapopata taarifa ya msiba au mtihani. Hivyo ndivyo alivyofunzwa mwanamke aliyekuwa akilia mbele ya kaburi alozikwa kipenzi chake: : : ( ) : : (( )) 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 20

21 . : " ". )) : (( Kutoka kwa Anas bin Maalik ( ) amesema: Mtume ( ) alimpitia mwanamke analia mbele ya kaburi. Akamwambia: ((Mche Allaah na usubiri!)). Yule mwanamke akasema: Niondokee, kwani hujafikwa na msiba kama wangu! Wala hakumjua. Akaambiwa: Huyo alikuwa ni Mtume ( ). Akaenda hadi katika mlango wa Mtume ( ) na hakuwakuta mabawabu [walinzi] akamwambia: Nilikuwa sikujua kama ni wewe. Akamwambia: ((Hakika subira wakati wake ni pale mwanzo wa kupata na msiba)) 1 Na katika riwaya ya Muslim imesema: Alikuwa akimlilia mwanawe Katika Hadiyth za Mtume ( ) zimetajwa fadhila zake mbali mbali ambazo hakika Muumini anapozitambua hupoa moyo wake, akapokea majaaliwa aliyokadiriwa na Mola wake Aliyetukuka akakinai, akaridhika na akashukuru. Hapo ndipo itakapothibiti kwake kauli ya Mtume ( ) aliposema:., )) ((, ((Ajabu ya jambo la Muumin kwamba kila jambo lake ni kheri. Na halipatikani hili isipokuwa kwa Muumin. Anapofikwa na jambo zuri hushukuru nayo ni kheri kwake na anapofikwa na jambo lenye madhara husubiri nayo ni kheri kwake)) 2 Miongoni mwa fadhila hizo: 1-Atakutana na Allaah ( ) akiwa hana tena madhambi. 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 Muslim. 21

22 )) : : ( ) (( Kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Mtihani utaendelea kumpata Muumini mwanamume na Muumini mwanamke katika nafsi yake na watoto wake, na mali yake mpaka akutane na Allaah akiwa hana dhambi)) 1 2-Alama ya Mapenzi ya Allaah ( ) - Humtakia kheri mja Anapompa mtihani duniani. )) : : ( ) (( )) : (( Kutoka kwa Anas kwamba Mtume ( ) amesema: ((Allaah Anapompendelea mja Wake kheri, Humharakishia adhabu duniani. Na Allaah Anapomtakia mja Wake shari Humzuilia dhambi zake hata Amlipe Siku ya Qiyaamah)). Na amesema Mtume ( ): ((Hakika malipo makubwa kabisa yapo pamoja na mtithani mkubwa, na hakika Allaah Anapopenda watu Huwapa mtihani. Basi atakayeridhika atapata radhi [za Allaah] na atakayechukia atapata ghadhabu)) 2 3-Alama ya imani. )) : : ( ). (( 1 At-Tirmidhiy na amesema Hadiyth Hasan Swahiyh. 2 At-Tirmidhiy na amesema Hadiyth Hasan. 22

23 Kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume ( ) amesema: ((Mfano wa Muumini ni kama mti ulio na rutuba, upepo unaupiga huku na kule, na ataendelea Muumini kufikwa na mitihani. Na mfano wa mnafiki ni kama mti wa seda [aina ya mti wa mbao ya mkangazi], hautikisiki hadi ung olewe wote mara moja)) 1 4-Alama ya taqwa na daraja ya juu mbele ya Allaah ( ) :, : : ( ).,, )).. : ) (( Kutoka kwa Sa iyd bin Abi Waqaasw ( ) amesema: Nilisema: Ee Mjumbe wa Allaah! Watu gani wanaopata mitihani migumu zaidi? Akasema: ((Mitume, kisha mfano wake, na mfano wake. Hupewa mtihani mtu kulingana na Dini [imani] yake. Ikiwa Dini yake ni imara, mtihani wake huwa mkubwa. Na ikiwa Dini yake ni dhaifu hupewa mtihani kulingana na Dini yake. Husibiwa sana na mtihani mmojawapo hadi atatembea ardhini bila ya kuwa na dhambi)) 2 Aina yoyote ile ya mtihani huwa ni kheri kwa Muumini, kwani bila ya kufikwa na mitihani haitatambulika imani ya Muumini na pia kusingekuwa na fadhila kama hizo tulizoahidiwa ikiwa ni kwa kupewa mtihani mkubwa mno au mdogo mno kwa kadiri yoyote ile atakayojaribiwa nayo mtu, ikiwa ni wa kuhusu nafsi, kifo, maradhi, maudhi, au kupoteza mali, au maafa, au njaa n.k. Hata uwe mtihani huo japo ni mdogo kiasi cha mwiba, kama alivyosema Mtume ( ): 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 At-Tirmidhiy na amesema Hadiyth Hasan Swahiyh, Ibn Maajah, na Al-Albaaniy kadhalika kasema ni Swahiyh. 23

24 4 ( )) : ( ) (( Kutoka kwa Abu Sa iyd Al-Khudriyy na Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Muislamu hatopatwa na tabu, wala maradhi, wala hamu wala huzuni wala udhia wala ghamu [sononeko] hata mwiba unaodunga isipokuwa Allaah Humfutia madhambi yake kwa sababu ya hayo)) 1 Ibnul-Qayyim ( ) katika kitabu chake Al-Fawaaid kuhusu maisha haya ya duniani na njia ya kuelekea kwa Allaah na mitihani anayokabiliana nayo Muumini. amesema: Ee usiyekuwa imara, uko wapi na njia hii? Njia ile ambayo Aadam alitaabika, na Nuuh alilia kwa huzuni, na Al-Khaliyl [Ibraahiym] alirushwa motoni, na Ismaa iyl alilazwa chini kuchinjwa, na Yuwsuf aliuzwa kwa bei ndogo mno na akabakia jela miaka kadhaa, na Zakariyyah alichinjwa kwa msumeno, na bwana mtawa Yahya alichinjwa, Ayyuwb aliteseka na madhara makubwa, na Daawuwd alilia kupita kiasi, Iysaa aliwaponyesha masikini maradhi yao akatembea na mnyama mwitu kwa ajili hiyo, na mateso mangapi ya kila aina aliteseka Muhammad ( ) akielekea katika njia? Nawe unaishi kwa burudani na mchezo? 2 Ndugu Muislamu, kumbuka kauli ya Allaah ( ): ö/ä3 9 ö yz uθèδ ö t/ Νä3 9 #u Ÿ çνθç7 øtrb Ÿω ((Msifikiri ni shari kwenu, bali hiyo ni kheri kwenu)) 3 Na pia: 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 Al-Fawaaid (1: 42). 3 An-Nuwr (24: 11). 24

25 3 ( ( ãνn= ètƒ ª!$#uρ öνä3 Ÿ uθèδuρ $\ ø x (#θ 6Åsè? βr& # tãuρ öνà6 9 ö yz uθèδuρ $\ ø x (#θèδt õ3s? βr& # tãuρ šχθßϑn= ès? Ÿω óοçfρr&uρ ((Na huenda mkachukia jambo nahali lenyewe ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda jambo na hali lenyewe ni la shari kwenu. Na Allaah Anajua na nyinyi hamjui)) 1 Basi vumilia kwa subira njema ndugu Muislamu na usikate tamaa katika kutaraji Rehma ya Allaah kwani Nabii Ya quwb aliwapa usia wanawe alipofikwa na msiba kwamba: tβρã Ï s3ø9$# ãπöθs)ø9$# ωî) «!$# Çy ρ ÏΒ ß t ƒ($tƒ Ÿω çµ ΡÎ) «!$# Çy ρ ÏΒ (#θý t ƒ($s? Ÿωuρ ((Na wala msikate tamaa na faraji ya Allaah, hakika hawakati tamaa na faraji ya Allaah isipokuwa watu makafiri)) 2 1 Al-Baqarah (2: 216). 2 Yuwsuf (12: 87). 25

26 04 - Subira Anaposibiwa Muislamu Na Maradhi Muumini anapopata masaibu na mitihani ya maradhi anapaswa kuvumilia kwa kutegemea fadhila ambazo Allaah ( ) Ameahidi, pamoja na malipo mema tele, nako ni kwa kuridhika na majaaliwa na si kwa kuchukia na kumahanika kwani hayatomfaa hayo ila ni kujizidishia maumivu, maradhi na dhiki. Wala haipasi kulaani maradhi kwa vyovyote kwani mja atakuja kukosa fadhila kama alivyofundisha Mtume ( ): ( ) " : (( )) (( )) : (( )) : " Kutoka kwa Jaabir bin Abdillaah ( ) kwamba Mtume ( ) aliingia kwa Ummu As-Saaib au Ummu Al-Musayyib akasema: ((Je, una nini ee Ummul-Musayyib?)) Au ((Ee Ummul-Musayyib; unatetemeka?)) Akasema: Homa Allaah Asiibariki [ilaaniwe] Akasema: ((Usiitukane homa kwani inaondosha dhambi za binaadamu kama moto unavyoondosha takataka katika chuma)) 1 Basi vuta subira ee ndugu Muumini na mshukuru Mola wako kwa neema tulizoaahidiwa za kusubiri masaibu ili ufutiwe madhambi yako na uzidishiwe mema yako huko Aakhirah na upandishwe daraja yako mbele ya Allaah ( ) kama ilivyothibiti katika Hadiythi zifuatazo: 1-Kufutiwa Madhambi Na Kupandishwa Daraja ( ) ", " :, " " : ((, )) : )) : (( )) : (( 1 Muslim. 26

27 Kutoka kwa ibn Mas- uwd ( ) amesema: Niliingia kwa Mtume ( ) akiwa anaugua homa. Nikamgusa kwa mkono wangu nikasema: Ee Mjumbe wa Allaah! Hakika una homa kali? Akasema Mtume ( ): ((Ndio! Ninaugua kama wanavyougua wawili wenu)). Nikasema: Je ni kwa sababu utapata thawabu mara mbili? Akasema Mtume ( ) ((Ndio)) kisha akasema: ((Hakuna Muislamu yeyote anayefikwa na dhara kutokana na maradhi au vingineveyo isipokuwa Allaah Atamfutia madhambi yake mfano wa majani yanavyopuputika mtini)) 1 )) : : ( ) (( Na kutoka kwa Aaishah ( ) amesema: Mtume ( ) akisema: ((Hakuna msiba wowote unaomsibu Muislamu isipokuwa tu Allaah Humfutia madhambi hata mwiba unaomchoma)) 2 )) : : ( ) (( Na kutoka kwa Aaishah ( ) amesema: Nilimsikia Mtume ( ) akisema: ((Muislamu hafikwi na [dhara lolote la] kuchomwa mwiba au zaidi ya hivyo isipokuwa Allaah Atampandisha daraja na Atamfutia madhambi kwa ajili yake)) 3 2-Kuvumilia ili kupata Pepo )) : :.. : 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 Al-Bukhaariy na Muslim. 3 Muslim. 27

28 : : (( -. Kutoka kwa Atwaa bin Abi Rabaah ( ) amesema: Ibn Abbaas aliniambia: Je nikuonyeshe mwanamke miongoni mwa watu wa Peponi? Nikasema: Ndio Akasema: Huyu mwanamke mweusi alimwendea Mtume ( ) akasema: Hakika mimi nina kifafa nami hukashifika [ninapoanguka] basi niombee kwa Allaah. Mtume ( ) akasema: ((Ukitaka usubiri utapata Pepo, au ukitaka nimuombe Allaah Akuafu)) Akasema: Nitasubiri Akasema tena: Hakika mimi nakashifika [nikianguka] basi mwombe Allaah nisikashifike Akamuombea 1 3-Anayepotelewa Na Macho Jazaa Yake Ni Pepo : )) : : ( ), (( Kutoka kwa Anas bin Maalik ( الله عنه (رضي amesema: Nilimsikia Mtume akisema ((Hakika Allaah Amesema: Nitakapomjaribu (صلى الله عليه وآله وسلم) mja Wangu kwa kukosa vipenzi vyake viwili [macho yake] Nitambadilishia Pepo badala yake)) 2 Na kuumwa kuna faida zake ambazo ni: Kwamba yanampofika maradhi mtu, humfanya atambue kwamba yeye ni dhaifu, hana uwezo wa kujiondoshea dhara inapomfika isipokuwa Allaah ( ). Hapo ndipo hutambua Qudra ya Allaah ( ) na Majina Yake Mazuri na Sifa Zake mbali mbali; mfano wa sifa mojawapo ya Allaah ni Ash-Shaafi [Mwenye Kuponyesha] Humfanya mtu aliyekuwa katika ghaflah ya dhikru-allaah [kughafilika kumkubuka Allaah] arejee kwa Mola wake kwa vile 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 Al-Bukhaariy. 28

29 Ndiye anayemhitaji zaidi wakati huu, kwani Yeye Subhaanahu wa Ta ala ni Pekee Atakayeweza kumwondoshea dhara. Tajiri awe tajiri vipi lakini yanapomfika maradhi huenda madaktari wakashindwa kumtibu hata kama atatumia mali yake yote ikiwa Allaah ( ) Hakutaka apate hiyo shifaa; kwani hakuna shifaa ila shifaa Yake. Hivyo Muumini huwa karibu zaidi na Allaah ( ) kwa du aa zake anazomkabili kumwomba amuondoshee maradhi. Muumini anapopatwa na maradhi humfanya atambue neema ya umri wake wa nyuma alipokuwa na afya, na hilo ni jambo la kushukuriwa anapotambua neema ya afya aliyokuwa nayo awali. Na hawezi kutambua na kushukuru yeyote isipokuwa Muumini tu. Anapata kujifunza na kujua fadhila za kuugua na maradhi akatambua Neema na mazuri aliyoahidiwa kama kufutiwa madhambi n.k. na hapo huzidishia imani yake na yaqini kuhusu Aliyoahidi Allaah ( ) Subira ya hali ya juu kabisa ni subira ya Nabii Ayyuwb ( ) ambaye alifikwa na mtihani wa mali, watoto na siha. Kwa kuvumilia kwake Allaah ( ) Alimrudishia yote aliyoyapoteza. Hiyo ilikuwa ni subira ya aina ya pekee. Pia tunayo mafunzo ya subira kutokana na visa vya Mitume wengineo, watu wema wa kale, Maswahaba, Salaf Swaalih (wema waliopita) n.k. Visa vyao tutavitaja katika milango yake itakayofuatia Inshaa-Allaah 29

30 ( ( ( 05 - Subira Katika Kuondokewa Na Vipenzi, Jamaa Wa Karibu Hatima ya binaadamu wote ni kuiaga hii dunia ambayo ni makazi ya muda na starehe ndogo tu kulingana na maisha ya kudumu milele Peponi pamoja na mazuri yake yaliyoahidiwa katika Qur-aan na Sunnah. Anasema Allaah ( ): Í $ Ψ9$# Ç tã yì ômã yϑsù Ïπyϑ ušé)ø9$# tπöθtƒ öνà2u θã_é& šχöθ ùuθè? $yϑ ΡÎ)uρ ÏNöθpRùQ$# èπs)í!#sœ < ø tρ ä. Í ρã äóø9$# ßì tftβ ωî)!$u Ρ $!$# äο4θušy ø9$# $tβuρ y $sù ô s)sù sπ Ψyfø9$# Ÿ Åz Šé&uρ ((Kila nafsi itaonja mauti. Na hakika mtalipwa kikamilifu ujira wenu Siku ya Qiyaamah. Basi atakayeekwa mbali na Moto na akaingizwa Jannah kwa yakini amefuzu. Na maisha ya duni si lolote ila ni starehe ya udanganyifu)) 1 La kutanabahi zaidi ni kwamba hakuna ajuaye wapi au lini mtu itamifikia siku na wakati wake wa kufariki. Hakuna yeyote aliyepewa ujuzi wake hata Mtume ( ) hakutambulishwa. Nalo ni jambo miongoni mwa mambo matano ambayo Ametaja Allaah ( ) kwamba ujuzi uko Kwake Pekee: #sœ$ Β Ó ø tρ Í ô s? $tβuρ ÏΘ%tnö F{$# Îû $tβ ÞΟn= ètƒuρ y]ø tóø9$# Ú^Íi t ãƒuρ Ïπtã$ 9$# ãνù=ïæ çνy ΨÏã!$# βî) 7 Î6yz íοšî=tæ!$# βî) ßNθßϑs? <Úö r& Äd r'î/ 6 ø tρ Í ô s? $tβuρ #Y xî Ü=Å ò6s? ((Hakika kuijua Saa [Qiyaamah] kuko kwa Allaah. Na Yeye Ndiye Anayeiteremsha mvua, na Anavijua viliomo ndani ya matumbo ya uzazi. Na haijui nafsi yoyote itachuma nini kesho. Wala nafsi yoyote haijui itafia nchi gani [au mahali gani]. Hakika Allaah ni Aliymun Khabiyr [Mjuzi wa Yote Daima, Mjuzi Wa Undani Na Ukina Wa Mambo])) 2 1 Aal-Ímraan (3: 185). 2 Luqmaan (31: 34). 30

31 Muumini akumbuke kwamba watoto wetu, mke au mume, wazee, ndugu, jamaa wa karibu, marafiki ni amana kutoka kwa Allaah ( ), na hizi amana tumepewa ili tuzichunge baina yetu na ziwe ni utulivu wa nyoyo na viliwazo vya macho yetu. Amana hizi ni mtihani kwetu kutazamwa kama tutazichunga na kutekeleza kama tulivyoamrishwa na Allaah ( ). Hivyo basi Allaah ( ) Ana haki kuichukua amana Yake wakati wowote ule Alioupanga wa kumalizika muda wa kuchunga amana hiyo. Na Muumini asichukizwe na majaaliwa ya Allaah ( ), bali anapoondokewa na kipenzi chake, aridhike kwa kushukuru na kuvumilia. Pia tumefunzwa kwamba mtu anapopatwa na msiba aombe du aa ifuatayo ili Allaah ( ) Amjaalie kilicho bora kuliko kilichomuondokea. ((, )) Innaa lillaahi wa-innaa Ilayhi raaji uwn, Allaahumma Ajirniy fiy muswiybatiy wa-akhlifliy khayram-minhaa ((Hakika sisi ni wa Allaah, na hakika sisi Kwake wenye kurejea, ee Allaah, Nilipe kwa msiba wangu na Nipe badala yake kilicho bora kuliko huo [msiba])) 1 Kadhalika, Mtume ( ) ametufunza kumtaazi [kumhani] aliyepatwa na msiba kwa kumuombea: ((, )) Inna lillaahi maa Akhadha wamaa a twaa, wakullu shay-in Indahu biajalim-musammaa, faltahtasib waltaswbir 1 Muslim. 31

32 ((Kwa hakika ni cha Allaah Alichokichukua na ni Chake Alichokitoa, na kila kitu Kwake kina muda maalum, basi vumilia na taka malipo kwa Allaah)) 1 Naye Mtume ( ) alipofiwa na kipenzi chake, mwanawe Ibraahiym akiwa mtoto mchanga bado, alihuzunika na kuvumilia subira njema: : ( ). (( )) : ( ),,, )) : (( Kutoka kwa Anas bin Maalik ( ) ambaye amesema: Tulingia pamoja na Mtume ( ) kwa sonara Abu Sayfi na alikuwa mume wa mnyonyeshaji Ibraahiym [mtoto wa Mtume ]. Akamchukua na akambusu na kumnusa (kwa kumbusu). Kisha akaingia nyumbani kwa Abu Sayf na wakati huo Ibraahiym alikuwa katika pumzi yake ya mwisho na macho ya Mtume ( ) yakaanza kutoa machozi. Abdur-Rahmaan bin Awf ( ) akasema: Hata wewe unalia? Akasema: ((Ee Ibn Awf! Hii ni Rehma)) Kisha akalia zaidi na akasema: ((Macho yanatoa machozi na moyo unahuzunika lakini hatusemi isipokuwa yanayomidhisha Allaah. Ee Ibraahiym hakika tuna huzuni kwa kufarikiana nawe)) 2 Katika Hadiyth ifuatayo, tunapata mfano mzuri kabisa ya subira kuhusu kisa cha Ummu Salamah ( ) na Abu Twalhah walipoondokewa na mtoto wao ambaye alikuwa pekee walioruzukiwa wakati huo: 1 Al-Bukhaariy, Ahmad. 2 Al-Bukhaariy. 32

33 : : : ( ) :.(( )) : : (( )) : : : (( )) :.. : :., : :... :! :..,,. : : (( )) :,, :.,,,, :,.. Kutoka kwa Anas ( ) amesema: Alikuwa mtoto wa Abu Twalhah akiugua. Abu Twalhah akasafiri. Mtoto akafariki. Abu Twalhah aliporudi aliuliza: Vipi hali ya mwanangu? Ummu Sulaym - mama wa mtoto - akamwambia: Ametulia zaidi ya alivyokuwa. Akampelekea chakula cha jioni akala, kisha akalala na mkewe [wajakamiiana]. Alipomaliza, Ummu Sulyam akamwambia: Kamzikeni mtoto. Abu Twalhah 33

34 alipopambaukiwa, alimwendea Mtume ( ) akamwelezea yaliyotokea. Akamwuliza: ((Je, usiku mlifanya harusi (mlijamiiana)?)) Akamjibu: Ndio. Akaomba: ((Ee Allaah! Wabarikie)). Akazaa mvulana. Abu Twalhah akaniambia: Mbebe umpeleke kwa Mtume ( ). Akapeleka na tende kadhaa. Akauliza: ((Ana kitu?)) Akajibu: Ndio, tende kadhaa Mtume ( ) akazichukua akazitafuna kisha akachukua zile tende zilokuwa mdomoni mwake akazitia katika kinywa cha mtoto, halafu akamsugulia nazo (ili mtoto afyonze na kumeza) na akampa jina la Abdullaah 1 Katika riwaya nyingine ya Al-Bukhaariy, imesema: Ibnu Uyaynah amesema: Mtu mmoja katika Answaar alisema: Nikawaona watoto tisa wamehifadhi Qur-aan Yaani watoto wa Abdullaah huyu aliyezaliwa Na katika riwaya nyingine ya Muslim imesema: Abu Twalhah alifiwa na mtoto aliezaa naye kwa Ummu Sulaym. Ummu Sulaym akawaambia jamaa zake: Msimweleze Abu Twalhah mpaka mimi niwe ndiye nitakayemweleza Alivyorudi, akampelekea chakula cha jioni, akala na akanywa, halafu akajipamba kuliko anavyojipamba siku zote. Akamjamii. Ummu Sulaym alipoona kuwa Abu Twalhah ameshiba na amemjamii alimwambia: Ee Abu Twalhah! Niambie lau watu wameazima kitu kwa watu fulani kisha wao wakataka kitu chao kilichoazimwa je, walioazima wana haki ya kuwanyima? Akajibu: Hapana! Akamwambia: Basi taraji thawabu kwa msiba wa mwanao. Abu Twalhah akakasirika na akasema: Umeniacha mpaka nimejichafua [kwa jimai] halafu ndio unaniambia habari ya mwanangu? Akaenda kwa Mtume ( ) akamweleza mambo yalivyokuwa. Mtume ( ) akawaombea: ((Allaah Awabarikie katika usiku wenu)). Ummu Sulaym akabeba mimba. Mtume ( ) alikuwa yumo safarini, naye [Ummu Sulaym] yuko naye. Mtume ( ) alikuwa anapoingia Madiynah kutoka safari alikuwa haiingii usiku. Wakakaribia Madina. Ummu Sulaym akaanza kusikia uchungu wa uzazi. Abu Twalhah akabaki nyuma. Mtume ( ) akaendelea na safari. Abu Twalhah akasema: Ee Allaah! Hakika Unajua kwamba mimi hufurahishwa kusafiri pamoja na Mtume ( ) anaposafiri, 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 34

35 na hupenda kurudi naye anaporudi, na nimezuilika kama Uonavyo. Ummu Sulaym akasema: Ee Abu Twalhah! Sisikii tena uchungu niliousikia, tuondoke! Tukaondoka. Akapatwa na uchungu wa kuzaa walipokuwa wameshaingia Madiynah. Akajifungua mvulana. Mama yangu akaniambia: Ee Anas, asinyonyeshwe na yeyote mpaka uende naye kwa Mtume ( ). Kulipopambazuka, nilimbeba nikaenda naye kwa Mtume ( ) Akaendela mpaka mwisho wa Hadiyth. Tunapata pia mafunzo kutoka katika kisa cha Ummu Salamah alipofiwa na mumewe na baada ya kuomba du aa alivyomfunza Mtume ( ) aliolewa na Mtume ( ): )) : ( ) : ( ),, : ((,.( ) ( ) :.( ) )) : :. (( Kutoka kwa Ummu Salamah ( ) amesema: Nimemsikia Mtume ( ) akisema: ((Hakuna Muislamu anayefikwa na msiba akasema Alivyoamrishwa na Allaah: Innaa lillaahi wa innaa Ilayhi raaji uun, Allaahumma Ajirniy fiy muswiybatiy wa-akhlif-liy khayramminhaa [Hakika sisi ni wa Allaah, na hakika sisi Kwake wenye kurejea, ee Allaah, nilipe kwa msiba wangu na nipe badala yake kilicho bora kuliko huo [msiba)], hakuna ila Allaah Atampa kilicho bora kuliko [msiba] huo)). Abu Salamah alipofariki akasema: Muislamu gani ni bora kuliko Abu Salamah ambaye familia yake ilikuwa ya kwanza kuhama Hijrah kwa Mtume ( ). Kisha nikaisema [du aa hiyo] na Allaah Akanipa Mjumbe wa Allaah ( ) badala yake. Akasema: Mjumbe wa Allaah, akamtuma Abu Balta ah anipose kwake nikasema: Mimi nina binti [anayenitegemea] nami nina tabia ya wivu. 35

36 Akasema: ((Ama kuhusu binti yake tutamwomba Allaah Amtajirishe kwake [asiwe na jukumu naye], na namuomba Allaah Amuondoshee tabia ya wivu na hamaki)) 1 Hadiyth zifuatazo pia zinatupa fadhila za mwenye kusubiri baada ya kufiwa na ahli wake: : )) : ( ) (( Kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Allaah Aliyetukuka amesema: Mja Wangu Muumini hana jazaa Nitakapomchukulia mpenzi wake katika watu wa dunia kisha akatarajia thawabu isipokuwa [atapata] Pepo)) 2 )) : : ( ) (( Kutoka kwa Anas bin Maalik ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Muislamu yeyote atakayefiwa na watoto watatu wasiofikia umri wa kubaleghe, Allaah Atamuingiza Peponi kutokana na fadhila ya Rehma Yake kwao)) 3 )) : ( ) (( Kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Watoto watatu wakifariki wa Muislamu yeyote, moto hautamgusa isipokuwa kitimizwe kiapo)) 4 1 Muslim. 2 Al-Bukhaariy. 3 Al-Bukhaariy. 4 Muslim. 36

37 [kiapo cha Allaah ( ) katika Surat Maryam Aayah: 71] )) : ( ) : (( (( )) : Kutoka kwa Abu Huraryah ( ) kwamba Mtume ( ) amewaambia wanawake wa Answaar: ((Yeyote miongoni mwenu atakayefiwa na watoto watatu akataraji [malipo], ataingia Peponi)) Akasema mmoja wa wanawake miongoni mwao: Au hata wawili ee Mjumbe wa Allaah? Akasema ((Au hata wawili)) 1 Anayemshukuru Allaah ( ) katika kifo cha mpenzi wake hujengewa nyumba Peponi inayoitwa Baytul-Hamd: )) : ( ). :. :, : :. :. (( صلى ( Mtume kwamba (رضي عنه ( Al-Ash ariyy Kutoka kwa Abu Muwsaa ) amesema: ((Anapofariki mtoto wa mja, Allaah Huwaambia عليه وآله وسلم Malaika: Mmechukua roho ya mwana wa mja Wangu? [Malaika] Husema: Ndio! Kisha Husema: Mmechukua tunda la moyo wake! Husema: Ndio. Kisha Husema: Amesema nini mja Wangu? Husema: Amekusifu na amesema kauli ya istirjaa. Allaah Husema: Mjengeeni mja Wangu nyumba Peponi na iiteni Baytul-Hamd [Nyumba ya Shukurani])) 2 Istirjaa ni kusema [innaa lillaahi wa innaa Ilayhi raaji uun] Basi uzuri ulioje wa fadhila na malipo mema kabisa kutoka kwa Mola Mtukufu ambaye Haendi kinyume na ahadi Zake. 1 Al-Bukhaariy na Muslim. 2 Ahmad, At-Tirmidhiy na Al-Albaaniy kasema ni Swahiyh. 37

38 Mauti ni haki na hapana budi ila kuyakabili kwani dunia ni nyumba ya kupita na Aakhirah ndiko kwenye makazi ya kudumu milele. Bali dunia ni kama shamba la kufanyiwa juhudi kupandikiza mazuri na Aakhirah ndiko kwenye mavuno yake. Na duniani hakuna amana, hugeuka baina ya kheri na shari, baina ya dhiki na furaha, baina ya siha na afya baina ya utajiri na umaskini, hata mtu awe tajiri vipi bila shaka atakumbana na shari au dhiki fulani. Ama Aakhirah tumeahidiwa neema nyingi nzuri kabisa ambazo macho hayajapatapo kuona, wala masikio kusikia, wala kufikiria katika akili ya binaadamu. Na huko tumeahidiwa kukutana na vipenzi vyetu waliokuwa na msimamo wa Dini. Na pia kukutana na kipenzi chetu sote Mtume ( ), na Manabii, na Maswiddiqiyn na Mashuhadaa, na waja wema wengineo. Na madamu hali ni hivyo, basi hakuna khiari ila kuvumilia na kuwa miongoni mwa waliosifiwa kuwa ni wenye kuvuta subira. Kwa hiyo, Muumini awe na matarajio ya kuipata Pepo ya Neema na kuokoka na moto. Na hilo litathibitika kwa subira kwani ndio ngazi ya kuifikia. 38

39 06 - Subira Katika Kutafuta Elimu Kutafuta elimu ni wajibu kwa kila Muislamu. Na kuifanyia kazi kwa kufuata mafunzo yake, na kuitumia elimu kwa kufunza wengineo yote inahitaji subira, na subira zaidi inahitajika kwa kutokuharakiza matokeo, kutokuchoka au kukata tamaa inapokuwa hali ngumu na si kama mategemeo ya mtu. Kuchuma elimu ni jambo tukufu kabisa kwa Muislamu kwani inafikisha kumtambua Mola wake ( ) na kuyatambua yampasayo kutenda na yanayopasa kuepukana nayo. Kufanya hivyo ni alama ya kutakiwa kheri na Allaah ( ) kama Anavyosema Mtume ( ): )) : ( ) : (( Imepokelewa kutoka kwa Ibn Abbaas ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Anayekusudiwa kheri na Allaah, [Allaah] Humpa ufaqihi [ujuzi katika Dini])) 1 Kheri hiyo ya kupata ujuzi wa Dini inampelekea Muislamu katika kheri kubwa zaidi ya kumfikisha kwenye makazi ya kudumu milele. Kwa hiyo ni dhahiri kuwa elimu ni ufunguo wa Pepo. Amethibitisha hilo Mtume ( ): )) : : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Abu ad-dardaa ( ) amesema: Nilimsikia Mtume ( ) akisema: ((Anayetafuta njia ya kutaka elimu humo, Allaah Humpatia njia ya Peponi)) 2 1 At-Tirmidhiy na wengineo na amesema: Hadiyth Hasan Swahiyh. 2 Muslim. 39

40 Fadhila nyingi mno za mwenye kutafuta elimu zimethibiti katika Qur-aan na Sunnah, ila Muislamu hawezi kuzidiriki bila ya kuwa na subira kwani anahitaji kuwa na uvumilivu katika kila hali atakapokuwa katika safari yake ndefu ya kutafuta elimu hata aweze kuifahamu kwa kina na akamilishe masomo yake. Ndipo tukawa tunahitaji kuomba Du aa: (( )) Allaahumma Anfa niy bimaa Allamtaniy, wa Allimniy maa yanfa uniy wa-zidniy ilmaa ((Ee Allaah, Ninufaishe kwa Unayonifunza, na nielimishe yatakayoninufaisha na nizidishie elimu)) 1 Yafuatayo ni mambo ambayo hana budi nayo mtafutaji elimu (mwanafunzi) na yanayohitaji kuvumilia: 1-Kujifunza Qur-aan Na Hadiyth Pamoja Na Kuzihifadhi Qur-aan ni somo linalohitaji ubira kwani kuna mashaka ya kujifunza kuzitamka herufi za Qur-aan zipasavyo, kuihifadhi moyoni, na kuifanyia kazi maamrisho yake: )) : (( Imetoka kwa mama wa Waumini 'Aaishah ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Yule aliyekuwa hodari wa kusoma Qur-aan atakuwa pamoja na Malaika Waandishi wa Allaah watukufu wema, na yule ambaye anaisoma Qur-aan kwa mashaka na huku anajitahidi kwa kudodosa atapata ujira mara mbili)) 2 1 Swahiyh Ibn Maajah. 2 Al-Bukhaariy na Muslim. 40

41 Hali kadhalika kujifunza na kuhifadhi Hadiyth za Mtume ( ) kwani atazihitaji kuzifunza kwa wengineo jambo litakalompatia fadhila na malipo mema: )) : : (( : ( ), Imepokelewa kutoka kwa ibn Mas- uwd ( ) ambaye amesema: Nilimsikia Mtume ( ) akisema: ((Allaah Amneemeshe mtu aliyesikia kitu kutoka kwetu naye akakifikisha kama alivyosikia. Huenda anayefikishiwa akawa mwenye kufahamu zaidi kuliko aliyesikia))1 Masomo ya Dini yanahitaji uvumilivu na si pupa ili yathibitike na yafahamike vilivyo. Inahitaji pia kudurusiwa mara kwa mara ili isipotee moyoni baada ya kuthibitika kwani itakapopotea moyoni itakuwa ni khasara kubwa ya kupoteza muda wake wote na pengine hata mali aliyoitumia kwa ajili ya kuchuma elimu hiyo ikawa imepotea bure. Mtume ( ) Ametunasihi: )) : (( Kutoka kwa Abu Muwsaa ( ) kwamba Mtume ( ) amesema: ((Shikameni [dumisheni kuisoma] na Qur-aan, kwa hakika naapa kwa Ambaye nafsi yangu imo Mikononi Mwake, ni wepesi zaidi kukimbia [kupotea akilini] kuliko ngamia anavyochopoka katika kamba yake)) 2 1 At-Tirmidhiy na amesema Hadiyth Hasan Swahiyh. 2 Al-Bukhariy na Muslim. 41

42 Amesema Umar ibn al-khattwaab ( ): Tulikuwa tunahifadhi Aayah kumi na hatukuziendea nyingine mpaka tumezifanyia kazi (hizo kumi). Imesimuliwa pia kwamba alihifadhi Suratul-Al-Baqarah katika muda wa miaka tisa, na hivyo si kwa ajili ya kuhifadhi au kuzijua maana yake tu, bali kuzifahamu kwa bayana na kwa kina na kutekeleza maamrisho yake na kujiepusha na makatazo yake. Na hivyo ndivyo inavyompasa mwanafunzi au mtafutaji elimu kama ilivyotajwa na Al- Imaam Muhammad ibn Abdull-Wahhaab katika Kitabu chake Al-Uswuwl Ath-Thalaathah. 2-Mwanafunzi Kujifunza Na Kutekeleza Adabu Za Kiuanafunzi Inampasa kwanza mwanafunzi ajifunze adabu za kiuanafunzi na kuwa na subira pale anapokuwa hakufahamu anayoyaelezea mwalimu wake, na hivyo kwa kutokuuliza maswali mengi wakati mwalimu anaposomesha au kusherehesha darsa, bali asubiri hadi atakapomaliza. Pia awe na heshima mbele ya mwalimu kwa kumkabili kwa upole na adabu, kutimizia anayomwamrisha yanayohusiana na masomo yake. Kadhalika mwanafunzi anapaswa kutekeleza na kufuata taratibu za utafutaji elimu na kuwa na uvumilivu mkubwa katika hilo. 3-Kuamka Usiku Wa Manane (Tahajjud) Kufanya juhudi kuamka usiku hakuna budi kwa anayetafuta elimu kwa sababu ndio wakati wenye utulivu na muwafaka zaidi kwa masomo kwani Anasema Allaah ( ): ξ Ï% ãπuθø%r&uρ $\ ôûuρ x r& } Ïδ È ø 9$# sπy Ï $tρ βî) ((Hakika kuamka usiku kunaathiri zaidi kuwafikiana [na moyo na ulimi] na kunafaa zaidi kwa kauli [kutua na kuyafahamu])) 1. 1 Al-Muzzammil (73: 6). 42

43 Lakini kunahitaji subira kwani kuna mashaka ya kukata mtu usingizi wake wakati watu wamelala. Avute subira kwa kuachilia mbali kitanda chake akaamka na akajiamsha zaidi kwa kutia wudhuu akasimama kuswali kisha akadurusu masomo yake. Anayetafuta elimu hana budi kukosa raha kwani hawezi mtu kuichuma elimu akiwa ameshuhgulishwa na raha za dunia. Imepokelewa kutoka kwa Yahya bin Yahya At- Tamiymiy amesema: Abdullaahi bin Yahya bin Abi Kathiyr amesema: Nimemsikia baba yangu akisema: Elimu haiwezekani kwa raha ya mwili 1 4- Kudurusu Masomo Na Kufanya Utafiti Subira katika kufanya utafiti na kufuatilia elimu japokuwa ni mbali mno pa kuipatia. Maswahaba na waja wema walisafiri maelfu na maelfu ya maili kwa ajili ya kutafuta elimu. Abu Hurayrah ( ) ambaye amekusanya maelfu ya Hadiyth za Mtume ( ) alisema: Swahibu zangu katika watu wa Makkah walikuwa wakijishughulisha na biashara masokoni, na swahibu zangu katika watu wa Madiynah walikuwa wakijishughulisha na kilimo, lakini mimi nilikuwa masikini niliyetumia muda wangu mwingi kukaa pamoja na Mtume wa Allaah ( ). Nilikuwa nikihudhuria wasipohudhuria, na nikihifadhi wanaposahau Imaam Ahmad bin Hanbal alitembea maili thelathini elfu kutafuta Hadiyth na akahifadhi maelfu ya Hadiyth, na akaacha nyuma yake hazina ya Vitabu. Na Jaabir bin Abdillaah alisafiri muda wa mwezi mmoja kwenda Misr kutafuta Hadiyth moja. Imaam An-Nawawy ambaye aliishi muda wa miaka 45 lakini kwa muda huo wa maisha yake mafupi, alikuwa akitumia muda wake wote kutafuta elimu na kuifunza, hata hakuwa akila chakula kizuri na wala hakutamani kuoa. 1 Imesimuliwa na Muslim katika Kitabu cha Misikiti Na Sehemu Za Swalah - Mlango wa Swalah Tano. 43

Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni

Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni 4 Hadiyth Ya 1 Allaah Hatazami Miili Wala Sura, Bali Anatazama Nyoyoni )) :( ) : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume ( ) amesema: ((Hakika Allaah Hatazami viwiliwili vyenu wala

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani

Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani 4 4 Hadiyth Ya 11 Daraja Za Iymaan Ni Sabini Na Kitu; Ya Juu Ni Tawhiyd, Na Ya Chini Kabisa Ni Kuondosha Taka Njiani )) :( ) : ( ),,, )) ((. (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) amesema: Mtume wa

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) :

Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) : Hadiyth Ya 71 Jikinge Na Moto Japo Kwa Tende Au Neno Jema )) : : ( ) (( Imepokelewa kutoka kwa Adiyy bin Haatim ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Ogopeni moto japo kwa nusu tende, na usipopata

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu

Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu ( 4 Hadiyth Ya 61 Dunia Ni Kama Kivuli Anachokitumia Msafiri Kwa Muda Tu : ( ).!, )) : : (( Imepokelewa kutoka kwa Abdullaah bin Mas uwd ( ) amesema: Mtume wa Allaah ( ) alilala kwenye jamvi la mtende

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( )

Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali ( ) Hadiyth Ya 131 Allaah Ameridhia Kuabudiwa, Kutokumshirikisha, Kuungana Na Anachukia Uvumi, Udadisi Na Kupoteza Mali )) : :,,.((, ( ) :, Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah ( ) kwamba Mtume wa Allaah (

Διαβάστε περισσότερα

AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein

AHLUL ~ KISAA. Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein AHLUL ~ KISAA Mkusanyiko wa sifa na tarehe za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Imamu Ali, Bibi Fatimah, Imamu Hassan na Imamu Hussein Kimetungwa na: Ahmad Badawy bin Muhammad Al-Husseiny Kimehaririwa na: Sheikh

Διαβάστε περισσότερα

Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja

Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja Hadiyth Ya 111 Wanaume Na Wanawake Wasio Maharimu Wasitazamane Uchi Wala Wasilale Pamoja, )) : ( ),, (( Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa iyd ( ) kwamba Mtume wa Allaah ( ) amesema: ((Mwanamme asitazame uchi

Διαβάστε περισσότερα

Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana.

Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. Ni lazima kusimama kwani kuunganisha na yanayofuatia kutaharibu maana. Al-Waqf At-Taamm - Kisimamo Kilichokamilika ال وق ف الت ام 1. Kusimama katika neno la Qur-aan ambako kauli imekamilika maana yake, na wala hayana uhusiano wowote ule na yanayofuatia; uhusiano huo uwe wa

Διαβάστε περισσότερα

05- Fadhila Za Umrah Na Hajj

05- Fadhila Za Umrah Na Hajj èèää ÆÆÆ Æd dd ÉÉÉ øø FF Ï ÉÉÉ ÎÎ ÅÅ øø FF... ŸŸŸ Ïi ii ššš '' éé ÈÈÈ ÝÝ èè àà ŸŸŸ nn 333 BBB øø ŸŸŸ èè Ï 555 ppøø rr öö þþþ ÎÎ «««óó ãã àà õõ ÉÉ ªªª xx øø ççç èè nn ÍÍ!! øø 999 öö oo ÖÖÖ ô rr ppøø rr

Διαβάστε περισσότερα

Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo

Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo MSTAHIWA SHEIKH AHMAD BIN HAMAD AL KHALILI MUFTI MKUU WA OMAN Kuondoa Utata Uliyomo katika Tafauti ya Muandamo [Kauli za Maulama wa Madhehebu Nne] Imefasiriwa kwa Kiswahili na: Munir Sulaiman Aziz Al Masrouri

Διαβάστε περισσότερα

ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Ukoo/Jamaa Hatua ya 2: Mwalimu: Tusome silabi hii pamoja. Mwalimu na Wanafunzi: /m/ /a/- ma Hatua ya 3: Mwalimu: Ni zamu yenu sasa.

Διαβάστε περισσότερα

Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM

Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM Kiswahili TE(C2).indd i 5/30/14 8:14 PM ii Kiswahili TE(C2).indd ii 5/30/14 8:14 PM iii Kiswahili TE(C2).indd iii 5/30/14 8:14 PM iv Kiswahili TE(C2).indd iv 5/30/14 8:14 PM v Kiswahili TE(C2).indd v 5/30/14

Διαβάστε περισσότερα

MATESO YA DHURIA YA MTUME

MATESO YA DHURIA YA MTUME MATESO YA DHURIA YA MTUME Mwandishi: Ayatullah Murtadha Mutahhari Mtarjumi: Salman Shou Kimehaririwa na: Al-Haj Ramadhani S. K. Shemahimbo Haki ya kunakili imehifadhiwa na: AL-ITRAH FOUNDATION ISBN: 978-9987

Διαβάστε περισσότερα

IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA

IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA IMAM MAHDI (A.S.) NI TUMAINI LA MATAIFA اإلمام المهدي عليه السالم أمل الشعوب Kimeandikwa na: Sheikh Hasan Musa as-saffar Kimetarjumiwa na: Abdul-Karim Juma Nkusui Kimehaririwa na: Alhaji Hemedi Lubumba

Διαβάστε περισσότερα

ii iii iv v vi vii viii ix x xi xii heru xiii xiv Wiki ya 1: Siku ya 21 Nyumbani Wanafunzi: (Tumia hatua ya 3 kufunza: makaa, kaka, matatu, ama, mti, taa). l ll Ufahamu wa herufi: Majina na sauti za herufi

Διαβάστε περισσότερα

Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~

Yaliyomo. ~ Ukurasa 3 ~ Maswali ya Maisha ~ Ukurasa 2 ~ Yaliyomo 1. Yesu ni nani? Ukurasa 5 2. Kwa nini Yesu alikufa msalabani? Ukurasa 12 3. Nitakuwaje na hakika juu ya Imani yangu? Ukurasa 18 4. Kwa nini nisome Biblia? Niisomeje?

Διαβάστε περισσότερα

i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM

i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM i Kiswahili (TE) Class 1.indd i 5/30/14 8:07 PM ii Kiswahili (TE) Class 1.indd ii 5/30/14 8:07 PM iii Kiswahili (TE) Class 1.indd iii 5/30/14 8:07 PM iv Kiswahili (TE) Class 1.indd iv 5/30/14 8:07 PM v

Διαβάστε περισσότερα

MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014

MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014 MUONGOZO RAHISI WA RAIA KUHUSU UCHAGUZI KATIKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014 UMEANDIKWA NA JIMMY LUHENDE Kimetolewa na Shirika la Kuimarisha Demokrasia na Tawala za Vijiji S.L.P 1631, Mwanza

Διαβάστε περισσότερα

IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU

IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU TUME YA UTUMISHI WA UMMA IDARA YA UTUMISHI WA MWALIMU WAJIBU MKUU WA MWALIMU Wajibu mkuu wa mwalimu ambao ndio Nguzo Tano za kazi ya ualimu ni:-.kwa MTOTO 2.KWA JUMUIYA 3.KWA KAZI YAKE 4.KWA TAIFA.KWA

Διαβάστε περισσότερα

Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo

Idghaam haiwezekani ikawa katika neno moja bali ni lazima nuwn saakinah au tanwiyn iweko mwisho wa neno la kwanza, na herufi inayoingizwa hiyo ii- الا د غا م Al-idghaam Kuingiza, kuchanganya. Idghaam ni kuingiza kitu kwenye kitu. Katika hukmu za Tajwiyd ni kuingiza herufi saakin kwenye herufi yenye i raab na kuzipelekea herufi mbili hizi kuwa

Διαβάστε περισσότερα

Critique of Humanism

Critique of Humanism 1437 2015, 3,27, 1437 2015,307 275, 3,27, * 1436 4 11 ; 1436 03 06 :, : :,, : :, ;,,,,,,, : Critique of Humanism Ahmad Ibn-Mohammed Allaheeb * King Saud University (Received 28/12/2014; accepted for publication

Διαβάστε περισσότερα

25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa.

25-Faharasa. Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw. Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa kuwa sahihi kabisa, rai inayokubalika kabisa. 25-Faharasa Neno Maana Yake Aaridhw as-sukuwn Ibaadah sukuwn pana ya kusimami neno. ibada Ahkaamut-Tajwiyd Alfaadhw Hukumu za Tawjiyd Matamshi. Tamshi moja ni lafdhw Arjah Iliyo na nguvu kabisa, inayodhaniwa

Διαβάστε περισσότερα

Mafundisho Ya Madhehebu

Mafundisho Ya Madhehebu Mafundisho Ya Madhehebu na Rod Rutherford Mtafsiri John Makanyaga www.kanisalakristo.com 1 Mafundisho ya Madhehebu Somo la Kwanza- Kanisa la Agano Jipya. Utangulizi 1. Kuna makundi ya kidini 2054 katika

Διαβάστε περισσότερα

Rulings on Fasting during Hajj

Rulings on Fasting during Hajj 1436 2015, 1,27, 1436 2015,78 43, 1,27, * 1435 04 10 ; 1435 03 08 ;,, :,,,,,,,,,,,,,, : Rulings on Fasting during Hajj Mohammad Abduh Hassir Awwaf Hummady* Jazan University (Received 09/01/2014; accepted

Διαβάστε περισσότερα

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII Mwongozo wa Taifa wa Sekta ya Afya Kuhusu Huduma na Kinga Dhidi ya Ukatili wa Kijinsia JUNI 2013 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA

Διαβάστε περισσότερα

KILIMO CHA ZAO LA VANILLA

KILIMO CHA ZAO LA VANILLA KILIMO CHA ZAO LA VANILLA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA IDARA YA MAENDELEO YA MAZAO Sehemu ya Uendelezaji wa Mazao KILIMO CHA ZAO LA VANILLA Kimetolewa na Jamhuri

Διαβάστε περισσότερα

SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO

SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO SURA YA 95 SHERIA YA MADAWA NA UZUIAJI WA USAFIRISHAJI WA MADAWA HARAMU SHERIA KUU MPANGILIO WA VIFUNGU SEHEMU YA 1 MASHARTI YA MWANZO Kifungu Jina 1. Jina fupi na matumizi 2. Tafsiri SEHEMU YA II KUUNDWA

Διαβάστε περισσότερα

Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania

Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania Jina la Mradi: Eneo Ulipo Mradi: Mmiliki wa Mradi: Mhusika: Mradi wa Misitu ya Jamii MJUMITA (Lindi) Wilaya ya Lindi Vijijini na Manispaa ya Lindi, Mkoa wa Lindi, Tanzania Wamiliki ni wengi (Halmashauri

Διαβάστε περισσότερα

( ). : : :.. : :. : : : : """ " " "... : "" ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ u

( ). : : :.. : :. : : : :    ... :  ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ u ( ). :. drtarig٩٩@yahoo.com :. :.. - ٧ ( ). : : :.. : :. : : : : """ " " "... : "" ( ) ( ) [ :] %[n%s3ïρ tβθã_ötƒ Ÿω ÉL 9$# Ï!$ ÏiΨ9$# z ÏΒ ß Ïã uθs)ø9$#uρ : ßìsùötƒ øœî)uρ :. š ÏiΒ ΟßγuΖ ušø ç/ ª!$# tar'sù

Διαβάστε περισσότερα

Z L L L N b d g 5 * " # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / / + 3 / / / / + * 4 / / 1 " 5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3 " #

Z L L L N b d g 5 *  # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / / + 3 / / / / + * 4 / / 1  5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3  # Z L L L N b d g 5 * " # $ % $ ' $ % % % ) * + *, - %. / 0 1 2 / + 3 / / 1 2 3 / / + * 4 / / 1 " 5 % / 6, 7 # * $ 8 2. / / % 1 9 ; < ; = ; ; >? 8 3 " # $ % $ ' $ % ) * % @ + * 1 A B C D E D F 9 O O D H

Διαβάστε περισσότερα

! " # $ % & $ % & $ & # " ' $ ( $ ) * ) * +, -. / # $ $ ( $ " $ $ $ % $ $ ' ƒ " " ' %. " 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 : ; ; < = : ; > : 0? @ 8? 4 A 1 4 B 3 C 8? D C B? E F 4 5 8 3 G @ H I@ A 1 4 D G 8 5 1 @ J C

Διαβάστε περισσότερα

) * +, -. + / - 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 6 : ; < 8 = 8 9 >? @ A 4 5 6 7 8 9 6 ; = B? @ : C B B D 9 E : F 9 C 6 < G 8 B A F A > < C 6 < B H 8 9 I 8 9 E ) * +, -. + / J - 0 1 2 3 J K 3 L M N L O / 1 L 3 O 2,

Διαβάστε περισσότερα

ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ

ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΜΟΝΑΧΟΥ ΑΜΑΣΚΗΝΟΥ ΓΡΗΓΟΡΙΑΤΟΥ ΜΩΥΣΕΩΣ KALENGA ΛΕΞΙΚΟΝ ΕΛΛΗΝΟ-ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΜΕ ΣΤΟΙΧΕΙΑ ΓΡΑΜΜΑΤΙΚΗΣ ΤΗΣ ΓΛΩΣΣΑΣ ΣΟΥΑΧΙΛΙ ΟΡΘΟ ΟΞΟΝ ΙΕΡΑΠΟΣΤΟΛΙΚΟΝ ΚΛΙΜΑΚΙΟΝ ΙΕΡΑΣ ΜΗΤΡΟΠΟΛΕΩΣ ΚΕΝΤΡΩΑΣ ΑΦΡΙΚΗΣ ΚΟΛΟΥΕΖΙ ΚΟΓΚΟ 1999

Διαβάστε περισσότερα

א א ١٠ ÉΑöθ sø9$î/ çµs9 #ρã yγøgrb Ÿωuρ Äc É< Ψ9$# ÏNöθ ¹ s öθsù öνä3s? uθô¹r& #þθãè sùös? Ÿω #θãζtβ# u t Ï%!$# $ pκš r' tƒ tβρâßêô±s? Ÿω óοçfρr&uρ öνä3è= yϑôãr& xýt7øtrb βr& CÙ èt7ï9öνà6åò è t/ Ìôγyfx..

Διαβάστε περισσότερα

W א א א א א א.

W א א א א א א. אא א א א א W א אא?א א א א א?א <

Διαβάστε περισσότερα

Ÿωuρ $pκš r' tƒ. < ø Ρ. ÏiΒ

Ÿωuρ $pκš r' tƒ. < ø Ρ. ÏiΒ 1 3 4 4 : tβθßϑî=ó Β ΝçFΡr&uρ ωî) è θèÿsc Ÿωuρ ϵÏ?$s)è?,ym!$# (#θà)?$# (#θãψtβ#u t Ï%!$# $pκš r' tƒ :- - #Z ÏWx. Zω%ỳ Í $uκåκ ]ÏΒ ]t/uρ $yγy_ ρy $pκ ]ÏΒ t,n=yzuρ ;οy Ïn uρ < ø Ρ ÏiΒ /ä3s)n=s{ Ï%!$# ãνä3

Διαβάστε περισσότερα

<<< ššš. ÎÎÎ Îh hh ( ) ZZZ. ööö

<<< ššš. ÎÎÎ Îh hh ( ) ZZZ. ööö ;;; ùù øø ((( èè éé ööö ää ((( ãã ªªª ÆÆÆ öö - - - -.. 44 4 ;M y y_u u y yš zz zοù z ù=ï Ïèø ø9$ $# (#θè è?ρé é& t Ï t Ï%!$ $#u uρ öνä ä3ζï ÏΒ (#θã ãζt tβ#u u t Ï t Ï%!$ $# ª!$ $# Æìs sùö ö t tƒ - - :

Διαβάστε περισσότερα

The extent of Islamic Education basic stage Textbooks to ensure the developmental listening skills for the activities of Holly Quran

The extent of Islamic Education basic stage Textbooks to ensure the developmental listening skills for the activities of Holly Quran 438 27,,29, 438 27,83 67,,29, 438 4 7 ; 437 8 :, %32, 62 48 :,,,,,,,,,, : The extent of Islamic Education basic stage Textbooks to ensure the developmental listening skills for the activities of Holly

Διαβάστε περισσότερα

() ( ) - - ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( )

() ( ) - - ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) () () ( ) - - ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) () - - - - " ( ) " - - ( ) () ( ) ( ) ( ) ) ( ) ( ) ( ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ) () ( ) ( ) ( ) ( ) ( ) ( ( ) ( ) ) ( ) ) ( ( ) ( ) ( ) ( ( ) ( ) (

Διαβάστε περισσότερα

rs r r â t át r st tíst Ó P ã t r r r â

rs r r â t át r st tíst Ó P ã t r r r â rs r r â t át r st tíst P Ó P ã t r r r â ã t r r P Ó P r sã rs r s t à r çã rs r st tíst r q s t r r t çã r r st tíst r t r ú r s r ú r â rs r r â t át r çã rs r st tíst 1 r r 1 ss rt q çã st tr sã

Διαβάστε περισσότερα

ﺷﺮ ﻢﻠﺴﻟﻤ ﻦﺼﺣ ﺔﻨﺴﻟ ﺎﺘﻜﻟ ﻛﺎ ﻦﻣ א! א א ﻢﻠﺴﻟﻤ ﻦﺼ ﺣ ﻒﻟﺆﻣ ﻪﻴﻠﻋ ﻖﻠﻋ ﻪﺤﺤﺻ

ﺷﺮ ﻢﻠﺴﻟﻤ ﻦﺼﺣ ﺔﻨﺴﻟ ﺎﺘﻜﻟ ﻛﺎ ﻦﻣ א! א א ﻢﻠﺴﻟﻤ ﻦﺼ ﺣ ﻒﻟﺆﻣ ﻪﻴﻠﻋ ﻖﻠﻋ ﻪﺤﺤﺻ رش حصن ملسلم من اك لكتا لسنة א אא صححه علق عليه مو لف حصن ملسلم 2010-1431 òäûaë@lbnøûa@ b c@åß@áü½a@å y@š @ îz m@pbçì ìß@šèï @pbçì ìß@šèï@ @R,,,,,,,,,,,, :,,,,,,,,,,, :,, ١ ٢ =,, : ٣ @òäûaë@lbnøûa@ b c@åß@áü½a@å

Διαβάστε περισσότερα

ss rt çã r s t Pr r Pós r çã ê t çã st t t ê s 1 t s r s r s r s r q s t r r t çã r str ê t çã r t r r r t r s

ss rt çã r s t Pr r Pós r çã ê t çã st t t ê s 1 t s r s r s r s r q s t r r t çã r str ê t çã r t r r r t r s P P P P ss rt çã r s t Pr r Pós r çã ê t çã st t t ê s 1 t s r s r s r s r q s t r r t çã r str ê t çã r t r r r t r s r t r 3 2 r r r 3 t r ér t r s s r t s r s r s ér t r r t t q s t s sã s s s ér t

Διαβάστε περισσότερα

P P Ó P. r r t r r r s 1. r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s. Pr s t P r s rr. r t r s s s é 3 ñ

P P Ó P. r r t r r r s 1. r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s. Pr s t P r s rr. r t r s s s é 3 ñ P P Ó P r r t r r r s 1 r r ó t t ó rr r rr r rí st s t s Pr s t P r s rr r t r s s s é 3 ñ í sé 3 ñ 3 é1 r P P Ó P str r r r t é t r r r s 1 t r P r s rr 1 1 s t r r ó s r s st rr t s r t s rr s r q s

Διαβάστε περισσότερα

( ) א : ( ) : - " : - : ( ). " " : " :..".." " : ( ).. :. : : : ( ) (/ ) () - -.( / ).() ( ) ( ).( / ) ( ).( - ) ( )

( ) א : ( ) : -  : - : ( ).   :  :....  : ( ).. :. : : : ( ) (/ ) () - -.( / ).() ( ) ( ).( / ) ( ).( - ) ( ) א א א מא אאא אא ( ) א : ( ) : - " : - : ( ). " " : " :..".." " : ( ).. :. : : : ( ) (/ ) () - -.( / ).() ( ) ( ).( / ) ( ).( - ) ( ) " " - -... :א : -.. -. -. -. - :אא - - -. : -. -. - - -. -. -.. - -

Διαβάστε περισσότερα

MENTAL TROPES IN THE HOLY QUR`AN NAZEER HUSSEIN EMRITTE. submitted in accordance with the requirements for the degree of

MENTAL TROPES IN THE HOLY QUR`AN NAZEER HUSSEIN EMRITTE. submitted in accordance with the requirements for the degree of MENTAL TROPES IN THE HOLY QUR`AN by NAZEER HUSSEIN EMRITTE submitted in accordance with the requirements for the degree of DOCTOR OF LITERATURE AND PHILOSOPHY in the subject ARABIC at the UNIVERSITY OF

Διαβάστε περισσότερα

Ανώτερα Μαθηματικά ΙI

Ανώτερα Μαθηματικά ΙI Ανοικτά Ακαδημαϊκά Μαθήματα Τεχνολογικό Εκπαιδευτικό Ίδρυμα Αθήνας Ανώτερα Μαθηματικά ΙI Ενότητα 2: Αναλυτική Γεωμετρία Αθανάσιος Μπράτσος Τμήμα Πολιτικών Μηχ.ΤΕ και Μηχ. Τοπογραφίας & Γεωπληροφορικής

Διαβάστε περισσότερα

حفظ النفس بين الدين والفلسفة

حفظ النفس بين الدين والفلسفة è!! ó nn ÄÄÄ Ï ÉÉ ZZZ ZZZ éé VV VV ppmm În nn أبحاث ووقاي ع المو تمر العام الثانى والعشرين حفظ النفس بين الدين والفلسفة أ.د. أحمد محمد هليل قاضى القضاة / إمام الحضرة الهاشمية الهاشمية الا ردنية المملكة

Διαβάστε περισσότερα

: :

: : -. - : - : translation@dawateislami.net : overseas@dawateislami.net : www.dawateislami.net : :.. :. ٦ " " :. ٧ :. :." ". : ٨ . : ß ômr& ô tβuρ :.[ / : ] $[sî= ¹ Ÿ Ïϑtãuρ «!$# n

Διαβάστε περισσότερα

Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake.

Ni hamzah inayotamkwa katika neno na haitamkwi (hutoweka) wakati wa kuunganisha na neno la nyuma yake. ### ôô ÍÍÍ 444 nn ííí nn ß ôô ppøø ÈÈÈ èè knganiha: Hamzal-Wawl Hamza a هم ز ة ال و ص ل Ni hamzah inaoamkwa kaika neno na haiamkwi howeka) wakai wa knganiha na neno la nma ake. Inaiwa Wawl kwa abab inapelekea

Διαβάστε περισσότερα

(#θèù ρr& 4 n< ρr& $ ÏΨ xî

(#θèù ρr& 4 n< ρr& $ ÏΨ xî " " " " " " " - - " " " " " " : " " " : " : " " " ! : (#θä9ï ôã$$sù óοçfù=è% #sœî) uρ ) : ( 4 4 ( 4 ( šχρã x s? /ä3ª= yès9 ϵÎ/ Νä38 ¹uρ öνà6ï9 sœ (#θèù ρr& «! $# Ï ôγ yèî/ uρ 4 n1öè% # sœ tβ%ÿ2 öθs9uρ

Διαβάστε περισσότερα

(! )! " (S.S)-. + #, $ % &' ( )* $! / :;:<9::=>>? 4 5 : 6 A B C 7 1 )* ( F D>EE / G:99

(! )!  (S.S)-. + #, $ % &' ( )* $! / :;:<9::=>>? 4 5 : 6 A B C 7 1 )* ( F D>EE / G:99 ( ) (S.S) / .١.-.٢ -..٣.- "".. " ""." "". "." ""..... .............. ). ( "" " " (S1).. ...... (LIPIA).. ..... ) ( ...................................... .................................... ........

Διαβάστε περισσότερα

v w = v = pr w v = v cos(v,w) = v w

v w = v = pr w v = v cos(v,w) = v w Íö Ú Ò ÔÖ Ø Ô Ö ÔÖ ØÝ Ô Ð Ùö Ú ÒÝÒ ÝÖ Ð ÓØ Ó µ º ºÃÐ ØÒ Ë ÓÖÒ Þ ÔÓ ÒÐ Ø Ó ÓÑ ØÖ ½ ÁÞ Ø Ð ØÚÓ Æ Ù Å Ú º ÖÙ µº Ã Ø Ùö Ú Ò ÝÖ Ú Ø ÒÅ ØØÔ»»ÛÛÛºÑ ºÚÙºÐØ» Ø ÖÓ» ¾» л Ò Ó» ÓÑ ÙÞ º ØÑ ½ Î ØÓÖ Ð Ö ÒÅ Ö Ú ØÓÖ ÒÅ

Διαβάστε περισσότερα

U

U U åä Ûa@æbîÇc@ bèuë ³ÐÛa@të y V W åä Ûa@æbîÇc@ bèuë ³ÐÛa@të y Acknowledgment X As per Hadith "People who are ungrateful for minor thing are ungrateful for major thing as well. And those who don t thank

Διαβάστε περισσότερα

: :

: : فراي د اسلس ورررر ال ijk :. : : noon@p-ol.com www.islamnoon.com : : - .................... ..................... ( ) :... ()... () (). ().. / .. ( ).... 160... !!! oo ß «««ÂÂÂ ùùù ÌÌ Nθä ä9$y yfî Î/

Διαβάστε περισσότερα

: :

: : -. - : - : translation@dawateislami.net : overseas@dawateislami.net : www.dawateislami.net : :.. : ٦ :. ٧ : :». «! :. "".( ) / ١١ :. :. :. : : ١٢ » :. :. :. : :. «. : "" /.().() / " " / " ". / " " (

Διαβάστε περισσότερα

2?nom. Bacc. 2 nom. acc. S <u. >nom. 7acc. acc >nom < <

2?nom. Bacc. 2 nom. acc. S <u. >nom. 7acc. acc >nom < < K+P K+P PK+ K+P - _+ l Š N K - - a\ Q4 Q + hz - I 4 - _+.P k - G H... /.4 h i j j - 4 _Q &\\ \\ ` J K aa\ `- c -+ _Q K J K -. P.. F H H - H - _+ 4 K4 \\ F &&. P H.4 Q+ 4 G H J + I K/4 &&& && F : ( -+..

Διαβάστε περισσότερα

QWWWWWWE A D A D A D A D A D A D A D A D A D

QWWWWWWE A D A D A D A D A D A D A D A D A D QWWWWWWE A D A D A D A D A D A D A D A D A D A D Conveying Islamic Message Society Site: wwwislamic-messagenet A E-mail: info_en@islamic-messagenet D PO Box 834 Alex Egypt Tel: (002) 0106901838 ZXXXXXXC

Διαβάστε περισσότερα

ΑΠΑΝΤΗΣΕΙΣ ΑΛΓΕΒΡΑΣ Α ΛΥΚΕΙΟΥ

ΑΠΑΝΤΗΣΕΙΣ ΑΛΓΕΒΡΑΣ Α ΛΥΚΕΙΟΥ ΕΡΩΤΗΣΕΙΣ ΚΑΤΑΝΟΗΣΗΣ ΑΠΑΝΤΗΣΕΙΣ ΑΛΓΕΒΡΑΣ Α ΛΥΚΕΙΟΥ ΚΕΦΑΛΑΙΟ ο : ΠΡΑΓΜΑΤΙΚΟΙ ΑΡΙΘΜΟΙ. Σωστό. Σωστό. Σωστό 4. Λάθος 5. Σωστό 6. Λάθος 7. Σωστό 8. Λάθος 9. Σωστό 0. Λάθος. Λάθος a. Σωστό b. Λάθος c. Λάθος

Διαβάστε περισσότερα

ðñüübi pbïüb a óïèím ójé

ðñüübi pbïüb a óïèím ójé 1 بسم االله الرحمن الرحيم تشرف با عداد هذا الكتاب ðñüübipbïüb aóïèímójé وزارة الشو ون الا سلامية والا وقاف والدعوة والا رشاد الزلفي - 11932 ص.ب: 182 ت: - 064234466 فاآس: 064234477 حساب الطباعة: - 1/6960

Διαβάστε περισσότερα

r r t r r t t r t P s r t r P s r s r r rs tr t r r t s ss r P s s t r t t tr r r t t r t r r t t s r t rr t Ü rs t 3 r r r 3 rträ 3 röÿ r t

r r t r r t t r t P s r t r P s r s r r rs tr t r r t s ss r P s s t r t t tr r r t t r t r r t t s r t rr t Ü rs t 3 r r r 3 rträ 3 röÿ r t r t t r t ts r3 s r r t r r t t r t P s r t r P s r s r P s r 1 s r rs tr t r r t s ss r P s s t r t t tr r 2s s r t t r t r r t t s r t rr t Ü rs t 3 r t r 3 s3 Ü rs t 3 r r r 3 rträ 3 röÿ r t r r r rs

Διαβάστε περισσότερα

التجديد فى المقاصد. Î ÎÎ Îû ÏÏÏ ÇÇÇ ŸŸŸ. 4 Νä ää Ï ÏÏ ÏΒ $ Β ÉÉÉ. ííí HHH &&&

التجديد فى المقاصد. Î ÎÎ Îû ÏÏÏ ÇÇÇ ŸŸŸ. 4 Νä ää Ï ÏÏ ÏΒ $ Β ÉÉÉ. ííí HHH &&& ççç 999 ÈÈ ŸŸŸ ÇÇÇ öö FF 777!! &&& óó ÉÉÉ ÅÅ øø ôô øø ííí éé HHH Ï øø oo pp أبحاث ووقاي ع المو تمر العام الثانى والعشرين التجديد فى المقاصد أ. د / محمد الشحات الجندى أمين عام المجلس ومقرر عام المو تمر

Διαβάστε περισσότερα

Im{z} 3π 4 π 4. Re{z}

Im{z} 3π 4 π 4. Re{z} ! #"!$%& '(!*),+- /. '( 0 213. $ 1546!.17! & 8 + 8 9:17!; < = >+ 8?A@CBEDF HG

Διαβάστε περισσότερα

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Διατακτικοί αριθμοί. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Διατακτικοί αριθμοί. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Ενότητα: Διατακτικοί αριθμοί Γιάννης Μοσχοβάκης Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Σημειώματα Σημειώμα ιστορικού εκδόσεων έργου Το παρόν έργο αποτελεί την έκδοση 1.1. Εχουν προηγηθεί οι κάτωθι

Διαβάστε περισσότερα

... 5 A.. RS-232C ( ) RS-232C ( ) RS-232C-LK & RS-232C-MK RS-232C-JK & RS-232C-KK

... 5 A.. RS-232C ( ) RS-232C ( ) RS-232C-LK & RS-232C-MK RS-232C-JK & RS-232C-KK RS-3C WIWM050 014.1.9 P1 :8... 1... 014.0.1 1 A... 014.0. 1... RS-3C()...01.08.03 A.. RS-3C()...01.08.03 3... RS-3C()... 003.11.5 4... RS-3C ()... 00.10.01 5... RS-3C().008.07.16 5 A.. RS-3C().0 1.08.

Διαβάστε περισσότερα

Q π (/) ^ ^ ^ Η φ. <f) c>o. ^ ο. ö ê ω Q. Ο. o 'c. _o _) o U 03. ,,, ω ^ ^ -g'^ ο 0) f ο. Ε. ιη ο Φ. ο 0) κ. ο 03.,Ο. g 2< οο"" ο φ.

Q π (/) ^ ^ ^ Η φ. <f) c>o. ^ ο. ö ê ω Q. Ο. o 'c. _o _) o U 03. ,,, ω ^ ^ -g'^ ο 0) f ο. Ε. ιη ο Φ. ο 0) κ. ο 03.,Ο. g 2< οο ο φ. II 4»» «i p û»7'' s V -Ζ G -7 y 1 X s? ' (/) Ζ L. - =! i- Ζ ) Η f) " i L. Û - 1 1 Ι û ( - " - ' t - ' t/î " ι-8. Ι -. : wî ' j 1 Τ J en " il-' - - ö ê., t= ' -; '9 ',,, ) Τ '.,/,. - ϊζ L - (- - s.1 ai

Διαβάστε περισσότερα

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Επιλογής επόμενα. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Επιλογής επόμενα. Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Ενότητα: Επιλογής επόμενα Γιάννης Μοσχοβάκης Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Σημειώματα Σημειώμα ιστορικού εκδόσεων έργου Το παρόν έργο αποτελεί την έκδοση 1.1. Εχουν προηγηθεί οι κάτωθι

Διαβάστε περισσότερα

Purposive Analysis: Inculcation and Application

Purposive Analysis: Inculcation and Application 1437 2016, 1,28, 1437 2016,97 53, 1,28, : * 1436 07 28 ; 1436 06 27,, :,,, :,,,,,,, : Purposive Analysis: Inculcation and Application Mushref Ahmad Jama'n Al-Zahrani* Prince Sattam bin Abdulaziz University

Διαβάστε περισσότερα

+ z, όπου I x, I y, I z είναι οι ροπές αδράνειας

+ z, όπου I x, I y, I z είναι οι ροπές αδράνειας r Έστω κβαντικός περιστροφέας ολικής στροφορμής J, που περιγράφεται από Jx J y J τη Χαμιλτονιανή H = z, όπου I x, I y, I z είναι οι ροπές αδράνειας I x I y I z του περιστροφέα ως προς τους άξονες x,y,z,

Διαβάστε περισσότερα

Radio détection des rayons cosmiques d ultra-haute énergie : mise en oeuvre et analyse des données d un réseau de stations autonomes.

Radio détection des rayons cosmiques d ultra-haute énergie : mise en oeuvre et analyse des données d un réseau de stations autonomes. Radio détection des rayons cosmiques d ultra-haute énergie : mise en oeuvre et analyse des données d un réseau de stations autonomes. Diego Torres Machado To cite this version: Diego Torres Machado. Radio

Διαβάστε περισσότερα

M 2. T = 1 + κ 1. p = 1 + κ 1 ] κ. ρ = 1 + κ 1 ] 1. 2 κ + 1

M 2. T = 1 + κ 1. p = 1 + κ 1 ] κ. ρ = 1 + κ 1 ] 1. 2 κ + 1 Å Ü Ò ÙÐØ Ø ÍÒ Ú ÖÞ Ø Ø Ù Ó Ö Ù Ã Ø Ö Þ Ñ Ò Ù ÐÙ Ð Ò Ö Ëº Ó Ì Ä ÈÊÇÊ ÉÍÆ Æ ÃÁÀ ËÌÊÍ ËÌÁ ÁÎÇ ÄÍÁ Á ÆÌÊÇÈËÃ Ê Ä Á κ = 1.4µ ½ ½ ÁÞ ÒØÖÓÔ Ö Ð ÃÓÖ Ø Ò ÑÓ Þ Þ ÒØÖÓÔ Ó ØÖÙ ½ Ú ÔÓÑÓ Ù Ò ÜÙ ØÓØ ÐÒ Ú Ð Õ Ò Ø Ø

Διαβάστε περισσότερα

Alterazioni del sistema cardiovascolare nel volo spaziale

Alterazioni del sistema cardiovascolare nel volo spaziale POLITECNICO DI TORINO Corso di Laurea in Ingegneria Aerospaziale Alterazioni del sistema cardiovascolare nel volo spaziale Relatore Ing. Stefania Scarsoglio Studente Marco Enea Anno accademico 2015 2016

Διαβάστε περισσότερα

2 SFI

2 SFI ų 2009 2 Û 9  ¼ Ü «Ë ÐÁ Û ¼ÞÝÁ «Ð¼Â ß Ú Ì ÑÓ ±¼ ¼µÕ Û (Santa Fe) «Đ Þ ¼± «ÐÐÇ ¾ ¼Ï ««¼ Ã«Ø Ú Ó Ý¼ºÏ «Å Å ¾»«¼ É ½ ÒØ ÒÚ Ç 1944 ²Ì ¼ ÉÌ (Patrick J. Hurley, 1883 1963) ¼È Ë 1984 ÞÎ ¼ Ë ÉÜ Ò «Þ Þ ÅÌÞ Ù

Διαβάστε περισσότερα

Forêts aléatoires : aspects théoriques, sélection de variables et applications

Forêts aléatoires : aspects théoriques, sélection de variables et applications Forêts aléatoires : aspects théoriques, sélection de variables et applications Robin Genuer To cite this version: Robin Genuer. Forêts aléatoires : aspects théoriques, sélection de variables et applications.

Διαβάστε περισσότερα

Μαθηματικά ΙΙΙ. Ανοικτά Ακαδημαϊκά Μαθήματα. Ενότητα 10: Μέθοδος Ελάχιστων Τετραγώνων. Αθανάσιος Μπράτσος. Τμήμα Μηχανικών Ενεργειακής Τεχνολογίας ΤΕ

Μαθηματικά ΙΙΙ. Ανοικτά Ακαδημαϊκά Μαθήματα. Ενότητα 10: Μέθοδος Ελάχιστων Τετραγώνων. Αθανάσιος Μπράτσος. Τμήμα Μηχανικών Ενεργειακής Τεχνολογίας ΤΕ Ανοικτά Ακαδημαϊκά Μαθήματα Τεχνολογικό Εκπαιδευτικό Ίδρυμα Αθήνας Μαθηματικά ΙΙΙ Ενότητα 10: Μέθοδος Ελάχιστων Τετραγώνων Αθανάσιος Μπράτσος Τμήμα Μηχανικών Ενεργειακής Τεχνολογίας ΤΕ Το περιεχόμενο του

Διαβάστε περισσότερα

u = 0 u = ϕ t + Π) = 0 t + Π = C(t) C(t) C(t) = K K C(t) ϕ = ϕ 1 + C(t) dt Kt 2 ϕ = 0

u = 0 u = ϕ t + Π) = 0 t + Π = C(t) C(t) C(t) = K K C(t) ϕ = ϕ 1 + C(t) dt Kt 2 ϕ = 0 u = (u, v, w) ω ω = u = 0 ϕ u u = ϕ u = 0 ϕ 2 ϕ = 0 u t = u ω 1 ρ Π + ν 2 u Π = p + (1/2)ρ u 2 + ρgz ω = 0 ( ϕ t + Π) = 0 ϕ t + Π = C(t) C(t) C(t) = K K C(t) ϕ = ϕ 1 + C(t) dt Kt C(t) ϕ ϕ 1 ϕ = ϕ 1 p ρ

Διαβάστε περισσότερα

Ó³ Ÿ , º 1(130).. 7Ä ±μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê

Ó³ Ÿ , º 1(130).. 7Ä ±μ. Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê Ó³ Ÿ. 006.. 3, º 1(130).. 7Ä16 Š 530.145 ˆ ƒ ˆ ˆŒ ˆŸ Š ƒ.. ±μ Ñ Ò É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ, Ê É μ ² Ö Ó μ μ Ö μ μ²õ μ É μ ÌÉ ±ÊÎ É ² ³ É μ - Î ±μ μ ÊÌ ±μ Ëμ ³ μ- ±² μ ÒÌ ³μ ²ÖÌ Ê ±. ³ É ÔÉμ μ μ μ Ö, Ö ²ÖÖ Ó ±μ³

Διαβάστε περισσότερα

ΑΣΚΗΣΕΙΣ ΣΤΟΥΣ ΜΙΓΑΔΙΚΟΥΣ

ΑΣΚΗΣΕΙΣ ΣΤΟΥΣ ΜΙΓΑΔΙΚΟΥΣ ν ν æ α + i ö æ i - α ö Να βρείτε όλες τις τιμές της παράστασης Α = ç, νî Ν αi + ç αi è - ø è + ø και α Î R Να αναλύσετε το μιγαδικό = 5 + i σε άθροισμα δύο μιγαδικών,, των οποίων οι εικόνες βρίσκονται

Διαβάστε περισσότερα

20.2.5 Å/ ÅÃ... YD/ kod... 130

20.2.5 Å/ ÅÃ... YD/ kod... 130 Περιεχόμενα 13 Ψάχνοντας υποαπασχόληση 1 13.1 Διάλογοι.................................................. 1 13.1.1 Ÿ º Â È Ç½µ¹ Å»µ¹..................................... 1 13.1.2 Ä µãä¹±äìá¹...........................................

Διαβάστε περισσότερα

Déformation et quantification par groupoïde des variétés toriques

Déformation et quantification par groupoïde des variétés toriques Défomation et uantification pa goupoïde de vaiété toiue Fédéic Cadet To cite thi veion: Fédéic Cadet. Défomation et uantification pa goupoïde de vaiété toiue. Mathématiue [math]. Univeité d Oléan, 200.

Διαβάστε περισσότερα

Teaching strategies contained in the Koran Alkarim- analysis of Al-Baqara Surah

Teaching strategies contained in the Koran Alkarim- analysis of Al-Baqara Surah 14392017,3,29, 1658 7677: 14392017,459 435,3,29, 1 14390130 ;14380516,, :,,,,,,,,23%,, 169,, : Teaching strategies contained in the Koran Alkarim- analysis of Al-Baqara Surah Hayam Nasreldin Abdu Ramadan

Διαβάστε περισσότερα

ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΗ ΙΠΛΩΜΑΤΙΚΗ ΕΡΓΑΣΙΑ. Ελευθερίου Β. Χρυσούλα. Επιβλέπων: Νικόλαος Καραμπετάκης Καθηγητής Α.Π.Θ.

ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΗ ΙΠΛΩΜΑΤΙΚΗ ΕΡΓΑΣΙΑ. Ελευθερίου Β. Χρυσούλα. Επιβλέπων: Νικόλαος Καραμπετάκης Καθηγητής Α.Π.Θ. ΑΡΙΣΤΟΤΕΛΕΙΟ ΠΑΝΕΠΙΣΤΗΜΙΟ ΘΕΣΣΑΛΟΝΙΚΗΣ ΤΜΗΜΑ ΜΑΘΗΜΑΤΙΚΩΝ ΜΕΤΑΠΤΥΧΙΑΚΟ ΠΡΟΓΡΑΜΜΑ ΣΠΟΥ ΩΝ ΘΕΩΡΗΤΙΚΗ ΠΛΗΡΟΦΟΡΙΚΗ ΚΑΙ ΘΕΩΡΙΑ ΣΥΣΤΗΜΑΤΩΝ ΚΑΙ ΕΛΕΓΧΟΥ Αναγνώριση συστημάτων με δεδομένη συνεχή και κρουστική συμπεριφορά

Διαβάστε περισσότερα

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Τα πάντα σύνολα; Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών

Θεωρία Συνόλων. Ενότητα: Τα πάντα σύνολα; Γιάννης Μοσχοβάκης. Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Ενότητα: Τα πάντα σύνολα; Γιάννης Μοσχοβάκης Τμήμα Μαθηματικών Θεωρία Συνόλων Σημειώματα Σημειώμα ιστορικού εκδόσεων έργου Το παρόν έργο αποτελεί την έκδοση 1.1. Εχουν προηγηθεί οι κάτωθι

Διαβάστε περισσότερα

Αλγόριθμοι Δικτύων και Πολυπλοκότητα Προσεγγιστικοί Αλγόριθμοι. Άρης Παγουρτζής

Αλγόριθμοι Δικτύων και Πολυπλοκότητα Προσεγγιστικοί Αλγόριθμοι. Άρης Παγουρτζής Αλγόριθμοι Δικτύων και Πολυπλοκότητα Προσεγγιστικοί Αλγόριθμοι Άρης Παγουρτζής Άδεια Χρήσης Το παρόν εκπαιδευτικό υλικό υπόκειται σε άδειες χρήσης Creative Commons. Για εκπαιδευτικό υλικό, όπως εικόνες,

Διαβάστε περισσότερα

Προσομοίωση Δημιουργία τυχαίων αριθμών

Προσομοίωση Δημιουργία τυχαίων αριθμών Σχολή Ηλεκτρολόγων Μηχανικών και Μηχανικών Υπολογιστών Εθνικό Μετσόβιο Πολυτεχνείο Επίδοση Υπολογιστικών Συστημάτων Α.-Γ. Σταφυλοπάτης Προσομοίωση Δημιουργία τυχαίων αριθμών Άδεια Χρήσης Το παρόν εκπαιδευτικό

Διαβάστε περισσότερα

2011 Ð 5 ACTA MATHEMATICAE APPLICATAE SINICA May, ( MR(2000) ß Â 49J20; 47H10; 91A10

2011 Ð 5 ACTA MATHEMATICAE APPLICATAE SINICA May, (  MR(2000) ß Â 49J20; 47H10; 91A10 À 34 À 3 Ù Ú ß Vol. 34 No. 3 2011 Ð 5 ACTA MATHEMATICAE APPLICATAE SINICA May, 2011 Á É ÔÅ Ky Fan Ë ÍÒ ÇÙÚ ( ¾±» À ¾ 100044) (Ø À Ø 550025) (Email: dingtaopeng@126.com) Ü Ö Ë»«Æ Đ ĐÄ Ï Þ Å Ky Fan Â Ï Ò¹Ë

Διαβάστε περισσότερα

Meren virsi Eino Leino

Meren virsi Eino Leino œ_ œ _ q = 72 Meren virsi Eino Leino Toivo Kuua o. 11/2 (1909) c c F c Kun ne F iu L? c œ J J J J œ_ œ_ nœ_ Min ne rien nät, vie ri vä vir ta? Kun ne c c F c Kun ne F iu L? c œ J J J J œ_ œ_ nœ_ Min ne

Διαβάστε περισσότερα

ööö ( (( y y s s s s s s s s y y t t ãã r r t t u u

ööö ( (( y y s s s s s s s s y y t t ãã r r t t u u تا چگف چكد چكد لعبا لعبا ملحسن ملحسن بن محد عبد çç öö ÝÝ åå S,,,,,,,, öνç çλ ; #Z ZZ Zö öz β%39 Ï ÏµÎ Î/ βθý Ýà ãθã ãƒ$ Β (#θè è=èùöνå åκ Ξ& öθ9ρ : ÈÈÈ Èe ee àà ÅÅ Åe ee çç z z ää öö ZZZ çç m m ÅÅ õõ ùù

Διαβάστε περισσότερα

UDC. An Integral Equation Problem With Shift of Several Complex Variables 厦门大学博硕士论文摘要库

UDC. An Integral Equation Problem With Shift of Several Complex Variables 厦门大学博硕士论文摘要库 ß¼ 0384 9200852727 UDC Î ± À» An Integral Equation Problem With Shift of Several Complex Variables Û Ò ÖÞ Ô ²» Ý Õ Ø ³ÇÀ ¼ 2 0 º 4 Ñ ³ÇÙÐ 2 0 º Ñ Ä ¼ 2 0 º Ñ ÄÞ Ê Ã Ö 20 5  Š¾ º ½ É É Ç ¹ ¹Ý É ½ ÚÓÉ

Διαβάστε περισσότερα

P t s st t t t t2 t s st t t rt t t tt s t t ä ör tt r t r 2ö r t ts t t t t t t st t t t s r s s s t är ä t t t 2ö r t ts rt t t 2 r äärä t r s Pr r

P t s st t t t t2 t s st t t rt t t tt s t t ä ör tt r t r 2ö r t ts t t t t t t st t t t s r s s s t är ä t t t 2ö r t ts rt t t 2 r äärä t r s Pr r r s s s t t P t s st t t t t2 t s st t t rt t t tt s t t ä ör tt r t r 2ö r t ts t t t t t t st t t t s r s s s t är ä t t t 2ö r t ts rt t t 2 r äärä t r s Pr r t t s st ä r t str t st t tt2 t s s t st

Διαβάστε περισσότερα

ΛΥΣΕΙΣ. f(x) = g(x)+c. Α2. ί. Ποια είναι η γεωμετρική ερμηνεία του Θεωρήματος Μέσης Τιμής του διαφορικού λογισμού;; (Να κάνετε πρόχειρο σχήμα).

ΛΥΣΕΙΣ. f(x) = g(x)+c. Α2. ί. Ποια είναι η γεωμετρική ερμηνεία του Θεωρήματος Μέσης Τιμής του διαφορικού λογισμού;; (Να κάνετε πρόχειρο σχήμα). ΛΥΣΕΙΣ ΠΑΝΕΛΛΑΔΙΚΕΣ ΕΞΕΤΑΣΕΙΣ Γ ΤΑΞΗΣ ΗΜΕΡΗΣΙΟΥ ΓΕΝΙΚΟΥ ΛΥΚΕΙΟΥ ΠΡΟΣΟΜΟΙΩΣΗ ΘΕΜΑΤΩΝ ΚΥΡΙΑΚΗ, 3 ΑΠΡΙΛΙΟΥ 7 ΕΞΕΤΑΖΟΜΕΝΟ ΜΑΘΗΜΑ: ΜΑΘΗΜΑΤΙΚΑ ΠΡΟΣΑΝΑΤΟΛΙΣΜΟΥ ΘΕΤΙΚΩΝ ΣΠΟΥΔΩΝ ΚΑΙ ΣΠΟΥΔΩΝ ΟΙΚΟΝΟΜΙΑΣ ΚΑΙ ΠΛΗΡΟΦΟΡΙΚΗΣ

Διαβάστε περισσότερα

ACTA MATHEMATICAE APPLICATAE SINICA Nov., ( µ ) ( (

ACTA MATHEMATICAE APPLICATAE SINICA Nov., ( µ ) (  ( 35 Þ 6 Ð Å Vol. 35 No. 6 2012 11 ACTA MATHEMATICAE APPLICATAE SINICA Nov., 2012 È ÄÎ Ç ÓÑ ( µ 266590) (E-mail: jgzhu980@yahoo.com.cn) Ð ( Æ (Í ), µ 266555) (E-mail: bbhao981@yahoo.com.cn) Þ» ½ α- Ð Æ Ä

Διαβάστε περισσότερα

Ó³ Ÿ , º 3(180).. 313Ä320

Ó³ Ÿ , º 3(180).. 313Ä320 Ó³ Ÿ. 213.. 1, º 3(18).. 313Ä32 ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ. ˆŸ ˆŸ ƒ ƒ Ÿ ˆ Š ˆ Šˆ Š ŒŒ ˆ ˆ ˆ ˆ ˆ Œ ˆŠ.. μ a, Œ.. Œ Í ± μ,. ƒ. ²Ò ± a ˆ É ÉÊÉ Ö ÒÌ ² μ μ ±μ ± ³ ʱ, Œμ ± ÊÎ μ- ² μ É ²Ó ± É ÉÊÉ Ö μ Ë ± ³... ±μ ²ÓÍÒ

Διαβάστε περισσότερα

B G [0; 1) S S # S y 1 ; y 3 0 t 20 y 2 ; y 4 0 t 20 y 1 y 2 h n t: r = 10 5 ; a = 10 6 ei n = ỹi n y i t n ); i = 1; 3: r = 10 5 ; a = 10 6 ei n = ỹi n y i t n ); i = 2; 4: r = 10 5 ; a = 10 6 t = 20

Διαβάστε περισσότερα

ss rt çã r s t à rs r ç s rt s 1 ê s Pr r Pós r çã ís r t çã tít st r t

ss rt çã r s t à rs r ç s rt s 1 ê s Pr r Pós r çã ís r t çã tít st r t ss rt çã r s t à rs r ç s rt s 1 ê s Pr r Pós r çã ís r t çã tít st r t FichaCatalografica :: Fichacatalografica https://www3.dti.ufv.br/bbt/ficha/cadastrarficha/visua... Ficha catalográfica preparada

Διαβάστε περισσότερα

Š ˆ ˆ Šˆ Šˆ ˆ Šˆ ˆ Š ˆˆ ˆ Ÿ Œ ƒ ˆ œ Šˆ ˆ ˆ Š Œ 1 n 1,6

Š ˆ ˆ Šˆ Šˆ ˆ Šˆ ˆ Š ˆˆ ˆ Ÿ Œ ƒ ˆ œ Šˆ ˆ ˆ Š Œ 1 n 1,6 Ó³ Ÿ. 2013.. 10, º 3(180).. 376Ä388 ˆ ˆŠ Œ ˆ ˆ Œ ƒ Ÿ. ˆŸ Š ˆ ˆ Šˆ Šˆ ˆ Šˆ ˆ Š ˆˆ ˆ Ÿ Œ ƒ ˆ œ Šˆ ˆ ˆ Š Œ 1 n 1,6.. Œ Ì,.. É±μ ±μ μ Ê É Ò Ê É É, Ó, μ Ö μé Ò μ± μ ² Î ± É Î ± Ì ÉμÎ ± ÉμÎ ± ËÊ ± Í Ê Ð ÕÐ Ì

Διαβάστε περισσότερα

Ρένα Ρώσση-Ζα ρη, Ðñþôç Ýêäïóç: Ιανουάριος 2010, αντίτυπα ÉSBN

Ρένα Ρώσση-Ζα ρη, Ðñþôç Ýêäïóç: Ιανουάριος 2010, αντίτυπα ÉSBN TÉÔËÏÓ ÂÉÂËÉÏÕ: Το ψαράκι που φορούσε γυαλιά ÓÕÃÃÑÁÖÅÁÓ: Ρένα Ρώσση-Ζα ρη ΕΠΙΜΕΛΕΙΑ ΙΟΡΘΩΣΗ ÊÅÉÌÅÍÏÕ: Χρυσούλα Τσιρούκη ÅÉÊÏÍÏÃÑÁÖÇÓÇ ΕΞΩΦΥΛΛΟ: Λιάνα ενεζάκη ÇËÅÊÔÑÏÍÉÊÇ ÓÅËÉÄÏÐÏÉÇÓÇ: Μερσίνα Λαδοπούλου

Διαβάστε περισσότερα

DC BOOKS. a-pl½-z-v iao-w Da-c-n

DC BOOKS. a-pl½-z-v iao-w Da-c-n a-pl½-z-v iao-w Da-c-n 1945 P-q-s-s-e 24þ\-v I-mkÀ-t-I-m-U-v aq-s-w-_-b-e-nâ P-\-n -p. {-K-Ù-I-À- -mh-v-, h-n-hà- I³-, d-n-«. A-²-y-m-]-I³. C-c-p-]- -n-\-m-e-p hàj-s- A-²-y-m-]-IP-o-h-n-X- -n-\-pt-i-j-w

Διαβάστε περισσότερα

a; b 2 R; a < b; f : [a; b] R! R y 2 R: y : [a; b]! R; ( y (t) = f t; y(t) ; a t b; y(a) = y : f (t; y) 2 [a; b]r: f 2 C ([a; b]r): y 2 C [a; b]; y(a) = y ; f y ỹ ỹ y ; jy ỹ j ky ỹk [a; b]; f y; ( y (t)

Διαβάστε περισσότερα

P Î,.. Š ²³Ò±μ, Œ.. Œ ϱ,.. ʳ ˆ ˆ ˆ ˆŸ ˆŠ Š Š ˆ Ÿ -200

P Î,.. Š ²³Ò±μ, Œ.. Œ ϱ,.. ʳ ˆ ˆ ˆ ˆŸ ˆŠ Š Š ˆ Ÿ -200 P9-2011-62. Î,.. Š ²³Ò±μ, Œ.. Œ ϱ,.. ʳ ˆ ˆ ˆ ˆŸ ˆŠ Š Š ˆ Ÿ -200 Î.. P9-2011-62 É μ É μ μ Í μ μ Ö μ ±μ Êα Ê ±μ É ²Ö -200 É ² μ μ Ê É μ É μ Í μ μ Ö Ò ÒÌ μ - ±μ, ±μéμ μ Ö ²Ö É Ö Î ÉÓÕ É ³Ò μ É ± Êα ²

Διαβάστε περισσότερα