Al-Waqf At-Taamm - Kisimamo Kilichokamilika ال وق ف الت ام 1. Kusimama katika neno la Qur-aan ambako kauli imekamilika maana yake, na wala hayana uhusiano wowote ule na yanayofuatia; uhusiano huo uwe wa kimaana au wa kilugha. Mfano kila inapomalizika Suwrah ya Qur-aan, inamalizika kikamilifu na huwa haina uhusiano wowote wa maana au kisarufi na Suwrah inayofuatia. Kisimamo hichi kinatokea pia katika Aayah. Hukmu yake: Inafaa kusimamiwa na inafaa kuanza kinachofuatia. Kilichokamilika) Al-Waqf At-Taamm (Kisimamo ال وق ف الت ام kimegawanyika sehemu mbili: i- ال وق ف الت ام ال م ط ل ق Al-Waqf At-Taamm Al-Mutwlaq - Kisimamo Kilichokamilika cha Halisi Ni kusimama katika neno lakini hata ukiunganisha yanayofuatia haiharibu maana. na ii- ال و ق ف الت ام اللا ز م Al-Waqf At-Taamm Al-Laazim - Kisimamo Kilichokamilika cha Lazima 1 Ni lazima kusimama kwani knganisha na yanayofuatia kutaharibu maana. 1 Pia kinaeleweka kwa ال و ق ف ال ب يان Al-Waqf Al-Bayaan (Kisimamo cha kufafanua).
ÚÚÚ óó nn çç ÉÉÉ Ïe ee Ï ÅÅÅ Alama zake katika Aayah 2 ال وق ف الت ام ال م ط ل ق Al-Waqf At-Taamm Al-Mutwlaq Kisimamo kilichokamilika cha halisi Qiylaa Inayokusudia kuonyesha kuwa kisimamo kinapendeza. ال و ق ف الت ام اللا ز م Al-Waqf At-Taamm Al-Laazim Kisimamo Kilichokamilika cha lazima Miymu ndogo yenye mkia mfupi inayokusudia kuonyesha kuwa kisimamo ni lazima Hukmu yake Inapendeza kusimama na inaruhusiwa kuanza na kinachokuja baada yake, na pia inajuzu knganisha na kinachofuatia ikiwa kuwasilisha huko hakutoharibu maana, ndio maana alama hii inadhihirika pia katika ال و ق ف ال كافي (al-waqf al-kaafiy) Ni lazima kusimama na kisha kuanza na kinachokuja baada yake; kwani kuiunganisha inapelekea kueleweka maana nyengine isiyokusudiwa. Mifano ya ال وق ف الت ام ال م ط ل ق Al-Waqf At-Taamm Al-Mutwlaq -Kisimamo kilichokamilika halisi: Mfano wa kwanza mwishoni mwa Aayah: Ú Ï Ïèt tgó ó n nσ y $ y ƒî Î)u uρß ç ç7 èt tρ xx x $ x ƒî Î) É Ï e$!$ $# ÏΘö öθt tƒ Å7Î Î= t tβ ((Maaliki [Mfalme] wa Siku ya Malipo)) ((Wewe Pekee tunakuabudu na Wewe Pekee tunakuomba msaada)) 3 ال و ق ف الت ام 2 Alama hizo zimebainishwa katika Aayah pekee kwani kisimamo hicho cha (Al-Waqf At-Taamm) huenda kikakotea katika mwisho wa Aayah lakini ni Sunnah (صلى الله عليه وسلم) kusimama katika kila Aayah kama ilivyothibiti kutoka kwa Mtume 3 Al-Faatihah (1: 4-5)
ííí!! ((( ãã xx xx ZZZ ää ÇÇÇ MM øø ÉÉÉ Ïe ee øø!! ŸŸ øøø øø ÅÅÅ ÅÏ ããã ÍÍ '' éé!! øøø În nn ÌÌÌ òò Ïi ii Ïe ee ÇÇÇ 444 nn ÍÍ '' éé øø nn É Ï e$!$ $# ÏΘö öθt tƒ Hii ni kauli yenye kuelezea utukufu wa Allaah وتعالى) (سبحانه na ufalme Wake kabla ya kuendelea Aayah inayofuatia yenye kuanza na maudhui nyengine kabisa nayo ni kuthibitisha mkataba baina ya msomaji na Mmba wake. Mfano wa pili mwishoni mwa Aayah: í!!#u uθy y (#ρã ã x x x x. š Ï Ï%!$ $# βî Î) šχθß ßsÎ Î=ø ø ß ßϑø ø9$ $# ãνè èδ y7í y Í s s9' 'ρé é&u uρ (( ( öνî ÎγÎ n/ Ï iβ W WW W è èδ4 n n?t tã y7í y Í s s9' 'ρé é& óοî Îγø øšn n=t tæ ((Hao wako j ya Hidaaya kutoka kwa Mola wao, na hao ndio wenye kufaulu)) ((Hakika wale waliokufuru ni sawa kwao )) 4 šχθßsî=ø ßϑø9$# Hii ni kauli yenye kutoa habari yenye kuhusiana na Waumini katika kauli ya Allaah وتعالى) (سبحانه kabla ya kuendelea katika Aayah yenye kuanza na maudhui nyengine kabisa nayo ni habari yenye kuhusiana na makafiri. Mfano katikati ya Aayah: Zωρä ä s s{ Ç ΣM M Ï Ï9 ß s süø ø ±9$ $# šχ%ÿ Ÿ2u uρ 33 3 Î ÎΤu u!!$y y_ øœî Î) y y èt t/ Ì ò ò2ï e%!$ $# Ç t tã Í ÍÍ Í_ = Êr r& ô s s) 9 (( Kwa yakini amenipoteza mbali na dhikri (ukumbusho na mawaidha) baada ya kunijia. Na shaytwaan daima kwa insani ni mwenye kusaliti)) 5 33 3 Î ÎΤu u!!$y y_ øœî Î) 4Al-Baqarah (2: 5-6) 5Al-Furqaan (25: 29)
ŸŸŸ ((( øø ãã În nn ÍÍÍ ãã ôô ãã øø óó ((( 44 ÌÌ Ìh hh ÜÜÜ nn oo ZZZ ôô ŸŸ àà åå ((( ÿÿ ãã xx xx ùù ãã ÅÅ ãã ÍÍÍ ÍÍ ÍÍ Íh hh Ï ÈÈÈ ôô pp øø çç óó În nn Îm mm øø ààà çç xx ŸŸŸ àà ãã nn êêê xx xx øø hii ni kauli iliyokamilika maana yake, kauli ya dhalimu anaejilaumu nafsi yake na kumlaumu rafiki shaytwaan. Kisha kauli inayofuatia ni kauli ya Allaah وتعالى) (سبحانه ya kutukumbusha kuhusu maonyo yake kuwa shaytwaan ni khaini (mwenye kusaliti). Mifano ya ال و ق ف الت ام اللا ز م Al-Waqf At-Taamm Al-Laazim - Kisimamo kilichokamilika cha lazima) Mfano wa kwanza mwishoni mwa Aayah: tβθè t è=ï Ïϑø øts s t Ï t Ï%!$ $# Í $ Ζ9$ $# Ü= y ysô ô¹r r& öνå åκ Ξr r& (#ÿ ÿρã ã x x x x. t Ï t Ï%!$ $# n nn n?t tãš Î n/u u àmy yϑî Î=x x. ôm )y ym y7ï y Ï9 x x x x.u uρ (#θã ãζt tβ#u u t Ï t Ï% #Ï Ï9 tβρã t ã Ï Ï ø øót tgó ó o o u uρ Ï ÏµÎ Î/ tβθã t ãζï ÏΒ σã ãƒu uρöνí ÍκÍ h5u u Ï ô ôϑp pt 2 tβθß t ßsÎ m7 ç ç ç çç çµs s9ö öθy ym ô t tβu uρ zz z ö z ö y yèø ø9$ $# ((Na hivyo ndivyo lilivyothibiti neno la Mola wako j ya wale waliokufuru kwamba wao ni watu wa Motoni.)) ((Wale (Malaika) wanaobeba Arsh na walio pembezoni mwake, wanasabbih kwa Sifa njema za Mola wao, na wanamwamini; na wanawaombea maghfirah wale walioamini )) 6 Í $ Ζ9$# Ü= ysô¹r& Kauli hiyo inawahusu makafiri kwamba wao ni watu wa (سبحانه وتعالى) motoni. Kisha inayofuatia ni kauli ya Allaah Anayotaja Malaika wanaobeba Arshi Yake na wanaowaombea Waumini maghfirah. Msomaji asiposimama huenda ikafahamika kuwa watu wa motoni ni wabebao Arshi. Mfano wa pili mwishoni mwa Aayah: Ÿωu uρ öνî ÎγÎ n/u u y ΨÏ y ÏãöΝè èδã ã ô ô_r r& óοß ßγn n=s sùzπu ušï ÏΡŸ Ÿξt tãu uρ #v vv v Å Å Í $y yγ Ζ9$ $#u uρ È ø øš 9$ Î Î/ Οß ßγs s9 u uθø øβr r& šχθà à)ï Ï Ψã ムš Ï Ï%!$ $# (#4 4θt t/ì h 9$ $# tβθè t è=à à2ù ù't tƒ š Ï Ï%!$ $# šχθç çρt t ó óst tƒöνè èδÿωu uρ óοî Îγö ö n n=t tæ ê ö öθy yz 6 Ghaafir (40: 6-7)
ÞÞÞ øø çç óó ää ŸŸŸ øø ää ââ øø ŸŸŸ ((Wale ambao wanatoa mali zao usiku na mchana, kwa siri na kwa dhahiri; watapata ujira wao kwa Mola wao, na wala hakuna khofu j yao na wala wao hawatohuzunika)) ((Wale ambao wanakula ribaa )) 7 šχθç çρt t ó óst tƒ öνè èδÿωu uρ Kauli hiyo inawahusu Waumini wanaotoa mali zao katika njia ya Allaah وتعالى) (سبحانه kwamba hawatokuwa na khofu wala hawatahuzunika. Kisha inayofuatia inawahusu wenye kumuasi Allaah وتعالى) (سبحانه kuhusu ribaa. Msomaji asiposimama, huenda ikafahamika kwamba wanaokula riba ndio hawatakuwa na khofu wala kuhuzunika. Mfano wa kwanza katikati ya Aayah: ÞΟŠÎ Î=y yèø ø9$ $# ßì Ï Ïϑ 9$ $# uθè u èδ 44 4 $ èšï Ïϑy y_! nn nο n Ï Ïèø ø9$ $# βî Î) óοß ßγä ä9ö öθs s% š Ρâ â ø øts s Ÿωu uρ ((Na wala isikuhuzunishe kauli yao. Hakika taadhima zote ni za Allaah Pekee. Yeye Ndiye As-Samiy ul- Aliym (Mwenye kusikia yote daima Mjuzi wa yote daima)) 8. óοß ßγä ä9ö öθs s% ili iweze kufikia kutofautisha baina ya kauli mbili; ya kwanza inamuamrisha Mtume صلى الله عليه وسلم) ) asihuzunike wala asishughulike na wasemayo makafiri kwa vile neno qawluhum lina maana kauli yao (wasemayo). Kisha kauli inayoendelea ni ambayo inathibitisha kuwa utukufu wote ni Wake Allaah; hivyo basi msomaji asiposimama, itafahamika kwamba hiyo ni katika kauli yao makafiri kwamba wanasema: Hakika taadhima zote ni za Allaah Pekee. 7 Al-Baqarah (2: 274-275) 8 Yuwnus (10: 65)
((( ää ÜÜÜ çç õõ oo âââ!! øø øø ww âââ!! øø ÉÉ øøww ((( þþ ää ªªª Mfano wa pili katikati ya Aayah:...(#θä ä9$s s% $t tβ Ü=ç çgõ õ3o oψy y â!!$u u Ï ÏΖø øîr r& ß ø øtw wυu uρ É É)s sù!$ $# βî Î) (#þ þθä ä9$s s% š Ï Ï%!$ $# tαö t öθs s% ª!$ $# yìï y Ïϑy y ô s s) 9 ((Kwa yakini Allaah Ameisikia kauli ya wale (Mayahudi) ambao wamesema: Hakika Allaah ni fakiri na sisi ni matajiri. Tutayaandika waliyoyasema )) 9 â!!$u u Ï ÏΖø øîr r& ß ø øtw wυu uρ Kauli iliyotangulia yenye utovu wa adabu wa hali ya j ni ya Mayahudi wasemao kuwa Allaah ni fakiri nao ni matajiri. Kisha inayoendelea ni kauli ya Allaah وتعالى) (سبحانه kwamba Ataandika wasemayo. Msomaji asiposimama itafahamika kwamba kauli ya pili ni ya Mayahudi. 9 Aal- Imraan (3: 181)